MBOWE AMVAA KIKWETE MKUTANO ARUSHA "ANASAFIRI NA RAIS KAMA NANI WANATUMIA PESA NYINGI NJE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 фев 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Комментарии • 143

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 3 месяца назад +14

    Kikwete anatama sana na ni mtu ambaye hatosheki.

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 3 месяца назад +7

    Hii kweli Kali sasa munasema lissu ametukana hii mbowe Kali kuliko zote

  • @munirimkwayu1692
    @munirimkwayu1692 3 месяца назад +7

    Jamaa anawachana vby

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 3 месяца назад +8

    Kumbe ndiyo sababu nchi hii haina dolla kabisa , zinatumika kununua vipodozi .

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 3 месяца назад +4

    Dah yaan kikwete sijui anashida gani na watanzania jamani ila mungu anawaona kabisa

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 3 месяца назад +13

    Serikali ovyo sana sisi tunapambana vitu vimepanda bei nauli juu wao wanaendekeza anasa hospitali dawa hakuna vitanda havitoshi watanzania tuamke ifike wakati huu uchafu wa nchi hii wa CCM kutuibia kura na katiba zao zilizopitwa na wakati na mfumo wa zamani wa kikoloni nchi inaliwa na wachache wengi hali zetu hoi

    • @amos878
      @amos878 3 месяца назад

      👏👏👏👌👌

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 3 месяца назад

      SUBIRI MBOWE ATAKUGAIA RUZUKU KIDOGO USIJALI 😢😢😢😢😢

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 3 месяца назад +6

    Ukistafu kaapembeni mda wako umeshaisha kama una mawazo mazuri ungeyatumia enzi za utawala wako. Huna jipya tena.

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 3 месяца назад +9

    Mungu awasaidie chadema miaka mingi mnsibiwa kura hawana aibu kwa lowassa wali8bakwa lissu waliiba kwa slaa waliiba tumlilie sanz mungu awafunge mikono

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 3 месяца назад +1

    Wakati wao Nashangaa sana Rais anasafiri nandege yakubeba watu. 200. Wakati ndege ya rais. Yakubeba watu. 10.ipotu tunaiga nchizenye uchumi wajuu😢😢 lnnalillah wainna illaihi Raajiun 🤲😭 Tanzania 🇹🇿🇹🇿

  • @user-rr1xt8qg6m
    @user-rr1xt8qg6m 3 месяца назад +1

    Mimi naona nchi hii ccm haiwezi kuongoza

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 3 месяца назад +1

    Kwa hili nakuunga mkono mbowe

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 3 месяца назад +5

    Wabunge wa ccm unatengemea waseme nini, hawana jipya, ni upigaji kila kukicha

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 3 месяца назад +7

    Mnaongea maneno magumu watanzania wanateseka sana

  • @user-ku4gf8dc4i
    @user-ku4gf8dc4i 3 месяца назад +4

    Ni aibu wenzetu wanatushangaa sana.Wangekuwepo wa Captain Traore hapa Tanzania wangechukuwa hatua.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 3 месяца назад +1

      Nakuunga mkono aisee kwetu kuna vyombo vya serikali sio kwaajili ya wananchi ni Mungu tu atusaidie kwakweli🙏🤲

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 3 месяца назад +10

    Hakuna kiongozi atakaye tokea
    Kupendwa na watanzania kama
    Magufuli ukweli utabaki kua ukweli
    Tena hata angetoka ccm kwenda kwingine angepata kura kwa kishindo
    Tusidanganyane japo tulimuita Dictatorship lakini mango amefanya na tunayaona wenyewe

    • @hatibuyusufu4668
      @hatibuyusufu4668 3 месяца назад

      Lakini ndie pekee aliyepoka uchaguzi mpaka Leo mnasema bunge lote ni ccm lakini ujingaa huu kauleta nani,

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад

      ​Sijawahi kuwa mwanasiasa lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni magufuli jembe ataishi mioyoni mwetu milele ​@@hatibuyusufu4668

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 2 месяца назад +1

    HAPO KWELI MPE UKWELI MSTAAFU ASITAAFU YOTE.

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 3 месяца назад +5

    Tanzania maskini tunaambiwa

  • @OmarBakari-by2dv
    @OmarBakari-by2dv 3 месяца назад +3

    Duu!!! Umetupiga mlemle...hataarii..

