Innaalillah wainnaa ilaihi raaajiun.Tupo safari moja Mungu awasemehe madhambi yao na awalaze mahali pema.na waliopona wasiache kumshujuru Allah na ss tuliojionea pia tuschoke istighfar kwa mola wetu kwani hili ni fundisho tumejisahau sana waislam km kila shani ni zake yy M.mungu. Maashallah msomajii wetu umetulia na Mungu nawewe akupe kheir.
Mashallah Tabarak Rahamani. Utenzi mzuri na uzuri zaidi alivyoulekeza kwa dini. Mtungaji pongezi kupita kiasi na msomaji kausoma kwa sauti nzuri na kwa hisia kubwa. Walahi umeniliza.
Ahhhh huzun lazima lkn ndio ALLAH alivyopanga kikubwa ni wenye kuwa na subra na pia ni wenye kufanya Ibada na pia tuwaombee dua wenzetu waliotangulia ma pia ni wenye subra na mwenyezi mungu kashaahid kila mwenye subra wataingia Pepon lkn ukiwa ni mwenye kufanys ibada
Innallillah wainnallillah rajuun ni miaka 7 kesho tunatiza tangu tuwapotende ndugu zetu m/mungu awaalaze mahali peponi amiiin ,awaepushe na adhabau y kaburi
Dunia twapita tu, kila mtu itafika siku yake ataondoka. Mungu kawapa subira na atazidi kuwasubirisha. Inshallah Mungu awakutanishe na familia zao katika pepo ya firdausi. (AMEEEN)
Alaykum Al Sallam CHIA Hakukosea aliposema (kheri na shari ni zake Mola). Hiyo ni katika nguzo sita za imani ambazo kila muislam lazima amini. Kila kitabu na kila madhehebu tunaamini hayo Nguzo sita za imani --Imani ya Mola wetu na kuamini kua yupo --Amini kuna malaika japo huwaoni --Amini kuna vitabu vinne, lazima uvikubali Quran, Zabur,Taurat na Injili --Amini mitume bila kuwabagua --Amini siku ya kiama --Amini "qadari", mipango yake Allah kua Kheri zote na shari, zatoka kwake Rabana
Kabisa niliwahi kufanya fishing game yale maeneo ambapo meli ya mv spice ilizama wakati nahodha ananihadithia namna ya walivyokua wakiokoa watu,alishindwa kuendelea hadi machozi yalimtoka nikajua ni kiasi gani machungu ya ndugu zetu yalivyowapata.
MashaaAllah Mw Mungu akupe kila la kheri msomaji na awape walokufa kweny ajali hii pepo ya daraja la juu kabisa. Na tulobakia Mw Mungu atupe subira na atusameh kwa makosa tunoyajua na tusoyajua. INNA LILAHI WA INNA ILAYHI RAJIUN Amin
Ni utenzi mzuri sana.... na msomaji pia Mashallah. Allah awape kheri waliotayarisha na awajaliye utenzi huu uwe ni kwa ajili yake. Allah awajaaliye waliotangulia pepo na waliobakia SUBRA na Amali njema na atupe sisi Khatma njema. Kuhusu kuwa shari na kheri zote zinatokana na Allah hakuna shaka..... pia Allah mahala mwingi amesisitiza kuwa matendo yetu, hata hivyo, YEYE ndie MKADIRIAJI NA MUAMUAJI. Huu ni msingi Tauwhidi.
Inaniuma sn zaidi ya sn sina mengi ya kusema zaidi ya dua kuwaombea......maana mungu ndyo anajua wapi alipowahifadhi..... allaha awape kauli njema ww pamoja na mdogo wang kwa maana miaka 6 leo tangu mtupotee.
Innalillah wainnailaih rajiun Allah awasameh makosa yao haiwez kusahaulika ck hii Mana Si maskhara mama na watt au mama na watt na baba (Allahu akbar) huu ni ukumbusho tosha
hili shairi limenikuna si utani.Huyu mshairi anafahamika au?Kipaji anacho na hongera kede kede kama nimemnunia vile nampa.Thank you for putting this up.Thare is a lot to be thankful for in this world even when we are dirty poor.Having the ability to push air in and out of our chests is all the wealth we ever really need.
