JPM Amgeukia MAJALIWA "TUMBUA TU, Kama ni Mama Yako TUMBUA, Kama ni DADA yako Tumbua Tu!"
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- JPM Amgeukia MAJALIWA "TUMBUA TU, Kama ni Mama Yako TUMBUA, Kama ni DADA yako Tumbua Tu!"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuendelea kuwatumbua wabirifu mkoani kwake, hata ni mama yake....!
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
www.youtube.co...
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825, +255 676 229628 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
Safiii sanaaaa
Raisi tunaye jamani, hata waziri mkuu tunaye, Namtabiria kuwa raisi ajaye
Mashallah
Majaliwa yuko cool sana yuko siriaz ana miko ya uongozi kama wiliam lukuvi.
Duuh namuona kamanda wng
Kutumbuaaaaa oyeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😁
Piga kazi kamanda wetu.
wangap tunangalia hotuba za JPM kuliko za mama gonga like tuone
Safi sana wanaruangwa wenzangu kwa mapokezi mazuri kwa Mkuu wetu wa nchi. Nshi tendanga ya nong'a kweli
Mwanzoni video inaanza as if rais anataka kutupa Neno la Mungu :)
Hongera Harmonise umepiga step kubwa, umefanya Rais ana ku proporse uwe mbunge hasaa
Ulikua wapi raisi wa wanyonge
Jamani ivi si tumwache lais Wetu atuongoze ata miaka 100 akika natamani niwe Baku's ilia kila mda
Tutaandamana aongeze muda wa kuongoza
Nimekutana na mzungu hapa kyushu Japan ametokea Arusha amemsifia sana Magufuli Hongera sana hata wazungu wakukubali
Emanuel Uledi ongoza kama Rwanda tunataka kiongozi wa kutuonyesha maendeleo
Kwa majaliwa hujakosea hata kidogo
Walahi sichoki kumsikilza rais wetu tunakupenda sana Allah akuzidishia yote mema
huo ndo ukweli
Sante saaana.. Hotuba yako rais ni tamu sana ..Mtu unatamani uendelee tu kuisikiliza
Pumzi kasalama
Kicheche
Rais wangu nakupenda bila mashart yyt MUNGU AKUTUNZE SANA
Gud saana... Wagonge tu siro
MashaaAllah
Pumzika kwa amani Baba mzalendo wa kweli wa nchi yako
Mheshimiwa Raisi Hongera sana .Ombi kukmbuka sasa na Kilimo Uti wa Mgongo
Xaf xana mh jpm
Hata Tanesco, wako kinyume na serikali ya awamu ya tano
Well done Amir Jeshi mkuu wetu!
Excellent president
kweli rais wetu wew n mgumu ila kasim majaliwa amekuweza
Safi awashughurikie
JPM ni jembe
Asante sana raisi wetu
tumbua hoyeee
Tangu tanu mmetuzingua ss hv ccm ndio mnataka kujisafisha raia tumechoka majambazi ndio hao hao waliokabithiwa ak 47 ,mkiwacheleshea mishahara wanakuja kutuibia pumbavu, mm naongea ukweli wauwaji ndio serikali aka siri kali, nape mmekosa kumuua na tundu lisu ,mm naongea kama raia mwenye uchungu na nchi yangu, viongozi ndio mna hela acheni kuchangisha raia sio wananchi ,nyinyi ndio mna hela hamlipi ushuru, tunataka nyinyi ndio muwe mifano msidumbue maskini ,hela zenu zote ziko ulaya ndio mana mkaekewa mahakama icu pumbavu, uzalendo kwanza na huruma. ...
Pumbavu mamayako na baba yako nyoko sana huu ni mda wa hapa kazi tuu, eti unajiita mzalendo mavi ya mama yako, muache Rais wetu ainyoshe Nchi
Abdu Rahmanongoza baba miaka 20
Unatakiwa upimwe akili
abdu wewe ni mpumbav mzalendo gan wewe kama na wewe ulikuwa fisad ndio maana huoni kaz inayofanywa na selikali ya awam ya tano unaweza kuilinganisha na awam zilizopita? mjinga kaa na familia yako mcheze kidalipo mzalendo wa wap usieona mbali pumbavuuu we
Akili zako ziko makalioni..cjawahi kuona mtu kama ww.