KWELI AHMED ALLY MASHINE YA MANENO, YANGA WALIKUWA SAHIHI KUJIVUNJA AU KUZIDIWA, MUNGU KAWANUSURU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 121

  • @DaudiKapufi
    @DaudiKapufi 9 месяцев назад +7

    Unatupa Raha sana semaji la caf na fifa kabla ya mechi na baada ya mechi pia mahojiano Yako yanafuraisha sana❤❤❤❤❤

    • @frolakomba7301
      @frolakomba7301 8 месяцев назад

      Anajitambua ashacheupe take nimatusi tu

  • @rashidamohamed1948
    @rashidamohamed1948 8 месяцев назад +1

    Ongera semaji la cafe ❤❤❤❤❤

  • @JaphetBikayamba
    @JaphetBikayamba 9 месяцев назад +3

    International speaker

  • @Wil_thug
    @Wil_thug 9 месяцев назад +2

    Nailed this interview much

  • @neemamwijage
    @neemamwijage 9 месяцев назад +3

    Nakupenda sana semaji letu

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej 9 месяцев назад +2

    Team inarud Sasa 🎉

  • @HarimaAbdallah-k6h
    @HarimaAbdallah-k6h 8 месяцев назад +1

    Huyo fatuma anasemaje hiv

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 9 месяцев назад +1

    Right sided girl is so cute

  • @jumaseif2783
    @jumaseif2783 8 месяцев назад

    Simba Baba lao

  • @ErastoChilanza
    @ErastoChilanza 9 месяцев назад +4

    Hilo ndo kombe lenu vijana wangu

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 9 месяцев назад +3

    Simba nguvu moja.

  • @Assam62
    @Assam62 9 месяцев назад +2

    Simba fire fire

  • @mankamushi1374
    @mankamushi1374 9 месяцев назад +2

    Simba oyeeeeeeeer

  • @peteradioyona5919
    @peteradioyona5919 9 месяцев назад +2

    Kweli mmechoka kutoka kuwa level za akina wydady Hadi kuwa level za akina jamhuri Ahmed unatuchanganya furaha Ina kuzidi mpaka unaongea utumbo

    • @AlexanderWilliam-ol5xs
      @AlexanderWilliam-ol5xs 9 месяцев назад +1

      Achaaaaa ufalaa wewe unajuaa mpiraa au nawe ni Ali kamwe falaaa kweli au nawe hatu hatu hatu hatu 😅😅😅😅

    • @neemamwijage
      @neemamwijage 8 месяцев назад

      @@AlexanderWilliam-ol5xs 😄😄😄😄Atu Atu Atu

  • @chage97
    @chage97 9 месяцев назад +4

    Hakuna matusi wala upuuzi kama Hao failures wengine😅😅😅

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 8 месяцев назад +2

    Hilo ndio kombe lenu pambaneni

  • @EGASONFREDRICK
    @EGASONFREDRICK 9 месяцев назад +5

    Baada ya yanga kutoka maneno yamekuwa mengi mtakuja tu kwenye njia yetu

    • @Petersyola
      @Petersyola 9 месяцев назад +2

      Hakuna marefu yasiyo na ncha yanga,na huu ndo mwanzo wa Kwisha kwenu,punguzeni sifa zinawaponza saana yanga.

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 9 месяцев назад

    Mmeshavaa Nmesahau. Mtakuja Huku. Nalazima Mkaze Hilo Ndio Kombe lenu. Mkilikosa Imekula Kwenu.

    • @Musa-q7o
      @Musa-q7o 8 месяцев назад

      Nawewe funga domo mlipanga kulikoxa nyie Kama ni let mwaka huu imebeba nin😮😮😮

    • @neemamwijage
      @neemamwijage 8 месяцев назад

      @@Musa-q7o kwasababu huko unajua ndiko ulikoweka zindiko tumieni nguvu zenu uchawi wa nn

  • @MwajabuMtitu-co6wx
    @MwajabuMtitu-co6wx 8 месяцев назад +1

    Sema semaji

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 8 месяцев назад

    Simba 🦁🦁🦁 imefanya mazoezi ya kutosha tena na kushinda sana imekuja imarama sana

  • @clevermaphotos
    @clevermaphotos 9 месяцев назад +2

    Unyamaaaaaa 😊

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 8 месяцев назад

    Na sifa ya Timu na kocha ni kubeba kombe na Benchikha ni kocha Wa makombe Simba huyoooo kombe linavuka maji kuja bala