Hata usiseme ndgu yangu sitosahu mpk naingia kaburi ,Allah amsamehe mume wngu akhera alipo ilikua ndio kwnza biharus hata syajui machungu ya ndoa najua ndoa ni Raha tu ukaniacha kipenzi sitosahu
9/9/2024 Allah awafanyie wepes uko mliko Baba i miss u😭😭😭😭
Nasikitika sana kwan nilipoteza rafikizangu pamoja na mdogo wangu pamoja na waumini wezangu mungu walaze marehemu hao mahala pema pepon amina
Juma Salum Dah
Dah inauma Sana ila mungu ndo muweza wa yote mungu wasmehe madhbi yao ndugu zangu tuikumbukeni mauti muda wote lazima ulie
Amin
Polee Sana ndg yngu
Amiin
Amiin amiin yaarab. Mugu awasamehe madhambi yao
Innaalillah wainnaa ilaihi raaajiun.Tupo safari moja Mungu awasemehe madhambi yao na awalaze mahali pema.na waliopona wasiache kumshujuru Allah na ss tuliojionea pia tuschoke istighfar kwa mola wetu kwani hili ni fundisho tumejisahau sana waislam km kila shani ni zake yy M.mungu. Maashallah msomajii wetu umetulia na Mungu nawewe akupe kheir.
09.09.2020 still watching this tupia like km nawe waangalia
Utenz mzri mashallah ila nikiuskia nkumbuka msiba mzto ulitufika allah atupe subra
Still in my mind 9/9/2011 😭😭😭Tumepoteza ndugu zetu wengi Allah awafanyie wepes Inshallah
Allahuma Ameen
Tarehe kama ya leo Na Mwez kama waleo Ilitokea hii Kitu Allah Awajalie Khery katika makabur yao baba Nakukumbuka sana😭😭😭😭
😭😭😭 allah ataeajaalia kila la kheyr katika safari yao ya akhera ameen inshaallah🙏
Mashallah Tabarak Rahamani.
Utenzi mzuri na uzuri zaidi alivyoulekeza kwa dini.
Mtungaji pongezi kupita kiasi na msomaji kausoma kwa sauti nzuri na kwa hisia kubwa.
Walahi umeniliza.
Allah atukumbusha ss tunatafuta maisha na mauti yanatutafu allah atupe hatima njema
Amatunga mwenyewe huyo msomaji mariam wakigamboni dar
Allah Akbar mungu awape kauli thabit kwangu mm hii 9 -9-2011 sitoisahau maisha yangu mpaka mwisho wa maisha yangu 22:42
Ahhhh huzun lazima lkn ndio ALLAH alivyopanga kikubwa ni wenye kuwa na subra na pia ni wenye kufanya Ibada na pia tuwaombee dua wenzetu waliotangulia ma pia ni wenye subra na mwenyezi mungu kashaahid kila mwenye subra wataingia Pepon lkn ukiwa ni mwenye kufanys ibada
Innallillah wainnallillah rajuun ni miaka 7 kesho tunatiza tangu tuwapotende ndugu zetu m/mungu awaalaze mahali peponi amiiin ,awaepushe na adhabau y kaburi
Huu utenzi umekwenda shule hongera mtunzi na aliye ghani❤❤❤🎉🎉🎉
Hatutosahau daima ajali hii Allah awafanyie kheri waliotangulia mbele ya haki. 18.11.2024
Inaniuma sana kila nikiikumbuka hii siku sote niwa m/mungu na sote tutarejea kwake
Wallah inackitisha sana ila ndio kazi ya M/mungu haina mpiza
Allahuma Ameen
Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun
Dah ukweli haitosahaulika siku hii m'mungu awajaalie wawe minal-faaizina duniani na akhera
😭😭Bado tuna maumivu Allah awape nuru tulitaman tungekua tunadhuru hata makaburi yao lakin hawakuj juu maumivuu yaa Rabby
Kila nikikumbuka wallah roho inauma machozi yananitoka allah awape kauli thabit
Still in my memory i will never forget this day Ya Rabby 9/9/2011 😭😭😭😭😭
Dunia twapita tu, kila mtu itafika siku yake ataondoka.
