Apostle Onesmo Ndegi Kumpenda Mungu - Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 сен 2017
  • Kumpenda Mungu sehemu ya kwanza ni somo ambalo mtumishi wa Mungu Apostle Onesmo Ndegi alifundisha akiwa mjini Goma nchini DRC katika semina ya watumishi wa Mungu,Katika semina hiyo watumishi wa Mungu kutoka maeneo mbalimbali ya mji Goma walikuwa ni Wachungaji,Wainjilisti,Maaskofu,Mitume,Manabii na wengine katika kuwajenga kujua namna ya kumpenda Mungu wanapotumika katika huduma zao.

Комментарии • 15