Ila mtumishi wa Mungu jifunze basi kuandika vichwa vya habari kwa Kiswahili fasaha. Au uwe na mwandishi mtaalam wa lugha ya kiswahili ili awe anakuandikia kwa kuzingatia kiswahili fasaha.. Azingatie mpangilio sahihi wa sentence, matumizi sahihi ya maneno, matumizi sahihi ya herufi, mfano penye herufi R pasiwekwe L, penye herufi H pasiwekwe A. n.k. Ni ushauri tu kwa nia njema. Nafuatilia sana mahubiri yako na ninabarikiwa sana.
@@JosephineJacob-zo8sqjamani km ingekua ni kuandika tu vitu hivyo visingefundishwa shuleni mimi pia nakubaliana na hii comment Mwinjilisti ana mafunzo mazuri ila ushauri aliopewa akiuzingatia itapendeza zaidi ni vema kutumia lugha kwa ufasaha pale inapowezekana na sio mradi kuandika mfn neno hadharani imeandikwa hazalani yaani mpaka ladha ya neno inapotea
@@JosephineJacob-zo8sqUnapokataa ushauri mzuri wa wengine ni sawa na kuungana na wanaopinga kazi nzuri anayofanya Ev Paschal kwani kwa sehemu kubwa anafundisha na kushauri wengine kubadilika.
Uuweeh!!!!sisemi kitu. God is GREAT,OMNIPOTENT OMNIPRESENT AND EVERLASTING ALPHA AND OMEGA.WONDERFULL REVALIDATION, BE BLESSED AND PROTECTED MAN OF GOD .
Amen Amen 🙏 unapobadilishwa rohoni na mwilini unabadilika. Mungu azidi kukuinua na kukutunza mtumishi. Bali kichwa hakiendani na ujumbe huu jameni. Mwandishi aangalie hapo vizuri
Kuna wimbo mmoja paschal Cassian kaimba unaitwa "UTAMALIZAJE" hicho ndicho alichokifanya Irene uwoya kwamba japo yeye kaanza vibaya ila Leo kaamua amalize vizuri, usipotelee mwisho ndugu na rafiki yangu, wengi wanaanza vizuri ila wanapotelea mwisho, ila huyu kachagua kumaliza vizuri
Kikubwa kweli ya Neno la uzima wa mililele analitangaza kwa ulimwengu wote halafu ikumbukwe huyo ni sukumaland og mambo ye herufi yesikupe taabu jali Neno kama unalielewa halafu litendee kazi
Wadada wengi wameingia kwenye uovu kwasbb tu ya kuambiwa na watu kuwa wao ni wazuri sana. Pascal usiendeleze hiyo habari ya kumsifia uzuri wa nje ambao unapoteza wengi. We mwambie mambo ya msingi ya kufanya baada ya kuisikia hiyo sauti ya Mungu. Irene ni wa kawaida tu kama wanawake wengine.
Mungu awe naye Irene anapoanza safari hii ya mbinguni. Mungu ampatanishe na watumishi walio wa kweli hasije akandanganywa maana madhau nyingi tunazoabudia sio zote za Kristo, wengi wanasema wameokoko lakini rohoni ni nyoka tu.
Ww nae kama jehu tu kila siku kusema watu tu hata kama ni mm nakuweka ndani kwanza una uhuni mwingi ulikua ukiomba sadaka za kujenga kanisa ilo kanisa liko wapi muhuni wa wahuni tu
@@BishopEllie wewe unayesema hakuna huduma kama hii! Yako iko wapi na "wanaokoka" wako wapi? Mnajua maana ya kuokoka ama unalisema tu? Ukisema umeokoka unakosea maana na sasa maneno yako haya utayatolea hesabu. Amin nawaambieni siku ya parapanda ikilia watumishi wengi watapigwa sana na watumishi wao kwa kutowafundisha kuacha dhambi... fundishe vituko vyenu lkini siku hiyo ninaiona ikaribu sana watu watalia
@@benjaminlijongwa3715 majina ya watu maarufu kama kina nani? Akiwaomba pesa au? Ama ni nini kimewauma ni kusema Irene ambaye ni mchanga kiroho afundishwe na aongozwe kwa njia iliyo sawa. Mbona mnapenda kulalamika tu jameni! Mbingu mnaona kama ni mchezo kuingia.