Mungu kawapa subira na atazidi kuwasubirisha.
Inshallah Mungu awakutanishe na familia zao katika pepo ya firdausi. (AMEEEN)
Nassy2009 Ammin yarab
Allah awasameh na awahifadhi kwenye jannat firdaus yawe makaazi yao milele amiin 😢
Alaykum Al Sallam CHIA
Hakukosea aliposema (kheri na shari ni zake Mola). Hiyo ni katika nguzo sita za imani ambazo kila muislam lazima amini. Kila kitabu na kila madhehebu tunaamini hayo
Nguzo sita za imani
--Imani ya Mola wetu na kuamini kua yupo
--Amini kuna malaika japo huwaoni
--Amini kuna vitabu vinne, lazima uvikubali Quran, Zabur,Taurat na Injili
--Amini mitume bila kuwabagua
--Amini siku ya kiama
--Amini "qadari", mipango yake Allah kua Kheri zote na shari, zatoka kwake Rabana
Amni
Allah atujaliye mwisho mwema Isha Allah
Allah Akbar mungu awape kauli thabit kwangu mm hii 9 -9-2011 sitoisahau maisha yangu mpaka mwisho wa maisha yangu
Innallilah wayna ilaihi rajiuun Allah awasamehe makosa Yao ya dhahiri na ya siri na sisi atujaalie mwisho mwema🤲🤲🤲AMIIIN
Yaallah bihusni khatima😢😭😭😭 7 Oct 2024
Allah akbar mwenyezi Mungu awarehemu waja wote waliotangulia na tuliobak atupe mioyo ya iman tumsujudie yeye tu
Inahuzunisha saaana kila nikisikia huu utenzi siwezi kujizuia kulia siwajui waloangamia lakini inaniuma ndani ya roho Allah awape kauli thabit
Kabisa niliwahi kufanya fishing game yale maeneo ambapo meli ya mv spice ilizama wakati nahodha ananihadithia namna ya walivyokua wakiokoa watu,alishindwa kuendelea hadi machozi yalimtoka nikajua ni kiasi gani machungu ya ndugu zetu yalivyowapata.
Utez huu unaniliza Kila nilisikiliza ila Allah akulipe Kila la kher inshallah Dada yngu
Dah machozi yanitoka wamekufa mashahidi hawa malipo yao peponi inshallah
Allahuma Ameen
Allah awasamehe na sis atufanyie wepesi
Huu utenzi huwezi kujizuia usilie..
Walipotea watt 7 ukoo 1.. siwezi sahau..
Allah atujutanishe soote tukiwa jannah
Amin 2022
Kweli lazima ulie,nimewakumbuka wanafunzi wenzetu walikufa,wengine hawakupatikana,Allah wasamehe uwalipe pepo inshaaallah aaaamin.
hii story hatuwezi kuisahau milele😢😢😢😢inauma sana ila kaz y Allah haina makosa
Innah lillah Wainnah iley Rajioon
Allah awalaze pema penye wema wote WALIOTUTANGULIA 😭🤲
innaa lillah wa innaa ilayhi raaajiun!!!!! mungu warehemu na awasamehe madhambi yao wote waliofariki ktk ajali hiii
inaskitisha mungu awalze pema peponi amini
nasam saeed
Allah akuzidishie kheri dada Kwa waadhi,,,unotuzidisha uchaMungu...
Nilimpoteza rafiki yangu kipenz hadi leo ni kienda pemba n kuwa mpweke xn wallah sema subra muhimu xn jmn
Poleni Sana watanzania pia Mimi bdo nko na huzuni
Still in my memory, I will never forget this day 9/9/2011
Amiiiiiiiin allah awafanyie wepesi katka makabri Yao na ss atujaalie mwisho mwema wa maisha yetu
Allahuma Ameen
MashaaAllah
Mw Mungu akupe kila la kheri msomaji na awape walokufa kweny ajali hii pepo ya daraja la juu kabisa. Na tulobakia Mw Mungu atupe subira na atusameh kwa makosa tunoyajua na tusoyajua. INNA LILAHI WA INNA ILAYHI RAJIUN
Amin
inalilah Wa inailah rajiun
inalilah wainailaih rajuuni
tare..9.9.2011 ninalilahiwaninali.
