CASSIAN ATANGAZA UPENDO HAZALANI KWA AIRINI WOYA WA BONGO MOOV EV PASCHAL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #

Комментарии • 110

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Месяц назад +32

    Ila mtumishi wa Mungu jifunze basi kuandika vichwa vya habari kwa Kiswahili fasaha. Au uwe na mwandishi mtaalam wa lugha ya kiswahili ili awe anakuandikia kwa kuzingatia kiswahili fasaha.. Azingatie mpangilio sahihi wa sentence, matumizi sahihi ya maneno, matumizi sahihi ya herufi, mfano penye herufi R pasiwekwe L, penye herufi H pasiwekwe A. n.k. Ni ushauri tu kwa nia njema. Nafuatilia sana mahubiri yako na ninabarikiwa sana.

    • @JosephineJacob-zo8sq
      @JosephineJacob-zo8sq Месяц назад

      Ujaelewa Nini hapo mkuu mwaya ev pascal endelea kubarikiwa sana❤

    • @mhelezijoackim-kl9vb
      @mhelezijoackim-kl9vb Месяц назад +2

      Ni kweli Upo sahihi.

    • @shaloom-it4qs
      @shaloom-it4qs Месяц назад +2

      ​@@JosephineJacob-zo8sqjamani km ingekua ni kuandika tu vitu hivyo visingefundishwa shuleni mimi pia nakubaliana na hii comment Mwinjilisti ana mafunzo mazuri ila ushauri aliopewa akiuzingatia itapendeza zaidi ni vema kutumia lugha kwa ufasaha pale inapowezekana na sio mradi kuandika mfn neno hadharani imeandikwa hazalani yaani mpaka ladha ya neno inapotea

    • @omuze1290
      @omuze1290 Месяц назад

      ​​@@JosephineJacob-zo8sqUnapokataa ushauri mzuri wa wengine ni sawa na kuungana na wanaopinga kazi nzuri anayofanya Ev Paschal kwani kwa sehemu kubwa anafundisha na kushauri wengine kubadilika.

    • @happynesjohn9005
      @happynesjohn9005 Месяц назад

      Yaan anakosea sana kichwa cha habari. Angetafuta mwandishi WA lugha

  • @aishambuma1716
    @aishambuma1716 23 дня назад +1

    Amen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu t mtie moyo huyu Binti ana kusudi la mu.ngu❤

  • @EstherOdindo-s4i
    @EstherOdindo-s4i 18 дней назад

    Uuweeh!!!!sisemi kitu. God is GREAT,OMNIPOTENT OMNIPRESENT AND EVERLASTING ALPHA AND OMEGA.WONDERFULL REVALIDATION, BE BLESSED AND PROTECTED MAN OF GOD
    .

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je Месяц назад +2

    SOMO ZURI SANA, NAMNA YA KUWA KIUMBE KIPYA. EXCELLENT! HALLELUYA HALLELUYA HALLELUYA

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Месяц назад +2

    Ameeen, Mungu anisaidie niwe kiumbe kipya maishani mwangu siku zote.

  • @SafelyMinga
    @SafelyMinga 28 дней назад +1

    Amen wanaokukosoa ni masinagogi ya shetani usiwasikilize Mtumishi pascal

  • @herielkishimbo9052
    @herielkishimbo9052 Месяц назад +3

    Ushauri Mzuri Sanaa Mungu amtunze Irene.