Kasiani Ni Mtumishi Wa Musa sio Wa kristo kwanini? Kwa sababu Anayo yafundisha ndo yaleyale ambayo Watumishi Wa Musa au wachungaji walitumwa na Musa Wakayahubiri ambayo ni uongo
Ila mtumishi wa Mungu jifunze basi kuandika vichwa vya habari kwa Kiswahili fasaha. Au uwe na mwandishi mtaalam wa lugha ya kiswahili ili awe anakuandikia kwa kuzingatia kiswahili fasaha.. Azingatie mpangilio sahihi wa sentence, matumizi sahihi ya maneno, matumizi sahihi ya herufi, mfano penye herufi R pasiwekwe L, penye herufi H pasiwekwe A. n.k. Ni ushauri tu kwa nia njema. Nafuatilia sana mahubiri yako na ninabarikiwa sana.
Ujaelewa Nini hapo mkuu mwaya ev pascal endelea kubarikiwa sana❤
Ni kweli Upo sahihi.
@@JosephineJacob-zo8sqjamani km ingekua ni kuandika tu vitu hivyo visingefundishwa shuleni mimi pia nakubaliana na hii comment Mwinjilisti ana mafunzo mazuri ila ushauri aliopewa akiuzingatia itapendeza zaidi ni vema kutumia lugha kwa ufasaha pale inapowezekana na sio mradi kuandika mfn neno hadharani imeandikwa hazalani yaani mpaka ladha ya neno inapotea
@@JosephineJacob-zo8sqUnapokataa ushauri mzuri wa wengine ni sawa na kuungana na wanaopinga kazi nzuri anayofanya Ev Paschal kwani kwa sehemu kubwa anafundisha na kushauri wengine kubadilika.
Yaan anakosea sana kichwa cha habari. Angetafuta mwandishi WA lugha
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu t mtie moyo huyu Binti ana kusudi la mu.ngu❤
Uuweeh!!!!sisemi kitu. God is GREAT,OMNIPOTENT OMNIPRESENT AND EVERLASTING ALPHA AND OMEGA.WONDERFULL REVALIDATION, BE BLESSED AND PROTECTED MAN OF GOD
.
SOMO ZURI SANA, NAMNA YA KUWA KIUMBE KIPYA. EXCELLENT! HALLELUYA HALLELUYA HALLELUYA
Ameeen, Mungu anisaidie niwe kiumbe kipya maishani mwangu siku zote.
Amen wanaokukosoa ni masinagogi ya shetani usiwasikilize Mtumishi pascal
Ushauri Mzuri Sanaa Mungu amtunze Irene.
Amen Amen 🙏 unapobadilishwa rohoni na mwilini unabadilika. Mungu azidi kukuinua na kukutunza mtumishi. Bali kichwa hakiendani na ujumbe huu jameni. Mwandishi aangalie hapo vizuri
Nataman awe anaandika kimchwa kama mtu wa Mungu na si kama waandishi wa dunia ili kuvutia viewers
Amina Mtumwa wa Mungu kwa ujumbe wenye nguvu
Nimekuelewa hakika Tukaze mwendo kasi 🙏🙏🙏🙏
Olombi solo ndeko cassiane merci beaucoup évangéliste santé sana kipenzi chawapenda ukweli🎉🎉🎉❤❤❤
Nikweli kichwa cha habari kimeharibiwa kuwamakini mtumishi
Irene Uwoya kajipodoa hadi sura yake inaonekana kama ya marine spirit!
