SIKU YA TATU YA KONGAMANO LA UMISHENI TAG UBUNGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Siku ya Tatu ya Kongamano la Umisheni TAG-Ubungo jijini Dar es Salaam

Комментарии • 9

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 2 года назад +2

    Asante baba mchungaji tulilishwa matango pori mengi sana na mwalimu ....wa Arusha tulivimbiwa kbs yana, piga injili baba mchungaji nikiwa Tanga mjini new nguvumali nakupata vema kbs, nimetapika matango pori yote sasa niko vizuri ubarikiwe sana baba mchungaji amen

  • @frankluoga9651
    @frankluoga9651 Год назад +1

    Mungu akubariki nabarikiwa sana mahubiri yako

  • @neemamdesa7307
    @neemamdesa7307 Год назад

    Amen

  • @vincentyohanachakupewa2219
    @vincentyohanachakupewa2219 2 года назад +1

    Amen nime barikiwa

  • @shillahmbogo5556
    @shillahmbogo5556 2 года назад

    Mungu akubariki Sana Mchungaji Magembe

  • @tag-muungano-chato
    @tag-muungano-chato 2 года назад +1

    Aminaa

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад +1

    Mmmh hapo Ni KWELI kabisa kikombe Cha Babu kimechanganya wengi

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад +1

    Hii Ni hatari Sana WENGI tumehalibikiwa Sana na hii mitandao na uzinzi umetumaliza kisa mitandao na ukahaba umo ktk mitandao shetani kahamia huku AAA Basi na MUNGU ATUSAIDIE SS na WATOTO wetu

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад

    Na KUJICHUBUA Ni dhambI na KUVAA MAWIGI