Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba
HTML-код
- Опубликовано: 12 янв 2021
- Mkali wa Gospel Goodluck Gozbert alikutana na msala wa mwanadada alietapeliwa kwa kutumia jina lake na kupelekea mwanadada huyo kusafiri kumfuata Dar es Salaam. Hapa anaeleza ilipofikia.
#CloudsE - Развлечения
Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.
Yesu anakupenda yohana3:16
mwalimu ametisha...... sema hata kama ni mimi ningekuwa sina mausiano ningepita naye
PHOVY MEDIA Is following you!!!
Mwachie Mungu
Goodluck Ni MTU mzuli sana ninamkubali
Goodluck una busara sana kama mfalme Sulemani
Hadi clouds mmeanza kuandika titles za uongo? Impossible..
Nyie wase.. muwe mnaandika kichwa cha habar cha kwel huo uupuuz
Nidia Kama hii cyo ya kuandika heading iyo
Clouds banah.
Mungu yup atakupa mme bor vumilia
Hii Chanel kumbe nayo utopolo
Dunia ina mengi
Ogopa Sana mwanamke ambaye anapesa na hasuki ni balaaaa
😂😂😂kwa nn
😃😃😃
hahaha
@@mayroseclemence99 uwezo wake ni mkubwa na ana msimamo thabiti
Aaaahhh jamani
kawaida2 lkn..ukwel wa mtu upo moyon kwa mtu,,vngne mbwe mbwe2
I can't hear anything English please
Text me on whatsapp +255744561980 so that I can teach you swahili
You cant hear or you cant understand swahilii
@@barakakimario8960 you right can't understand Swahili
Hata mm huyo godruck alishawah niomba namba ya cm lakn sikumfuatilia lakn huyo godruck siamn maneno yake mtandaoni kachangamka sana hasa fb
Aho
Mmm
Nisinge mwacha ningemwambia Nina mausiano Ila ningempa atakacho kama kuagana ili asiondoke na kinjongo
*Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba*
mbona title haiendani na maelezo na ninyi ni media kubwa sana.... mnapoteza credibility acheni izo mambo
Nimeshangaa Sana kuona et amewekwa mahabusu, kumbe ni ujinga wao Tu wapige views
Lakini kumbuka mlikuwa mkiwasiliana kwa voice call na Whatsapp image.na km kweli na wewe unamjua au kumsikia wa mtandaoni msimchukulie hatua? Mpz hisia
Kazingua huyu gud
😂😂😂mambo mengine ni aibu tu
Kwa kipindi hiki hakuna mwalimu wa kuchezea pesa ya nauli hivyo haaahaaaa
Sasa apo sababu za kumuweka maabusu ni zipi mbona mnawafanya watu ahache kuwafatilia
Imagine
Mwalimu apelekwa kwa mwana saikolojia
Pol San kak
Goodluck muongo kala hela ya uyu dada na video call zote umeongea nae na sura ni haiki ww au utasema umeeditiwa jaman muogope mungu call za WhatsApp ni sura yakoo na namba ni yakoo unatutania ww nakwambia ungemfanyia ivo dada ungeona mpk urudishe hela zetu
Uko Na Udugu Na Huyoo Madame
media kubwa inaandika utoporo
Ivi nyinyi mnaakili kweli? Au mnatuchukuli sisi mazuzu...kwajinsi mlivyo hamuendani kabisa na huo upuuzi sasa mlishindwa nini kuandika caption inayoendana na hiyo content yenu?
Clouds nyie ni big brand hamhitaji kupotosha title ili mpate views nyingi nyie mmeshakuwa wakubwa na mnaaminika watu wata view tu ila msidanganye
I do not understand Swahilu at all wanasemaje kwani
Unsubscribed
Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.