DIWANI NJOMBE MJINI AKASIRISHWA NA USHIRIKINA ATAKA MALEZI BORA KUONDOA UJINGA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Diwani Wa Kata Ya Njombe Mjini Alatanga Nyagawa Ambae ameitaja jamii kusimamia jukuluma La Malezi Bora Kwa Watoto Na Amekemea Fikra Za Imanai Za Kishirikina Katika Masuala Mbalimbali Yanayoendelea Katika Jamii Yao.
    Ametoa wito huo akiwa na Wananchi Wa Mtaa Wa Kambarage Mjini Njombe ambao wamefanya Mkutano Wa Robo Ya Tatu Ya Mwisho Ya Mkutano Mkuu Wa Mapato Na Matuzi Kwa Mwezi Wa Tisa Hadi Wa 12 Mwaka 2023.
    Diwani Huyo Amesema Kwa Sasa Wameibuka Watu Kutoka Nje Ua Mkoa Wa Njombe Wakidai Kutoa Wachawi Ambapo Amewataka Wananchi Wake Kutojihusisha Na Watu Hao Kwani Wanafanya Utapeli Na Kusababisha Migogoro Katika Jamii.
    Amesema Kwa Sasa Serikali Inafanya Jitihada Kuhakikisha Shule Zinajengwa Katika Kata Hiyo Hivyo Watoto Wapelekwe Shule Ili Kuondokana Na Ujinga Na Amewataka Wananchi Wote Kumuabudu Kwa Mungu Kwa Dini Zao Na Kusisitiza Kwamba Suala La Lambalamba Linaoendelea Katika Baadhi Ya Maeneo Mjini Halite Ruhuhusiwa Katika Kata Ya Njombe Mjini.

Комментарии •