Mchinjita Alia na Bajeti 2024/24 Kutumika Kulipa Madeni na Matumizi ya Huduma za Utawala

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo- Bara Isihaka Mchinjita amesema kuwa sehemu kubwa ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 inakwenda kutumika kulipa madeni na huduma za utawala ukilinganisha na kiwango cha fedha kitakachokwenda kwenye miradi ya maendeleo.
    Mchinjita ameyasema hayo wakati wa uchambuzi wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 uliofanywa na chama hiko cha upinzani. Uchambuzi huu unakuja ikiwa ni kipindi ambacho Bunge la Tanzania linaendelea kujadili bajeti hiyo iliyowasilishwa Bungen na Waziri wa Fedha Juni 13, 2024.

Комментарии • 1

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 3 месяца назад

    Hongereni ACT japo watz hatutilii maanani, hatuko huru