Mi sijakwenda kusomea ubaria darasani, lakini nauzoefu wa kudandia meli from TZ street life, nimefanya day workers trip with magamushi discharge as deck crew na naishi mtoni kwa ajili ya Meli, Baria ni Baria tuh, sawa na mafundi Gereji asome Veta au ajifunze ufundi chini ya mwembe wote mafundi tuh. Ni vizuri kusomea kama unauwezo au umepata nafasi ya kusomea.
Chief Josiah wekeni japo clip za kibongo zinazoelezea majukumu ya mabaharia wanapokuwa onboard km vile AB na majukumu yake. Ona wenzetu waphilipino wanavyofanya, nasosi wabongo pua tufanye plz
kwanini munazuia kusoma ambaye amefanya kazi zaidi ya miaka matano wakati tayali amekuwa na uzoefu Mkubwa hadi awe na cheti cha dalasa la kumi na nne wakati vijana wetu walifeli lakini amepata uzoefu huyu munamsaidiaje Ili asome ubahalia
kwanza jibu hilo swali langu halijapatiwa Majibu kuhusu kwenda kusoma bila kuwa na cheti cha dalasa la kumi nanne lakini alimaliza akafeli akasoma ubahalia na akafanya kazi zaidi ya miaka matano lakini anataka kusoma kujiedeleza anakataliwa
Mi sijakwenda kusomea ubaria darasani, lakini nauzoefu wa kudandia meli from TZ street life, nimefanya day workers trip with magamushi discharge as deck crew na naishi mtoni kwa ajili ya Meli, Baria ni Baria tuh, sawa na mafundi Gereji asome Veta au ajifunze ufundi chini ya mwembe wote mafundi tuh. Ni vizuri kusomea kama unauwezo au umepata nafasi ya kusomea.
Can't wait to come D.M.I to up date my certificates; ;sea never dry,
Chief Josiah wekeni japo clip za kibongo zinazoelezea majukumu ya mabaharia wanapokuwa onboard km vile AB na majukumu yake. Ona wenzetu waphilipino wanavyofanya, nasosi wabongo pua tufanye plz
Process ya mwanzo mtu akitaka kusoma anaanza vp
.
kwanini munazuia kusoma ambaye amefanya kazi zaidi ya miaka matano wakati tayali amekuwa na uzoefu Mkubwa hadi awe na cheti cha dalasa la kumi na nne wakati vijana wetu walifeli lakini amepata uzoefu huyu munamsaidiaje Ili asome ubahalia
kwanza jibu hilo swali langu halijapatiwa Majibu kuhusu kwenda kusoma bila kuwa na cheti cha dalasa la kumi nanne lakini alimaliza akafeli akasoma ubahalia na akafanya kazi zaidi ya miaka matano lakini anataka kusoma kujiedeleza anakataliwa