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 3 месяца назад +1

    Kweli umengea mheshimiwa mbowe jamani mungu awapigainie sana

  • @dicksonshenkalwa5470
    @dicksonshenkalwa5470 3 месяца назад +6

    Kikwete kama hayo ndiyo unayofanya ni aibu. Jitafakari . Hata Na wewe Samia raisi Wa nchi Ni kweli haya ndiyo unayofanya? Ni aibu, jitafakari. Kumbe ndiyo maana wanasema mama ameupiga mwingi, unajua maana yake au inafurahia tu?

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 3 месяца назад +2

    Watanzania tubadilike na tuwe na maamuzi ..

  • @johnsonnyongesa
    @johnsonnyongesa 3 месяца назад +3

    mungu andie muweza yote

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c 3 месяца назад +2

    Shikamoo mbwe kwa kikwete umeupiga mwingi

  • @allykigatta7564
    @allykigatta7564 3 месяца назад +1

    ...R.I.P DACTA JOHN MAGUFULI...

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 3 месяца назад +1

    CHADEMA Limebaki jina tu viongozi mmechoka sana tena sana

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 Месяц назад

      Utachoka ww chadema haitochoka utasubiri sana

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s 3 месяца назад +2

    Barabara km zaidi 70 zinafungwa, masaa zaidi ya matatu wanapopita wakubwa mateso hayo ya nini?

  • @rucaserasto8154
    @rucaserasto8154 3 месяца назад +2

    Kikwete analamba asali😮😮

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 3 месяца назад +6

    Cdm lazm mtafute mwarobaini wa wizi wa kura hawa polisi, usalama na wakurugenzi ili mshindi apatikane kihalali

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 3 месяца назад

      This time around, God's hand will be upon us❤❤❤

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e 3 месяца назад

      XO chadema jukumuletu
      Sote wnanch.

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb 3 месяца назад +1

    SIASA ZA TANZANIA SITAKI RIP.JPM TUTAKUKUMBUKA DAIMA

  • @patrickakitanda7709
    @patrickakitanda7709 3 месяца назад +1

    Tuanze kwanza na wewe Mbowe kwanini Unekuwa Mwenyekiti wa chadema kwa zaidi ya Miaka 20 nawewe ni Mpigaji😂😂😂😂😂😂

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 3 месяца назад +1

    Kweli mishahara hali mbaya in

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 3 месяца назад +1

    Hilo nalo ni neno!!

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад

    Hii nyongeza ya utumbo, unahoji JK kama Nani? Nimeishia kwenye kichwa cha Habari tu 😂😂😂

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 3 месяца назад +1

    RIP JPM.

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 3 месяца назад +2

    Tunampenda magufuli sana hakika asingekubali huo ujinga kwanza enzi zake hixo safar za kila mara hakunaga. Tunashangaa saiv duh wananchi wanateseka jaman hakuna wakutusaidia hii nchi ya tanzania imekua too much

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 3 месяца назад +2

    Amekuwa betri, hawezi kuacha ulaji

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s 2 месяца назад

    Rip magufuri

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад +6

    Exelence president Samia sluu Hasan has to see national is on the big trable anaitaji kiachana na kikwete mawazo yake sababu kikwete bado ni mtu mwenye tamaa sana ktk taifa Rasilimali zetu kuwaachia wageni exelence president Samia sluu Hasan has to rengforce use lteligince more than ccm member to lnvestg thing underground on gavment office to maintain corporation people in the leadership lteligince has to be much cicret to maintain manpower of exelence president Samia sluu Hasan to drive better Tanzania creat better economy asepty opposition plan forgot about coruption people advise your leadership outcome your the leader who lmbarasing yourself

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 3 месяца назад

      Whaaaaat!!??? Good God why do you have to embarrass yourself like this using language you have no mastery of? Why don't you just use your lingua franca friend? You have very little respect for your dignity and that of others. Kindly stop embarrassing us as Tanzanians.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 3 месяца назад +3

    Kikwete anapenda kusafiri sana, nini jipya?

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 3 месяца назад

      Sawa asafiri kwa gharama zake Ana fedha za kutosha. Rais anatakiiwa kikatiba kusafiri na mwenza wake ambaye hana makuu kabisa, mtu wa Mungu.

