JPM Amgeukia MAJALIWA "TUMBUA TU, Kama ni Mama Yako TUMBUA, Kama ni DADA yako Tumbua Tu!"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • JPM Amgeukia MAJALIWA "TUMBUA TU, Kama ni Mama Yako TUMBUA, Kama ni DADA yako Tumbua Tu!"
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuendelea kuwatumbua wabirifu mkoani kwake, hata ni mama yake....!
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:
    www.youtube.co...

Комментарии • 56

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 лет назад +3

    JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825, +255 676 229628 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 года назад +1

    Raisi tunaye jamani, hata waziri mkuu tunaye, Namtabiria kuwa raisi ajaye

  • @MosesVicent-l8y
    @MosesVicent-l8y 8 дней назад

    Mashallah

  • @captenndunga6199
    @captenndunga6199 5 лет назад +3

    Majaliwa yuko cool sana yuko siriaz ana miko ya uongozi kama wiliam lukuvi.

  • @masoodedwin8332
    @masoodedwin8332 5 лет назад +5

    Duuh namuona kamanda wng

  • @fednandnews2240
    @fednandnews2240 5 лет назад +3

    Kutumbuaaaaa oyeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😁

  • @vitolomohd4979
    @vitolomohd4979 5 лет назад +1

    Piga kazi kamanda wetu.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 6 месяцев назад +1

    wangap tunangalia hotuba za JPM kuliko za mama gonga like tuone

  • @evodiusmbilla
    @evodiusmbilla 5 лет назад +9

    Safi sana wanaruangwa wenzangu kwa mapokezi mazuri kwa Mkuu wetu wa nchi. Nshi tendanga ya nong'a kweli

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 5 лет назад +2

    Mwanzoni video inaanza as if rais anataka kutupa Neno la Mungu :)

  • @ains1122
    @ains1122 5 лет назад +8

    Hongera Harmonise umepiga step kubwa, umefanya Rais ana ku proporse uwe mbunge hasaa

  • @zarafikichipu2537
    @zarafikichipu2537 5 лет назад +6

    Ulikua wapi raisi wa wanyonge

  • @emanueluledi5616
    @emanueluledi5616 5 лет назад +10

    Jamani ivi si tumwache lais Wetu atuongoze ata miaka 100 akika natamani niwe Baku's ilia kila mda

    • @mangegervas9651
      @mangegervas9651 5 лет назад +1

      Tutaandamana aongeze muda wa kuongoza

    • @paulinebanduka3509
      @paulinebanduka3509 5 лет назад +3

      Nimekutana na mzungu hapa kyushu Japan ametokea Arusha amemsifia sana Magufuli Hongera sana hata wazungu wakukubali

    • @mwaminishabani5740
      @mwaminishabani5740 5 лет назад +1

      Emanuel Uledi ongoza kama Rwanda tunataka kiongozi wa kutuonyesha maendeleo

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 5 лет назад +4

    Kwa majaliwa hujakosea hata kidogo

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica803 5 лет назад +14

    Walahi sichoki kumsikilza rais wetu tunakupenda sana Allah akuzidishia yote mema

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 5 лет назад +1

    Sante saaana.. Hotuba yako rais ni tamu sana ..Mtu unatamani uendelee tu kuisikiliza

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 4 месяца назад

    Pumzi kasalama

  • @MarkoMakanda
    @MarkoMakanda 6 месяцев назад

    Kicheche

  • @aginiweyessayakyando9855
    @aginiweyessayakyando9855 5 лет назад

    Rais wangu nakupenda bila mashart yyt MUNGU AKUTUNZE SANA

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 5 лет назад +3

    Gud saana... Wagonge tu siro

  • @zainabkhatib6509
    @zainabkhatib6509 5 лет назад +1

    MashaaAllah

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 2 года назад

    Pumzika kwa amani Baba mzalendo wa kweli wa nchi yako

  • @msuyaherbalresearcher7184
    @msuyaherbalresearcher7184 5 лет назад

    Mheshimiwa Raisi Hongera sana .Ombi kukmbuka sasa na Kilimo Uti wa Mgongo

  • @nassoromchoya2370
    @nassoromchoya2370 5 лет назад +1

    Xaf xana mh jpm

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 года назад

    Hata Tanesco, wako kinyume na serikali ya awamu ya tano

  • @reverentnkyami9292
    @reverentnkyami9292 5 лет назад +4

    Well done Amir Jeshi mkuu wetu!

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 5 лет назад +1

    Excellent president

  • @ommarymgeni1536
    @ommarymgeni1536 5 лет назад

    kweli rais wetu wew n mgumu ila kasim majaliwa amekuweza

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 года назад

    Safi awashughurikie

  • @octavianmashoto3723
    @octavianmashoto3723 4 года назад

    JPM ni jembe

  • @zarafikichipu2537
    @zarafikichipu2537 5 лет назад +3

    Asante sana raisi wetu

  • @gemkachar
    @gemkachar 5 лет назад

    tumbua hoyeee

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 5 лет назад +4

    Tangu tanu mmetuzingua ss hv ccm ndio mnataka kujisafisha raia tumechoka majambazi ndio hao hao waliokabithiwa ak 47 ,mkiwacheleshea mishahara wanakuja kutuibia pumbavu, mm naongea ukweli wauwaji ndio serikali aka siri kali, nape mmekosa kumuua na tundu lisu ,mm naongea kama raia mwenye uchungu na nchi yangu, viongozi ndio mna hela acheni kuchangisha raia sio wananchi ,nyinyi ndio mna hela hamlipi ushuru, tunataka nyinyi ndio muwe mifano msidumbue maskini ,hela zenu zote ziko ulaya ndio mana mkaekewa mahakama icu pumbavu, uzalendo kwanza na huruma. ...

    • @dicksonsheja251
      @dicksonsheja251 5 лет назад

      Pumbavu mamayako na baba yako nyoko sana huu ni mda wa hapa kazi tuu, eti unajiita mzalendo mavi ya mama yako, muache Rais wetu ainyoshe Nchi

    • @mwaminishabani5740
      @mwaminishabani5740 5 лет назад

      Abdu Rahmanongoza baba miaka 20

    • @emmanuelnzaligo6262
      @emmanuelnzaligo6262 5 лет назад

      Unatakiwa upimwe akili

    • @maishayetu8159
      @maishayetu8159 5 лет назад +2

      abdu wewe ni mpumbav mzalendo gan wewe kama na wewe ulikuwa fisad ndio maana huoni kaz inayofanywa na selikali ya awam ya tano unaweza kuilinganisha na awam zilizopita? mjinga kaa na familia yako mcheze kidalipo mzalendo wa wap usieona mbali pumbavuuu we

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 5 лет назад

      Akili zako ziko makalioni..cjawahi kuona mtu kama ww.