MAGUFULI Ashindwa KUJIZUIA, Apandwa na MIZUKA LEKADUTIGITE Ikiimbwa, Amvulia KOFIA LINEX....
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- MAGUFULI Ashindwa KUJIZUIA, Apandwa na MIZUKA LEKADUTIGITE Ikiimbwa, Amvulia KOFIA LINEX....
MGOMBEA wa urais kupitia tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, ameendelea na kampeni za kunadi sera kwa wananchi ili waweze kumchagua kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
JPM amefanya mkutano mkoani Kigoma ambapo amemwaga ahadi zake na kuwaeleza wananchi yale yaliyokwishafanyika na anayotarajia kufanya endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Mungu akuzidishie maisha malefu Rais wetu Magufuli .CCM Oyeee Tusemenini watanzania neema hii tulionayo ubarikiwe sana Rais wetu
Linex mungu akujalie jeshima yako kubwa uliyoonyesha kwa rais wetu magufuli, ubarikiwe sana mungu akufungulie njia zako hata wewe uwe mwanamuziki maarufu inje na ndani ya tanzania amen
Mi5 teeena baba mungu akujaalie umri mrefu JPM Vivaa CCM vivaaaaa magufuli✊✊
اللهم امين.
Dah! Leo kigoma kweli kulikua na jambo, mmefunikaaa!!!! JPM hoyeeee
😆😆😆😆😆😆😆😂😆😆😆😆 shikamooo Wana ccm kigoma mmetishaaaaaaa tumewaona pamoja sn, grace kutoka mwanza 👋👍👍👍👍👍
Hakika kigoma wametisha sana ccm oyeeeeee
@@lucykanuti6138 oyeeeeeee
Hongereni sana kigoma mmetenda haki
Msisahau Kura kwa mh.Magufuli kama mlivyo hapo
Wow the sea of people.
Ccm oyeee! 🇹🇿
Wapinzani mpo!?
CCM INAPENDEZA SANA RAHA RAHA TU MGUFULI OYEEEE KIPOKO YA WAPINZANI
Kigoma iwachu big up sana linex unajua sana magu itabid afanye jambo kigoma imekuwa ikisahaulika sana
Wa bhonye yan ya badirise chane
Meli mpya pesa ishatengwa barabara yalami km 230/..Bandari kubwa
Big up sana Sunday Linex Jejejeida.🔥🔥🔥🔥
Loooo, shkamoo kigoma ,Mungu awabariki kwa kujitokeza kwa vingi
Fiester I mependeza
Tumefata fiesta we unafikiri tungemuona wap alikiba
@@martinkayamba3685 so mbaya huku umevaa kijani na njano kwa wimbo
@@martinkayamba3685 ndo maneno yenu hayo sanduku la kura 28 October litauonesha ukweli
@@martinkayamba3685 unajifariji
Uwapishwe tu mzee magu
Magufuli baba lao, hakuna kama Joseph John Magufuliiiiiiiiii
Ccm utulivu hakuna makelele ya ajabu kama kwa jirani, miaka 5 tena kwa Magufuri oyeeeeeeer
😁😁😁😁😁Unavituko we
Mm kama mm CCM ooyeee,magufuli juu juu kabisaa jamani tungoje tu siku ya kuapishwa huyu ndie raisi mchapa kazi zinazo honekana hakuna mpinzani wengine virusha roho tu,vi kwiooooo
Magufuli baba wawanyonge tunakukubali baba yetu mzazi C.C.M 👌♥️👌
Hongera Sana kwa mema ulioyafanya Kula mitano tenaaaaaaaaa
Magufuli noma San🙌🙌🙌🙌
Magufuli oyeeeeeeeeeeee
Hongereni kigoma
No
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa ....Wanakigoma
Kigoma mmetisha sana Ccm oyeeee
Sana ! Ccm oyeee! Hakuna kama Ccm.🇹🇿👍💯
Afu unakuta kuna watu wapo mjini wanasema ccm wanaiba kura na akati Mikoan wananchi ni wengi ccm na wanajitokezaga kupiga kura 😀😀😀
@@mwanaidhassan4079 hao ndio maneno yao wakosaji
Hongeren kigoma ccm juu rais wetu juu mungu ambariki naampe miaka mingi zaid 5 tena
Mungu ampe miaka mingi zaid tunampa 5 tena akimaliza tunampa 10 tena mtoa matusi atasubir sana
Mm navyoona kigoma ccm tupu safi kabisa wasije wengine wakajipendekeza
Magufuli oyeeee nampenda Raisi magufuli mungu akulinde Raisi wetu
Jamaaa anapendwaa kwao ila Ali kuwa ajuh
Anko piga kz kuna chizi anajisumbua akimaliza anaomba michango
Mungu amlinde raisi magufuri tarehe28 ushindi hasubuhi kwa ccm tunawaza kubadili katiba magufuri atawale miaka 40 bongo iwe kama afrika kusini
Abantu bikogoma muze murubanza🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
CCM OYEEEEEEEEEEE
Kigoma kwa kweli miaka ya nyuma ilisahaulika sana
Mungu ambariki Magufuli
Sande mjenda nazihusudu ngoma zako, hasa ile ulimshirikisha diamond, SALMA, huwa sichoki kuisikiliza nafagilia Sana hakika, Leo pia umefanya kweli, CCM OYEEEE.