Mm machuzi inani mwagika Allah awasamehe ndugu zetu na ss tunakuja hukohuko kama sio leo kesho inshallah
Inna lillah wainna ilayhim raajiun ALLAH awalaze mahali pema peponi. Kiukweli inauma lkn kazi ya mungu haina makosa
Innalillah wainna ilayh rajioun 😢 Allah awajaalie pepo y darja y juu kabisa ndugu zetu walotangulia n sisi atujaalie khatma njema amiin
pole sana kwa mkasa😭😭😭😭😭😭😭 ina uma sana Allah awape subri na utulivu
Binesi Haruni ,,,in shaa allah,,amiin
abiria lengo lake afike safari yake lakini dah!!!!!!!!!!
poleni tulobaki twahuzunika.
mipango ya mungu hii
Pole xn ndugu
INALILAHI WAINA ILAIHI RANJUUN
utenzi. Ramadhani
Inallilah wa inaillahi raajoon mola awape njema shufa waliotangulia inahuzunisha sana now is 11 years.
Dah leo nishakumbuka mbali
Ni utenzi mzuri sana.... na msomaji pia Mashallah. Allah awape kheri waliotayarisha na awajaliye utenzi huu uwe ni kwa ajili yake. Allah awajaaliye waliotangulia pepo na waliobakia SUBRA na Amali njema na atupe sisi Khatma njema. Kuhusu kuwa shari na kheri zote zinatokana na Allah hakuna shaka..... pia Allah mahala mwingi amesisitiza kuwa matendo yetu, hata hivyo, YEYE ndie MKADIRIAJI NA MUAMUAJI. Huu ni msingi Tauwhidi.
Inaniuma sn zaidi ya sn sina mengi ya kusema zaidi ya dua kuwaombea......maana mungu ndyo anajua wapi alipowahifadhi..... allaha awape kauli njema ww pamoja na mdogo wang kwa maana miaka 6 leo tangu mtupotee.
IDRISSAHAMAD uteziwa hukumu walajiriba namaliza yatima
tuwe pole wanzanzibar msiba huu ni wote sote
inauma na hatuwezi kusahau
Innalillah wainnailah rajiun,sote twapita tu ktk hii duni,Allah awasamehe na awarehemu,nasi pia Allah atusamehe na aturehemu,,,,..
mungu awaweke pema wote jaman
😭😭😭😭nmkumbk Leo so pouwa Allah awasamehe wote waliyo tangulia hiii SKU daa😭😭😭😭😭😭😭🙌
Allahumma aaammiin ya rabby kwa kila dua iloombwa humu ya rabby
Kila nnapoisikia utadhani km tukio limetokea jana
Allah ya Rahamani waughurie maiti wote waliotangulia, amiin amiin yarab.
mungu awalaze mahali pema pepon amina ixhaallh
Hicku cto isahau daima ktk uhai wangu 09/09/2011
9/09/2024 nipo hapa natazm hii
Innalillah wainna ilyh rajiuon...8 yrs now...Allah awarehm waliotangulia n azidi kuwapa subra wafiwa wote, n cc atujalie khatma njema, tijitahd kuwaombea duaa waliotangulia amiin
Mungu awalaze mahala pema peponi amiin
Hii siku kubwa sana kwetu mpaka Leo naona km jana yarabi wasamehe makosa yako ndugu zetu walotangulia
Daaah.....sitaweza kusahau jmn maana nilimpoteza mlezi na mdogo angu akiwa na mwezi tu bora tungepata ata maiti tukazika
pole sana
Zaharani Hassan ,,,,ahsante ni kazi ya mungu hii haina makosa
Rehema Bakari poleni saana wazenji
Rehema Bakari pole sana ndg yang
Rehema bakari pole sana mamy mtakutana firdous insha'Allah 😭😭😭😭😭
Amni yarabli 😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲Daima milele sitosahau hiii sku mngu awarehem wote walotangulia na azabu ya moto
Allahu akbar allah awasamehe na awape mema maqam yarrab