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire Месяц назад +1

    Amen Amen 🙏 unapobadilishwa rohoni na mwilini unabadilika. Mungu azidi kukuinua na kukutunza mtumishi. Bali kichwa hakiendani na ujumbe huu jameni. Mwandishi aangalie hapo vizuri

    • @Mchiwalalatz
      @Mchiwalalatz Месяц назад +2

      Nataman awe anaandika kimchwa kama mtu wa Mungu na si kama waandishi wa dunia ili kuvutia viewers

  • @pracksedachrispine5504
    @pracksedachrispine5504 Месяц назад +1

    Amina Mtumwa wa Mungu kwa ujumbe wenye nguvu

  • @Mwesige-s8q
    @Mwesige-s8q 24 дня назад +1

    Nimekuelewa hakika Tukaze mwendo kasi 🙏🙏🙏🙏

  • @PatientGastonkawaya
    @PatientGastonkawaya Месяц назад +1

    Olombi solo ndeko cassiane merci beaucoup évangéliste santé sana kipenzi chawapenda ukweli🎉🎉🎉❤❤❤

    • @bennymayao4560
      @bennymayao4560 Месяц назад

      Nikweli kichwa cha habari kimeharibiwa kuwamakini mtumishi

  • @omuze1290
    @omuze1290 Месяц назад +2

    Irene Uwoya kajipodoa hadi sura yake inaonekana kama ya marine spirit!

  • @mawazomarceline899
    @mawazomarceline899 27 дней назад +1

    Amen amen wimbo umenibariki

  • @JoelCharles-mv4zb
    @JoelCharles-mv4zb Месяц назад +1

    Kuna wimbo mmoja paschal Cassian kaimba unaitwa "UTAMALIZAJE" hicho ndicho alichokifanya Irene uwoya kwamba japo yeye kaanza vibaya ila Leo kaamua amalize vizuri, usipotelee mwisho ndugu na rafiki yangu, wengi wanaanza vizuri ila wanapotelea mwisho, ila huyu kachagua kumaliza vizuri

  • @MaikoSigala
    @MaikoSigala 17 дней назад

    Wewe unayesema wanapenda tu hela iposiku utayakumbuka hayo maneno hayo na hizo pesa unazo semea zisiwe msaada kwako

  • @suzanejacobo6910
    @suzanejacobo6910 Месяц назад

    Nakukubali sana mtumishi. Mungu aendelee kumbariki Irene

  • @MilionerLee-fr7zm
    @MilionerLee-fr7zm 25 дней назад +1

    Amen Mtumishi

  • @RehemaManase-t7j
    @RehemaManase-t7j 16 дней назад

    Ubarikowe sana mchungaji

  • @chongeranzeimanakabaziro
    @chongeranzeimanakabaziro 27 дней назад +1

    Umeonge ukweli kabisa nikama umenifaliji kwa changa Moto ninayo pitia

  • @LeoniaAroisi
    @LeoniaAroisi 27 дней назад +1

    Mungu nimwema

  • @gggghhhbh5755
    @gggghhhbh5755 23 дня назад

    Maubiri yako hua inanijenga sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад

    Huyu Mungu mnayemfanya kama mzimu wa Wamababu zenu , iko siku atakuja kuwauliza maswali mda si mrefu. Eti mungu amenitokea. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Irine bana😢😢😢😢😢

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 Месяц назад +2

    Mnaosema kasian atofautishe l na r acheni izo bora mnaelewa... Mungu Anamtumia ivo.

    • @shaloom-it4qs
      @shaloom-it4qs Месяц назад

      @@BerylSeer1 kwani akitofautisha r na l ndo Mungu ataacha kumtumia?

    • @monicaelias3801
      @monicaelias3801 Месяц назад

      Kwa kweli wamuache Paschal wetu

    • @monicaelias3801
      @monicaelias3801 Месяц назад

      Kikubwa kweli ya Neno la uzima wa mililele analitangaza kwa ulimwengu wote halafu ikumbukwe huyo ni sukumaland og mambo ye herufi yesikupe taabu jali Neno kama unalielewa halafu litendee kazi

  • @Alan-g2t
    @Alan-g2t Месяц назад +1

    Amen mtumishi wa Mungu.

