Mashahidi waeleza Mahakamani Manji alivyopimwa Mkojo
HTML-код
- Опубликовано: 21 авг 2017
- Leo August 22, 2017 Mashahidi wawili akiwemo Naibu Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Ofisa wa Polisi, Ramadhan Kingai wameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jinsi Mfanyabiashara Yusuf Manji alivyopelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.
Kla lenye mwanzo lenye mwanzo lna....M/Mungu nakuomba mfanyie wepes Yusuph Manji
Silwano Sihha amekufa au?
YaaAllah Mtume kwa tahfif Mja wako huyu
Inshaallah inshaallah
inauma sana japo me ni masikini lkn anachofanyiwa manji Mungu anawaona
Sikubaliani na mwenendo wa kesi ya manji,Mahakama tendeni haki kwa mtanzania Manji. Ni watanzania wangapi wanaadhirika kwa sbb ya boss wao?Manji ameajiri wafanyakz karibu 6000,jmn tulitazame na hili plzzzzzzzzz
pole manji mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema atafanya njia pasipo na njia
Namuonea huruma huyu baba mie jmn dah mpka naumia kila nimuonapo Allah namfanyie wepesi yaishe yani
sasa anafanana na marehemu Saddam husseyn kipindi anapokamatwa.
Lail Meeea ...amina mm mpk natamani kulia jamani pole ndugu kaka
+Sada Kilona mateja wamejaa mtaani mungu atamsaidia
mussa shabani ongea sana
Lail Meeea hata mimi nalia tu MUNGU ni mkubwa yataisha
hivi manji ana makampuni mangapi ambayo imewaajiri watanzania na kuendesha maisha yao je ni kodi ngapi analipa Kw maendeleo ya nchi hii,, tuko nyuma ya wakati nw ana Baba wa watu hana dhaman ndani ya nchi hii mungu amwongoze amalize salama though inaonekana ina ugumu wake it's god hand amen
omba mungu ndg yusuph manji yataisha na utabaki salama
mungu amsaidie Yusuph Manji maana sidhani kama ana hatia ,anaonewa tu mungu yuko pamoja nae yatakwisha hakuna mkubwa zaidi ya aliyetupa pumzi naumia sana pole Manji
Inshallah na ramadan ipokewe duwa hii Kama hukuwa na hatia malipo ni hapa hapa dunian utasahau yote
Lia na Allah manji ndio suluisho lako Tanzania Hakuna haki pole sana
jamani mmempiga picha ngapi waandishi? kacha,kacha,kacha hadi nmetoa earphones
Duh Mungu amsimamie yataisha tu
kisasi hapa uwa kinamwisho wake.
Mungu hufanya njia paspo na njia yataisha tu. Pole Sana.
mungu akusimamie yusuph mehboob manji na hao wote wanaokufanyia maovu malipo yao hapahapa duniani na watakufa dhariri🙏🙏🙏
Mungu njoo utuchukue tu maana hapa duniani hakuna jipya tuondoe ulete wengine tu.
Rashidi Mau nmecheka had kulia et Mungu aje atuchukue!!! Dah kweli tz nzma wamemuona manji tu jmn!!!
mungu atawalipa wanaomwazia manji vbaya
Allah amfanyie wepes
Kumbuken pia manji amesaidia Tanzania kias fulani, kwani nini sasa mnafanyia hivy
Mungu mfanyie wepec manji inshallah yataisha kwa uweza wako
Inshaa llaahh kwa Yataisha Tu kwa Uwezo wa Allaah
Siamini ninachokiona, ila Ipo siku nitatambua ukweli. Mungu fumbua upeo mkubwa wa macho yangu..
Mungu anawaona
Tumwombe mungu amzidishie Hekima bwana Yusuf kwa hayo yote anaepitia. Maishani mara zingine ni muhimum kalamba matope ila ujue umetokea wapi. Hayo yote yatamfanya awe Mtu na ufahamu zaidi, muda uta pita tu, muhimu ni utafikaje kwa bwana mbinguni.
