Kabisaaaaa Nabii wa kwanza ni mm mwenyewe na ndio maana kila mtu anspokiri kitu kinakuwa hivyo hivyo Amen Mtumishi Paul Clement kwa kutubariki mwaka 2023😇😇🙏 na iwe hivyoo na kwako.
Much love from burundi Soma yeremiya29:11 Havugango kuko nzi ivyiyumviro mbiyumvirako Ni jewe uhoraho mbivuze,kwari ivyiyumviro vyamahoro atari ivyi'ivyago ,kugira ngo mbahe ivyizigiro vyomwiherezo ryanyu Amen mungu akubariki mtumishi wa mungu
NI MAPENZI YA MUNGU NIWE MTU WA MATOKEO KATIKA JINA LA YESU , AMEN , NAIWE HIVYO YOHANA 15:16 Mtumishi wa MUNGU PAUL C.M asante kwa Kuachilia Hazina nyingine hii ya Mbinguni. #MwakaWaUKUU2023
I agree with this word...I am head and not tail, my going in and out is blessed, I am moving from glory to glory,no weapon fashioned against my life shall prosper, my children are not for trouble but for signs and wonders and I shall live to see the goodness of the Lord in the land of the Living,Amen Amen Amen Surely goodness, mercies riches,wisdom,knowledge,presence of God,his favor,His peace that suppases human understanding shall follow us all the days of our lives and we shall dwell in the house of the Lord forever More ....Blessings to you man of God Paul
Paul you are another person kabisa.The song is annointed.Mtu akiyapokea haya maneno kwa imani inakuwa kama ulivyotamka.This song has lifted my spirt so much. God bless you minister Paul Clement
I heard this song on Nyce Wanjeri's Gender Reveal Party video. I had to look for it. I'm blessed. I'm anointed. I'm great. Covered by the blood. Nimebarikiwa mjini na mashambani.
The first time I listened to this song was from Kambua reels and I felt so encouraged . I felt a strong message and now am always playing it everyday , it's my ringtone Amen 🙏 na hiwehivyo Amen.
Can't seem to have enough of this song.....wow...my daily morning prayer. May God elevate you higher and higher Clement. What a powerful song! Glory to God 🙏 Amen Amen
3 YOHANA 1:2
Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Amen Amen Amen
GOD BLESS YOU bro Paul Clement😊😊
Amen na iwe hivyo
Amen amen 🙏 may God bless you sir 🙏
Amen
Who else came back here for the 7th time ? 😢
LORD, I thank you for your SALVATION upon me 🙏🏼
Here in 2024 praying to get a job and good health remember me in your prayers
God is still on the Throne!
He will do it 🫂🙏
Kabisaaaaa Nabii wa kwanza ni mm mwenyewe na ndio maana kila mtu anspokiri kitu kinakuwa hivyo hivyo Amen Mtumishi Paul Clement kwa kutubariki mwaka 2023😇😇🙏 na iwe hivyoo na kwako.
Barikiwa sana wajina🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙌
Amen!
Kila nikanyagapo patakuwa pakwangu...nitakuwa wakwanza Wala so wamwisho🤍...sitakufa Bali nitaishi..😇😇.
Amen..naiwe ivyoo🤍
Woow this made my day this morning..... Ameen na iwe Ivo KWA kila jema maishani mwangu.
Much love from burundi
Soma yeremiya29:11 Havugango kuko nzi ivyiyumviro mbiyumvirako
Ni jewe uhoraho mbivuze,kwari ivyiyumviro vyamahoro atari ivyi'ivyago ,kugira ngo mbahe ivyizigiro vyomwiherezo ryanyu Amen mungu akubariki mtumishi wa mungu
Thanks paul Clement for allowing the holy spirit to use to release this annointed song ❤❤❤from Kenya 🇰🇪 blessed.
Na iwe hivyo kwa jina la yesu😊😢❤
Na pokea yote kwa jina la Yesu Amina
Ameeeeeeen na iwe hivyo katika jina la yesu kristu
What a song ' I receive the prophecy in Jesus Name'
NI MAPENZI YA MUNGU NIWE MTU WA MATOKEO KATIKA JINA LA YESU , AMEN , NAIWE HIVYO
YOHANA 15:16
Mtumishi wa MUNGU PAUL C.M asante kwa Kuachilia Hazina nyingine hii ya Mbinguni.
#MwakaWaUKUU2023
What a song! Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen Nimebarikiwa
uzidi kuinuliwa mtumishi wa Mungu
I agree with this word...I am head and not tail, my going in and out is blessed, I am moving from glory to glory,no weapon fashioned against my life shall prosper, my children are not for trouble but for signs and wonders and I shall live to see the goodness of the Lord in the land of the Living,Amen Amen Amen
Surely goodness, mercies riches,wisdom,knowledge,presence of God,his favor,His peace that suppases human understanding shall follow us all the days of our lives and we shall dwell in the house of the Lord forever More ....Blessings to you man of God Paul
Amen and amen
Amém amém amém
Hallelujah
Amen...Na iwe hivyo kwa jina la YESU
Paul you are another person kabisa.The song is annointed.Mtu akiyapokea haya maneno kwa imani inakuwa kama ulivyotamka.This song has lifted my spirt so much.
God bless you minister Paul Clement
I heard this song on Nyce Wanjeri's Gender Reveal Party video. I had to look for it. I'm blessed. I'm anointed. I'm great. Covered by the blood. Nimebarikiwa mjini na mashambani.
Amen na iwe hivyo, nimetoka huko pia
Me too
Aaamen, naiwe hivyo 🙏🙏❤❤
Nabii was kwanza kwa maisha yako ni wewe mwenyewe 🙏🏼
Amina mtumishi MUNGU akutumie kwa viwango vya juu.