  • @AbdullahaSaid
    @AbdullahaSaid 8 месяцев назад +1

    Oy mung akubariki

  • @Kasimukilua
    @Kasimukilua 9 месяцев назад +2

    Gwijii

  • @JumaAbeid-q1p
    @JumaAbeid-q1p 9 месяцев назад

    Umenikumbusha mbal semaji "escarpe from sabibo" SIMBA ~~sabibo kambi ya kaz

  • @StephanoCharles-nq8tf
    @StephanoCharles-nq8tf 9 месяцев назад +4

    Ety barua ya uchumba😂😂😂

  • @danielkazala2647
    @danielkazala2647 8 месяцев назад

    Fact haipo hapo

  • @GamalielReginald
    @GamalielReginald 8 месяцев назад +2

    AHMMED ALL NI KIBOKO YA WASEMAJI WOTE HANA MATUSI ANA UPIGA MWINGI

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 месяцев назад

      Kwani nani ametukana wewe au unaota😅😅

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 9 месяцев назад +3

    Jamhuri kijasho kimewatoka watu wazima

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 9 месяцев назад +5

    Shukuruni mchezo wenu ulisogezwa dhidi ya Azam vinginevyo mngekula nyingi Kwa kikosi chenu kile labda Kwa sasa baada ya sajili

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 9 месяцев назад +2

      ,,,😂😂😂..ni kweli kabisa tungekula nyingi kama mlizokula nyie kwa APR..mpira mchezo wa kikatili sanaaaa😂😂😂

    • @frolakomba7301
      @frolakomba7301 8 месяцев назад

      @@rockygappi1018 😁😁😁👍👍👍umeongea sana wameelewa

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 8 месяцев назад

      @@frolakomba7301 sister umeona eeeeh??🤗😁😁😁
      Nguvu MOYAAA...🙏🤝🤝🤝😂😂

  • @daudaloyce-km4id
    @daudaloyce-km4id 8 месяцев назад

    🤚 Kono la nyani liko pale pale

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 9 месяцев назад +1

    HUYO jamuhuri,umeshinda Moja kwa shida, yanga siange kupiga 10

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 8 месяцев назад +1

    Wasemaji wetu wa Jangwani na Msimbazi wakati mwingine nawafananisha na wasanii mahiri maana ni mahodari wa maneno.

  • @Magrethumbu
    @Magrethumbu 9 месяцев назад +5

    Vijana wote wamelia na timu zao Pamoja na mashabiki wao. Simba nguvu 1

  • @MbaroukMasoud
    @MbaroukMasoud 8 месяцев назад

    Walitambulisha mchezaji kwenye jeneza na ApR wavelets sanda

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 8 месяцев назад

    Tunawajua mashabiki wa Simba, kwenye NBC league baada ya michezo 3 mtaniambia

  • @AbdulaziziPacha
    @AbdulaziziPacha 9 месяцев назад +15

    Mashine ya maneno inaongea mwanzo mwisho haina matusi wangekuwa wale jamaa na ashuracheupe ungekuwa ushasikia matusi na maneno ya kihuni

    • @KabungaKalla-fw4pp
      @KabungaKalla-fw4pp 9 месяцев назад +1

      Atamtukana Nani wakatii Ana 5g.hajajibu? nahao wakata ukindu anamaanisha Mimi.may wetu eti anatutamani.

    • @priscapaul1598
      @priscapaul1598 9 месяцев назад

      Ongopa kumwita mwanaume mwenzio Ashura ni dalili ya ushogaa

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 8 месяцев назад

      @@KabungaKalla-fw4pp wewe jee

    • @bone102
      @bone102 8 месяцев назад

      ​@@KabungaKalla-fw4pptokea uzaliwe hujawah shuhudia Yanga akimfunga goli 5 simba zaidi ya juzi ndo maana kila siku ni 5 wakat Simba imekukanda 5 imekukanda 4 na hakuna mabango sababu Simba ni kubwa kwa Yanga ila Yanga sababu ni ndogo mmeweka na bango 😂😂

