ni hv tu baba alikua superstar kuliko mwanae. hyo haikuwa sawa kimentalii. na chengine pia nisher ni kweli alikua mbele ya mdaa ila tatizo lilikua sapoti ni ndogo ya wasanii na media mapinduzi ya red camera zilipoanza iyo ilimfanya ajione kategwa na industry. all in all Rip young blood nisher
Uktoa baba ake kua nabii bado mungu atabak kua mung tu hata kama maomb yake,yako, mm hayakujibiwa kama tulivokua tunataka, baba kua nabii aizui mungu kutenda kaz ake
Hapo ndo utaelewa kuwa kifo ni haki kutoka kwa muumba.Hakuna atakayenusurika na kifo. Nii hi njia ambayo kila mmoja atapitia tu. Ni suala la muda bwana ametwaa
Ndungu zangu wa Tanzania Tujaribu kutumia vizuri hii mitandao natupunguze ukari wa maneno sisi wa Tanzania jaman hatuja ubwa hv watanzabia tunasifika kwa ukarim na upendo hivi tumefikia handi kubishana na mungu kuchukua haki yake juzi Mme msema vibaya baba yetu mpendwa mpango mpaka mkawasha mishumaa ukasema mnavo jua lakin juzi mmeumbuka na baba wa watu alivo barikiwa kuanamoyo wa kuhimili uchafu wa midomo yetu wa Tanzania wasio na hekima aliwaombea2 kwa mungu awasamehe na mm naungana na makam wangu mungu awajalie mwisho mwema
Usilaumu wananchi, kabla hujahukumu lazima ufikiri kwanza, watanzania yule ni kiongoziwao wanahaki yakuuliza kisha wajibiwe, kumbuka na kwa magufuri walidanganywa hivohivo kumbe mzee alituacha haya sasa je wajifunze nini sasa.
Naomba wote mnao msema vibaya huyu baba mtubu na kuomba msamaha msipo fanya hivyo nanyie mtapatwa na misiba Hadi mshangae mtafiwa au mtakufanyie wenyewe ili iwefundisho m mekosa chaku sema kwani ni la zima mseme na tamani ni ngekua karibu nanyie ni wakate hizo dimi zenu
@@Mkinga_og bro pambana na hali yako akiri yako ukiijaza ushirikina basi Kila kifo utasema umelogwa mara kafara ashindwe kumtoa since akiwa mdogo aje amtoe now hayo nimapenzi ya MUNGU nothing else bro,,,,shame on u😏
Wakati wa mwisho kutakuwako...na manabii wengi wa uongo na kweli, na wapo kuwapoteza hata Walio wateule....watafanya ishara, miujiza, na maajabu ya kufanana kabisa na yake ya kimbingunii......IWENI NA AKILI🤏
Uombee sana watoto wako unafikiri ni kazi rahisi.Au unaweza kutumia nguvu mtoto wako awe utakavyo wewe.Ni neema ya MUNGU tu ndio inaweza kufanya hivyo.Kwahiyo mtoto wako akiwa ana njia zake anabadilika kuwa mtoto wako.
Masikin wana hasila sana namatajili maskin akifiwa akaposti mtandaon watu wanasema Pole sana R.i.p ila tajili akifiwa akaposti mtandaon utaona hasila za maskin utasikia sadaka hyo katoa freemason hyo yote nihasila za umaskin
Sipendi hii hali sasa hivi wa pili ndiyo anakuwa wa kwanza anaenda kubeba majukumu mazito sana yaliyokuwa yanafanywa na kaka wa miaka 34 alikuwa mkubwa huy😢😢😢
Mungu akupe nguvu kipindi hiki Cha msiba wa mwanao nabii mkuu nakupenda nakupenda na nakupenda sana, wanaokuongelea vibaya wacha wajipe shughuli hawana yankufanya na ukiwachunguza wachovu ndio Wana maneno mengi yasiyo na maana Wala faida, mungu atawalipeni kwa midomo na maneno yenu machafu sisi tunasonga mbele. Viumbe km nyie hamkosekanagi jmn
Unajua kichaa anachekesha akiwa kwa jirani.R.l.P Nisher 😭😭 Poleni wafiwa 🙏
Wengine wanamcheka kichaa aliyepo ndani ya familia yao
Pole sana Nabii mkuu Geordavie Mungu akutie nguvu katika wakati huu mgumu.
Mungu ndiye ajuaye siri zote.
