#live
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Wow nilisikiliza ushuhuda wake kitambo na nikapenda ushuhuda wake halafu Katekela alisema hapo nyuma kuwa Omary alikuwa mwalimu wake so ukiunganisha hawa wawili utaelewa vizuri ulimwengu wa roho
Kweli kabisa
Balikiwa sana mtumishi wa Bwana waongo walisema umeanguka
Barikiwa sana mtumishi
Jacktan Mtumish sauti ipo chini sana
Amina promover tv tupo pamoja Mungu awatie nguvu promover tv yaani sapota kampani ameni
Nimefurahi sana kuona huyu mtumishi, usikimye kabsa zidi kutusaidia na ubarikiwe sana sheikh Omary😊
Huyu jamaa yupo ase YESUKRISTO amtunze sana kitambo nilimskizaga ushuhuda wake
Huyu shehe Omali na Amiel Katekela wako sawa.natamani nionane nao sijui nafanyaje msaada tafadhali,hawA watu Wana mambo makubwa n'a muhimu kwA wanamaombi na wAlokole,sema tu watu hawajajua shetani bado ametufunga,
🇲🇿🇲🇿🇲🇿 napenda ushuhuda part B kuhusu pesa za zamani .... aelezee vizuri sababu ata uku jimbo mzima tuliangaika kutafuta pesa ya zamani..... elezea shehe kidogo
Even me waiting na kwa IRON pia ya kitambo juu huko nimeskia kitu kama hicho
Yes
Nandala and Poa should step down
Ninawapenda bure wana Promover. Barikiweni sana. Sheikh Omar Barikiwa sana ❤
Ubarkiwe mtumish hakika salama nikwa Yesu
Sheikh Omary ni kweli anaye okoa ni Yesu tu.
Nimebarikiwa
Ejibu kwa hekima sana,si wewe ila ni Roho wa Mungu
Amen 🙏🙏🙏🙏
Ameeee nilipenda sana ushuhuda wako
Arikiwa sana,tunajifunza sana kugundua mbinu za uovu kwa mafundisho haya mazuri
Amen
Amina
Thank God nimeiskiza
Ameeen
Amen usuhuda mzuri nashukuru bwana kusikiya
Jina la BWANA lipewe sifa
❤Bwana Yesu asifiwe..
Sauti hakuna ama ni simu yangu
Hata mm nasikia kwa mbali sana nilijua sm yangu
Simu zenu mbovu
Mtumishi ongea kuhusu manabii
Huyu jamaa ni muongo international
Amen