MAGUFULI Ashindwa KUJIZUIA, Apandwa na MIZUKA LEKADUTIGITE Ikiimbwa, Amvulia KOFIA LINEX....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • MAGUFULI Ashindwa KUJIZUIA, Apandwa na MIZUKA LEKADUTIGITE Ikiimbwa, Amvulia KOFIA LINEX....
    MGOMBEA wa urais kupitia tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, ameendelea na kampeni za kunadi sera kwa wananchi ili waweze kumchagua kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
    JPM amefanya mkutano mkoani Kigoma ambapo amemwaga ahadi zake na kuwaeleza wananchi yale yaliyokwishafanyika na anayotarajia kufanya endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 237

  • @tizilamassaga6756
    @tizilamassaga6756 4 года назад +26

    Mungu akuzidishie maisha malefu Rais wetu Magufuli .CCM Oyeee Tusemenini watanzania neema hii tulionayo ubarikiwe sana Rais wetu

  • @jescamuijsers4206
    @jescamuijsers4206 4 года назад +1

    Linex mungu akujalie jeshima yako kubwa uliyoonyesha kwa rais wetu magufuli, ubarikiwe sana mungu akufungulie njia zako hata wewe uwe mwanamuziki maarufu inje na ndani ya tanzania amen

  • @zaysaj6961
    @zaysaj6961 4 года назад +29

    Mi5 teeena baba mungu akujaalie umri mrefu JPM Vivaa CCM vivaaaaa magufuli✊✊

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 4 года назад +10

    Dah! Leo kigoma kweli kulikua na jambo, mmefunikaaa!!!! JPM hoyeeee

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 4 года назад +31

    😆😆😆😆😆😆😆😂😆😆😆😆 shikamooo Wana ccm kigoma mmetishaaaaaaa tumewaona pamoja sn, grace kutoka mwanza 👋👍👍👍👍👍

    • @lucykanuti6138
      @lucykanuti6138 4 года назад +1

      Hakika kigoma wametisha sana ccm oyeeeeee

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 4 года назад

      @@lucykanuti6138 oyeeeeeee

  • @fatmapanaguiton9783
    @fatmapanaguiton9783 4 года назад +12

    Hongereni sana kigoma mmetenda haki

  • @ibrahimmungure4749
    @ibrahimmungure4749 4 года назад +12

    Msisahau Kura kwa mh.Magufuli kama mlivyo hapo

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 4 года назад +15

    Wow the sea of people.
    Ccm oyeee! 🇹🇿
    Wapinzani mpo!?

  • @fatmayussuf4760
    @fatmayussuf4760 4 года назад +10

    CCM INAPENDEZA SANA RAHA RAHA TU MGUFULI OYEEEE KIPOKO YA WAPINZANI

  • @uhaitvnevergiveup9306
    @uhaitvnevergiveup9306 4 года назад +20

    Kigoma iwachu big up sana linex unajua sana magu itabid afanye jambo kigoma imekuwa ikisahaulika sana

    • @erickkilaboma6316
      @erickkilaboma6316 4 года назад

      Wa bhonye yan ya badirise chane

    • @kamalofanuel8120
      @kamalofanuel8120 4 года назад

      Meli mpya pesa ishatengwa barabara yalami km 230/..Bandari kubwa

  • @josiahnaftaeli7862
    @josiahnaftaeli7862 4 года назад +14

    Big up sana Sunday Linex Jejejeida.🔥🔥🔥🔥

  • @sophialaurent2876
    @sophialaurent2876 4 года назад +27

    Loooo, shkamoo kigoma ,Mungu awabariki kwa kujitokeza kwa vingi

    • @paulgwao4385
      @paulgwao4385 4 года назад

      Fiester I mependeza

    • @martinkayamba3685
      @martinkayamba3685 4 года назад +1

      Tumefata fiesta we unafikiri tungemuona wap alikiba

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 4 года назад +1

      @@martinkayamba3685 so mbaya huku umevaa kijani na njano kwa wimbo

    • @danielmoses2244
      @danielmoses2244 4 года назад +1

      @@martinkayamba3685 ndo maneno yenu hayo sanduku la kura 28 October litauonesha ukweli

