Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 янв 2021
  • Mkali wa Gospel Goodluck Gozbert alikutana na msala wa mwanadada alietapeliwa kwa kutumia jina lake na kupelekea mwanadada huyo kusafiri kumfuata Dar es Salaam. Hapa anaeleza ilipofikia.
    #CloudsE
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 49

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 3 года назад +4

    Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 3 года назад +2

    Yesu anakupenda yohana3:16

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZ 3 года назад +3

    mwalimu ametisha...... sema hata kama ni mimi ningekuwa sina mausiano ningepita naye

  • @allworldstrendshere1378
    @allworldstrendshere1378 3 года назад +1

    PHOVY MEDIA Is following you!!!

  • @peterzebedayo
    @peterzebedayo 3 года назад +1

    Mwachie Mungu

  • @evaristirazalo7459
    @evaristirazalo7459 3 года назад

    Goodluck Ni MTU mzuli sana ninamkubali

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 2 года назад

    Goodluck una busara sana kama mfalme Sulemani

  • @notwelkisava954
    @notwelkisava954 3 года назад +2

    Hadi clouds mmeanza kuandika titles za uongo? Impossible..

  • @suleshsalim39
    @suleshsalim39 2 года назад

    Nyie wase.. muwe mnaandika kichwa cha habar cha kwel huo uupuuz

  • @robyjoachim9265
    @robyjoachim9265 2 года назад

    Nidia Kama hii cyo ya kuandika heading iyo

  • @rweyemamrespicious975
    @rweyemamrespicious975 3 года назад

    Clouds banah.

  • @yohanacharles2042
    @yohanacharles2042 2 года назад

    Mungu yup atakupa mme bor vumilia

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +1

    Hii Chanel kumbe nayo utopolo

  • @issufo.aliante.9943
    @issufo.aliante.9943 3 года назад +1

    Dunia ina mengi

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад +3

    Ogopa Sana mwanamke ambaye anapesa na hasuki ni balaaaa

  • @devierichard7593
    @devierichard7593 3 года назад +1

    kawaida2 lkn..ukwel wa mtu upo moyon kwa mtu,,vngne mbwe mbwe2

  • @gracegrace1685
    @gracegrace1685 3 года назад +8

    I can't hear anything English please

    • @allworldstrendshere1378
      @allworldstrendshere1378 3 года назад

      Text me on whatsapp +255744561980 so that I can teach you swahili

    • @barakakimario8960
      @barakakimario8960 3 года назад

      You cant hear or you cant understand swahilii

    • @gracegrace1685
      @gracegrace1685 3 года назад

      @@barakakimario8960 you right can't understand Swahili

  • @sadielgwaje6281
    @sadielgwaje6281 3 года назад

    Hata mm huyo godruck alishawah niomba namba ya cm lakn sikumfuatilia lakn huyo godruck siamn maneno yake mtandaoni kachangamka sana hasa fb

  • @maryammarham2862
    @maryammarham2862 3 года назад

    Aho

  • @abasihassani9301
    @abasihassani9301 3 года назад

    Mmm

  • @idinado4524
    @idinado4524 2 года назад

    Nisinge mwacha ningemwambia Nina mausiano Ila ningempa atakacho kama kuagana ili asiondoke na kinjongo

  • @malecom
    @malecom 3 года назад +4

    *Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba*
    mbona title haiendani na maelezo na ninyi ni media kubwa sana.... mnapoteza credibility acheni izo mambo

    • @azardboniphace2205
      @azardboniphace2205 3 года назад

      Nimeshangaa Sana kuona et amewekwa mahabusu, kumbe ni ujinga wao Tu wapige views

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 года назад +3

    Lakini kumbuka mlikuwa mkiwasiliana kwa voice call na Whatsapp image.na km kweli na wewe unamjua au kumsikia wa mtandaoni msimchukulie hatua? Mpz hisia

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 года назад +2

    😂😂😂mambo mengine ni aibu tu

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265 3 года назад +2

    Kwa kipindi hiki hakuna mwalimu wa kuchezea pesa ya nauli hivyo haaahaaaa

  • @jamesmkude2882
    @jamesmkude2882 3 года назад +1

    Sasa apo sababu za kumuweka maabusu ni zipi mbona mnawafanya watu ahache kuwafatilia

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 3 года назад

    Mwalimu apelekwa kwa mwana saikolojia

  • @yohanacharles2042
    @yohanacharles2042 2 года назад

    Pol San kak

  • @glorykarim1570
    @glorykarim1570 3 года назад +2

    Goodluck muongo kala hela ya uyu dada na video call zote umeongea nae na sura ni haiki ww au utasema umeeditiwa jaman muogope mungu call za WhatsApp ni sura yakoo na namba ni yakoo unatutania ww nakwambia ungemfanyia ivo dada ungeona mpk urudishe hela zetu

  • @dinosTz
    @dinosTz 3 года назад

    media kubwa inaandika utoporo

  • @raymondramson7118
    @raymondramson7118 3 года назад +7

    Ivi nyinyi mnaakili kweli? Au mnatuchukuli sisi mazuzu...kwajinsi mlivyo hamuendani kabisa na huo upuuzi sasa mlishindwa nini kuandika caption inayoendana na hiyo content yenu?

  • @edgarmganyizi7752
    @edgarmganyizi7752 3 года назад

    Clouds nyie ni big brand hamhitaji kupotosha title ili mpate views nyingi nyie mmeshakuwa wakubwa na mnaaminika watu wata view tu ila msidanganye

  • @papafikiri
    @papafikiri 3 года назад

    I do not understand Swahilu at all wanasemaje kwani

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 3 года назад

    Unsubscribed

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 3 года назад +2

    Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.