SEIF SIMBA:ATOA SIRI YA KAMBI"SIMBA KUONGOZA KUNDI ROBO FAINALI"|YANGA WASIJIDANGANYE MFUPA NI MGUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 12

  • @mwampambaNdodo-mw4rv
    @mwampambaNdodo-mw4rv 5 дней назад

    Pamoja sanaaa bro unachambua foot ball safi sanaa

  • @AshuraChamwana
    @AshuraChamwana 6 дней назад +2

    Nafurahia sanakuishangilia simba maana tunawatu wanaojua mpira nafurahisana nikimuona sefu maana anajua mpira hongera sefu

  • @SamsonSamsoni-q9s
    @SamsonSamsoni-q9s 6 дней назад +1

    👏👏👏👏👏👏

  • @jofreymhagule7505
    @jofreymhagule7505 6 дней назад +4

    Unamadin sana mwamba

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 6 дней назад +6

    Kaka usichoke kutuhudumia tunakuelewa uko sawa

  • @yasinfinin1799
    @yasinfinin1799 5 дней назад

    Eti Mamelod alipiga shot on target 18 😅😅😅😅😅..
    Huyu jamaa hajui football bali ni KOLO Mkuu..

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 5 дней назад

    Kuna siku comment za watu zijaa kwako kwa kukupongeza maana unajua na unatumia akili kuliko watu wengi au wachambuz wengi...nakuombea kwa Mungu uendelee kutumia kichwa kufikiri kwa kuwa wengi wameamua kutumia tumbo kufikiri...

  • @RudonongoR-ub9et
    @RudonongoR-ub9et 5 дней назад

    We jamaa unajua

  • @enockjlory1814
    @enockjlory1814 6 дней назад

    Kinzumbi ameamua kuondoka hajaachwa we kolo muongea bure weee mkoko mpaka leo yupo mazembe

    • @semuhunge2310
      @semuhunge2310 6 дней назад

      Huwezi kuondoka timu ambayo unamkataba kama uliona unaongea sahihi jaribu Tena pili mukoko amecheza mechi ipi toka mwaka jana