    • @J4UPro
      @J4UPro 4 года назад

      @@martinkayamba3685 unajifariji

  • @fatmayussuf4760
    @fatmayussuf4760 4 года назад +12

    Uwapishwe tu mzee magu

  • @cpadorotheajaphetlugwangaz9672
    @cpadorotheajaphetlugwangaz9672 4 года назад +10

    Magufuli baba lao, hakuna kama Joseph John Magufuliiiiiiiiii

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 года назад +18

    Ccm utulivu hakuna makelele ya ajabu kama kwa jirani, miaka 5 tena kwa Magufuri oyeeeeeeer

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 4 года назад +12

    Mm kama mm CCM ooyeee,magufuli juu juu kabisaa jamani tungoje tu siku ya kuapishwa huyu ndie raisi mchapa kazi zinazo honekana hakuna mpinzani wengine virusha roho tu,vi kwiooooo

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 4 года назад +13

    Magufuli baba wawanyonge tunakukubali baba yetu mzazi C.C.M 👌♥️👌

    • @omarysamadia9555
      @omarysamadia9555 4 года назад

      Hongera Sana kwa mema ulioyafanya Kula mitano tenaaaaaaaaa

  • @furahia2510
    @furahia2510 4 года назад +19

    Magufuli noma San🙌🙌🙌🙌

  • @stanleykubingwa5050
    @stanleykubingwa5050 4 года назад +22

    Hongereni kigoma

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 4 года назад +10

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa ....Wanakigoma

  • @nurujuma8468
    @nurujuma8468 4 года назад +25

    Kigoma mmetisha sana Ccm oyeeee

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 4 года назад +2

      Sana ! Ccm oyeee! Hakuna kama Ccm.🇹🇿👍💯

    • @mwanaidhassan4079
      @mwanaidhassan4079 4 года назад +4

      Afu unakuta kuna watu wapo mjini wanasema ccm wanaiba kura na akati Mikoan wananchi ni wengi ccm na wanajitokezaga kupiga kura 😀😀😀

    • @queenwinnie256
      @queenwinnie256 4 года назад +1

      @@mwanaidhassan4079 hao ndio maneno yao wakosaji

    • @salomepatrick8129
      @salomepatrick8129 4 года назад +1

      Hongeren kigoma ccm juu rais wetu juu mungu ambariki naampe miaka mingi zaid 5 tena

    • @salomepatrick8129
      @salomepatrick8129 4 года назад +3

      Mungu ampe miaka mingi zaid tunampa 5 tena akimaliza tunampa 10 tena mtoa matusi atasubir sana

  • @valeriaveda7519
    @valeriaveda7519 4 года назад +5

    Mm navyoona kigoma ccm tupu safi kabisa wasije wengine wakajipendekeza

  • @zenaahmed7948
    @zenaahmed7948 4 года назад

    Magufuli oyeeee nampenda Raisi magufuli mungu akulinde Raisi wetu

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 4 года назад +7

    Jamaaa anapendwaa kwao ila Ali kuwa ajuh

  • @stephenpaul8679
    @stephenpaul8679 4 года назад +12

    Anko piga kz kuna chizi anajisumbua akimaliza anaomba michango

  • @ramadhaniomary3081
    @ramadhaniomary3081 4 года назад +2

    Mungu amlinde raisi magufuri tarehe28 ushindi hasubuhi kwa ccm tunawaza kubadili katiba magufuri atawale miaka 40 bongo iwe kama afrika kusini

  • @mary5162
    @mary5162 4 года назад +3

    Abantu bikogoma muze murubanza🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @laurenceclarence6878
    @laurenceclarence6878 4 года назад +16

    CCM OYEEEEEEEEEEE

  • @kramsjunior4447
    @kramsjunior4447 4 года назад +6

    Kigoma kwa kweli miaka ya nyuma ilisahaulika sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 года назад +3

    Mungu ambariki Magufuli

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola798 4 года назад +1

    Sande mjenda nazihusudu ngoma zako, hasa ile ulimshirikisha diamond, SALMA, huwa sichoki kuisikiliza nafagilia Sana hakika, Leo pia umefanya kweli, CCM OYEEEE.