Kwann watu mnakuwa wepesi wakutoa hukumu hv jmn 😢hamjui kuwa kifo ni lazima kwa kila binaadam
Pole sana Nabii mtumishi wa Mungu Bwana Yesu awafariji na awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
we nawe huna akili hivi unajua huyu mzee ni shetani
Anajua mwenyewe aliyeketi mahali pa juu palipoinuka kuliko vyote,🙏
Pole sana baba ni gumu kulipokea lkn tumeumbiwa 😢
Pole nabii kwa mtihani wa msiba, mungu atakuvusha tu
😢😢😢 mungu akuzidishie maarifa dady
ni hv tu baba alikua superstar kuliko mwanae. hyo haikuwa sawa kimentalii. na chengine pia nisher ni kweli alikua mbele ya mdaa ila tatizo lilikua sapoti ni ndogo ya wasanii na media mapinduzi ya red camera zilipoanza iyo ilimfanya ajione kategwa na industry. all in all Rip young blood nisher
Pole sana Mtumishi Mungu ashughulike na hixo mbwa xinaxomshambulia Mtumishi kwa kashfa.
Poleni sana mungu ampumzishe kwa amani
Ukila vya watu na vyako IPO sku vitaliwa..,
😂😂😂
Pole mzee jodave kwakipindi kigumu mungu atakulinda
Pole Baba Mungu akupe nguvu kiukweli inauma
Tayari, unaanza kuvuna ulichokipanda. Hongera sana Nabii uchwara
Hahahaha 🤣🤣🤣 umeona eeh mbona hajamfufua 😂😂😂
Uktoa baba ake kua nabii bado mungu atabak kua mung tu hata kama maomb yake,yako, mm hayakujibiwa kama tulivokua tunataka, baba kua nabii aizui mungu kutenda kaz ake
Pole sana Nabii 😭😭😭
Pole sana mungu awatie nguvu
Pole sana kwa msiba mr davie
Pole mtumishi kwa msiba wa kijana wako jina la bwana lihimidiwe
Mda wao huu wanazik watoto tu
Pole sana mungu akutie nguv u,mshukuru mungu kwakila jambo
Pole sana Daddy
Pole sana baba Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwana
Camillah
R.I.PNisher 😭
Mtumishi wa mungu watoto wakiume wanavaa heren na yeye kama baba anasapot kama sio ushetani ni kitu gani
Someni Kitabu Cha Mathayo Ile Sura ya 16: Mstari wa 26-27
Mtakuja kunishukuru❤
@@abbassaid9305Sasa yeye afanyaje
Pole Xan Nabii Kwa Kufiwa Na Kjn Wako Kwa Kweli Mungu Akupe Nguvu Na Ujasiri Katika Kipind Hiki Kigumu Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole bb mungu amlazembinguni
pole kwa msiba Davie.
Pole sana PLOFET kwa kuondokewa na kijana wako
Pole mtumishi wa MUNGU
Pole sana baba yangu
Pole kwa wafiwa Ndugu jamaa na marafiki
Mungu awasamehe wote wanaoongea ujinga kuhusu huyu mtumishi wa Mungu. Mungu awabariki sana
Mwisho wa mwaka kweli duh
We una uhakika gani kuwa yanayoongelewa siyo ya kweli?
Nabii kashindwa kutabiri kifo cha mwanae
Mtumishi wa mungu wako
Mtumishi wa Mungu ama tapeli ana waibia waumini
Pole sana nabii mkuu
Kashamtoa kafara mtoto wake baba lenyewe shetani eti nabii mashetani wachaafu na matapeli
😂😂😂😂 jameniiiiiiii
Pole sana kea mitihani
mungu mtie nguvu nabii mkuu katika kipindi kigumu hiki
Majambazi tu
Hakuna mkuu ila MUNGU
Pole San baba yetu .
Kufa kawaida wote tutaondoka tuache Iman potofu.
Huyu nabii muongo sana sema watu hawalijuity yupo firimasoni ndomna katoa kafara
Huyu ndo mtumishi wa Mungu daa ama kweli dunia Mungu tuulumie sana
Siku yakikukuta utafunga huo mdomo
@@glorymassawe5659 lbda ukutane namizimu yako sio mimi
Tuma nauchawi wenu waki frmasoni haunifiki
Eti kufunga mdomo wako ndo utafunga munadanganya watu kuwatapeli eti munawaombea uongo mtupu
Acha Mungu afanye kazi yake, mapenzi yake
Daaaa pole sana
Poleni Sana familia
Daaah,,,, kafaje yaani???????? Poleni sana jmn!!! Inauma sana!!