Kanifanya nikumbuke kesi ya babu seya,hivi imefikia wapi hio kesi jaman,Maana nahis kichwa kuniuma.
mungu msaidie yusuph manji jaman
Manji Mungu akitangulie Ila nimeamini siasa mchezo mchafu sanaaa,TZ NZIMA WAMEGUNDUA WEWE PEKEE MBONA WENGINE WALIWAPA
RUHUSA NA DHAMANA NA KUTOA M 10 KILA MTU WHY MANJI TU? Walikuwa wanakutafuta tuu hawa reason hukumsapoti katika uchaguzi ukamsapoti LOWASSA yani uongozi wa visasi una mwisho wake Na hizi nilaana katika nchi Ndiomaana mambo hayaeleweki katika nchi kwa roho za kuumizana bila sababu,swali sawa wanadai manji anavuta unga WHY WENGINE WALIOTAJWA NA KUKAMATWA NA UNGA WALIACHIWA TENA KWA FAINI YA M10 ?tuache visasi RULE # 1 ya uongozi ni KUA POSITIVE wanaowaumiza vijana wavuta unga nchini hawakamatwi Ila Huyu mnaedai anavuta mnampa mateso bila Sababu zisizoeleweka sheria kazi Yake nini ?zipo tusichokielewa WHY ONLY WEMA SEPETU NA MANJI kila Leo mahakamani? FUMBO WAFUMBIENI WAJINGA WEREVU WANAELEWA tuache chuki Alafu MUNGU MUNGU NYINGI mnadhani anapenda anawanagalia tuu kibao chake ni kimoja dk moja siku moja lakini kina effects ya miaka yako yote WHY ONLY WEMA NA MANJI KUBURUZWA MAHAKAMANI KILA LEO? Na kunyimwa dhamana ?duniani ukishakua mtu wa vinyongo tuu ata mambo unayofanya hayaeleweki wala kusonga ,sasa kesi za watu Wa unhappy wote makonda Hana mentioned why only ya manji?wao ndio wavuta unga tz nzima Na why mnawakatalia dhamana ?
maskini kafanyishwa kazi naona anajinyoosha mungu atakusaidia baba ang
Inshaallah yataisha tu akuna lizilo kuwa na mwisho ipo siku atafarijika inshaallah
Kwa staily hii Tanzania itakua nyuma maisha na maisha,yaani ni chuk,ubaguzi na ukandamizaji tu,kwa lipi kubwa hata mumdhalilishe huyo mtanzania au kwa sababu ya rangi yake na kabila? Basi mujue Allah ndie hakim muadilifu.
Millard huyu reporter wako chenga hajui kutofautisha L na R
Hivi ninyi waandishi wa habari na watangazaji hamoni aibu kutoweza kutofautisha 'R' na "L" kwenye maelezo yenu????? hicho ni kiswahili gani? mnatoa mfano gani kwa wale waonawasikiliza. ONENI AIBU SANA TENA SANA.
Roho ya kulipiza kisasi na ufisadi ndani yake ndio matokeo ya haya yote. Mnataka kudhulumu ila maneno matakatifu yanasema Isaya 33:1 Ole wako uharibue wala hukuharibiwa utendae kwa hila wala hukutendewa hila, utakapokwisha kuharibu utaharibiwa wewe utakapokwisha kutenda kwa hila wao watakutenda hila. Ufunuo 13:10 achukuae mateka atachukuliwa mateka na auwae kwa upanga atauwawa kwa upanga hapo ndipo tumaini na subira ya watakatifu. kisasi ni juu ya Mungu. Mungu akufanyie wepesi ktk hayo unayoyapitia Baba Manji. Naamini umefanya mema mengi ktk serikali yetu Mungu akupiganie.
daa naona huruma sanaa
duh maskin manji naweza kusema mengi nikaishia sero bora twende tu zimbabwe
Mond Numz nichukue na mm mana niko hoi nimechoka hatar tz giza
+Habiba12 Kanona12 umeona eeh twende zetu
mnpitie na mm
Ongea ushuzi wako usjali
Happy lazima kuna kitu katikati sio kwa kumng'ang'ania huko pole manji mungu wa wote
mwamini Yesu Leo ukolewe
Pole manji amini mungu yupo yote hayo yatapita tu.
