Director Nisher "Hanscana ni Chips mayai tu" / Anapiga picha
HTML-код
- Опубликовано: 9 июн 2021
- Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Развлечения
Nisher ni Director mzuri sana kazi zake nyingi zilikuwa kali labda tusubiri ujio wake kwa mara nyingine
Jamaa alikuwa na sifa sanaa na majivuno flan hv,,,,binafs ndo nimemfahamu now,,,Allah atupe mwisho mwema dunia sio yetu
kujikubali tu, nilikuwa namkubali sana
Kuongea hivyo sio sifa watu wengi hatufanikiwi kwa sababu hatujiamini na tunachokifanya jamaa anajiamini pia kujiamini hakuwazuii wengine kufanya zaidi
Huwez mfaham kila mtu bosss
Huyo Hanscan mwenyew kapitia kweny mikono ya Nisher
Kashatolewa kafara sasa na baba yake
Wenzake wana fanya COME BACK na kazi nzuri. Yeye anakuja 😂 na MIPASHO....!!!
Mwamba kweli kweli full confidence
uyu jamaa anayo akili saanaa😃
Migogoro mnailetaga waandishi wa habari, hata maswali mnayouliza ni ya kuwagombanisha watu. Nisher hakutaka kumtaja HANSCANA
Maskin. Mungu. Allaze roho yake mahal pem
Rip 🥹 legend
Alikuwa smart
Unajua wa tz hatuelewagi nini mtu anachoongea yeye anasema kilichopo msikilize kwa makini mtamuelewa
Bro kwani ww nimsenge ivo unasubutuje kumsema hanscana vibaya.. I'm frm Kenya but ma director wenye nawakubali ni kama hanscana... Nampa 💯%
inaonekan umesoma iyo title tu ila ujaskiliza iyo interview mpaka mwisho acha ujinga
Huyu ana dharau sana kila mtu anataka kuweka historia kwa sasa tuna Hanscana, kenny nk lkn yeye hayupo
Há há há haaaa Hascana kakuzidi mbali mno
Ila yeye ndio kamfundixha huyo Hanscan vitu vingi ila Scana alianzixha dharau kw Nisher
Jamaa miyeyusho saana🔥🔥😂😂🇰🇪
Nisha ana ongea ukweli shida ego bt ukwel mtu
RIp
Huyu nisher hana akili na anasifa nyingi,kiburi kingi ndo maana huonekani
Huo ndio ukweli
Nisha huna kt.. ebu iga kw kina laiza mr t touch hawajbambii wale na ndo no1
Sasa laizer na t touch hapa wanaingiaje?? Huyu alikua directer hao uliowataja wewe ni maproducers japo wote wapo niwamoja but Kila mtu na Engle yake hapo
Ila wamekuzidi sasa acha porojo
Baba yako amewacha historia ya kukutoa kafara usidharau maskini kwa pesa za upako
tatizo la maskin akiambiwa ukweli hataki kujifunza ni matusi na lawama
Kaka Nisher ni kama Mimi Tu huaga naongea ukweli mtupu atakayekasirika mpango wake
😆😆
anaonesha chuki ya hali ya juu sana kama wewe unaona hanscana na wenziwe hawajui kwa nn usitoke akachukua kamera zako na wewe urudi kwenye game udhihirishe kwamba hanscana na wenzie hawajui? Mtu mwenye busara anaona kabisa huyu jamaa nisher anakijiwivu flani hivi acha peng’eng’e onesha vitendo 😎😎😎😎😎 tuziamini hizo statementbzako acha hizo mambo
Amesha tolewa kafara na Baba yake
Heeee kumbe ni mdodo wa babiii!!!!Kaz ipo!!!
Sasa kama generation yako ilishapita unapanik nn