NASWAHA YA MJUKUU WA ALBEIDH KWA WAZEE WA RADD NA WAISLAM WOOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 36

  • @AbuuOthman
    @AbuuOthman 18 дней назад +3

    Maashaa ALLAAH Mwl wetu

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 18 дней назад

    Masha Allah,Allah akubifadhi na akupe Kila la kheri na Elimu kama ya Sayyid Muhammad bin Shariff Said.Allah amrahamu.

  • @MudathirOmar-hh5ow
    @MudathirOmar-hh5ow 17 дней назад

    Maashaa Allah

  • @abdallahferouz9238
    @abdallahferouz9238 18 дней назад

    ماشاء الله وجزاك الله خيرا

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 15 дней назад

    الامر بالمعروف والنهي عن المنكر امر واجب

  • @RashidiMubiri-l3d
    @RashidiMubiri-l3d 18 дней назад +1

    Mashaallah ♥️♥️♥️

  • @IbraFareed
    @IbraFareed 18 дней назад +1

    MashaAllah ❤

  • @AshirafuAlly-r8o
    @AshirafuAlly-r8o 18 дней назад

    Jazaakallahu khayra

  • @aminashekuwe670
    @aminashekuwe670 18 дней назад

    Mashaallah Mmungu akuhifadhi

  • @sheeqassim6274
    @sheeqassim6274 18 дней назад

    Mashaallah

    • @ramiyawetutv
      @ramiyawetutv  18 дней назад

      Tabarakallah shukraaaan Mwalimu

  • @RAMZANJumma-hr3ff
    @RAMZANJumma-hr3ff 18 дней назад +2

    Quran Ina somwa miezi yote ila wa ramadhan ni husomwa Zaid na Ina swawabu nyingi acha tufurahike na mtume wetu ....

    • @bagalucha
      @bagalucha 17 дней назад

      @@RAMZANJumma-hr3ff Hakuna wakati maalumu wa kumpenda mtume,kumpenda mtume ni wakati wote kwa muislamu,Najaribu sana kufahamu kwa dalili za usahihi yanayosisitizwa,kupitia Quran na Sunna,ya kwamba kumpenda mtume ni lazima usome maulidi ya Barzanji au mengine,Jee yapo maulidi ya Sayyidna Abubakar,Othman na masahaba aliokuwa nao bega kwa bega kwa mtume Muhammad Sallallahu alayh wasalam,iweje maulidi ya miaka Mia moja ya Barzanji yawe ndio msisitizo wa ibada ya kumpenda mtume???,na asiyekubaliana na hilo awe adui ya kwamba hampendi mtume,tujiulize hao wengine wote waliopita ambao hawakusoma maulidi wakiwemo masahaba na maimamu wakubwa,wote hao Hawakumpenda mtume??,nakusudia hayo yanayosisitizwa haswa mahabati Rasuli??,je kuna ukweli wa hili??.kwa maana hiyo wao walifanya makosa,hawa wasiokubaliana na maulidi sasa,mmewapa jina la mawahabi,jee hao waliopita mnawapa jina gani??.

  • @AboudAli-y6p
    @AboudAli-y6p 17 дней назад

    Kasome

  • @RayRey-ji1em
    @RayRey-ji1em 18 дней назад +2

    Hahahahaha unnimaliza Hoja yake kubwa nikupija kelele😂😂😂

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 18 дней назад

    MASHAALLAH

    • @ramiyawetutv
      @ramiyawetutv  18 дней назад

      Tabarakallah

    • @bagalucha
      @bagalucha 18 дней назад

      @@ramiyawetutv Hakuna wakati maalumu wa kumpenda mtume,kumpenda mtume ni wakati wote kwa muislamu,Najaribu sana kufahamu kwa dalili za usahihi yanayosisitizwa,kupitia Quran na Sunna,ya kwamba kumpenda mtume ni lazima usome maulidi ya Barzanji au mengine,Jee yapo maulidi ya Sayyidna Abubakar,Othman na masahaba aliokuwa nao bega kwa bega kwa mtume Muhammad Sallallahu alayh wasalam,iweje maulidi ya miaka Mia moja ya Barzanji yawe ndio msisitizo wa ibada ya kumpenda mtume???,na asiyekubaliana na hilo awe adui ya kwamba hampendi mtume,tujiulize hao wengine wote waliopita ambao hawakusoma maulidi wakiwemo masahaba na maimamu wakubwa,wote hao Hawakumpenda mtume??,nakusudia hayo yanayosisitizwa haswa mahabati Rasuli??,je kuna ukweli wa hili??.kwa maana hiyo wao walifanya makosa,hawa wasiokubaliana na maulidi sasa,mmewapa jina la mawahabi,jee hao waliopita mnawapa jina gani??.