Mkataa kwao mtumwa saf sana linex
Kigoma ni 💥💥💥💥💥
Linex ni Msanii ninae kukubali sana katika Wasanii wa Tanzania hii, natamani ningeweza kirudisha siku nyumaa, Aifola, Bodaboda na nyingine nyingiiiii.
Big Up Dogo JPM for 2020/25
Kale kajamaa kengine kakipata watu 2000 au 3000 bas keleleeeee! Ajaze uwanja ka ivo Ka ye kidume 😂😂😂😂😂😂😂
Kwani washafanya hapa kigoma mkutano jamaa zetu CDM?
@@KS-iw7qv hawajafanya bado kampeni kigoma! Kampeni zao zinachekesha Sana,hazipo kisayans kabsaaaaa! Tundu anaruka ruka tu ka maharage yanayoiva, mara leo yupo mbeya, kesho utaskia yupo tabora mara kesho kutwa Zanzibar, yaan shida tupu. Af mwisho wa siku wanashindwa uchaguz wanaanza kulia na tume. An ukiwa upinzan hasa chadema shida Sana
@@lovenessmlinda1347 🤣🤣 hivi wewe kisayansi unaelewa???? Au unaropoka??? Pamoja na kutumia wasanii bado watu hawana hamasa hebu muone linex anavyofokafoka watu wamekaa kimya... Kila muda dj.. dj.. shame on u
@@hatibumsindo2915 imeku touch eee! Subir tuwaoneshe kaz Tar 28 October, nyie mgombea wenu si anafanya kampeni pembezon mwa barabara kuu mfano barabara kuu ya dar tunduma tena anafanya mita chache tuu toka barabarani huon mnavochekesha! Huon kidume anavopga show za ukwel, kabla ya kufika eneo lililopangwa Kwanza anakutana na nyomi Kama lote vuruga sanaaaaaa! Sasa nyie mkipata watu 5000, 7000 iv kwenye mkutano mmoja keleleeeee! Kampeni za kisayans ni pamoja na kuhakikisha unawafikia watu woote, mtaendelea kulia na tume ad yesu ashuke tena Kwa mara ya pili. Nyie wetu tuu mwaka huu, hangaikeni wee ila urais sahaun, na hao wabunge tuuu kuwapata mfanye kaz
@@lovenessmlinda1347 😂😂😂kweli mwali😀
Nimewakubali KG
Mimi ni munyarwanda alakini namufurahia sana raisi magufuli tangu tanzania imupoteze mwalimu afatae kufanya kazi ya ziada na JPM hakuna muingine.hongela raisi
Nime furahi anavyo wapa tunzo wa sanii Big up , It such a honor history is made .
Ukiona tu comments za mziki ndio umekusanya watu ujue ni wapinzani maana ndio sera yao, poleni sana,
CCM oyeeeeeeee
Kigoma hongereni sana jinsi gana mnavyompenda rais wetu magufuli Mungu ibariki ccm
Linex Waoooo,,,, Asante Magu kwa kuonesha usawa,,, Magu Oyeeeee💚💚💚💛💛💛
Magufuli ametumwa na Mungu kuikoa Tanzania. Yaani nimesisimuka kumuona Rais alivyocheza kwa raha. Mungu ibariki Tanzania. Rwandese kutoka Canada 🇨🇦
Harmonize he should try to sign this guy alioimba likamutikite.👍💯🇹🇿
Ni yeye MAGUFULI 2020 NAKUENDELEA
Duh kigomaaaa hiooo
Napenda that song sana
Atali sna kwetyyy ikogoma
Hapo ndio huwa namkubali sana linex maana anakumbuka kwao hasau Kinyumbani
Kigoma mmefunika sio kwa nyomi hukooo duuuu ccm tawala tawalaaaa safiiii sanaa
Kigoma ya kijani
shikamooooooo magu miaka 10000000000
Leka dutigite. 5tenaaa
Naona show ilifana Sana. Hongera Linex, umetisha.