Na huo ndo mwanzo na bado tutaona mengi
Hapo ndo utaelewa kuwa kifo ni haki kutoka kwa muumba.Hakuna atakayenusurika na kifo. Nii hi njia ambayo kila mmoja atapitia tu. Ni suala la muda bwana ametwaa
Mungu akutie nguvu baba pole sanaa na wanaohukumu wajue wao sio Mungu waache Mungu ahukumu
Wangapi walikua hawaamini karumba hakua frmasoni leohii ndowana amini
Alikuwa andisamu jamani khaa❤❤❤😭😭😭😭😭😭
Bro mbn hii interview ya mda sana af mbn Kam umeandk kuwa kamhoji baada ya msiba
Poleni sana familia
Baba hasa familia yangu inakupa pole sana
Innalilah wainnalilah rajiuun! Pole sana Nabii Dev!
Nabii wa mchongo uyoo acheni kufuru
subhanallah hivi wewe ni mwislam gani kwa kutoa pole kwa hili jiti jofavi laana za mwenyezi mungu ziwe juu yake
Ww cio muislam acha kuposti mavitu yanayotia hila uislam ww
😢😢 pole sana
Pole sana babaangu kipenzi
Pole baba yangu MUNGU wa mbigu na nchi akutie nguvu
Hkn ch fremasoni kifo ni kifo hakuna mahali pameandikwa watumishi au watoto wao hawatakufa poleni sanna wafiwa
Ndungu zangu wa Tanzania Tujaribu kutumia vizuri hii mitandao natupunguze ukari wa maneno sisi wa Tanzania jaman hatuja ubwa hv watanzabia tunasifika kwa ukarim na upendo hivi tumefikia handi kubishana na mungu kuchukua haki yake juzi Mme msema vibaya baba yetu mpendwa mpango mpaka mkawasha mishumaa ukasema mnavo jua lakin juzi mmeumbuka na baba wa watu alivo barikiwa kuanamoyo wa kuhimili uchafu wa midomo yetu wa Tanzania wasio na hekima aliwaombea2 kwa mungu awasamehe na mm naungana na makam wangu mungu awajalie mwisho mwema
Kafara iyo
Usilaumu wananchi, kabla hujahukumu lazima ufikiri kwanza, watanzania yule ni kiongoziwao wanahaki yakuuliza kisha wajibiwe, kumbuka na kwa magufuri walidanganywa hivohivo kumbe mzee alituacha haya sasa je wajifunze nini sasa.
Naomba wote mnao msema vibaya huyu baba mtubu na kuomba msamaha msipo fanya hivyo nanyie mtapatwa na misiba Hadi mshangae mtafiwa au mtakufanyie wenyewe ili iwefundisho m mekosa chaku sema kwani ni la zima mseme na tamani ni ngekua karibu nanyie ni wakate hizo dimi zenu
Acha kutisha watu,,Wewe unayeona wamekosea waombee kwa Mungu,,na Mungu hayupo hivyo unavyofikiria ndugu
Hii interview haihusiani na msiba ni kabla ya mwanae kufariki
Yes
Mbivu na mbichi...zitajulikana.........MUNGU NA ATUKUZWE....mana njia zetu anazijua vema....ziwe za kweli au lah!!!
Pole nabii .rip broh nisher
Pole xn
Mpigie yesu simu Mzee 😂😂amrudishe
3:37
Acha kufuru fatma hzo kejel n mbaya sana plz omba msamaha
@@immajungu5190 sasa msamaha gani wakati baba yake anasema alionana na yesu wewe acha mungu hataniwi bana ama pia wewe ushaonana na yesu
Pole sana baba
Hivi mnaocoment kejeli hamjawahi poteza ndugu zenu
Gwaji yuko wapi?
mungu mwenyewe
Sinabii mbona hajarudisha roho yake kamakweli mponyaji
Hivi mnazani kuua mtoto wake nirahisi acheni ujinga na Imani potofu
Acha ukenge watu wanamuua mama mzazi sembuse mtoto, we unavohisi uyu mzee ni mtu mwenye imani gani, "yesu alinitokea live" we ulisikia wapi
@@Mkinga_og bro pambana na hali yako akiri yako ukiijaza ushirikina basi Kila kifo utasema umelogwa mara kafara ashindwe kumtoa since akiwa mdogo aje amtoe now hayo nimapenzi ya MUNGU nothing else bro,,,,shame on u😏
Ukikaa na maneno ya Mtandao utashindwa kufanya kazi huo ni uvivu wa fikira ukiona mtu kafanikiwa ooohh freemason . Kila mmoja atauonja umauti🙏🙏
@@marthamollel9859 point,,,,,Yani watu huwa hawafikilii
Aiseeee😢😢😢😢
Mshua wake anajua alichokifanya!
