Ruby - Alele (Official Music Video) Sms 8662153 to 15577 Vodacom Tz
HTML-код
- Опубликовано: 29 янв 2019
- A Brand New Music Video Ruby Africa - Alele [Official Music Video]
Stream / Download on all streaming platforms
Get The Song Now👇🏻
Boomplay : www.boomplay.com/artists/1306088
For Bookings/ Collaboration / Interviews / Performances
Email: hellenmajeshi@gmail.com
Mob: +255653554410
#Alele #MajeshiMusicGroup
#StreamFromAllDigitalPlatforms
Catch Up With Ruby Africa:-
Instagram: / iamrubyafrica - Видеоклипы
Msanii Pekee mwenye jeuri ya kuimba anachojisikia bila Kujali Mziki gani unatrend na anatusua Kama Kawa, one more like to Ruby.
Ukwel nakupenda rubby wew noma
💪
Haswaaaa👍👍
@@frankmnyela510 l
🔥🔥🔥🙏
Nakuelewa sana kama unamuelewa ruby weka like apoo
Nice song
❤
Niseme ukweli tyu, yaani haipiti siku sijasikiliza huu wimbo. Naukubili sana🤛🤛🤛👍 kazi nzuri Ruby.
Nyimbo kali sana bro.
pole sana moyo eeh
mwaya eeh
najua amekuumiza
ila yupo Mungu
Baba eeh Najua atalipiza
I wrote this verse a way back kweli Mungu analipiza🙏🏻
fev song always ❤
Wimbo mzuri sana, hongera sana umeshoot ukiwa mjamzito, Mungu akujalie mtoto masharaaa
Kadada kanajua aka Jmny 😍😍 Helen u killed here tunakuombea tyu ushushe Salama, like Kama na ww unaombi Kama langu
Hata niandika najua ntamaliza kurasa zote kW kukusifia Ruby hakika ww ni nuru kama ulinigusa mule mule kwa wimbo huu 😘😘😘😍😍😍👍👍👏👏👊👊👑👑👑
2023 and still playing this on repeat 🔥😘
Ruby hiyo sauti inanikunaga mama duuuu hii siichoki kuisikiliza mpaka 2025
Kama kanyimbo haka kamegusa moyo wako basi nipe like yako hapa
VP mam
kamenigusa kabisa
Aime Lynn xana
sitaki
Nimeupenda sana
Ruby all the way...2023 still in❤️❤️❤️❤️❤️
Weka ngoma zako RUclips watanzania tunakusapoot achana na hao mabosi wapenda ngono ruby weka nyimbo mpya hapa kama tunavyowasapoot wasanii wengine na wew tuko na wew toa ngoma post Instagram weka RUclips sisi tunasapoot tunakupentaah ruby unajua kuimba🔥🔥🎶🎶
Wimbo umeningusa sana moyo wangu kama nawe umekungusa like hapa
Yaani wimbo umenigusa xna
Aye!de facto a música é boa
Linah Nicodemus dah yaan me mpk nakosa aman
Km unampend ruby like hap
Unajua my xixter
Wimbo mzuuri huu... I love it. Kenyans 🇰🇪 come show some more love to Ruby.
Rubi mi ni shabiki ako sana nakupenda napenda nyimbo zako sana pambana dada usirudi nyuma mungu akusimamie
Game ya muziki kwa watoto wakike imekuwa ngumu Sana watu Wana watumia vbaya mpaka wanakata tamaa ya kuwa wasanii tusipoangalia na Ruby ataachana na muziki coz hata media hazitoi soport inayoitajika kwa wasanii
GONGA LIKE KWA SANA KAMA. NAWEWE UNAMKUBALI SANA RUBY
Hi
namkubali sana
ruclips.net/video/mC1Hxs2r2BY/видео.html
100%
Pole san moyo...... Gonga like ka umegusa na hii song
Sauti ya Ruby unaskia inazungumza na nafsi
Daaah, umenigusa sana Ruby, nawewe kama umeguswa basi fanya unagonga likes nyingi
2023 my c6 nakupenda bure
WCB. sign this talented queen. Lets her dreams come true... Love u ruby
Kweli kabisa
❤❤❤❤❤
Not a must to be WCB furthermore Ruby tayari ameimarika
Ruby anahitaji support ya mafans sio kusigniwa
Who said dreams comes to pass while on wcb...? Don't be limited...... She just needs fans support
Yaaaan hii sauti chatu anatoka kweny pango lake na kuja nje
I love ruby. Wowww her voice and creativity... Nice music always 😄😄😄😄💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪 254 with love
254 Love.
m.ruclips.net/video/Qcw7YVKMv7o/видео.html
KAKA MAASAI
Sauti tu inanikosha
kama unampenda ruby like
2021, still playing this on repeat. Feeling the heartbreak that never was😆
Hadi sai 😂😂
Pole sana moyo😢
@@okwomi_ yess...hadi sahi 2024 😂
2023 nauangalia tena
My fav female artist dropped another hit🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 You are so so talented wallahi... My role model when it comes to vocals cause you are on your own level 💖💖💖 Kudos... Nice video 😍😍😍
ruclips.net/video/mC1Hxs2r2BY/видео.html
🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷♥♥♥♥♥
What does song talk about
All de way frM AmercA I likE dis s0ng of rub🔥🔥
Ruby na Kusah wameshavurugana kwenye uhusiano wao. Nyimbo ndo tunaijua uzito wake sasa... Pole sana moyo.
