MEDICOUNTER: Mvurugiko wa homoni mwilini husababishwa na nini?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Limekuwa jambo linalozungumzwa sana miongoni mwa wanawake kuhusiana na mabadiliko ya hali za kimwili zinazosababishwa na mabadiliko ya mpangilio wa homoni mwilini mwake.
    Je, mabadiliko ya homoni husababishwa na nini na tatizo hilo hudhibitiwa vipi?
    Ungana na Dafrosa Prosper ndani ya MEDICOUNTER kupata undani juu ya hilo.

Комментарии • 65

  • @bmaproduction6329
    @bmaproduction6329 Год назад

    Kweli Doctor Mwenyezi Mungu akubariki ila umekosea kitu kimoj ungelitoa tiba

  • @HadijaSareh-zm9ju
    @HadijaSareh-zm9ju 11 месяцев назад +1

    Asante Kwa maelezo mazur je Tiba yk ni ipi ?

  • @meaningoflife651
    @meaningoflife651 3 года назад +9

    Mimi napata maumivu nikifanya mapenz yan maumivu makali chini ya kitovu

  • @DannyMwaisumbe
    @DannyMwaisumbe 8 месяцев назад

    Naomba kupata naombaa zenuu

  • @EdinaMartin-y7g
    @EdinaMartin-y7g 7 месяцев назад +2

    Jamani tiba yake nin mbona hamjatueleza

  • @obasikindole737
    @obasikindole737 3 года назад +1

    Barikiwa sana nimejifunza kitu kikubwa

  • @neemaalex7164
    @neemaalex7164 Год назад

    Mm sio kabisa Yani na Luka Luka sana mama

  • @evelinealfred5709
    @evelinealfred5709 2 года назад

    Asante doctor kwa maelezo mazuri, je naweza kupata mawasiliano yenu?

  • @bettykisoma1911
    @bettykisoma1911 2 года назад +5

    Doctar samahan mm naenda blide mala mbili kwamwez nitumie dawa gani

  • @AgnessMagwi-mz4qr
    @AgnessMagwi-mz4qr 10 месяцев назад

    Asant kwa kutusaidia

  • @RatifahSimoni
    @RatifahSimoni 6 месяцев назад

    Dr nimetumia vindonge,haitaji nafanyje,please dr

  • @upendohamadi4307
    @upendohamadi4307 Год назад +1

    Kwann mimba kuharibika

  • @PatrickPeter-k3c
    @PatrickPeter-k3c 7 месяцев назад

    Tatizo langu viung vya nje havilingani kam kifua kimzd upnd mmoj na mkon na tmbo 😂😂 msaada plz

  • @Obedbeda
    @Obedbeda 5 месяцев назад

    wapi naweza kupima?

  • @abelmasebo5521
    @abelmasebo5521 4 года назад +1

    Asante,mpo wapi?

  • @AllySayyid
    @AllySayyid Месяц назад

    Naomba namba ya huyu dokta

  • @samsonsamwel4598
    @samsonsamwel4598 8 месяцев назад

    Unapatikana wapi ?

  • @HalimaTwahiri
    @HalimaTwahiri 5 месяцев назад

    Jaman naomben namba za huyu docter

  • @FridaKomba-fy8jk
    @FridaKomba-fy8jk Год назад

    Docta naomba niulze

  • @FridaKomba-fy8jk
    @FridaKomba-fy8jk Год назад

    Et docta xahan vidonge vya duphasto doz vinakuw vingp,,?

  • @DianaYulian
    @DianaYulian 6 месяцев назад

    Naitaji kupata mtoto lakini mzunguko hauko sawa

  • @gracenakadori2205
    @gracenakadori2205 3 года назад

    Dr unapatikana wapi na naomba mawasiliano ya hsp yako

  • @christinajuma5957
    @christinajuma5957 2 года назад

    Namba ya dokta jamani naombaa

  • @catherinenaliaka87
    @catherinenaliaka87 2 года назад

    tiba ni ipi sasa juu mm naitaji hiyo tawa

  • @samirashakiru3211
    @samirashakiru3211 3 года назад +2

    Dr nzuri huyu jamani Umenufanya nikautwa mama

  • @hellenmsomari8077
    @hellenmsomari8077 2 года назад

    Jaman mm natumia kijit naend bleed ad week mbil nataman kutoa naogop mimb

  • @radhiadaffa1038
    @radhiadaffa1038 3 года назад +6

    Doctor naomba nisaidie nina mvurugiko wa homone then nahitaji mtoto

    • @sabraame1916
      @sabraame1916 2 года назад

      Nisaidieni mie nilishawi kuzaa lkn mpaka sasa inafika mwaka wa 9 sipati mimba

    • @swadahamningo1948
      @swadahamningo1948 2 года назад +1

      Doctor nisaidie mwaka wa 10 toka nimezaa mpaka leo sipati mimba,nasiku zangu za hedhi napata siku 2 tu na kidogo sana

    • @tumpemwaijande807
      @tumpemwaijande807 6 месяцев назад

      ​@@swadahamningo1948wewe kama mimi tu dear naomba ukipata sms hii naomba unitafute na km ulitibiwa nisaidie

  • @azzesalum215
    @azzesalum215 3 года назад +1

    Tupeni no pleas

    • @khairathntiboya5408
      @khairathntiboya5408 3 года назад

      Dk Mimi ninahisi nimjamzito na pia nimepitiluza siku zangu sizioni napata maumivu chini ya kitovu

  • @sophiacharles7210
    @sophiacharles7210 2 года назад

    mie nimepunguza mwili ,ila prolactin homon iko juu tu

  • @naaminmngumi9577
    @naaminmngumi9577 2 года назад

    Kaz nzur doctor naomba namba yAko kuna jambo unishaur

  • @teddyalex9878
    @teddyalex9878 2 года назад

    Namba yako docta Nina hitaji ushaur

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana8135 3 года назад

    Chanika buyuni ukifika pale unauliza boda boda dokta kapona

  • @ester8327
    @ester8327 3 года назад

    Dokta apo amesema mjamzito anaeza pata Hilo Tatizo ndani ya miezi mitatu je mimba unaweza kuonekana kirahisi Kama ukipima kwa kipimo Cha mkojo Mana najiskia dalili za mimba maana nimepitiliza siku zangu Leo Ni siku ya 15 lakin nilipima mimba asuhuh ya Leo mimba haioneshi na sijawah kupitiliza mwezi bila kupata hedhi japo huwa tarehe zinabadilika lakini sijahi pitisha mwezi bila kupata hedhi

    • @carolinerichard1554
      @carolinerichard1554 2 года назад

      Ulifanikiwa kupata hedhi yako au ulikua mjamzito maana na mimi nimepata tatizo kama lako na bado sijapata p

    • @dijakanikikaniki6046
      @dijakanikikaniki6046 Год назад +1

      Hat mm nasumbuka na hil

  • @anethkinyua6184
    @anethkinyua6184 5 лет назад +4

    hi je nikiwa kwenye piriod naruhusiwa kumeza vidonge vya majira kubalance hormon

  • @sakinahizza3132
    @sakinahizza3132 4 года назад +1

    Doctor wangu huyu yupo vzr