Huyu Ndiye Chalamila aliyetumbuliwa na Rais
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa Juni 11, 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa na kuteua baadhi ya viongozi wengine.
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu inaeleza kuwa kiongozi mkuu huyo wa nchi amemhamisha mkuu wa Mkoa wa Mara, Robert Gabriel kuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza kuchukua nafasi ya Albert Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Lakini embu tujikumbushe baadhi ya video fupi fupi zilizowai kutrend kwenye mitandao ya kijamii za Albert Chalamila akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na hata Mwanza
Huyu jamaa ni chizi sijui n kiongozi au n comedian
Hhhhhh
Kauli zinaponza mzee cheza namambo mengine siyo ya mungu
Huyu mkuu wa mkoa yuko sawa Sana
Genius uyu ndio president
Mbona Jpm alivokua anawatumbua mlikua mnashangilia tu ila sasa Mama akitumbua mnaanza kujadili mwishoe mfee kwa kihoro 😄😄😄
Safi sana Mama tumbua akajiongoze mwenyewe
Point
Mkubwa unafurahisha Sana hatakama umetenguliwa Ila una amani moyoni amini yote ni yetu
Kabisa
Well done our President mama samia, hakika kwa kauli mbovu za jinsi hii hata mimi ningelikuwa raisi ningemtunbua tu na kabla ya kumtumbua ningempeleka kwanza rokapu kwa siku moja akanuse hewa ya SUSU na JOJO huko kwanza.
Jembeeeeee, hiii ndio tabia iliyonyeupe sio kujificha kwenye kichaka cha unafiki .
Huyu jamaa kilichomponza kusema kabsa yey mshabik wa yanga... Wakat sasaiv Simba ndyo habar ya mjini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtumishi wa shetani,hahahaaa
Hapa hakuna kiongozi walahi watoto wake wanahasara ya baba kweli...Mama hujakosea kumtumbua..
Kwa ww Lakin
CHALAMILA ANAFAAA
Kafanana na Wakuvanga wa Original comedy
😁😁😁😁
Kuteleza kisiasa ni kawaida. RC kajiendeleze Phd yako ungali kijana ukimaliza pengine Mungu atakupangia lingine. Siasa zina kautelezi tembea kwa makini mwanawane.
Mungu akulinde ulikuwa unawatoa watu stress
Chalamila kilichomponza ni maneno hanavuka mpaka, hata mimi ningemtumbua
Washauri wa Rais wanampotosha maana mabango ni sehem ya wananchi kutoa maoni yao KUMBUKA KUTOA MAONI KWANJIA YAKUZUNGUMZA/KUANDIKA(MABANGO) NI HAKI YA MTANZANI KWAMUJIBU WA KATIBA YETU!!!!! Labda pawe na sababu nyingine ila kama ni hiyo basi Tanzania tunaviongozi wanaovunja katiba kwakunyima RAIA Uhuru wa kutoa maoni.
Hakika huyu sii kiongozi huyu n muhuni tu flani
Asate mama bora umefanya vizuri kumtumbuwa huyu hafai kuwa kiyongozi mjinga sana huyu anakwenda kupiga watoto wawatu bure mkoloni mweusi hafai duuuu
Ww ndio mjinga huelewi unachokisema acha ujinga mwenyewe
Alitufaa sana mkoa wa waki dar es salaam mkuu wa nchi muangalie tena huyu chalamila tunamtumainia
Maana ndio aina uongozi na makuzi yake ila anakua na maana yake kiutendaji kwamaana ili mafanikio yako ya uongozi yakamilike lazima uwe lafiki ya wale unao waongoza huyu chalamila nilafiki wa kila mtu kimaongezi ila kiutendaji hakawii kuchenji
Ulimtabiria mema
Utabiri wako umetimia
Hongera Kwa Utabiri
Kama ulijua
Maombi Yako yamejibiwa
Huyu ni mlevi fulani hiv hata maamuzi yake ni ya kilevilevi aliwafananisha watu na takataka wakati yeye ndo takataka
Kumbe doh. Bora apumpzike
Akitumbua magu tunashangilia akitumbua Samia nchi unaenda wp mtajiuliza sana
Huyu jamaa kwa mahono yangu kasoma farsafa anapohongea hinatakiwa umsikilize utafakali ndiyo umuelewe lkn kinyume na hivyo lazima umuhone tofauti kutenguliwa ni kawahida tu kabla ya kuwa mkuu wa mkoa I thing Kuna sehemu alionekana hataludi Tena hapo tutahona tutasikia tutashuudia mengi hawamu hii Mungu tuongoze!!
Sawa. Jumong piga mishale
Saut ipo chini
Umagufuri unamalizwa kaka bado hapi makonda alipaona mapema
Mama hafanyi uwamuzi WA peke yake Ana washauri wake huenda wanataka a kakae sehemu nyengine inayomfaa mna kauli tu za kijinga ati katumbuliwa
Dah hii nchi Sheria mbovu
Da magufulibana huyuanaonekana nasurayakilevi kabsaa
Unapiga wanafunzi hivi halafu unaendelea kupewa madaraka. Kuna jambo mungu anataka kutuonesha.
Tusiwe wanafiki kwa kuonesha mabaya yake inamaana hakuna mazuri yake??
Hiyo ngoma iliyoko background ni ya nani? Nisaidieni studio
Ni ncs music
Hii tumbua tumbua imekua habali ya Tanzania Sasa wachapa kazi ndio wanatumbuliwa
Anafaa kabisa huyu jamaa!
