@@KabungaKalla-fw4pptokea uzaliwe hujawah shuhudia Yanga akimfunga goli 5 simba zaidi ya juzi ndo maana kila siku ni 5 wakat Simba imekukanda 5 imekukanda 4 na hakuna mabango sababu Simba ni kubwa kwa Yanga ila Yanga sababu ni ndogo mmeweka na bango 😂😂
@@Userog254hahaaa kweli aisee vimaneno vya kimaskini maskini na roho mbaya juzi tu walisema watamfunga simba bara na visiwani. Leo ooh sjui tutatakutana wapi si ushubwada huo
Sasa kaongea kitu gan Cha maana hapo,9 professional player mechi jamuhur hakuna hata 1 mnafunga goli la kubahatisha ndo mnatimu au kundi Cha kwaya? Kikos Cha wydad,mjue ndumba kwenu ndo
@@amirabdallah6984 ..unapoteza nguvu zako,kumuelewesha punda kukaa zizini hajui lolote ndio kwanza kaanza kushabikia yanga mwaka jana kwa hiyo anaona ndio timu pekee yenye uwezo wa kutoa wachezaji wengi timu za taifa
Unatupa Raha sana semaji la caf na fifa kabla ya mechi na baada ya mechi pia mahojiano Yako yanafuraisha sana❤❤❤❤❤
Anajitambua ashacheupe take nimatusi tu
Ongera semaji la cafe ❤❤❤❤❤
International speaker
Nailed this interview much
Nakupenda sana semaji letu
Team inarud Sasa 🎉
Huyo fatuma anasemaje hiv
Right sided girl is so cute
Simba Baba lao
Hilo ndo kombe lenu vijana wangu
Simba nguvu moja.
Simba fire fire
Simba oyeeeeeeeer
Kweli mmechoka kutoka kuwa level za akina wydady Hadi kuwa level za akina jamhuri Ahmed unatuchanganya furaha Ina kuzidi mpaka unaongea utumbo
Achaaaaa ufalaa wewe unajuaa mpiraa au nawe ni Ali kamwe falaaa kweli au nawe hatu hatu hatu hatu 😅😅😅😅
@@AlexanderWilliam-ol5xs 😄😄😄😄Atu Atu Atu
Hakuna matusi wala upuuzi kama Hao failures wengine😅😅😅
Hilo ndio kombe lenu pambaneni
Bado ujasema
Baada ya yanga kutoka maneno yamekuwa mengi mtakuja tu kwenye njia yetu
Hakuna marefu yasiyo na ncha yanga,na huu ndo mwanzo wa Kwisha kwenu,punguzeni sifa zinawaponza saana yanga.
Mmeshavaa Nmesahau. Mtakuja Huku. Nalazima Mkaze Hilo Ndio Kombe lenu. Mkilikosa Imekula Kwenu.
Nawewe funga domo mlipanga kulikoxa nyie Kama ni let mwaka huu imebeba nin😮😮😮
@@Musa-q7o kwasababu huko unajua ndiko ulikoweka zindiko tumieni nguvu zenu uchawi wa nn
Sema semaji
Simba 🦁🦁🦁 imefanya mazoezi ya kutosha tena na kushinda sana imekuja imarama sana
Unyamaaaaaa 😊
Na sifa ya Timu na kocha ni kubeba kombe na Benchikha ni kocha Wa makombe Simba huyoooo kombe linavuka maji kuja bala
Oy mung akubariki
Gwijii
Umenikumbusha mbal semaji "escarpe from sabibo" SIMBA ~~sabibo kambi ya kaz
Ety barua ya uchumba😂😂😂
Fact haipo hapo
AHMMED ALL NI KIBOKO YA WASEMAJI WOTE HANA MATUSI ANA UPIGA MWINGI
Kwani nani ametukana wewe au unaota😅😅
Jamhuri kijasho kimewatoka watu wazima
Shukuruni mchezo wenu ulisogezwa dhidi ya Azam vinginevyo mngekula nyingi Kwa kikosi chenu kile labda Kwa sasa baada ya sajili
,,,😂😂😂..ni kweli kabisa tungekula nyingi kama mlizokula nyie kwa APR..mpira mchezo wa kikatili sanaaaa😂😂😂
@@rockygappi1018 😁😁😁👍👍👍umeongea sana wameelewa
@@frolakomba7301 sister umeona eeeeh??🤗😁😁😁
Nguvu MOYAAA...🙏🤝🤝🤝😂😂
🤚 Kono la nyani liko pale pale
HUYO jamuhuri,umeshinda Moja kwa shida, yanga siange kupiga 10
Apr amejifungua wakati simba na apr bilabila
Wasemaji wetu wa Jangwani na Msimbazi wakati mwingine nawafananisha na wasanii mahiri maana ni mahodari wa maneno.
Vijana wote wamelia na timu zao Pamoja na mashabiki wao. Simba nguvu 1
Walitambulisha mchezaji kwenye jeneza na ApR wavelets sanda
Tunawajua mashabiki wa Simba, kwenye NBC league baada ya michezo 3 mtaniambia
Mashine ya maneno inaongea mwanzo mwisho haina matusi wangekuwa wale jamaa na ashuracheupe ungekuwa ushasikia matusi na maneno ya kihuni
Atamtukana Nani wakatii Ana 5g.hajajibu? nahao wakata ukindu anamaanisha Mimi.may wetu eti anatutamani.