Safi sana ccm juu
hyo ndo tofaut ya mwanamziki na msanii hongera sn linex pga kaz kaka...
Magufuli Oyeeee👏👏👏👏👏👏
Eeebaba kigoma shikamoo kwa kweli dah mmejua kinifurahisha
Walikuja kwangu eti wakanipa Elfu5000 niende uwanjani kumbe kujaa kwa watu nikutumia hongo na kuwabeba kwenye magari tena watu wanafwatwa kwenye vijiji vya jirani CCM hamna jipya
Namuona mh magufuli akimvisha msanii kofia ya ccm safi sana
Huu wimbo mzuri sana
Cc wapinzan tumeomba wasanii waje kwetu wanasema tutengezene sera yenye ushawishi
Kweli wapinzani Sera ni kulalamika tu,
@@queenwinnie256 Kubweka tu
@@yahyamajidyahyahilalal-har8762 ndio hivyo
Sijuinilie sasa kwawingi huu wawatu shikamo magufuli
Duuh kgm noma ata mond ajawah kukusanya kijiji kama icho
Jamani kwani mpaka muonyeshee mfano kwa mond onyesheen hata kwa kiba mda mwingine
Kweli kabisa nyumbani ni nyumbani
Kigoma kweli mlikuwa na jambo lenu si kwa yellow hiyo na green...hongereni sana wana wa Kigoma
Magufuli anapendwa jamani
Kwa kweli tunampenda sanaa Rais wetu mpendwa Dr.JPM
Kwenye hiyo ngoma aliye uwa ni Ommy dimpozi na chege 2
Linex muha original
Saf sana
Ningekuwa msani ningemwimbia rais wangu nyimbo zote ii imetisha
Kg oyeee ata wapinzani saiz tumbo joto wanajua moto wakigoma hawanaga kusalit full msimamo
#5 tenaaaaaaa
Kura yangu nakupa sina mashaka nawe Raisi mzalendo kazi yako ni njema, inaonekana, Magufuli Oyeeeeee, Mungu akulinde Raisi wetu na unashinda na zaidi ya kushindaaaa
Linex Mjeda sauti nzuri imetulia balaa safi saaana 👍💪
Magufuli usiisahau tena kigoma maana ni waaminifu hata kukupigia kura..
Jamaa kamsukuma linex baada yakumuona anazubaa
MAGUFULI oyeee 5 tena kwa kishindo hahaha yajayo yanafurahisha 😃😍😍
Waooo linex nakuelewa sana
Kigoma ni moto
Da kigoma ni hatari
Leka dutigite namagufuli wachu🙏🙏
Magufuli ooyeeee
Magufuli oyeeeee
Wata weza kweli
Awapi!!!
Aaawapi
Magofuri baba lao
Hivi nauliza kwani ccm wanawapinzani na kama wapo wanajiitaje maana kila kukicha ni ccm
Hii noma sana
Nani aliyenda kuangalia ule mkutano wa Zitto Kabwe baada ya kuuona huu mkutano wa Jembe Magu kama mimi?
Wapi huko?????
eeeekwamaana hawajui walitendalo kwa maana wamekubaliii kumtumikia shetani na kuziacha njia zako,Sasa ni Wakati Wa Kuusinamisha Tena Ufalme wa Mungu hapa duniani,
KIGOMA
Mmetisha
Aye hene , kwet hap gong like nimushoke see
Jaman lazima kurayanje aitole
Mm ni ccm lakini kwa kipindi hiki wacha nimpe kura yng msomi lisu na wote wanaoishabikia ccm bado hamjielewi watu tunaitaji sela nasio wasanii
Magu Na lisu Na msomi hpo, ww kwl kalimanziraaaaa
Kigoma mmefumika
Watu wamechoka bhana linex unatumia nguvu kubwa mno kuwalazimisha
Jamaa ana staili sana
Linex unaongea sana tunataka kuskia ukiimba
Nimependa stall ya magu kuwavisha kofiya wasanii tofaut
Kigoma imetisha sana yani duuuuuduuuuuduuuuuuduuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💨
Safari hii kibaraka kabwe piga chini nae