Huu wimbo ukisikilizaa mara mbili au zaidi ndio utajua hit vipi nice song kama umelewa weka like twende sawa 🎃🎃🎃
kama umeona rubby ana mimba gonga like
bwaih bakari 😀😀😀😀m cjaona
Haaaa haaaa
Mi nimeona
bwaih bakari San ty Dada ruby yupo vizr san japo mama k
bwaih bakari hahaha umenifanya niangalie vizuri
Omg, she's so underrated. Love her music
Daaah. Kuna nyimbo zinagusa mioyo jamani.... Ukimaliza kusikiliza alele sikiliza zaidi ya jux. Big up bongo flaver.... 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏
2023 anyone?
Moyiwangu tulia nikikumbuka nilivyo kataliwa na wakwe bila kosa lolote inauma sana pole sana moyo ila yupo mungu baba najua atalipiza
Kama na wew unamkubali ruby gonga like twende sawa
namukubali kuliko
Thank you #RUBY,umenikumbusha vile nilivyoachwa na ma #Ex.. with the form of #silents. This song took me back 2017.. I wish if you can allow me nitowe #cover ... She was ma begining na ma end but now I mean nothing to her... ''''Jamani mapenzi yamekuwa hadithi #History'''' ##ALELE
Kama ipo ipo tu hata wafanyeje ww ni mkali bana Alie kalia kiti chako akiachie tu maana naona anatumia nguvu Sana... Ila yupo mungu najua atalipiza yote yatakaa sawa . Love you deeply
Hii nyimbo imenigusa coz ishawahi kunitokea ishu kama Hii big up sana Ruby
Ruby Queen of the best melodies. Gonga like kama unamkubali Ruby 🤔🤔
ruclips.net/video/mC1Hxs2r2BY/видео.html
Who watching this song more than five time awwww love you ruby
I love you rubby
Ruby wewe ni motoo wa kuotea mbaliii ,chukua maua yako mama 💐💐🌹🌹🌺🌺🌻🌻🌻
Rubiiiiiìiiiiiiiiiiii unajua sanaaaaaaa
Sauti jamani yanimaliza✨❤️💯👌
This song really spoke my mind i don't even know y am crying while watching it 😭😭😭😭😭ruby i love u from Uganda 🤦♀️🙇🏿♀️🙇🏿♀️
Going through what she singing. 7years of marriage gone down the drain. But love this beautiful song😘😘😍
Ogambotieyo sharifa
WCB ... Hebu tupeni karata kwa huyu dada.. Mbona inalipaaa. Anajua sana, anakwama padogo tu.
Kabisa bro yan nishiida
Utabak kua juuu mama lao🥰🥰🥰🥰🥰
Waliomzima huyu dada chamoto watakiona
Diamond platnumz please save this #AngelicVoice from fading away
Upo pamoja na mm. WCB sign this talented queen if possible. 🙏🙏🙏
@@allykassim9826 kweli kabisa
Kweli mapenzi mabaya, ni kama nyimbo ina lenga mie, jamani moyo
Pole xna
10th August 2023🎉❤❤ Am never tired of this song 🔥🔥💯💯👌👌🇰🇪🇰🇪@iamrubyafrica
Ruby she is responsible at her work
Unajua sana my dear nakuombea uzima na mafanikio uzidi kutuburudisha
KwA Wale tunaojua kupendana hii ndio nyimbo yetu... Ebu gonga like twende sawa Eeh wapenda nao
Hahaa true dat
jamnii kwambaa
Love from Kenya 🇰🇪❤️
Ooops!!! What a lovely name
Whitney hauston....nakupenda rubby yur fan from Nairobi Kenya
U know #WhitneyHouston too???😭😭😭🤯
FAN FROM KENYA HERE. NAMKUBALI RUBY KABISA. NIPENI LIKES PLIZ
Kama na wewe umekuja huku kwa sababu kaupafomu huu wimbo muleba gonga like
mambo yenu yakusema gonga like.. mmesababisha cm yangu imeweka klecki.. namimi Ngojea nilipizee gongeni like hapo 🤔🤔
Hahahahaha.. Humpati mtu...