    • @JaffarAlly-h5f
      @JaffarAlly-h5f 8 месяцев назад

      ​priscapaul1598a amejitangaza mwenyew bro sio kwamba amemuita

  • @neemamwabukusi1539
    @neemamwabukusi1539 8 месяцев назад

    😂😂eti vijana woote wameumaliza mwendo

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 9 месяцев назад +2

    We ropoka tu tutakutana ligi kuuu

    • @Userog254
      @Userog254 8 месяцев назад

      Maneno ya mkosaji kwann huko huku kimewakimbiza nn?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 8 месяцев назад

      ​@@Userog254hahaaa kweli aisee vimaneno vya kimaskini maskini na roho mbaya juzi tu walisema watamfunga simba bara na visiwani. Leo ooh sjui tutatakutana wapi si ushubwada huo

  • @SaadaKiyungi-uz6jn
    @SaadaKiyungi-uz6jn 8 месяцев назад

    Hahaha! Yani ananichekeshaga anavyoongea kwa madoido

  • @atupelejames3942
    @atupelejames3942 8 месяцев назад

    Malengo kuchikua Mapinduzi

  • @Saadat-p9b
    @Saadat-p9b 9 месяцев назад +2

    🖐 nakusalimia kwa Jina la yanga😂😂

    • @samweli7985
      @samweli7985 8 месяцев назад

      NAMI napokea, hiyo Salam Yako, nyuma daima mbele mwiko

    • @mgonasipapune1383
      @mgonasipapune1383 8 месяцев назад

      Nyuma mwiko

    • @Mariam-r4y9j
      @Mariam-r4y9j 8 месяцев назад

      Anakusalimia kwa Jina la IHFU KIBOKO YENU UTOPOLO

  • @lainimakame
    @lainimakame 8 месяцев назад

    Unaitaji tano zingine!😅

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 8 месяцев назад

    Kwahiyo kashapata jina jipya la mashine ya maneno

  • @Mariam-r4y9j
    @Mariam-r4y9j 9 месяцев назад +1

    Na simba anakusalimia kwa Jina la IHFU

  • @sultanielhaddady2161
    @sultanielhaddady2161 9 месяцев назад +1

    Kijenezaaa😂😂

    • @frolakomba7301
      @frolakomba7301 8 месяцев назад

      😁😁😁😁😁😁😁 kijenezaaaaa mbwa yangaaaa!!!!!

  • @hajially4527
    @hajially4527 9 месяцев назад +2

    Mpambane maana hilo mkilikosa ndio basi tena mtatoka mikono mitupu

  • @YasirIdrisa-cq2ln
    @YasirIdrisa-cq2ln 8 месяцев назад

    Huyu jamaa fara kabisa anaropoka tu

  • @HonestMassawe-lb6xj
    @HonestMassawe-lb6xj 9 месяцев назад

    Sasa hapa ndio kitu mzee Millard??hii ndio namna ya usemaji au anajibrand watu waruke nae??

  • @ElyMambali
    @ElyMambali 9 месяцев назад +3

    Hamna kitu hapo

  • @Neematitus-hs1cb
    @Neematitus-hs1cb 9 месяцев назад

    Mhm Sumba yanga hamuwawezi hamna lolote lile

    • @kalebuwilliam1014
      @kalebuwilliam1014 9 месяцев назад

      nawe huwezi kuandika,'sumba ndo nn'"😄😄

  • @janepherjamson4166
    @janepherjamson4166 8 месяцев назад

    Pateni Hela za kusajili wachezaji vijana. Hao wamechoka.

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 8 месяцев назад

    Kijeneza na sanda ya kijani

  • @EricNkayamba
    @EricNkayamba 9 месяцев назад

    12:47 12:48 12:50

  • @SulumLibembe
    @SulumLibembe 9 месяцев назад +1

    Mafara wana tabu sana wamesahau 5g leo wanalopoka

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 8 месяцев назад

    Niliwaambia watu kundi la simba ndio kundi gumu,na kweli wameenda robo wa3

  • @YasinRamadhani-kp7jv
    @YasinRamadhani-kp7jv 9 месяцев назад +1

    Hakuna kituapo

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 9 месяцев назад +2

    Kuna walio sema atapigwa tano lakini kakaza

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 9 месяцев назад +3

    Hii mashine ya maneno haiuzwi 😂😂 kokote hata wakija Manchester united

  • @razacklazaro6678
    @razacklazaro6678 8 месяцев назад

    Sasa kaongea kitu gan Cha maana hapo,9 professional player mechi jamuhur hakuna hata 1 mnafunga goli la kubahatisha ndo mnatimu au kundi Cha kwaya? Kikos Cha wydad,mjue ndumba kwenu ndo