  • @DominicaUggy-em8vc
    @DominicaUggy-em8vc Месяц назад +4

    Wadada wengi wameingia kwenye uovu kwasbb tu ya kuambiwa na watu kuwa wao ni wazuri sana.
    Pascal usiendeleze hiyo habari ya kumsifia uzuri wa nje ambao unapoteza wengi.
    We mwambie mambo ya msingi ya kufanya baada ya kuisikia hiyo sauti ya Mungu.
    Irene ni wa kawaida tu kama wanawake wengine.

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 Месяц назад

    Aisee huu ulimwengu huu😢
    Kule hawatokagi kirahisi
    Angalia isije kuwa mtego
    Eeh Bwana YESU tusaidie

  • @VeronikaMatheo
    @VeronikaMatheo Месяц назад

    kaka n kwel kbsa upo sahihi mungu akuinue Sana.

  • @pinieliedward5992
    @pinieliedward5992 Месяц назад

    Sawa kabisa Mtumishi mshauri zaidi asipotezwe na manabii wa uongo usiishie hapo,

  • @GrdMwika
    @GrdMwika Месяц назад

    Mtumishi huburi mbaka mwisho tuko nawe BWANA YESU asifiwe

  • @ZachaliaJoseph-rp7nt
    @ZachaliaJoseph-rp7nt Месяц назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire Месяц назад

    Mungu awe naye Irene anapoanza safari hii ya mbinguni. Mungu ampatanishe na watumishi walio wa kweli hasije akandanganywa maana madhau nyingi tunazoabudia sio zote za Kristo, wengi wanasema wameokoko lakini rohoni ni nyoka tu.

  • @LucasAgostinhoMesa
    @LucasAgostinhoMesa Месяц назад +1

    Peço oração para cura e libertação / livramento.

    • @The-Sword-Of-Endtimes
      @The-Sword-Of-Endtimes Месяц назад

      Receive the deliverance in the mighty name of Jesus Christ Amen 🙏

    • @MGALILAYABillionaire
      @MGALILAYABillionaire Месяц назад

      Receive healing from above God in Jesus name. May you be delivered in Jesus name.

  • @RehemaManase-t7j
    @RehemaManase-t7j 16 дней назад

    Mchungaji ukihubiri navarikiwa, kanisa lako liko wapi

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 Месяц назад +1

    Mtumishi Mungu akusaidie kujua kutofautisha herufi kati ya r na l.... Kazi njema Mungu azidi kukuinua Amen

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 Месяц назад

    Unasikiliza upone au utafiti. Unasikiliza mahubili au anaangalia maandishi ukosoe, roho za utafiti ni chukizo mbele za mungu

    • @Filemonclemens
      @Filemonclemens Месяц назад +1

      Ao wanao tafit elufi ni mashabiki wala sio wanao fata mafundisho ata ukiwapa machungwa wao wataona malimao tu

  • @ThomasMsigala-r1i
    @ThomasMsigala-r1i Месяц назад +2

    Mbona hapa hatuisikii injili Bali ni maneno TU jamani

    • @HellenMonace
      @HellenMonace 23 дня назад

      Ausikii kwa sababu una mas olio lakini usikii neno ni 2wakoritho Anza kusikiliza upya

    • @ThomasMsigala-r1i
      @ThomasMsigala-r1i 22 дня назад

      @@HellenMonace mmmm

  • @ByamunguErnest
    @ByamunguErnest Месяц назад

    Amena mtumishi🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @MichaelMgabe
    @MichaelMgabe 26 дней назад

    ❤amen mtumishi

  • @Francomsangawale
    @Francomsangawale Месяц назад +1

    Amen Amen

  • @LovenessMussa-r9e
    @LovenessMussa-r9e Месяц назад

    Truee be blessed

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio Месяц назад

    Ubarikie jasiri WA wanyonge

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 29 дней назад

    Hata mimi nilivyomuona nilazima apate kanisa atakalo fundishwa hawezi vaa vipini kwenye mdomo useme umeokoka ushauri mzuri