#BONGE MOJA LA VIDEO YANI HONGERA DADA RUBY WW NI MWISHOOOO💥🔥🔥🔥🔥
Rubby penda sana dada wwee
Never give up ruby one day utatusua tutasahau Yale ya unakwama wapi coz shabk zako tuko nyuma yako ndo maana unatoa ngoma inaenda slow BT mtaani iko maskioni mwa watu na views sio wa kkukatisha tamaaa "" I love u & thanks for my song writer of this song
Amen
Wakwanza mie weka like yako apo kama wampenda ruby
nampenda sana
Nzuri sana
Mama kijacho mashaalah😍
Big up sanaaa Ruby for the good song,,may Jah bless u
Michael John jamn
Wimbo naupenda sn
My hurt breaker ....uko poa inagusaaa mpakaaa❤💋💔💔💔💞💝💘💗
Kwan hamuez comments bila kutaka like? Kila mtu like like kiruuuuu napita mie baada ya kuona video
Hohohohoh hiv hiz like zinalipwa Rahma😂😂😂😂 maana kila mtu gonga like🤣🤣🤣🤣🤣
ruclips.net/video/mC1Hxs2r2BY/видео.html
rahma wazir umeona ee mpk waombe like waache kujaza like kwa mwenye nyimbo wanataka wao kila mtu like like
Rahma mwanzo nilifikilia ukimpa mtu like anapata mb za buleee !???😄maana mtu anaomba kabisa nipeni like jamani utafikili anaomba kazi🤣🤣🤣
@@rehemaibrahimu7527 haha
Anyone still listening to this song in 2020?
Ruby katisha sana kama na ww unamkubali like hapa
Ruby unajifungua wen😂😂
Hope she/he will b cute just like you😍😍😍....
God will continue to bless this voice of yours Ruby
I know I am kinda off topic but do anybody know of a good site to stream newly released tv shows online?
We we ni nouma
Hiii nyimbo huwa cchok kuickiliza kabxa yan ujumbe wake una nkoxha moyon #Ruby ukonjema kwakwel
Which Devil Dislikes Such a Precious Song !!!
international since day one...may you have great breakthrough Ruby😍😍...
@mercymuigai the sweetest part is the last bit of the song how Ruby pulls up the vocals from deep with in aaahkk this gal is so talented
Fire
🙏🙏🙏Kametulia viSmart👏 Just feeling te Song
Naim Vannellz very gifted indeed....when she did NA YULE I loved her instantly....She will Shine and Never fall...my wish for you Ruby💯😍😍
Amiiin
Jamani kwli mapenzi ni upofu
..ahh nipe like tuimbe wote ..alelee..+254...
Dada sauti yako yakumtoa nyoka kichakani
Aaaaah
Wimbo uko vizur sana
🔥🔥🔥🔥kali sana ruby bidii sanaa
Penda wewe..mob love from 254
Yaaaaaaas,this song so beautiful,touches the core of my heart.
Kusema ukwer huyu mdad nilikua cmfuatlii kabisa nyimbo zake lakin nahisi kaniimbia mim dah
Imegusa moyo wangu
Nilikuja kutofautisha na Alele ya Mbosso.....kazi nzuri dada.......
nani mwingine anamkubali Ruby kuliko Nandy? wacha nipate likes za kutosha hapa
Tulionaa chuchu ya ruby tuna like hapa 😃😃😃😃😃
Chuchu imenona
Yani haka rub ninoma nimekapenda kwel sasa umekuna kivigine
Nilijua coment ya hivi lazima ipo......baada ya kuona video.
Asantee ruby kwa kipa like more success
😂
Mi namwaminia Sana Ruby ...254 tuko nyuma yake Ruby kufa kupona , mwanadada anayeamini kipaji chake.,ndugu zangu Toka 255 nipeni like hata moja tu
Ruby!!! ni shida
Nimependa sana idea ya video .. inaendana kabisa na mazingira ya kwetu + melody 100%
Mimi wa mwsho kukomert naomben like zenu
mashaalah huyu bint huwa hakoseagi anajua kuimba saaaaana mashaalah Rubyyyy
UNajua mama kabisa bongo nzima unaongoza kwa kina dada
Jamani nakitumbo chake natamani kingekuwa changu
Mbona rahisi kukipata..... 🙈🙊
Hadi walioguswa na haka kanyimbo mtaninyima like au
WKB Boy
Feature Billionaire nimeusikiliza ucku kucha
Kipaji cha Ruby ni level ya juu sana ila hapa Bongo kuna visirani wengi sana wanaweka block kwa makusudi alafu wanasingizia mjeuri.
Bila unafik ruby mkali kipaji bila mfano ila tusaidie ku achieve ndoto zake video imeachwa na audio,promotes come out OKOA talent kubwa,video is good but I wish ingekua kubwa zaidi ya hiyo.Good work Rubby.gonga like kama una kubaliana nasi.
The best female vocalist in the bongoflava industry...
Absolutely
Unajua
2023 thinking of covering this song
Nakupenda sanaaaa Rudy
Nimekapenda ka Video Queen.Anae mfahamu pls animabie anaitwaje
Mshikaji hujamuelewa wala nini?
anaitwa Ruby
Labda ana maanisha jina lake huyu vixen
Hongera ruby