  • @paschalmashimba3584
    @paschalmashimba3584 4 года назад +8

    Mkataa kwao mtumwa saf sana linex

  • @aminajuma2981
    @aminajuma2981 4 года назад +7

    Kigoma ni 💥💥💥💥💥

  • @godsosmukama5958
    @godsosmukama5958 4 года назад

    Linex ni Msanii ninae kukubali sana katika Wasanii wa Tanzania hii, natamani ningeweza kirudisha siku nyumaa, Aifola, Bodaboda na nyingine nyingiiiii.
    Big Up Dogo JPM for 2020/25

  • @lovenessmlinda1347
    @lovenessmlinda1347 4 года назад +15

    Kale kajamaa kengine kakipata watu 2000 au 3000 bas keleleeeee! Ajaze uwanja ka ivo Ka ye kidume 😂😂😂😂😂😂😂

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 4 года назад

      Kwani washafanya hapa kigoma mkutano jamaa zetu CDM?

    • @lovenessmlinda1347
      @lovenessmlinda1347 4 года назад

      @@KS-iw7qv hawajafanya bado kampeni kigoma! Kampeni zao zinachekesha Sana,hazipo kisayans kabsaaaaa! Tundu anaruka ruka tu ka maharage yanayoiva, mara leo yupo mbeya, kesho utaskia yupo tabora mara kesho kutwa Zanzibar, yaan shida tupu. Af mwisho wa siku wanashindwa uchaguz wanaanza kulia na tume. An ukiwa upinzan hasa chadema shida Sana

    • @hatibumsindo2915
      @hatibumsindo2915 4 года назад

      @@lovenessmlinda1347 🤣🤣 hivi wewe kisayansi unaelewa???? Au unaropoka??? Pamoja na kutumia wasanii bado watu hawana hamasa hebu muone linex anavyofokafoka watu wamekaa kimya... Kila muda dj.. dj.. shame on u

    • @lovenessmlinda1347
      @lovenessmlinda1347 4 года назад

      @@hatibumsindo2915 imeku touch eee! Subir tuwaoneshe kaz Tar 28 October, nyie mgombea wenu si anafanya kampeni pembezon mwa barabara kuu mfano barabara kuu ya dar tunduma tena anafanya mita chache tuu toka barabarani huon mnavochekesha! Huon kidume anavopga show za ukwel, kabla ya kufika eneo lililopangwa Kwanza anakutana na nyomi Kama lote vuruga sanaaaaaa! Sasa nyie mkipata watu 5000, 7000 iv kwenye mkutano mmoja keleleeeee! Kampeni za kisayans ni pamoja na kuhakikisha unawafikia watu woote, mtaendelea kulia na tume ad yesu ashuke tena Kwa mara ya pili. Nyie wetu tuu mwaka huu, hangaikeni wee ila urais sahaun, na hao wabunge tuuu kuwapata mfanye kaz

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 4 года назад

      @@lovenessmlinda1347 😂😂😂kweli mwali😀

  • @manethjunior204
    @manethjunior204 4 года назад +8

    Nimewakubali KG

  • @Asiaafricadventuretv
    @Asiaafricadventuretv 4 года назад

    Mimi ni munyarwanda alakini namufurahia sana raisi magufuli tangu tanzania imupoteze mwalimu afatae kufanya kazi ya ziada na JPM hakuna muingine.hongela raisi

  • @chocolatedrop3968
    @chocolatedrop3968 4 года назад +2

    Nime furahi anavyo wapa tunzo wa sanii Big up , It such a honor history is made .

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 года назад +1

    Ukiona tu comments za mziki ndio umekusanya watu ujue ni wapinzani maana ndio sera yao, poleni sana,

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 года назад +14

    CCM oyeeeeeeee

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 4 года назад +4

    Kigoma hongereni sana jinsi gana mnavyompenda rais wetu magufuli Mungu ibariki ccm

  • @collinelaurent6289
    @collinelaurent6289 4 года назад

    Linex Waoooo,,,, Asante Magu kwa kuonesha usawa,,, Magu Oyeeeee💚💚💚💛💛💛

  • @andrewntezirizaza3831
    @andrewntezirizaza3831 4 года назад

    Magufuli ametumwa na Mungu kuikoa Tanzania. Yaani nimesisimuka kumuona Rais alivyocheza kwa raha. Mungu ibariki Tanzania. Rwandese kutoka Canada 🇨🇦