  • @aishambuma1716
    @aishambuma1716 23 дня назад

    Yeeeee tuueimkraeh mama Eno ma cungu

  • @boniphacemabala4551
    @boniphacemabala4551 Месяц назад

    Ila shida ya cassian hajui kuandika vizuri..sasa ndiyo nini hicho kaandika

  • @MaryShirima-yw3kp
    @MaryShirima-yw3kp Месяц назад

    MTUMISHI WA MUNGU,, UWE unaandika heading vizuri🤭🤭

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o Месяц назад

    BARIKIWA

  • @edwinezawadi2736
    @edwinezawadi2736 Месяц назад

    Kweli kbs mtumishi, tumtie moyo

  • @MaryKibani
    @MaryKibani Месяц назад

    Upo sahihi kabisa mtumishi

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 Месяц назад +2

    Vichwa vya habari vya UONGO navyo ni DHAMBI!

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Месяц назад

      We ndo hujaelewa aina ya upendo.umekariri mmoja

    • @dicksondkaganga1290
      @dicksondkaganga1290 Месяц назад

      Always USHABIKI kills “critical thinking.” Kwa akili yako unaona “heading = content?”

    • @janethEmmanuel-n8h
      @janethEmmanuel-n8h Месяц назад

      Kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JoshuaKagoma-l9j
    @JoshuaKagoma-l9j Месяц назад

    Kwani kichwa cha somo munataka akiandaeje labuda niwaulize

  • @Janeth-r1c
    @Janeth-r1c 19 дней назад

    Mnataka tu pesa zetu bc mnayoandika mengi kueleze ni tofauti huna jipya.mzee wa kukosoa

  • @renatus5687
    @renatus5687 Месяц назад

    Ww nae kama jehu tu kila siku kusema watu tu hata kama ni mm nakuweka ndani kwanza una uhuni mwingi ulikua ukiomba sadaka za kujenga kanisa ilo kanisa liko wapi muhuni wa wahuni tu

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika Месяц назад

    Amina

  • @QueenNyondo-h1m
    @QueenNyondo-h1m Месяц назад

    Amen Amen 🙏🙏

  • @pastorlazarosamwelkilala5795
    @pastorlazarosamwelkilala5795 Месяц назад

    Hakika ni sahihi

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o Месяц назад

    AMENI

  • @MaikoSigala
    @MaikoSigala 17 дней назад

    ❤❤

  • @ThomasMsigala-r1i
    @ThomasMsigala-r1i Месяц назад

    Jamani wengi wanaifasiri biblia kwa mawazo Yao TU

  • @Julius77722
    @Julius77722 Месяц назад

    camera man aandike vizuri vichwa vya habari, tena kwa lugha fasaha, maana inaleta utata sana.

  • @ThomasMsigala-r1i
    @ThomasMsigala-r1i Месяц назад

    Mbona Sasa hatuelewi Tena hadithi Gani hiyo unayotuletea Tena hapa

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj Месяц назад

    Watu ndio wana isha sio dunia

  • @KedmondHaule-fy8uj
    @KedmondHaule-fy8uj Месяц назад

    Wewe jamaa sikuelewagi upo wap.
    Kumtumikia MUNGU sio kwa kukurupuka hivo

  • @opendoJacob
    @opendoJacob Месяц назад

    Wow

  • @aframhenga8705
    @aframhenga8705 Месяц назад

    Jamani kwani kumsigia mtu tatizo

  • @foncetecelectricalandelect34
    @foncetecelectricalandelect34 Месяц назад +1

    Wewe nae muda mwingine unakuwa kama content creator

  • @AmosCharo-m4u
    @AmosCharo-m4u Месяц назад +1

    Tupe ujumbe mjubee wetu

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o Месяц назад

    AMEIN

  • @wanejohnmsukwa6590
    @wanejohnmsukwa6590 Месяц назад

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @JoelCharles-mv4zb
    @JoelCharles-mv4zb Месяц назад

    Ila tu asifate mihemko ya mjini

  • @marthanatumwa
    @marthanatumwa 23 дня назад

    Mtu hunena yaujazayo moyo wake

  • @HermanDaud-k9b
    @HermanDaud-k9b Месяц назад

    🎉🙏

  • @PatientGastonkawaya
    @PatientGastonkawaya Месяц назад

    C'est ça

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Месяц назад +2

    WEWE ni Mtafuta kiki tu WEWE KUHUBIRI kwako ni majina ya watu maarufu tuuuuuu. SASA unatangaza mahaba mkeo kafa?