Amen amen wimbo umenibariki
Kuna wimbo mmoja paschal Cassian kaimba unaitwa "UTAMALIZAJE" hicho ndicho alichokifanya Irene uwoya kwamba japo yeye kaanza vibaya ila Leo kaamua amalize vizuri, usipotelee mwisho ndugu na rafiki yangu, wengi wanaanza vizuri ila wanapotelea mwisho, ila huyu kachagua kumaliza vizuri
Wewe unayesema wanapenda tu hela iposiku utayakumbuka hayo maneno hayo na hizo pesa unazo semea zisiwe msaada kwako
Nakukubali sana mtumishi. Mungu aendelee kumbariki Irene
Amen Mtumishi
Ubarikowe sana mchungaji
Umeonge ukweli kabisa nikama umenifaliji kwa changa Moto ninayo pitia
Mungu nimwema
Maubiri yako hua inanijenga sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
Huyu Mungu mnayemfanya kama mzimu wa Wamababu zenu , iko siku atakuja kuwauliza maswali mda si mrefu. Eti mungu amenitokea. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Irine bana😢😢😢😢😢
Mnaosema kasian atofautishe l na r acheni izo bora mnaelewa... Mungu Anamtumia ivo.
@@BerylSeer1 kwani akitofautisha r na l ndo Mungu ataacha kumtumia?
Kwa kweli wamuache Paschal wetu
Kikubwa kweli ya Neno la uzima wa mililele analitangaza kwa ulimwengu wote halafu ikumbukwe huyo ni sukumaland og mambo ye herufi yesikupe taabu jali Neno kama unalielewa halafu litendee kazi
Amen mtumishi wa Mungu.
Wadada wengi wameingia kwenye uovu kwasbb tu ya kuambiwa na watu kuwa wao ni wazuri sana.
Pascal usiendeleze hiyo habari ya kumsifia uzuri wa nje ambao unapoteza wengi.
We mwambie mambo ya msingi ya kufanya baada ya kuisikia hiyo sauti ya Mungu.
Irene ni wa kawaida tu kama wanawake wengine.
Aisee huu ulimwengu huu😢
Kule hawatokagi kirahisi
Angalia isije kuwa mtego
Eeh Bwana YESU tusaidie
kaka n kwel kbsa upo sahihi mungu akuinue Sana.
Sawa kabisa Mtumishi mshauri zaidi asipotezwe na manabii wa uongo usiishie hapo,
Mtumishi huburi mbaka mwisho tuko nawe BWANA YESU asifiwe
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Mungu awe naye Irene anapoanza safari hii ya mbinguni. Mungu ampatanishe na watumishi walio wa kweli hasije akandanganywa maana madhau nyingi tunazoabudia sio zote za Kristo, wengi wanasema wameokoko lakini rohoni ni nyoka tu.
Peço oração para cura e libertação / livramento.
Receive the deliverance in the mighty name of Jesus Christ Amen 🙏
Receive healing from above God in Jesus name. May you be delivered in Jesus name.
Mchungaji ukihubiri navarikiwa, kanisa lako liko wapi
Mtumishi Mungu akusaidie kujua kutofautisha herufi kati ya r na l.... Kazi njema Mungu azidi kukuinua Amen
Unasikiliza upone au utafiti. Unasikiliza mahubili au anaangalia maandishi ukosoe, roho za utafiti ni chukizo mbele za mungu
Ao wanao tafit elufi ni mashabiki wala sio wanao fata mafundisho ata ukiwapa machungwa wao wataona malimao tu
Mbona hapa hatuisikii injili Bali ni maneno TU jamani
Ausikii kwa sababu una mas olio lakini usikii neno ni 2wakoritho Anza kusikiliza upya
@@HellenMonace mmmm
Amena mtumishi🇨🇩🇨🇩🇨🇩
❤amen mtumishi
Amen Amen
Truee be blessed
Ubarikie jasiri WA wanyonge
Hata mimi nilivyomuona nilazima apate kanisa atakalo fundishwa hawezi vaa vipini kwenye mdomo useme umeokoka ushauri mzuri
Yeeeee tuueimkraeh mama Eno ma cungu
Ila shida ya cassian hajui kuandika vizuri..sasa ndiyo nini hicho kaandika
MTUMISHI WA MUNGU,, UWE unaandika heading vizuri🤭🤭
BARIKIWA
Kweli kbs mtumishi, tumtie moyo
Upo sahihi kabisa mtumishi
Vichwa vya habari vya UONGO navyo ni DHAMBI!
We ndo hujaelewa aina ya upendo.umekariri mmoja
Always USHABIKI kills “critical thinking.” Kwa akili yako unaona “heading = content?”
Kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwani kichwa cha somo munataka akiandaeje labuda niwaulize
Mnataka tu pesa zetu bc mnayoandika mengi kueleze ni tofauti huna jipya.mzee wa kukosoa
Ww nae kama jehu tu kila siku kusema watu tu hata kama ni mm nakuweka ndani kwanza una uhuni mwingi ulikua ukiomba sadaka za kujenga kanisa ilo kanisa liko wapi muhuni wa wahuni tu
Amina
Amen Amen 🙏🙏
Hakika ni sahihi
AMENI
❤❤
Jamani wengi wanaifasiri biblia kwa mawazo Yao TU
camera man aandike vizuri vichwa vya habari, tena kwa lugha fasaha, maana inaleta utata sana.
Mbona Sasa hatuelewi Tena hadithi Gani hiyo unayotuletea Tena hapa
Watu ndio wana isha sio dunia
Wewe jamaa sikuelewagi upo wap.
Kumtumikia MUNGU sio kwa kukurupuka hivo
Wow
Jamani kwani kumsigia mtu tatizo
Wewe nae muda mwingine unakuwa kama content creator
Unataka mteremko
Tupe ujumbe mjubee wetu
AMEIN
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ila tu asifate mihemko ya mjini
Mtu hunena yaujazayo moyo wake
🎉🙏
C'est ça
WEWE ni Mtafuta kiki tu WEWE KUHUBIRI kwako ni majina ya watu maarufu tuuuuuu. SASA unatangaza mahaba mkeo kafa?
Nakubaliana nawe, HAKUNA HUDUMA KAMA HII KWENYE BIBILIA. HALAFU HAKUNA HATA MTU ANAYEOKOKA. NI MIPASHO TU😢
@@BishopEllie wewe unayesema hakuna huduma kama hii! Yako iko wapi na "wanaokoka" wako wapi? Mnajua maana ya kuokoka ama unalisema tu? Ukisema umeokoka unakosea maana na sasa maneno yako haya utayatolea hesabu. Amin nawaambieni siku ya parapanda ikilia watumishi wengi watapigwa sana na watumishi wao kwa kutowafundisha kuacha dhambi... fundishe vituko vyenu lkini siku hiyo ninaiona ikaribu sana watu watalia
@@benjaminlijongwa3715 majina ya watu maarufu kama kina nani? Akiwaomba pesa au? Ama ni nini kimewauma ni kusema Irene ambaye ni mchanga kiroho afundishwe na aongozwe kwa njia iliyo sawa. Mbona mnapenda kulalamika tu jameni! Mbingu mnaona kama ni mchezo kuingia.
@@BishopEllieUsiseme hakuna anayeokoka mbona mimi nimeokoka na kukuzwa kiroho acha wivu wa shetani wewe, wewe ndio uliokoa wangapi kwani??
Sijamuelewa
Aminaaaaa
👁👁
Ee wewe unakuwa bise kusema wenzio mbona wewe hawakusemi hujiulizi
Iniciar
Kasiani Ni Mtumishi Wa Musa sio Wa kristo kwanini? Kwa sababu Anayo yafundisha ndo yaleyale ambayo Watumishi Wa Musa au wachungaji walitumwa na Musa Wakayahubiri ambayo ni uongo
𝑴𝑼𝑵𝑮𝑼 𝒎𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆𝒘𝒆 𝒂𝒍𝒊𝒆 𝒎𝒖𝒊𝒕𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊 𝒂𝒅𝒉𝒊𝒉𝒊𝒍𝒊𝒌𝒆 𝒌𝒘𝒂 𝒂𝒊𝒍𝒊𝒏 𝒘𝒐𝒚𝒂, 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒍𝒐𝒉𝒐 𝒏𝒂 𝒎𝒘𝒊𝒍𝒊 𝒌𝒖𝒘𝒆𝒌𝒐 𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊𝒌𝒐 𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊 𝑴𝑼𝑵𝑮𝑼 𝒂𝒌𝒖𝒔𝒂𝒊𝒅𝒊𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒏𝒋𝒊𝒂 𝒉𝒊𝒚𝒐 𝒔𝒊𝒐 𝒍𝒂𝒉𝒊𝒔𝒊
Amen