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 4 года назад +3

    Harmonize he should try to sign this guy alioimba likamutikite.👍💯🇹🇿

  • @vicentkebula6670
    @vicentkebula6670 4 года назад

    Ni yeye MAGUFULI 2020 NAKUENDELEA

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 4 года назад +4

    Duh kigomaaaa hiooo

  • @pearl6563
    @pearl6563 4 года назад

    Napenda that song sana

  • @fatmaiddikhamisi8006
    @fatmaiddikhamisi8006 4 года назад +3

    Atali sna kwetyyy ikogoma

  • @paschalmashimba3584
    @paschalmashimba3584 4 года назад +6

    Hapo ndio huwa namkubali sana linex maana anakumbuka kwao hasau Kinyumbani

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 4 года назад +8

    Kigoma mmefunika sio kwa nyomi hukooo duuuu ccm tawala tawalaaaa safiiii sanaa

  • @walidsaid4453
    @walidsaid4453 4 года назад +12

    shikamooooooo magu miaka 10000000000

  • @winfridahcreitus705
    @winfridahcreitus705 4 года назад

    Naona show ilifana Sana. Hongera Linex, umetisha.

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 4 года назад +1

    Safi sana ccm juu

  • @queengracejohn1932
    @queengracejohn1932 4 года назад

    hyo ndo tofaut ya mwanamziki na msanii hongera sn linex pga kaz kaka...

  • @mwajumamduba8773
    @mwajumamduba8773 4 года назад

    Magufuli Oyeeee👏👏👏👏👏👏

  • @zaharahasan1912
    @zaharahasan1912 4 года назад

    Eeebaba kigoma shikamoo kwa kweli dah mmejua kinifurahisha

  • @kalistusauzebi5707
    @kalistusauzebi5707 4 года назад

    Walikuja kwangu eti wakanipa Elfu5000 niende uwanjani kumbe kujaa kwa watu nikutumia hongo na kuwabeba kwenye magari tena watu wanafwatwa kwenye vijiji vya jirani CCM hamna jipya

  • @wardaheluwa734
    @wardaheluwa734 4 года назад

    Namuona mh magufuli akimvisha msanii kofia ya ccm safi sana

  • @ikoziboy4488
    @ikoziboy4488 4 года назад

    Huu wimbo mzuri sana

  • @justice607
    @justice607 4 года назад +6

    Cc wapinzan tumeomba wasanii waje kwetu wanasema tutengezene sera yenye ushawishi

  • @japhetndobeji5278
    @japhetndobeji5278 4 года назад +1

    Sijuinilie sasa kwawingi huu wawatu shikamo magufuli

  • @emmanuelyraphaely3343
    @emmanuelyraphaely3343 4 года назад +10

    Duuh kgm noma ata mond ajawah kukusanya kijiji kama icho

    • @amanmwelange6754
      @amanmwelange6754 4 года назад

      Jamani kwani mpaka muonyeshee mfano kwa mond onyesheen hata kwa kiba mda mwingine

  • @iposikurashidi2887
    @iposikurashidi2887 4 года назад

    Kweli kabisa nyumbani ni nyumbani

  • @halimambwego3520
    @halimambwego3520 4 года назад

    Kigoma kweli mlikuwa na jambo lenu si kwa yellow hiyo na green...hongereni sana wana wa Kigoma

  • @deborahbenny458
    @deborahbenny458 4 года назад +4

    Magufuli anapendwa jamani

    • @florashauri9228
      @florashauri9228 4 года назад

      Kwa kweli tunampenda sanaa Rais wetu mpendwa Dr.JPM

  • @felixchigalika3059
    @felixchigalika3059 4 года назад

    Kwenye hiyo ngoma aliye uwa ni Ommy dimpozi na chege 2

  • @paschalmashimba3584
    @paschalmashimba3584 4 года назад +1

    Linex muha original
    Saf sana

  • @offecalmsechu8739
    @offecalmsechu8739 4 года назад

    Ningekuwa msani ningemwimbia rais wangu nyimbo zote ii imetisha

  • @ashuraamani2671
    @ashuraamani2671 4 года назад

    Kg oyeee ata wapinzani saiz tumbo joto wanajua moto wakigoma hawanaga kusalit full msimamo

  • @micsweet1165
    @micsweet1165 4 года назад +6

    #5 tenaaaaaaa

  • @scolasticamaghembe1189
    @scolasticamaghembe1189 4 года назад

    Kura yangu nakupa sina mashaka nawe Raisi mzalendo kazi yako ni njema, inaonekana, Magufuli Oyeeeeee, Mungu akulinde Raisi wetu na unashinda na zaidi ya kushindaaaa

  • @julianankulila1277
    @julianankulila1277 4 года назад

    Linex Mjeda sauti nzuri imetulia balaa safi saaana 👍💪

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 4 года назад +2

    Magufuli usiisahau tena kigoma maana ni waaminifu hata kukupigia kura..

