ELIE MPANZU APIGA TIZI ZITO SIMBA/ ONA HAPA KIKOSI KIZIMA KIKIWA MAZOEZINI/ AYOUB AREJEA KIKOSINI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 51

  • @AlbinusRomanus
    @AlbinusRomanus 5 дней назад +1

    Mungu ijalie timu yetu ya simba 😊

  • @officialjayclassic577
    @officialjayclassic577 6 дней назад +2

    Mungu ijaalie simba yetu

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 6 дней назад +5

    Please coach help Chasambi ,he is one of the most talented player in Tanzania

  • @jumaathumani6886
    @jumaathumani6886 6 дней назад +2

    Ayubu mzigoni 🔥🔥

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 6 дней назад +7

    Watu tutakuja kuwashangaza na hii Simba tuwaweke midomo wazi

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 6 дней назад +3

      Kwel kabisa hasa wale wachambuzi uchwara Oruma,Hans na Mkaraboko zuberi

    • @andreakomba1773
      @andreakomba1773 6 дней назад

      ​@@emmanuelmayunga1518hii itakuwa timu tishio sana maana Ina mipango endelevu na wachezaji wanajituma sana na kocha Yuko vizuri sana ila anatakiwa kuongezea ukali kwenye bumba vya kualia Ili wawe makini San ukitangulia kufunga lazima ulinde ushindi Kwa Hali na Mali.

  • @FidelisiKatole
    @FidelisiKatole 6 дней назад +3

    Hakuna njia rahisi ktk mafanikio Sare ni sehemu ya matokeo ktk football

  • @MagangaMasunga
    @MagangaMasunga День назад

    Mungu ibaliki simba ishinde tarehe 19 zid ya Vs yanga

  • @janethjustin2041
    @janethjustin2041 5 дней назад

    Vijana kama vijana hatariiii!🥰🥰🥰🥰

  • @elviusrwehumbiza-q9h
    @elviusrwehumbiza-q9h 5 дней назад +2

    Nguvu mojaaa

  • @DeusKattemi
    @DeusKattemi 6 дней назад +1

    Jaman wasituchanganye sare siyo inshu watuache na simba yetu

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 5 дней назад +1

    Hawa ni wateja wa yanga afrika tarehe 19 mnakula 20 mgawie wachezaji benchi la ufundi na Mo apate lake

  • @AshaManeno-s2e
    @AshaManeno-s2e 4 дня назад

    Ubaya ubwela mungu atabaliki

  • @AdokiEdward
    @AdokiEdward 21 час назад

    Manual Yuko wapi

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 6 дней назад +2

    Ubaya ubwela Simba nguvu moja

  • @Aed126
    @Aed126 6 дней назад

    Daa tunashukuru mungu ayub lakred amerejea

    • @issaibrahim8796
      @issaibrahim8796 6 дней назад

      Tatizo kwamba nafasi za wageni zimejaa yaan Mpanzu kaingia nafasi ya mtu hapo kwahiyo lazima mgeni mmoja hapo apewe Thank you👋

    • @flova7022
      @flova7022 5 дней назад

      ​@@issaibrahim8796mukkwaala byeeee take note

    • @DavidSemu-gu6wp
      @DavidSemu-gu6wp 5 дней назад

      Kuna Kinzumbi bado

    • @issaibrahim8796
      @issaibrahim8796 5 дней назад

      @@DavidSemu-gu6wp Kinzumbi hizo ni tetesi tu na kama bado atakuwa na kiwango kizuri Mazembe hawawezi muachia

  • @NaimaniMndeme-q1f
    @NaimaniMndeme-q1f 6 дней назад +3

    Sare sio shida shida ni imetufundisha nini

  • @charitybenard-t2h
    @charitybenard-t2h 4 дня назад

    Nani kaona kama mm kagoma,akimtwanga SGR kofi😂😂😂😂 kila la heri timu yangu ya simba katika mechi ya mtani simba nguvu moja

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 5 дней назад

    Ayubu❤❤❤😂😂😂

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 6 дней назад +1

    Wanajeshi wetu

  • @RatameTalaka
    @RatameTalaka 4 дня назад

    Kwan wote hawa awajaitwa timu za taifa afu muanze Sema yanga wachawi

  • @ngerejaboniface2596
    @ngerejaboniface2596 23 часа назад

    Ingekua kuendesha baiskel ndokushinda duh Wananchi tusingeongea: lkn sasa njon TU 19 mkutane na piddy dube! Awapiddy!

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs 6 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 6 дней назад +1

    sana

  • @omaryngelo4439
    @omaryngelo4439 5 дней назад

    Asie kubali kushindwa si mshindani

  • @zaiogy5787
    @zaiogy5787 3 дня назад

    Nitarudi kutoa comment tarehe 20

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 6 дней назад

    Si muwe mnanyamazaaa AISEEE kwani wachezaji watuwajuiii au ??? ACHENI ufalqqa

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 5 дней назад

    Mbona trh 19 mbali hawatacheza mchezo kabla ya hiyo mechi?

  • @nshaijatedy5512
    @nshaijatedy5512 5 дней назад

    Ayub naona kapungua saf

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 5 дней назад

    Mtaumiza miili yenu Bure,trh 19 mbili bila tunzeni hii post.

  • @WendeMposola
    @WendeMposola 5 дней назад

    Ellie Mpanzu

  • @swaibushemdoe
    @swaibushemdoe 6 дней назад

    Ayubu

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford 2 дня назад

    CHASAMBI AANZE MTALE atokee bench.

  • @franccoz94
    @franccoz94 6 дней назад +1

    Wanaudhi sanaa kutoa sare na coastal Union

    • @andreakomba1773
      @andreakomba1773 6 дней назад +3

      Kutoa sare ni jambo la kawaida kimpira hata liverkusen katoa sare na timu ilipanda daraja haya ni matokeo ya kawaida kabisa

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 6 дней назад +1

      Ulitaka atoe Sare na Nani?
      That is football

    • @AllyHussein-u1m
      @AllyHussein-u1m 6 дней назад +1

      Ndo maana kukawa na msemo wa tugange yajayo yaliyopita si ndwele. Wenzio tushasahau

    • @winnielawrence6584
      @winnielawrence6584 6 дней назад +1

      Katoe sare na wewe kama unaona wamefaidi sana😂

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 6 дней назад +2

      Uyu ni mdogo wake mchome anajifanya ni Simba kumbe ni utopolo 🐸👈