    • @BishopEllie
      @BishopEllie Месяц назад

      Nakubaliana nawe, HAKUNA HUDUMA KAMA HII KWENYE BIBILIA. HALAFU HAKUNA HATA MTU ANAYEOKOKA. NI MIPASHO TU😢

    • @MGALILAYABillionaire
      @MGALILAYABillionaire Месяц назад

      @@BishopEllie wewe unayesema hakuna huduma kama hii! Yako iko wapi na "wanaokoka" wako wapi? Mnajua maana ya kuokoka ama unalisema tu? Ukisema umeokoka unakosea maana na sasa maneno yako haya utayatolea hesabu. Amin nawaambieni siku ya parapanda ikilia watumishi wengi watapigwa sana na watumishi wao kwa kutowafundisha kuacha dhambi... fundishe vituko vyenu lkini siku hiyo ninaiona ikaribu sana watu watalia

    • @MGALILAYABillionaire
      @MGALILAYABillionaire Месяц назад

      @@benjaminlijongwa3715 majina ya watu maarufu kama kina nani? Akiwaomba pesa au? Ama ni nini kimewauma ni kusema Irene ambaye ni mchanga kiroho afundishwe na aongozwe kwa njia iliyo sawa. Mbona mnapenda kulalamika tu jameni! Mbingu mnaona kama ni mchezo kuingia.

    • @danielgarry538
      @danielgarry538 Месяц назад +1

      ​@@BishopEllieUsiseme hakuna anayeokoka mbona mimi nimeokoka na kukuzwa kiroho acha wivu wa shetani wewe, wewe ndio uliokoa wangapi kwani??

    • @Revocatusfeli
      @Revocatusfeli Месяц назад

      Sijamuelewa

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Месяц назад

    Aminaaaaa

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 Месяц назад

    👁👁

  • @AngelKayagiro
    @AngelKayagiro Месяц назад

    Ee wewe unakuwa bise kusema wenzio mbona wewe hawakusemi hujiulizi

  • @LucasAgostinhoMesa
    @LucasAgostinhoMesa Месяц назад

    Iniciar

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320 Месяц назад

    Kasiani Ni Mtumishi Wa Musa sio Wa kristo kwanini? Kwa sababu Anayo yafundisha ndo yaleyale ambayo Watumishi Wa Musa au wachungaji walitumwa na Musa Wakayahubiri ambayo ni uongo

  • @Franklajifaunuel
    @Franklajifaunuel Месяц назад

    𝑴𝑼𝑵𝑮𝑼 𝒎𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆𝒘𝒆 𝒂𝒍𝒊𝒆 𝒎𝒖𝒊𝒕𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊 𝒂𝒅𝒉𝒊𝒉𝒊𝒍𝒊𝒌𝒆 𝒌𝒘𝒂 𝒂𝒊𝒍𝒊𝒏 𝒘𝒐𝒚𝒂, 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒍𝒐𝒉𝒐 𝒏𝒂 𝒎𝒘𝒊𝒍𝒊 𝒌𝒖𝒘𝒆𝒌𝒐 𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊𝒌𝒐 𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊 𝑴𝑼𝑵𝑮𝑼 𝒂𝒌𝒖𝒔𝒂𝒊𝒅𝒊𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒏𝒋𝒊𝒂 𝒉𝒊𝒚𝒐 𝒔𝒊𝒐 𝒍𝒂𝒉𝒊𝒔𝒊

  • @Malangalusaede
    @Malangalusaede Месяц назад

    Amen