Ongopa kumwita mwanaume mwenzio Ashura ni dalili ya ushogaa
@@KabungaKalla-fw4pp wewe jee
@@KabungaKalla-fw4pptokea uzaliwe hujawah shuhudia Yanga akimfunga goli 5 simba zaidi ya juzi ndo maana kila siku ni 5 wakat Simba imekukanda 5 imekukanda 4 na hakuna mabango sababu Simba ni kubwa kwa Yanga ila Yanga sababu ni ndogo mmeweka na bango 😂😂
priscapaul1598a amejitangaza mwenyew bro sio kwamba amemuita
😂😂eti vijana woote wameumaliza mwendo
We ropoka tu tutakutana ligi kuuu
Maneno ya mkosaji kwann huko huku kimewakimbiza nn?
@@Userog254hahaaa kweli aisee vimaneno vya kimaskini maskini na roho mbaya juzi tu walisema watamfunga simba bara na visiwani. Leo ooh sjui tutatakutana wapi si ushubwada huo
Hahaha! Yani ananichekeshaga anavyoongea kwa madoido
Malengo kuchikua Mapinduzi
🖐 nakusalimia kwa Jina la yanga😂😂
NAMI napokea, hiyo Salam Yako, nyuma daima mbele mwiko
Nyuma mwiko
Anakusalimia kwa Jina la IHFU KIBOKO YENU UTOPOLO
Unaitaji tano zingine!😅
Kwahiyo kashapata jina jipya la mashine ya maneno
Na simba anakusalimia kwa Jina la IHFU
Kijenezaaa😂😂
😁😁😁😁😁😁😁 kijenezaaaaa mbwa yangaaaa!!!!!
Mpambane maana hilo mkilikosa ndio basi tena mtatoka mikono mitupu
❤❤
Huyu jamaa fara kabisa anaropoka tu
Sasa hapa ndio kitu mzee Millard??hii ndio namna ya usemaji au anajibrand watu waruke nae??
Hamna kitu hapo
Baaàdo hujasemaaa😂😂😂
Na utasema😂😂😂
Mhm Sumba yanga hamuwawezi hamna lolote lile
nawe huwezi kuandika,'sumba ndo nn'"😄😄
Pateni Hela za kusajili wachezaji vijana. Hao wamechoka.
Kijeneza na sanda ya kijani
12:47 12:48 12:50
Mafara wana tabu sana wamesahau 5g leo wanalopoka
Uwo ni mkeka ikumbukwe 6 bila 4 bila 2 bila
Niliwaambia watu kundi la simba ndio kundi gumu,na kweli wameenda robo wa3
Hakuna kituapo
Kuna walio sema atapigwa tano lakini kakaza
Nani huyo? Topolo au?
Hii mashine ya maneno haiuzwi 😂😂 kokote hata wakija Manchester united
Sasa kaongea kitu gan Cha maana hapo,9 professional player mechi jamuhur hakuna hata 1 mnafunga goli la kubahatisha ndo mnatimu au kundi Cha kwaya? Kikos Cha wydad,mjue ndumba kwenu ndo
Simba.awaa awawez piga yanga ukweli yanga wangeweka ata watatu tuu pakome na alidi na zingel kwishaa
Tuliza koromeo mwaya kama sentensi yako isiyo na vituo.😊
Ila ww semaj
FIFA SPORTSMAN
😂😂😂 watupangie tuu watu wetu
😂😂😂 et utamu unakuja unakata
Unasoma taarifa ya habari au unahojiwa wewe kasuku
Simba haiwezi kuwa na wachezaji 6 kwenye national tim
Ni wewe tu ndio unaweza kuwa na wachezaji sita..kwa kuwa timu yako ni kauka nikuvae😂😂
Inonga chama manula kibu mzammiru mudi hoseni
@@amirabdallah6984 ..unapoteza nguvu zako,kumuelewesha punda kukaa zizini hajui lolote ndio kwanza kaanza kushabikia yanga mwaka jana kwa hiyo anaona ndio timu pekee yenye uwezo wa kutoa wachezaji wengi timu za taifa
1.Inonga 2.Chama 3.Zimbwe 4.Kibu 5.Manula 6.Mzamiru
@@kimelastanley7128mfungie na nyongeza,kapombe 😂😂😂😂😂
Tunaomba mkilud uku wachezaji wetu wapate kusomo cha kufa mtu kunamijitu mishawi kazi kuwashusha wenzao tu
Kumbe unamuogopa Masanza
Mtambo wa Maneno 😅
Wewe ni kuma la mama yako sasa subiri malaya wewe uone utakapo rud kundi la kisenge kama wewe ulivyo msenge
😂😂😂😂❤
5G😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hiki kijamaa kinavaa hereni
CCBRT INAKUHUSU
Uwe unaongea vzr basi na wewe
MAKOLO ANALLIA KAKOMBE KA MUUGANO HOVYOOO
Kundi Moja nusu fainali timu tatu
Na sifa ya Timu na kocha ni kubeba kombe na Benchikha ni kocha Wa makombe Simba huyoooo kombe linavuka maji kuja bala