    • @salmanmagwe2612
      @salmanmagwe2612 3 месяца назад

      Wapinzani bado hamjatoa hoja imara ya namna gani ya kuimarisha maisha ya watanzania,mnataja tu mapungufu ambayo hata nyinyi mnayafanya na hata mkiingia madarakani mtayafanya.
      -mlichukua marupurupu yote bungeni.
      -mlifanya kampeni kwa gharama kubwa kwa helicopter.
      -mliwapa dada,na wake zenu nafasi za viti maalum.
      -hakuna mabadiliko ya kueleweka ya kiuongozi.
      -chadema na ccm wote ni wapigaji,na mnahitaji tu kura mkale.
      -tofauti yenu na wapinzani wa Kenya,Malawi,Zambia n.k ni nini?kwani hao wote walipoingia madarakani hakuna jipya walilolileta bali maisha ya wananchi yalizidi kuharibika na pengine zaidi.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 2 месяца назад

      Sleep vijukuu. Aache kuuza Tanganyika.

  • @GodsonLaizer-fx8by
    @GodsonLaizer-fx8by 3 месяца назад +1

    Wewe ukipenya utaacha kufanya hayo?

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 3 месяца назад

    Jamaa anajua uzandiki kweli yaani shule inafungwaje?
    Mbona siku za mikutano yote ya ccm ,watoto wote wapo shule

  • @user-xw1dv3gr8s
    @user-xw1dv3gr8s 3 месяца назад +6

    Hakuna raisi kama kikwete watu tulimiliki pesa nyingi sana mungu ampe maisha marefu huyu mzee

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 месяца назад

    Magufuli aliziwiya hayo matumizi ila nyie Chadema mlipinga.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад

    Jamani anamlinda na kumsaidia samia acheni wivu

    • @f.a6043
      @f.a6043 3 месяца назад

      😂😂😂👉🐸🐸🐸🐸

  • @user-xw1dv3gr8s
    @user-xw1dv3gr8s 3 месяца назад

    Hawa wakina mbowe ni wapigagi hatar

    • @f.a6043
      @f.a6043 3 месяца назад

      😂😂😂👉🐸🐸🐸

  • @omarimamboleo2634
    @omarimamboleo2634 3 месяца назад

    Tutajieni hizo safari za kikwete rais

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 3 месяца назад +3

    Mama hajui kitu Mzee anamsaidia

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 3 месяца назад

      Rais Ana wasaidizi wanaolipwa na serikali vipi mheshimiwa Kikwete anajua mambo kuliko mheshimiwa P. Kabudi?

    • @user-zl3le1wz2u
      @user-zl3le1wz2u 3 месяца назад

      Hujui kitu elimu ya kaburi na majukumu ya Rais ni mbingu na dunia mama hajui kitu

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 3 месяца назад +1

    Ungekua wewe hata chooni ungeenda na ndege

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 месяца назад

    Huzuni aibuu yaani hadi huruma

  • @FahadiKibavu
    @FahadiKibavu 3 месяца назад

    Apo umesema

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад

    Haikuhitajika miwani kuona mambo makuu aliotufayia mpedwa magufuli shujaa sliepigania maslahi ya wanyonge mpaka tone la mwisho😊

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 3 месяца назад

    Kelele za chura. Badala ya kumwaga sera hamna kitu kelele nyingiiii wala hueleweki

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад

    Hata wanafunzi wa sekondali hupelekewa mabasi ili wahuzilie mikutano na huambiwa wasivae nguo za shule

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 3 месяца назад

    Nyie wote wachumi tumbo alivyo kuwa magufuli mlikuwa mnasema sana acha inyeshe 2one panapo vuja

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo 3 месяца назад

    Mtoe taarifa tunakushkuru

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 месяца назад

    Wakati wake si umekwisha bado anataka pesa za haramu tuuu 😮😮😮😮😮😮😮

  • @user-sq2qe1zg6o
    @user-sq2qe1zg6o 3 месяца назад

    Hamna jipya ww mwenyewe mbowe ni mpigaji

  • @JonasMbuyah
    @JonasMbuyah 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @juliuslaizer5801
    @juliuslaizer5801 3 месяца назад

    Ccm hawataki mabadiliko

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад

    JE WEWE UTAWEZAAA?.