  • @mujunikamugisha2617
    @mujunikamugisha2617 9 месяцев назад

    Simba.awaa awawez piga yanga ukweli yanga wangeweka ata watatu tuu pakome na alidi na zingel kwishaa

    • @kalebuwilliam1014
      @kalebuwilliam1014 9 месяцев назад

      Tuliza koromeo mwaya kama sentensi yako isiyo na vituo.😊

  • @MogeElikana-gl1dv
    @MogeElikana-gl1dv 9 месяцев назад +1

    Ila ww semaj

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 9 месяцев назад

    FIFA SPORTSMAN

  • @raphaellymoses6280
    @raphaellymoses6280 9 месяцев назад

    😂😂😂 watupangie tuu watu wetu

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 8 месяцев назад

    😂😂😂 et utamu unakuja unakata

  • @uncertgosbertuncertgosbert8362
    @uncertgosbertuncertgosbert8362 9 месяцев назад +2

    Unasoma taarifa ya habari au unahojiwa wewe kasuku

  • @musamshema7838
    @musamshema7838 9 месяцев назад +1

    Simba haiwezi kuwa na wachezaji 6 kwenye national tim

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 9 месяцев назад +1

      Ni wewe tu ndio unaweza kuwa na wachezaji sita..kwa kuwa timu yako ni kauka nikuvae😂😂

    • @amirabdallah6984
      @amirabdallah6984 9 месяцев назад +3

      Inonga chama manula kibu mzammiru mudi hoseni

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 9 месяцев назад

      @@amirabdallah6984 ..unapoteza nguvu zako,kumuelewesha punda kukaa zizini hajui lolote ndio kwanza kaanza kushabikia yanga mwaka jana kwa hiyo anaona ndio timu pekee yenye uwezo wa kutoa wachezaji wengi timu za taifa

    • @kimelastanley7128
      @kimelastanley7128 8 месяцев назад +2

      1.Inonga 2.Chama 3.Zimbwe 4.Kibu 5.Manula 6.Mzamiru

    • @ernestking6681
      @ernestking6681 8 месяцев назад +1

      ​@@kimelastanley7128mfungie na nyongeza,kapombe 😂😂😂😂😂

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 9 месяцев назад +1

    Tunaomba mkilud uku wachezaji wetu wapate kusomo cha kufa mtu kunamijitu mishawi kazi kuwashusha wenzao tu

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 9 месяцев назад

    Kumbe unamuogopa Masanza

  • @clevermaphotos
    @clevermaphotos 9 месяцев назад

    Mtambo wa Maneno 😅

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy 8 месяцев назад

    Wewe ni kuma la mama yako sasa subiri malaya wewe uone utakapo rud kundi la kisenge kama wewe ulivyo msenge

  • @MichaelBusinesHub
    @MichaelBusinesHub 9 месяцев назад

    😂😂😂😂❤

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 8 месяцев назад

    5G😂😂😂

  • @hafidhyousuph7592
    @hafidhyousuph7592 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @ahamadially8351
    @ahamadially8351 9 месяцев назад

    Hiki kijamaa kinavaa hereni

    • @Userog254
      @Userog254 8 месяцев назад

      CCBRT INAKUHUSU

  • @Neematitus-hs1cb
    @Neematitus-hs1cb 9 месяцев назад

    Uwe unaongea vzr basi na wewe

  • @michaelmasalago8068
    @michaelmasalago8068 8 месяцев назад

    MAKOLO ANALLIA KAKOMBE KA MUUGANO HOVYOOO

  • @edwardmgaya3951
    @edwardmgaya3951 9 месяцев назад

    Kundi Moja nusu fainali timu tatu

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 8 месяцев назад

    Na sifa ya Timu na kocha ni kubeba kombe na Benchikha ni kocha Wa makombe Simba huyoooo kombe linavuka maji kuja bala