Come on.....!! Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, nakumbuka 2007 uliniahidi kuwa siku moja utaimba gospel music na sasa kweli unaimba powerful gospel songs, be blessed endeleza kutoa mawe ya kutosha kumtukuza Yesu
Nyimbo Iko na mambo mengi ya kujifunza unatakiwa kumsikiliza na kutafakali namna ulimwengu na Dunia inavyoendelea maswala ya ushoga yapo kwenye ardhi hiii hiii watu hawajar tenah Wala hawana hofu juu ya uchafu wanaoufanya
Nimefurahi kuona Linex umeaxhana na Bongo fleva hazina utukufu kwa Muumba, mwimbie Muumba wako Brother Atakukumbuka baada ya haya maisha......Mungu Atukuzwe
Come on.....!! Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, nakumbuka 2007 uliniahidi kuwa siku moja utaimba gospel music na sasa kweli unaimba powerful gospel songs, be blessed endeleza kutoa mawe ya kutosha kumtukuza Yesu
I love your music bro. Kazi safi sana ❤❤❤. Mungu apende tufanye kazi pamoja siku moja.
Wewe ni zaidi ya huyo linex leo nakufatilia na muona uncle wangu wa msalabani anavyo furahia kuona unavyo mtukuza muumba wetu barikiwa sana
Sunday Umenibariki sana Mwanzo wa Mwaka 🇺🇸🇺🇸
One of my favourite artist natamani siku moja ngoma na wewe nakukubali sans from hom kasulu
Sasa unatakiwa kuokoka kabisa na kuanza kumtangaza Bwana Yesu hapo Mungu atakufungulia vingi vilivyo fungwa kwenye maisha yako ubarikiwe
LINEX SUNDAY MJEDA my man is doing it again 💥zidi kuzidi mkuu. Wimbo huu huduma nzima ndani yake
The big song,,hii ngoma ni safsanaa,, classic you should hear this like 5 times per day itakua safiiii ,🔥💥THE VOA 🎉🎉🎉
Umeifanya kua kubwa zaidi na zaidi much love from LUSHOTO TANGA aimen
Vzr san kjn wetu kgm nyumban 😅🎉
boya. Tz
So gud so nice be blessed my brother.
I'm happy for u
Aridhi ya dhambi eeeeeh MUNGU tuhurumie 😢😢😢
Ni kweli MUNGU atuhurumie
Ahsante Mungu kwa ajili ya kipaji hichi ulichokileta kutuletea ujumbe wako kwa njia ya uimbaji hallelluyah
Daa noma sana nyimbo nzuri sana tupe albam ya nyimbo ya aina hizi pachimbike kaka
Amen brother linex it's me your young brother Meshack na support sana mziki wako
Heri mwisho kuliko mwaza endelea hivyo hivyo uwe na mwisho mzuri 🙏
Linex; nakusii u Come kwenye Gospel music, please 👏, unakipaji kikubwa zaidi!!!
❤Ngoma safi, much love from Nairobi Kenya 254
Oo oh nyimbo nzuli much love from Rwanda🇷🇼❤
Hongera sana karibu uitangaze injili ya Yesu aliye hai ili watu waokoke kupitia huduma yako.
Heri mwisho kuliko mwaza endelea hivyo hivyo uwe na mwisho mzuri 🙏
Nyimbo Iko na mambo mengi ya kujifunza unatakiwa kumsikiliza na kutafakali namna ulimwengu na Dunia inavyoendelea maswala ya ushoga yapo kwenye ardhi hiii hiii watu hawajar tenah Wala hawana hofu juu ya uchafu wanaoufanya
Linex tuna subiri ngoma yako ya Gospel kaka Mungu akupe kibali mbele ya watu na mbele yake pia maana yeye ndio anajua kipawa chako Kaka
Hakika MUNGU akutumie vyema we are together
Wow wow the voice ,the words so powerful god bless you and may he inspire you for more songs like this🎉❤
We @Linex Dr Ruby ulimpeleka wap
Nyimbo nzur sana mungu akuzidishie maisha mema
Upo sehem sahihi koma kaka niko marumba nakusikiliza
Wimbo mzuri sana huu"
Naskia guz bumz.....ngoma kali sauti poa
Kaka ubaki huku usiimbe Tena secular songs
Kenya 254 Tushatia sahihi... Tumeweka tick
Ngoma kaliiii
❤❤ where is diamond platinum
❤❤ where is diamond platinum
Thanks my brother uligikoko lud Tena kaka muziki Bado unakuitaji cana Kwan nafas yako Bado IPO tumekumis sana kaka daaah Yan bonge la ngoma❤❤❤❤
Linex Sunday mjeda nakukubali sanaaa kaka
use your voice to praise your Lord
Unafa kuimba nyimbo za kumtukuza muumba
Sande mjeda jejejeeidaah.......🤛🏻
Nyimbo nzuli sana
Ulakoze chane mwenewachu ndakwemela chane
Ulakozeulakoze
Rafiki karibu kwenye ulimwengu wa Gospel
Ukifanya unafanya Kwa jina lako❤
Wewe nimuimbaji aye juwa🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu akubaliki maana nyimboyako imeniinua kiimani
Safi kaka naomba colabo
MUNGU akubariki sana
Big up Bro,Ardhi ya Dhambi🙌
Love from Kenya
Astagfirulla
Wajina saf blooooo
V O A .. linex sande mjeda....🙌🙌🙌🙌🙌🙌
SAUTI YA MAMLAKA
VOA
Safi sana🌹🌹🌹
Ongera saana
Church boi
My favorite singer 🙏🙏🙏📖📖unajuha sana my brother
Good song
Kaka asante🎉 my artist
Good
Sasa uyu ndo LINEX nnaemfahamu Mimi , àsante kwa ardhi ya dhambi🙏🙏 na ubarikiwe
Ameen
Ameen
Wow❤❤🙏🙏
❤❤❤ ámen 💯🙏🙏🙏🙏
🎉🎉🎉🎉❤
🙏🥃🙏
❤❤❤❤❤❤
👏👏👏
🙏🙏
My favourite musician
🙏🙏
Nimefurahi kuona Linex umeaxhana na Bongo fleva hazina utukufu kwa Muumba, mwimbie Muumba wako Brother Atakukumbuka baada ya haya maisha......Mungu Atukuzwe
Sawq mzeee ila daaah siamini kama umepotea
Voice of Africa (VOA)
Ulamenyaa chanee imana ikufashee usoholee huhae ugendaa tuu pamoja sanaa
Bruh ye made it
Kazi Nzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kaka nakubali unapo imba gospel kazana n'a gospel nakufata toka Congo
MUNGU akubariki sana kaka kazi nzuri sana
Nakukubali Sana kaka natamani siku nikuone
Imana igukomeze umuziki ukurimwo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Karibu sana kwenye gospel
Big up xan mwenewachu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jejejeidaaaa v.o.a
Well done kaka Mungu akuinue zaidi
Mjeda 🎉🎉🎉
From🇦🇪 shabiki yk kinomanoma
Sunday mjeda God Bless u my Brother 🎉
Gospel your good I liket
❤❤❤❤
Mwaka umefunguliwa sasa ni
🎉🎉🎉
The voa hatari sana nakukubari
Mjeda unajua sana my home boys❤
Linex back again 😂😂
Uokokee tuu kakaa
Linex , Linex , Linex 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