    • @f.a6043
      @f.a6043 3 месяца назад

      🐸🐸🐸🐸👈🏾🤣🤣🤣🤣

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 месяца назад

    Kikwete na genge lake wanatumaliza watanganyika, RIP JPM

  • @user-ku4gf8dc4i
    @user-ku4gf8dc4i 3 месяца назад +1

    Yeye si ndiye anamsaidia Rais hata kumteua Mkuu wa majeshi na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa. Lakini pia ndiye anayeteua mawaziri na kumpatia Rais aapishe. Unaweza kuona amewateua wabunge sita wa mkoa wa pwani kuwa mawaziri. Na mawaziri wanne kutoka mkoa mmoja wa Tanga. Je hapo kuna national balancing? in the president appointees?.Tatizo hatuna security agencies nchi hii.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад

    Haikuhitajika kuvaa miwani ili kuona mambo makuu aliotundea shujaa magufuli yote aliyotenda yataishi mioyoni mwetu milele alitenda kishujaa na akafa shujaa Africa tujiulize nini nyuma ya vifo vya mashujaa wetu ?

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 месяца назад

    Kapiga kama miso misondo

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 3 месяца назад

    Kwa magufuli hakukuwaga na ujinga

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph6122 3 месяца назад +2

    Kuhusu kikwete NI kiongozi wa kimataifa Kuna Engos za kimataifa Duniani anafanyanazo kazi na sio serikari yetu inayomlipia.

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад +1

    Je ni kosa Rais Mstaafu kusafiri na Rais? Mbowe wivu wa nini?

  • @user-np5rp2fi5t
    @user-np5rp2fi5t 3 месяца назад

    Ndo mda wao wakula saiv

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад +1

    MBOWE NA CCM MNAFANANA NI MAPACHA KABISAA. Wewe siku zote miaka yote ndiwe mwenyekiti hutaki kutoka nao CCM hawatoki madarakani kwahiyo ni MAPACHA VING'NGANIZI WA MADARAKA.Hayo ni maoni yangu tu.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 3 месяца назад

    Mungu atamehughulikia akieshupaza shingo iko siku malaika wa Vita Yuko wataangamia na hiyo ndege waacheni mungu anawaona

  • @amirijoho8243
    @amirijoho8243 3 месяца назад +1

    Kikwete muacheni

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 3 месяца назад

      Wajinga kama nyie ndo mnafanya nchi haisogei

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 2 месяца назад +1

      Atoke kabisa. Ni tatizo kubwa la Taifa hili.

  • @joelsumaye8162
    @joelsumaye8162 3 месяца назад +1

    Rais Samia ni rais bora kuliko wote, hizi ni kelele za njaa. Vijana fursa zipo nyingi tufanye kazi.

    • @miriamamiri641
      @miriamamiri641 3 месяца назад

      We unaeongea hivyo ni mwana ssm eh ila huna lolote unaongea tu hujielew

    • @user-pe9uo4ec6y
      @user-pe9uo4ec6y 3 месяца назад

      Mbowe ana njaa au wewe ndo una njaa?

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e 3 месяца назад

    Kikwete mnafki ..

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 3 месяца назад

    Safi akalime huyo kijijin yeye amekua nani anafatafata nyuma dah

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 3 месяца назад

    Kwa stahili hio yakusafili na rais mstaafu sizani kama watakubali katiba mpya ipitiswe itawabana nakuwanyima uhuru

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 3 месяца назад

    Kikwete ni baba wa taifa kwasasa mtu muhimu muulize lema anajua jinsi alivyo msaidia kikwete katumwa sana na magufuri nje ya nchi, cha msingi kakaeni chini mfanye tathimini muangalie je maandamano yamewarudisha wananchi kwenye upinzani? Ninacho penda kuwaambia hamuwezi kuishinda ccm hata siku moja na rais samia suluhu hassan mitano tena

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 3 месяца назад

    Mr mbowe kufungwa ofisi ili kushughulikia matatizo ya wananchi ni dhambi? Bro umeongea sio kabisa

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 3 месяца назад +1

    Hapo mboe umechemsha makonda anakubarika Sana siio kwamba watu wanasombwa kwenye mikutano yake

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 3 месяца назад

    Wanasiasa wanakula Nchi hawa kila mtu na urefu wa kamba yake
    Mbowe na wenzie wanakula pesa
    Za Ruzuku
    Hivi najiuliza Ruzuku kwenye siasa
    ya nini na kwa nini iwe kwenye siasa tu ( wizi mtupu )

  • @Ayubkakore-vl7bm
    @Ayubkakore-vl7bm 3 месяца назад

    Hata ungekuwa wewe ungefanya ivyo

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 3 месяца назад

      Mwarsbu wa pemba unatafuta nininTangsnyika. Siku inakuja mtahamia huko uarabu.

