MEDICOUNTER: Mvurugiko wa homoni mwilini husababishwa na nini?
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Limekuwa jambo linalozungumzwa sana miongoni mwa wanawake kuhusiana na mabadiliko ya hali za kimwili zinazosababishwa na mabadiliko ya mpangilio wa homoni mwilini mwake.
Je, mabadiliko ya homoni husababishwa na nini na tatizo hilo hudhibitiwa vipi?
Ungana na Dafrosa Prosper ndani ya MEDICOUNTER kupata undani juu ya hilo.
Kweli Doctor Mwenyezi Mungu akubariki ila umekosea kitu kimoj ungelitoa tiba
Asante Kwa maelezo mazur je Tiba yk ni ipi ?
Mimi napata maumivu nikifanya mapenz yan maumivu makali chini ya kitovu
Naomba kupata naombaa zenuu
Jamani tiba yake nin mbona hamjatueleza
Barikiwa sana nimejifunza kitu kikubwa
Mm sio kabisa Yani na Luka Luka sana mama
Asante doctor kwa maelezo mazuri, je naweza kupata mawasiliano yenu?
Doctar samahan mm naenda blide mala mbili kwamwez nitumie dawa gani
Asant kwa kutusaidia
Dr nimetumia vindonge,haitaji nafanyje,please dr
Kwann mimba kuharibika
Tatizo langu viung vya nje havilingani kam kifua kimzd upnd mmoj na mkon na tmbo 😂😂 msaada plz
wapi naweza kupima?
Asante,mpo wapi?
Naomba namba ya huyu dokta
Unapatikana wapi ?
Jaman naomben namba za huyu docter
Docta naomba niulze
Et docta xahan vidonge vya duphasto doz vinakuw vingp,,?
Docta naomba nixaidie xwali langu
Naitaji kupata mtoto lakini mzunguko hauko sawa
Dr unapatikana wapi na naomba mawasiliano ya hsp yako
Namba ya dokta jamani naombaa
tiba ni ipi sasa juu mm naitaji hiyo tawa
Dr nzuri huyu jamani Umenufanya nikautwa mama
Namba yake jamn
nasikia anabei sana
Naomba no.zake
Namba yake naomba plzz
Dada ni kweli
Jaman mm natumia kijit naend bleed ad week mbil nataman kutoa naogop mimb
Ata mimi jamani sijui nifanyaje.
@@ChristinaExavery-oj1hmkitoe kimegoma hicho
Doctor naomba nisaidie nina mvurugiko wa homone then nahitaji mtoto
Nisaidieni mie nilishawi kuzaa lkn mpaka sasa inafika mwaka wa 9 sipati mimba
Doctor nisaidie mwaka wa 10 toka nimezaa mpaka leo sipati mimba,nasiku zangu za hedhi napata siku 2 tu na kidogo sana
@@swadahamningo1948wewe kama mimi tu dear naomba ukipata sms hii naomba unitafute na km ulitibiwa nisaidie
Tupeni no pleas
Dk Mimi ninahisi nimjamzito na pia nimepitiluza siku zangu sizioni napata maumivu chini ya kitovu
mie nimepunguza mwili ,ila prolactin homon iko juu tu
Kaz nzur doctor naomba namba yAko kuna jambo unishaur
Namba yako docta Nina hitaji ushaur
Chanika buyuni ukifika pale unauliza boda boda dokta kapona
Nipatie namba
Dokta apo amesema mjamzito anaeza pata Hilo Tatizo ndani ya miezi mitatu je mimba unaweza kuonekana kirahisi Kama ukipima kwa kipimo Cha mkojo Mana najiskia dalili za mimba maana nimepitiliza siku zangu Leo Ni siku ya 15 lakin nilipima mimba asuhuh ya Leo mimba haioneshi na sijawah kupitiliza mwezi bila kupata hedhi japo huwa tarehe zinabadilika lakini sijahi pitisha mwezi bila kupata hedhi
Ulifanikiwa kupata hedhi yako au ulikua mjamzito maana na mimi nimepata tatizo kama lako na bado sijapata p
Hat mm nasumbuka na hil
hi je nikiwa kwenye piriod naruhusiwa kumeza vidonge vya majira kubalance hormon
Mbonaa docter ujibuu hiilo swalii
Tupe namba za huyu dokta wako jaman
@@linahmsacky4566 doktar tunaomba namba zako
tunaomba namba yako doctor
Hapana
Doctor wangu huyu yupo vzr
Naeza pata namba ake
@@hawakazumari8282 anapatikana chanika mpz ukishuka buyuni ulizia kwa dr kapona au Tikaya unapelekwa
Kweli sakina
Hii hospital ipo wapi
Unanamba zakee