mungu ni mwema
Mungu nimwema atakufanyia wepesi kaka yataishaa tyuu
hadi tumbo limeuma mungu atamfanyia wepesi
Najuta kwann niliangalia hii video nimelia kwa kweli namuonea huruma bora apewe dhamana awe anakwenda tu kwenye kesi
Nothing is permanent,yataisha tuu, tuzidi kumuombea
mungu yu pamoja nawe atakusaidia yataishaa
Duh! Inauma sana ila hakimu wa kweli ni allah pekee
duh binadamu wanaona uovu tu wahuyo MTU jamani Mungu anawaona mnatukwa sana
rudia uislam wako ALLAH atarejea kwako bro manji kuna maisha baada ya hapa je umesahau??
sakata la madawa ya kulevya lote jumba bovu limemuamgukia huyu tu? walah mungu anawaona malipo hapahapa duniani
kama ni kweli hana kosa, na suala hilo limekaa kisiasa, mungu anawaona na uonevu wenu, mnayo yakujib hata kesho akhera...
watanzania tunataka maendeleo tuache kuongoza nchi kwa visasi
Manji mi sikufaham ila nafatiliya sana kesi yak kweny mitandao,mlio kamatwa pamoja wote walipewa Dhamana ila ww tuu hata sijuw uyo Makonda kama analaana ya Mungu,Umenitiya ucungu mpaka naliya ila usikati tama baada ya apo kuna maisha mengine Allah Karem akutangulie.from+255
MBONA huku uswazi wapo mateja chungu mzima hamuwakamati hii ni. dhulma hii
jaman manji usijal mungu atakufanyia wepesi had huruma
Mmmh kweli hiii nooooma
Duuuuuuh so painful
Ugali wangu naupenda ila mungu ni wa wote, yatakwisha tu.
mwenyezimungu atamlipia
Tuna kwenda sio kuzuri kabisa visasi ndio vimeenea sana kosa la manji nini? kama kutumia dawa za kulevya mbona wengi wametajwa na wametolea tuambieni tujue
Hivi tanzania nzima mlaunga ni manji tu, na mbona zoezi la kusaka wala unga na waleta unga limesitishwa sio kama lilivyo anza ama main target alikua manji
Qaboos said yeah uyo ndo alikuwa target maana walitajwa wengi lakini mpaka Leo hawana kesi ya aina yeyote
Qaboos said alikamatwa halafu akaachiwa baadae akaja kukamatwa tena kwa kosa la uhujum uchumi sins uhakika km na LA madawa limeunganishwa tena kwa Mara nyingine
tanzania nxhi ya kisenge
Ndo hvyo tz hii acha tu mbona wako weng
Kwa hili wamemuonea.Inawezekana akawa wakala wa madawa ya kulevya lkn hatumii
allah atakufanyia wepesi bro ndio yake mambo alisema tinduu lissu tikteta uchara unaweza ukafatwa na wewe usie na lolote ukenda kuishia jela bure Maustadhi wa zanzibar miaka 4 kwenda 5 sasa ila allah atawafanyia wepesi nyote na huu unga ni wewe tu naona cioni mtu mwengine 😳👏🏻🙏🏻
one day will be yes
Waeleza nini
Inci gani isio samini wa hamiaji kwanini tanzania mnanyanyasa wasio kuwa watanzania wangapi wamekutwa na madawa za kulevya na leo wako huru
Jolie Lopez ilo swala la unyanyasajii usiliseme tu tz wanaongoja kuachia waamianii huru kufanya vituvyovyote ila nchii nying za njee ukiwa muamijii uko huruu na uruhusiwii ata kuuza maandazii kazii mtakazo pesa ni za ndani tuu ila siwezii sema kuwa ndo chanz cha manji anyanyaswe ila ukwelii watanzania wanawasamini waamiajii sana kama sio kweli ajafanya au amefanya yote mtetezii wake ni Allah sisi atuwezii kitu
mgh! hayaaaaaaa.....!!!
Hapo dar walaunga ni wengi mbona ni huyu tu..au sababu ya mzigo alionao benk...au color yake wahukumuni wote waliokuwa wana tumia unga.....