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 3 месяца назад

    So shida yako ni nn

    • @ElishaWarboy
      @ElishaWarboy Месяц назад

      Tatizo watnzania hamfikirii muungeni mbowe mkono maana ni hivi zile GARAMA za kusafiri kikwete kwenyenye hiyo bajeti ya kiserikali NI kutia hasara zisizo na manufaa kwa wananchi na kwataifa kwa ujumla yake wangenunua madawa mahosptal zhanti miundo mbinu tunasogea kimaendeleo tuache ushabiki tuangalie kesho yetu

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 3 месяца назад

    Acha ujinga wewe huyo ni raisi ng,ombe wewe

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv 3 месяца назад +1

    Chadema amuaminiki,Mzee magu Alibana Kila Kona lkn Bado mlimzidoa, kiufup hamuelewek

  • @mosesallanadam1955
    @mosesallanadam1955 3 месяца назад

    Mbowe acha za kuleta, wafanyakazi kwenda kwenye mkutano wa Makonda ni kwenda kujibu maswali juu ya kero mbalimbali za wananchi. Yaani unajifuta akili Kaka.
    Jiongeze na hekima iwepo.

  • @mohamedmasud4037
    @mohamedmasud4037 3 месяца назад

    Hata ww kesho ukipanda utakua na yako kila mtu kambaa yuwavutia kwake hakuna mkamilifu so wacha wivu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 3 месяца назад

    Rais samia ni rais mzuri sana anaweza. Kwenda na ndege ni sawa tu.
    Rais kikwete anaweza kutumika na rais kwa sababu kikwete siyo mzee bado ana nguvu. Na kikwete anajua sana mawasiliano ya nchi za kimataifa.
    Hata ningekuwa mimi ni rais ningemtumia kikwete. Maana kikwete aliweza kumleta rais wa marekani Tanzania.

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂akili za darasa la kwanza

    • @user-in7ud5gj7c
      @user-in7ud5gj7c 3 месяца назад

      Daaa hahahaha hivi unaelewa unachozungumza?

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 3 месяца назад

    Chukua hatua sio kulalamika mjipange sio kupiga kelele tu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 3 месяца назад

    Njaa inawasumbua nyie

  • @user-es5ml2uw2j
    @user-es5ml2uw2j 2 месяца назад

    Unzpe

  • @hassaniidrissa5916
    @hassaniidrissa5916 3 месяца назад +5

    Mama is the best president ever seen in the world ❤

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 3 месяца назад

      Wanampamba ili azidi kugawa maliasili zetu kupitia uwekezaji😢😢😢

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @Shabani-uz1sb
    @Shabani-uz1sb 3 месяца назад

    Umekosa chakusema unaongeamaisha binafisi

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m 3 месяца назад +1

    Inakuhusu ww Samia Juu...Njaaaa zinawasumbua wapinzani

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 3 месяца назад +1

      Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ni rais wa nchi anaishi kwa kodi zetu hana biashara nyingine.

    • @mataizytembo7043
      @mataizytembo7043 3 месяца назад

      Hela alionayo mbowe pengine hata nusu ya Tanzania akaihudumia kuwa na akili wewe Kibombogwa poornes wa akili ww wana njaa unamjua mbowe vizuri kweli ww🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-el6mm4lh4m
      @user-el6mm4lh4m 3 месяца назад

      Muache mzee apumzkee mlitaka asafiri nanani

    • @user-el6mm4lh4m
      @user-el6mm4lh4m 3 месяца назад

      Kwriiii kbsaaa always wanadamu hawana jema....Samia pga kazi mlitaka afanyeje

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 3 месяца назад

    Acha urongo wewe

  • @frankmaligo5749
    @frankmaligo5749 3 месяца назад

    Tatizo chadema hamuaminiki,kikwete alisafiri mlisema,magufuri hakusafiri hamkusema zaidi mkabadilisha mada,kuna muda ukweli muwe mnasema,

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 3 месяца назад

    Tatizo la chadema wanahama hama sana na hoja .halafu wanasema watu. Chama kikubwa kama hiki .kinatakiwa kiende na ajenda .moja kama ni katiba basiiwe katiba.lakini wananchi hatuwaelewi kwakweli.