Sanaaa. Huyu mama tuu naona anaapitiliza viongozi bora wakali hawataki
Anafaa sana kua kocha wa yanga utopolo
Acheni kusifia ujinga mnasifia pombe ulevi
@@user-po8hz7xw9j nawye Zaituni unasifia ulevi hi khatari dalili za kiyaama hizi
Heri kuraruka nguo, kuliko kuraruka akili. Yawezekana walioko milembe watakuwa wamepona, tunahitaji tupite mitaani kutafuta wagonjwa wanaovaa nguo. MUNGU tusaidie
Wasalimiee
Huyo ☠️🤦
Huyu jamaa akili ina mutosha yemwenyewe
Hili jamaa ni chizi😂😂😂
Ulizoea matusi ukiwa na kakaako"
Huyu mama ni mtumishi wa Mungu:
Sasa kama umechukia,
TEGULE UMULEGESI WINYONGE.
Acha unafiki matusi unayanapambanua vipi. Tulia unyolewe.
Yàani.mama..asinge mtowa uyo mbna yupo vizuli
Sasa imekua tumbua tumbua
Hili ni la ovyo sana.
Wewe sini mkuu wa mkoa
Mkuu unanisaidiaje kauli Tata hizo mhmm.
Huyo Hagai hata tone big up mama
Huyu mama kazi imemshinda . Chalamila ni mchapa kazi na mzalendo ndio maana JPM hakuweza kutengua kuwa mkuu wa Mkoa Mbeya.
Yani alistahili kabisa kuwekwa Ukuu wa Mkoa wa Dar wenye changamoto kibao,Wachapakazi Yeye ndiyo anawatoa dah!
Utajuaaa ww!!!
Kabisa!
Kwan magufuli ndio nan
yaani ww hunaona kiongozi unaongea ujinga
Aiseee huyu jamaa hakuwa sawa katika uongozi..... hatari sana.
Siasa zinautelezi.kama kazi zingine. Mbona wapo wengi tu.hutenguliwa waliko.lakini kwa kuwa sio Wah haisikiki. Hakuna la ajabu hakuna aliyezaliwa kuwa mwsnasiasa tu ila ni.kujimwamvafai tu na kujijengea usultani. R C kasome Phd kama ulivyosema siku ya UDSM. Ukimaliza pengine utakuwa mtu.mwingine tena.
Hapo sheria imefunja na aliekua DC sheria ya viboko inatakiwa mwalimu mkuu ndio amchape mwanafuzi tu sio mwalimu yeyote yule ni mwalimu mkuu tu tena kwa fimbo ilio pimwa kwa vipimo sahihi
😂😂😂
Ila huyu baba hajafanya kosa ni kali tuu hapendi ujinga. Nannchiyetu hapendi ukali
Duu
Uyo tichar hafai ata kuwa na familiya
Huyu jamaa konki
Mumemuwa magufuri
Asili ya mtu haipotei
Wajua unapofuta tu watu kazi kila mara ndio mambo mengi yanazidi kuwa hayasongi mbele sababu anapoingia mpya lazima aanze mwanzo tena
Ndio hivyo anakosea
Tunajua lengo la kuwatoa wafanya kazi wa jpm lkn sio shida maana saiv taalifa zote kuapisha sio kufanya Kaz hahahahahahahaha Tanzania ya ahadi uchafuut
Katumbua jembe LA kazi
MAMA TUNAMTAKA CHALAMILA
Kabisa!
Subirini atapewa uwaziri sasa
wewe na nani
ulitaka mama atukanwe kwa mabango
Duuu kumbe jamaa ndo aliwatandika watoto yeye mwenyewe, af kweli bna jamaa alikuwa mropokaj xna
Kumbe ulikuwa chenga sana
Aisee ni chenga hatari na mimi ndo naamini leo ,unajua ukiwa kiongozi unahitaji kuongozwa na busara ya hali ya juu,sasa kama yeye alijichetua na kujifanya comedian akafanye hizo comedi eti a dukani mabango hata matusi sawa kweli jamani
Kweli huyu shetani
hapa busara zero
Nenda kawaongoze yanga sasa utopolo ww🥴
CHALAMILA ANAFAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
CHALAMILA ANAFAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Kichwa hiki ni shida sana, huyu mh, anaonyesha akili anazo nyingi mpaka zinamshinda kuzitumia
Unafaa kuwa raisi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂twangeni bia kila kty kinaumuhimu wake🤣🤣
Jamaa huyu ni shida
We.vipi.akikosea.anatumburiwa.wasomi.kibao.awanakazi.sio.wakati.wakureayana.mabohayo.yarikua.zamani.watanzania.mpate.kujierewa.mkuuameshasemakasikirizekerozawananchiweweunaretautumbohironaroneno
Tumekuerewa.Mura.irakiingerezachako.kigumusana.muraa
Saut umebana
Hv viongoz kama hawa wanawatoa wp
Wateule wa magufuli hawa
Na bichwa lake kama kichwa cha tren ya mwendokasi😂😂😂
Nimeamini sasa huyu mwanamke dhaifu na lengo ni kubadili serikali ya jpm
Anapenda pombe utopolo mtupu
Huyu ni mlevi fulani hiv hata maamuzi yake ni ya kilevilevi aliwafananisha watu na takataka wakati yeye ndo takataka