"MABAHARIA WALIUMIZWA SANA, UBAHARIA UNALIPA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 7

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 6 месяцев назад

    Mi sijakwenda kusomea ubaria darasani, lakini nauzoefu wa kudandia meli from TZ street life, nimefanya day workers trip with magamushi discharge as deck crew na naishi mtoni kwa ajili ya Meli, Baria ni Baria tuh, sawa na mafundi Gereji asome Veta au ajifunze ufundi chini ya mwembe wote mafundi tuh. Ni vizuri kusomea kama unauwezo au umepata nafasi ya kusomea.

  • @kecha5251
    @kecha5251 3 года назад

    Can't wait to come D.M.I to up date my certificates; ;sea never dry,

    • @ismailkipaty9681
      @ismailkipaty9681 3 года назад

      Chief Josiah wekeni japo clip za kibongo zinazoelezea majukumu ya mabaharia wanapokuwa onboard km vile AB na majukumu yake. Ona wenzetu waphilipino wanavyofanya, nasosi wabongo pua tufanye plz

  • @abuubakarhaji2078
    @abuubakarhaji2078 2 года назад

    Process ya mwanzo mtu akitaka kusoma anaanza vp

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 года назад

    .

  • @lucaskagoma7605
    @lucaskagoma7605 5 лет назад +1

    kwanini munazuia kusoma ambaye amefanya kazi zaidi ya miaka matano wakati tayali amekuwa na uzoefu Mkubwa hadi awe na cheti cha dalasa la kumi na nne wakati vijana wetu walifeli lakini amepata uzoefu huyu munamsaidiaje Ili asome ubahalia

    • @lucaskagoma7605
      @lucaskagoma7605 5 лет назад +1

      kwanza jibu hilo swali langu halijapatiwa Majibu kuhusu kwenda kusoma bila kuwa na cheti cha dalasa la kumi nanne lakini alimaliza akafeli akasoma ubahalia na akafanya kazi zaidi ya miaka matano lakini anataka kusoma kujiedeleza anakataliwa