Hongera sanaa kaka unanibaliki sanaa yani ❤u sanaa Mungu akubarki sanaa🙏
Mungu abariki kazi zote za mikono yako, Mungu akubariki mjini na pia na shambani… Amen, na iwe hivyo 🙏🏾
AMEN na IWE IVYO, asante kwa maneno ya baraka !
Amen Amen Amen na imekuwa hivyo.
Mungu akutunze zaidi kaka🙏🙏🙏🎼🇹🇿🎼
Uongezeke uinuliwe uwe juu... my fav tag. ❤️
Been 8 months since learning this song na bado inabless❤
Amen na iwe hivyo kwa maisha yangu kama alivyo nena
Ameeeeeeen❤️🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
UTUKUFU KWA MUNGU,KWA KAZI YAKO NJEMA BLESSED MAN OF GOD
The first time I listened to this song was from Kambua reels and I felt so encouraged .
I felt a strong message and now am always playing it everyday , it's my ringtone
Amen 🙏 na hiwehivyo
Amen.
Kweli nabii wa kwanza ni mimi.Amen na iwe hivyo.....
Can't seem to have enough of this song.....wow...my daily morning prayer. May God elevate you higher and higher Clement. What a powerful song! Glory to God 🙏 Amen Amen
Me too! It's really a blessing
Huu ni zaid ya wimbo ni barak kwangu 🙏🙏
Ameen na iwe hiivyoo🙏🙏🙌🏾🙌🏾
Naiwe hivyo👐👐
Amen.."nabii was Kwanza ni wewe kwa maisha yako..ila nataka niseme neno juu ya maisha yako"...wimbo huu ni wa baraka
Amen Brother, Mungu akubariki. Amen
Nyce njeri ndo ameanya nitafute this song through her reveal party...this is am amazing song...AMEN
Same..such a prophetic song 🙏🙏
Amen na Hiwe hivyoo 🙌🙌🙌
Na iwe ivyo amennn 🙌🙌🙌 barikkwa kaka Paul
Kweli my situation saa hii haikuwa rahisi kwa akili lakini Yesu Amefanya...
AMEN NA IWE HIVYO 🔥🔥ALWAYS A BLESSING
Mungu aku bariki piya baba ❤️🙏🙏
Another day another song another blessings Mungu anaendele kukutumia
Amen Amen naiwe hivyo!!!
Whenever I'm unable to pray, I listen to this song and just cry, the song just speaks for me and have seen the favors and love from God 🥹🥹🥹🥹🙏🏻🙏🏻
I agree with the Word. Amen. Let the devil hear this.
Amen na iwe hivyo❤❤❤❤
Amen,na iwe hivo😊
Barikiwa sana Mtumishi Wa Mungu
The only Kenyan gospel song to make it to my playlist
This is Tanzanian gospel lol
Amen to each prophecy in this song!
Oooh Amen na iwe hivyo
Amen Amen Amen. Na iwe hivyo. 🙏🙏🙏🙏
Huwa ubahatisha Paul nice work
Amen amen naiweeeeee hiiivyo #goforward
Amen Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri sana🙏
Asante sana mama💓💓💓💓💓
I receive this prophecy❤️much love from 🇰🇪
Amen amen na iwe hivyo. Im blessed
Amen na iwe hivyo mbarikiwa!
Hii sio nyimbo bali ni ibada kamili. Uinuliwe kila siku mtumishi wa Mungu
Amina.Mungu akubariki sana Kaka Paul
Amen. Na iwe hivyo. Nimebarikiwa
Ameni🙌🏿🙏🏾 ni Mungu mwema
Wao nmemuona mdgo wangu God dah MUngu azidi kuwatumia
Nimebarikiwa sana, nabii ni mm mwenyewe🙏
Amen Amen na ishakua ivyo 🙏🏽
Amen! na iwe hivyo kwangu🎉
Amen, i can't get enough of this song.
Best Gospel singer 🇹🇿🇹🇿
Mungu akulinde brother ubarikiwe sana
Amen 🙏na iwe hivo
What a prayer.... My current favorite...been on repeat ..heard it 1st on Hope FM radio countdown and am hooked...
Amen na iwe hivyo..🤲
Hiyo key 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Nabarikiwa sana nahii nyimbo kaka
Amen mutumishi wa Mungu
Amen,Amen na iwe hivyo
Amennnnn🥺🙏🙏🙌🙌
This is a song of promises in 2023. I tap to the revelation of this song !!!
Amen ameen. Power declarations. Mwaka huu wa 2023 na iwe hivyo katika jina kuu la Yesu Kristo.
Amen na iwe hivyoooo❤❤🙏🙏
Amen, na iwe hivyo🙌🙌🙌
AMEN! Na iwe Hivyo!
Amen! Ishakuwa hivyo🎶
I receive the prophecy!! Amen Amen . Much love from 🇰🇪
Paul Clement has never disappointed God bless you so much for blessing me with yet another amazing song!!Another one for Jesus!
Amen na iwe hivyo 🙌
Amennnnn Mungu akubariki nawe
Amen Amen naiwe hivyo.
hakika umande wa mbinguni utustawishe AMEN❤❤❤❤❤
Ameeeen.... Na Iwe Hivyo
Ubarikiwe sana Paul 👏👏👏 amen 🙏 nahiwe hivyo
Amen na iwe ivyo ❤❤❤
Amen! Na iwe hivyo....
Amen, na iwe hivyo.
Amen naiwe ivyo❤❤❤❤❤God is good all the time❤❤❤❤
Amen nyimbo nzur