    • @bagalucha
      @bagalucha 17 дней назад

      @@ramiyawetutv Hakuna wakati maalumu wa kumpenda mtume,kumpenda mtume ni wakati wote kwa muislamu,Najaribu sana kufahamu kwa dalili za usahihi yanayosisitizwa,kupitia Quran na Sunna,ya kwamba kumpenda mtume ni lazima usome maulidi ya Barzanji au mengine,Jee yapo maulidi ya Sayyidna Abubakar,Othman na masahaba aliokuwa nao bega kwa bega kwa mtume Muhammad Sallallahu alayh wasalam,iweje maulidi ya miaka Mia moja ya Barzanji yawe ndio msisitizo wa ibada ya kumpenda mtume???,na asiyekubaliana na hilo awe adui ya kwamba hampendi mtume,tujiulize hao wengine wote waliopita ambao hawakusoma maulidi wakiwemo masahaba na maimamu wakubwa,wote hao Hawakumpenda mtume??,nakusudia hayo yanayosisitizwa haswa mahabati Rasuli??,je kuna ukweli wa hili??.kwa maana hiyo wao walifanya makosa,hawa wasiokubaliana na maulidi sasa,mmewapa jina la mawahabi,jee hao waliopita mnawapa jina gani??.

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 16 дней назад

    mbna mukiitwa Makhurafi unakataa au kuitwa watu wa bida3a?

    • @darajanida
      @darajanida 9 дней назад

      nanyinyi mbona mukiotwa mawahabi au mujassima mishabbiha munakataa

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 18 дней назад

    Kwa nini mawahabi hata ikiwadhihirikia haqi hawaitaki huishia kupinga tu na kutukana

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 16 дней назад

    naona unaporoja tu huna hoja

  • @AbuuKhamiisah-x5x
    @AbuuKhamiisah-x5x 18 дней назад +1

    Hawa makhurafi si watu wa kiwajibu ni sawa na kumwambia kipofu akuelekeze njia tyr haoni kisha wampa kazi!
    Hvy bado hawaijui Sunnah wakiijua Sunnah sasa twaweza kukaa na wao

  • @bagalucha
    @bagalucha 18 дней назад +2

    Hakuna wakati maalumu wa kumpenda mtume,kumpenda mtume ni wakati wote kwa muislamu,Najaribu sana kufahamu kwa dalili za usahihi yanayosisitizwa,kupitia Quran na Sunna,ya kwamba kumpenda mtume ni lazima usome maulidi ya Barzanji au mengine,Jee yapo maulidi ya Sayyidna Abubakar,Othman na masahaba aliokuwa nao bega kwa bega kwa mtume Muhammad Sallallahu alayh wasalam,iweje maulidi ya miaka Mia moja ya Barzanji yawe ndio msisitizo wa ibada ya kumpenda mtume???,na asiyekubaliana na hilo awe adui ya kwamba hampendi mtume,tujiulize hao wengine wote waliopita ambao hawakusoma maulidi wakiwemo masahaba na maimamu wakubwa,wote hao Hawakumpenda mtume??,nakusudia hayo yanayosisitizwa haswa mahabati Rasuli??,je kuna ukweli wa hili??.kwa maana hiyo wao walifanya makosa,hawa wasiokubaliana na maulidi sasa,mmewapa jina la mawahabi,jee hao waliopita mnawapa jina gani??.

    • @AbdalaAyubu-j5f
      @AbdalaAyubu-j5f 18 дней назад

      Kama unaniya ya kutaka juwa soma sana mambo ni madogo sana, hoja yako Bado IPO juu ya kile unachokiamini, msomi ni yule anaekuwa tayariiiii kusikiliza asiekubaliana nacho Ili ajifunze zaidi

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 18 дней назад

      SIO SISI TUJIULIZE, WEWE NDIO JIULIZE, JEE SIRA YA MTUME SAW (HISTORY NA MAZAZI YA MTUME SAW) HUYO SHEIKH JAFAR ALIOYAANDIKA KWENYE KITABU CHAKE NA VITABU VYENGINE VILIVYOANDIKWA JEE ALIANDIKA SAYYID NA ABUBAKAR RA?!!!. AU IMAM JAAFAR ALIANDIKA ALIPEWA WAHYI HAKUTOA KWENYE VITABU VILIVYOPITA?! LAKINI PIA IKIWA TWAMFATA MTUME SAW KWA UFAHAMU WAKO BASI MTUME SAW HAKUACHA KITABU CHOCHOTE KILA, UNAONAJE UWACHE KUSOMA KWASABABU HIVYO VITABU SIO VYA MTUME SAW?

    • @RAMZANJumma-hr3ff
      @RAMZANJumma-hr3ff 18 дней назад

      Hao Akina Abu bakar walikuwa Wana msifu kwa kumwambia macho kwa macho kwakuwa walikua naye sisi tutamsifu tukiwa pamoja

    • @bagalucha
      @bagalucha 18 дней назад

      @ Kwa hiyo yupi katika sisi ajifunze zaidi,mimi au wewe,mimi kwa upande wangu sijayaona maulidi kuamrishwa iwe ibada kutoka kwa Allah na mtume wake,nielimishe kwa uelewa wako

    • @abuujibriltv5233
      @abuujibriltv5233 18 дней назад

      Hakuna katika watu wa maulidi anaye sema kusoma maulidi ni lazima