#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 35

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 Год назад +8

    Wow nilisikiliza ushuhuda wake kitambo na nikapenda ushuhuda wake halafu Katekela alisema hapo nyuma kuwa Omary alikuwa mwalimu wake so ukiunganisha hawa wawili utaelewa vizuri ulimwengu wa roho

  • @user-xx6pz6ry8y
    @user-xx6pz6ry8y Год назад +1

    Balikiwa sana mtumishi wa Bwana waongo walisema umeanguka

  • @giffttymlemwa4523
    @giffttymlemwa4523 4 месяца назад +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +2

    Jacktan Mtumish sauti ipo chini sana

  • @user-uq4wg1hm3t
    @user-uq4wg1hm3t Год назад +1

    Amina promover tv tupo pamoja Mungu awatie nguvu promover tv yaani sapota kampani ameni

  • @daphine8229
    @daphine8229 Год назад +1

    Nimefurahi sana kuona huyu mtumishi, usikimye kabsa zidi kutusaidia na ubarikiwe sana sheikh Omary😊

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Год назад +2

    Huyu jamaa yupo ase YESUKRISTO amtunze sana kitambo nilimskizaga ushuhuda wake

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад +2

    Huyu shehe Omali na Amiel Katekela wako sawa.natamani nionane nao sijui nafanyaje msaada tafadhali,hawA watu Wana mambo makubwa n'a muhimu kwA wanamaombi na wAlokole,sema tu watu hawajajua shetani bado ametufunga,

  • @armindodamiao3201
    @armindodamiao3201 Год назад +2

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿 napenda ushuhuda part B kuhusu pesa za zamani .... aelezee vizuri sababu ata uku jimbo mzima tuliangaika kutafuta pesa ya zamani..... elezea shehe kidogo

  • @richardbwire4747
    @richardbwire4747 Год назад +1

    Nandala and Poa should step down

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Год назад +1

    Ninawapenda bure wana Promover. Barikiweni sana. Sheikh Omar Barikiwa sana ❤

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +1

    Ubarkiwe mtumish hakika salama nikwa Yesu

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Год назад +1

    Sheikh Omary ni kweli anaye okoa ni Yesu tu.

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 Год назад +2

    Nimebarikiwa

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 Год назад +1

    Ejibu kwa hekima sana,si wewe ila ni Roho wa Mungu

  • @MichaelKangeta-lt2gh
    @MichaelKangeta-lt2gh Год назад +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @RebekaZakaria
    @RebekaZakaria Год назад +1

    Ameeee nilipenda sana ushuhuda wako

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 Год назад +1

    Arikiwa sana,tunajifunza sana kugundua mbinu za uovu kwa mafundisho haya mazuri

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 Год назад +2

    Amen

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 Год назад +1

    Amina

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 Год назад +1

    Thank God nimeiskiza

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Год назад +1

    Ameeen

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +1

    Amen usuhuda mzuri nashukuru bwana kusikiya

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад +1

    Jina la BWANA lipewe sifa

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 Год назад +1

    ❤Bwana Yesu asifiwe..

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 Год назад +2

    Sauti hakuna ama ni simu yangu

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Год назад +1

    Mtumishi ongea kuhusu manabii

  • @badruseif1318
    @badruseif1318 Год назад

    Huyu jamaa ni muongo international

  • @munguanaishitv
    @munguanaishitv Год назад +1

    Amen