UTENZI MZURI LAKINI UNASKITISHA SANA ALLAH ATAWASEMEH WALIOTANGULIA
said ahmed amiin
Ammin hatutaweza kuisahau sku io n kilio chetu kikubwa allah awahifadh ndgu zetu n awasameh
Amiin
Amiin
😭😭😭😭Amina ishaallah 😢😢😢😢😢
Aisee haita sahaulika
INNALILLAH WAINNALILLAHI RAJIUN
Munguu awalaze mahala.pema peponi ni tukio lisilosahaulika ,lilitukumba wapembaa 😭😭😭
Mungu awalaze Mahal pema peponi
HII.TAREHE.9.9.2011.SITAISAHAI.KATU😢😢😢😢😭😭😭😭
Haifiki wiki lzm niusikiliz utenzi huu😭 sijawah kuach kulia🥺😭 haitapona kovu hii😭😭 Allah awasameh makosa yao🤲😭
Allah awape Kauli thabiti
Natamani kulia😢😢😮
😭Familia yangu watu 5 na mmoja ni mja mzito anakuja nyumban kujifungua hakuja juu hata mmoja maumivu Yaarabby wape nuru ukatukutnishe tena kwa furaha
😢
9/9 never forgotten ...allahuma ghfirlahum warhamhum waskanahum filjanna.... today its 7.years
amiin
Inna lillah wainna ilyh rajiun, kila nisikiapo utenzi huu hushindwa kujizuia machozi yananitoka. SUBHANALLAH
Death is inevitable .... Ameeen Yarab 😭
Innalillah wainnailaih rajiun Allah awasameh makosa yao haiwez kusahaulika ck hii Mana Si maskhara mama na watt au mama na watt na baba (Allahu akbar) huu ni ukumbusho tosha
Mungu awape kaul thabit innalillah wainnailayh rajiun 😭😭😭😭😭😭😭
Nikweli😢😢😢😢
Allah awarehem 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Allaah awarehem
mungu atakujaliya salama
Allahu Akbar😢
😢😓😭😭😭😭😭😭😭يارب حسن الخاتمة😥🙏🙏
Amiin
hili shairi limenikuna si utani.Huyu mshairi anafahamika au?Kipaji anacho na hongera kede kede kama nimemnunia vile nampa.Thank you for putting this up.Thare is a lot to be thankful for in this world even when we are dirty poor.Having the ability to push air in and out of our chests is all the wealth we ever really need.
Anajulikana anaitwa Mwana. Akikaa kigamboni dar es salaam
Innalilahi waina illayhi rajiun.mwenyezi mungu awape kauli dhabit wote walio tangulia mbele ya haki amin 🤲🤲🤲🤲🤲😭😭😭😭😭
Ameen
Allahu Akbaar😭😭😭😭💔
Innalillah wainna ilayhi rajiun.
Subhallah
Mbona me nalia tu hata nashindwa kusikilza linalo ongelewa yaumiza Wallah Sote twarejea kwa Allah dunian twapita tu Allahu Akbar
Kila nisikiapo utenzi huu, lazima machozi yanibubujika, subhanallah
uongo huo
leo ni mwaka wa 10 tokea wametutoka ndugu zetu Allah awajaalie pepo na awasamehe zambi zao inshllh 😭😭😭
Ameena yarabiy😭😭😭hatutosahau katu
Siwezi kusikia najikaza nimi pango ya Allah
Hata usiseme ndgu yangu sitosahu mpk naingia kaburi ,Allah amsamehe mume wngu akhera alipo ilikua ndio kwnza biharus hata syajui machungu ya ndoa najua ndoa ni Raha tu ukaniacha kipenzi sitosahu
inailah wainailah rajiunah
Alhamdulillah a'alakul hal
qadarallahu wamashaa fa'alla
Huu utenzi mwenye nao naomba
Safi sana utenzi
🥺😭😭😭😭 Mungu atunusuru jamani dah
salam zanzibar je suis triste pour cette catastrophe mes ont vas les voir au paradis
Km.utojali naomba huu utenzi ,,+968 91745441
INNA LILLAHY WAINNA ILAYHY RAAJIUUN
Amina ishaallah
mungu awarehemu ndugu zetu
Mungu atuepushe tuliobaki nvifo vyapamoja kamahvi