  • @hizzomaplan1409
    @hizzomaplan1409 4 года назад +2

    Jamaa kamsukuma linex baada yakumuona anazubaa

  • @waheedahtanzania5884
    @waheedahtanzania5884 4 года назад

    MAGUFULI oyeee 5 tena kwa kishindo hahaha yajayo yanafurahisha 😃😍😍

  • @agnesoqwaa9848
    @agnesoqwaa9848 4 года назад

    Waooo linex nakuelewa sana

  • @hamisayusuph5966
    @hamisayusuph5966 4 года назад +1

    Kigoma ni moto

  • @deborahbenny458
    @deborahbenny458 4 года назад +1

    Da kigoma ni hatari

  • @tatufaraji4113
    @tatufaraji4113 4 года назад +1

    Leka dutigite namagufuli wachu🙏🙏

  • @sungwehamisi1996
    @sungwehamisi1996 4 года назад

    Magufuli ooyeeee

  • @munasayed8657
    @munasayed8657 4 года назад

    Magufuli oyeeeee

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko7001 4 года назад +2

    Wata weza kweli

  • @shaiduabdala8520
    @shaiduabdala8520 4 года назад +4

    Magofuri baba lao

  • @munadlebobo5234
    @munadlebobo5234 4 года назад

    Hivi nauliza kwani ccm wanawapinzani na kama wapo wanajiitaje maana kila kukicha ni ccm

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 4 года назад

    Hii noma sana

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 4 года назад +7

    Nani aliyenda kuangalia ule mkutano wa Zitto Kabwe baada ya kuuona huu mkutano wa Jembe Magu kama mimi?

  • @ProfessorYGsniperRobot
    @ProfessorYGsniperRobot 4 года назад

    eeeekwamaana hawajui walitendalo kwa maana wamekubaliii kumtumikia shetani na kuziacha njia zako,Sasa ni Wakati Wa Kuusinamisha Tena Ufalme wa Mungu hapa duniani,

  • @wabongoughaibunimediaprodu4471
    @wabongoughaibunimediaprodu4471 4 года назад +3

    KIGOMA

  • @victorchindo8506
    @victorchindo8506 4 года назад

    Mmetisha

  • @erickkilaboma6316
    @erickkilaboma6316 4 года назад +1

    Aye hene , kwet hap gong like nimushoke see

  • @josephinajoram5355
    @josephinajoram5355 4 года назад

    Jaman lazima kurayanje aitole

  • @edinamloti7229
    @edinamloti7229 4 года назад +1

    Mm ni ccm lakini kwa kipindi hiki wacha nimpe kura yng msomi lisu na wote wanaoishabikia ccm bado hamjielewi watu tunaitaji sela nasio wasanii

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 4 года назад +4

    Kigoma mmefumika

  • @hatibumsindo2915
    @hatibumsindo2915 4 года назад

    Watu wamechoka bhana linex unatumia nguvu kubwa mno kuwalazimisha

  • @isacksaimon4532
    @isacksaimon4532 4 года назад +1

    Jamaa ana staili sana

  • @Sakana80
    @Sakana80 4 года назад +1

    Linex unaongea sana tunataka kuskia ukiimba

  • @raudhamahmoud9538
    @raudhamahmoud9538 4 года назад

    Nimependa stall ya magu kuwavisha kofiya wasanii tofaut

  • @nurudovino288
    @nurudovino288 4 года назад

    Kigoma imetisha sana yani duuuuuduuuuuduuuuuuduuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @fatmaiddikhamisi8006
    @fatmaiddikhamisi8006 4 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💨

  • @ramadhaniomary3081
    @ramadhaniomary3081 4 года назад +1

    Safari hii kibaraka kabwe piga chini nae