Mungu atakuwa na wewe
Ni mitihani tu baba kua na imani iko siku yataisha japo inasikitisha pole yusuf
God will make a way where there z seem to be no way
😭😭😭😭
bashite ndo kaleta haya yoye mpka mtu wa watu anateseka hivi jaman mungu amsaidie
Tanzania yetu ukoloni mambo leo
Jamani tuishini kwa kumuomba mungu maana hakuna aijue kesho yake.
we pray for you manji
nimesoma commnt nyingi sanaa manji watanzania wanakupende na wanakuonea huruma,siku ukitoka ujue kwamba unakubadika
msamehe aliekukosea na si kulipa kisasi kwake nchi yanngu nchi yngu Tanzania nakupenda ila wachache Kwa kutumia vyeo vyao wanatunyanyasa ila mungu atatulipa Kwa mabaya wafanyayo.kwan wanaonekana kondoo kumbe chui
ushauri wng kwa manji ukifanikiwa kutoka jela hama nchi nenda ht kenya watu km nyinyi mnathaminiwa sana kutokana na mchango wenu serikalini
Sharifa Mohamed umenena ndg
Manji Mungu atakusaidia
inasikitisha sana. pia inauma . mbona haya mambo hayakuwepo tangu uongozi awmu ya kwanza mpaka ya nne. imekuwaje Leo hii TZ kuna nn kinatokea jmeen. visasi tuu tutafanya maendeleo lini. ?????
Jamani haya haya au kuna mengine niliwahi kusikiaga kwamba iddi Amin aliwahi kuwafukuza wahindi na kuwadhulumu mali zao
Jmn magereza kubaya manji kachoka Sana😷😷😷
Kweli hujafa hujaumbwa huyu ndiye Yusuph Manji wa Yanga
Allah akusimie manji yote hayo ni mapito yataisha tu😢😢😢😢😢😢😢😢
dah
Yesu anaanguka na msalaba mara ya tatu.. ee mungu tusaidie tuache visasi kwa kuwa wewe waweza kufanya mwamba kuwa mchanga muda wowote ukipenda
wamfunge 2jue moja mbona kila kesi wanayomtafuti wanakosa kama nikisasi cha .........kuitwa mbwa enzi za uwaziri wake basi ifike stage waamue moja 2shaizoe hii serikali ya ccm alietoka kamuacha babu sea kwa kesi za kutengeneza diktetar ochwarwa kila mkiwa stejini mnasema mnamtanguliza mungu mbele niwapi pameandikwa namungu tuwe tunalipiza visasi acheni kutumia kivuli chamungu kutesa watu selikari uchwara
poresana
Anaejua hiyo kesi itaitwa lini tena naomba aniambie
msameheni bwana wakaanga sumu niwenyeji kashajifunza sizani kama atafanya makosa tena kwanchi yoyote sasa wafungen aliyoshilkiana nao
mambo aya ndio aliyo kataa tundu lisu ha ha ha aliwaotea anaakili sana lisu lkn hata uyo manji hana kes MTU akikutwa anatumia madawa anatakiwa spate msaada ili aache as nyie tena ana kes ya nn mbona wengi wavutaji wapo hulu mtoweni jaman
Ngoja nipitie comments ntarud badae
moyo uniuma xana ila.mungu yupo
Minaona hii kesi ya manji angepewa wakili lisu jamani au mnaonaje???
du mie huruma jamani duu
Wakati mwengine pesa sio kila kitu jali utu mbona bakharesa fresh na wengine wengi hapa Africa unataka kutuektia
daaaaa inatosha wanuachie sasa....ndo wanambabusea nini
watanzani bwana mbona mafukara, watu maskini wakifungwa mbona huwa amuosheshi kuumizwa. kwa huyo manji kila mtu anamuombea dua acheni unafiki, au mnafikili kila siku jera ni ya maskini ? kama hausiki mwenyezi MUNGU atamtetea na kama wana msingizia Mwenyezi Mungu atwaadhibu. kama pia anahusika basi haki itendeka. Sina ubaya na mtu asanteni kwa kusoma ni maoni yangu tu.
Ivi niaulize mbona mumekubari musahada kutoka kwa Bill get amukungoja kumuhuliza wapi anatowa pesa,uyu njo munataka zurumu mali zake vije pikawapita kwenye mapuwa
Kwetu sisi ni kubwa lakini kwa mungu ni Dogo sana
wacha sheria ifate mkondo wake
AMISTAD 1
Mimi ni yeye ningehama nchi
Hawa viongozi uroho na ufisadi cjui wataacha lini"ndo Tanzania nchi ya Amani Hii???Mhhhhh
kaka manji jipe moyo yanamwisho ndio mana Tanzania mackin roho zetu atupendani mchango wa manji tz umesaahulika Leo hii ww ni mla unga mungu yu pamoja nawe