😂😂😂blv dat
Nlijua wataanza freemason upuuzi mtupu
Rahisi Sana kuwa unajuwa nini alifanya mpaka afike apo alipo
Wakati wa mwisho kutakuwako...na manabii wengi wa uongo na kweli, na wapo kuwapoteza hata Walio wateule....watafanya ishara, miujiza, na maajabu ya kufanana kabisa na yake ya kimbingunii......IWENI NA AKILI🤏
Ukiwa muislamu hufi/hufiwi, ndimi ndimi zichungeni
Rip kuzimuuuuuuuuu
Mtoto wa Nabii.... Ananda mziki wa Bongo fleva... Nabii wa mungu yupo tu anaangalia. Mungu mrehemu Nisher uko alipo. Revelation 14:13
Uombee sana watoto wako unafikiri ni kazi rahisi.Au unaweza kutumia nguvu mtoto wako awe utakavyo wewe.Ni neema ya MUNGU tu ndio inaweza kufanya hivyo.Kwahiyo mtoto wako akiwa ana njia zake anabadilika kuwa mtoto wako.
Tayar mambo yamekaa sawa kwa bwana mchungaji
Acha ujinga Kila mtu anafiwa wewe, umaskini usikufanye kupayuka
😂😂😂
Ujakosea wng
Mbona unaumizwa ktk hilo au ndo wale wale 😄😄😄 kenge ww
😂😂😂 kabisa
Tofauti Kati ya mtu na mtu ni ufahamu mungu ni mwema
Sadaka ndio zina tuogopesha umeona sas alivyo mpoteza mtoto
Dar siyo pow😭
R.I.P mengine tumwachie muumbaji😢
Hope Moyo mkuu
Mungu ndo ana juwa ukweli
Kamtoa mwanae kafala daah😢😢😢
Pole nabiii wangu nakupenda
Hatari
Msiba ni ule wa kule manyara. Huo ni msiba wakawaida sana
Wewe ni matako kabisa😢😢😢😢msiba ni msiba tu
Shame on you
@@summahthedon3511 kinge wewe
@@summahthedon3511Bado haijamtosha mpe lingine
Yaani wewe ningekupata Mikononi mwangu ningekufilimba mbwa wewe sura Kama chapati iliyo kauka kukamamake zako
Mungu Wa mbinguni,akufariji,,,binadamu WA na maneno meng😂
Masikin wana hasila sana namatajili maskin akifiwa akaposti mtandaon watu wanasema Pole sana R.i.p ila tajili akifiwa akaposti mtandaon utaona hasila za maskin utasikia sadaka hyo katoa freemason hyo yote nihasila za umaskin
Millard ayo anavyochonga nywele sasa 😂
Mwanae kafanana na USHER RAYMOND
Acha waseme ila mzee yuko ktk majonzi wao wanakashifu ila wote tutakufa
Sipendi hii hali sasa hivi wa pili ndiyo anakuwa wa kwanza anaenda kubeba majukumu mazito sana yaliyokuwa yanafanywa na kaka wa miaka 34 alikuwa mkubwa huy😢😢😢
ii dunia jamn 😥
Ritual??!
Kumbe nisher alikuwa mwanae😊
Huwa kabila gn huyu baba mashaallah mzuri na Pole kwa kufiwa
Ni mnyaturu from singida
Mzee katoa kafara ndio stetani alivyo ukimtumikia lazma utoe kafara natamani watu wajue huyu jamaa ni muabudu shetani kabisa yani
dah really?
Mungu akupe nguvu kipindi hiki Cha msiba wa mwanao nabii mkuu nakupenda nakupenda na nakupenda sana, wanaokuongelea vibaya wacha wajipe shughuli hawana yankufanya na ukiwachunguza wachovu ndio Wana maneno mengi yasiyo na maana Wala faida, mungu atawalipeni kwa midomo na maneno yenu machafu sisi tunasonga mbele. Viumbe km nyie hamkosekanagi jmn
Hee nabii anashindwa kuzuia mwanae asifariki lakini wengine anawaambia anawaombea wawe salama makubwa
Walikufa watoto wa ayubu na alikua mwema Sana mwachon pa bwana. Mitihan huja kwa njia mbali mbali
Mjinga huamini kila neno lakini mwerevu huangalia sana aendavyo
Kwani mganga wako hajafiwa?
@@mwigarleysaid5406 alaa kumbe uyu mganga wenu sio?
Haya sasa mrudishe sass awe hai tena wewe si nabii wacheni ujambazi na utapeli kula hela za maskini
Nabii Mashimo yuko wapi kwenye huu msiba ?