EXCLUSIVE ; KIBOKO YA WACHAWI AFUNGUKA KULAZIMISHA WAUMINI KUTOA SADAKA "HATA KIDOGO WANYANG'ANYENI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Комментарии • 137

  • @EmmanuelTate
    @EmmanuelTate Месяц назад +14

    Watu wa mungu tuwe makini sana maandiko yameshaa tuambia manabii kama Hawo watakuja wenye macho ya kiroho tumeshaa juwa nini kinaendelea

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 Месяц назад +12

    Mtangazaji nmekukubali sana maswali yako n mazuri...ila mlengwa anajua sana kuiepuka😂😂😂

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Месяц назад +23

    Wewe siyo nabii bali mganga wa kienyeji.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Месяц назад +4

    Kazi ya Mungu kwann uwatoze pesa jmn ww huna wito

  • @zakariamwamburi-7940
    @zakariamwamburi-7940 Месяц назад +1

    My spiritual father watching from kenya u're right

  • @user-pt1sc4hc1k
    @user-pt1sc4hc1k Месяц назад +3

    Mungu turehemu ktk nyakati hizi mbaya

  • @ErnestLule-z7t
    @ErnestLule-z7t Месяц назад +1

    Wapige pesa sana mtumishi si hawajaamua kutii kweli ya neno ukiwa nje ya Yesu utataabika sana

  • @samweli7985
    @samweli7985 Месяц назад +5

    Kunawatu wanapenda umaskini sana

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад +3

    Nashangaa serikali inamuacha huyu mkongo mpaka Sasa badala kumkamata

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Месяц назад +2

    Muda huongea, wakati ukuta. Hata saa mbovu huwa inasema ukweli mara mbili kwa siku !! Hata maandiko yanasema katika (Mathayo 24 : 35, Marko 13 : 31, na Luka 21 : 33 [Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe] !! Kumbuka wakati, walikuja wengi na mambo yao wakapita, watakuja na wengine na wao watapita, siku zote focus yako imtazame Mungu na sio mwanadamu awaye yeyote !! Kila mwanadamu anao uwezo wa kutenda muujiza wowote ule sharti kuu ishi maisha ambayo yanampendeza Mungu, tii sheria zake hakika utakuwa na uwezo wa ajabu !! Mbarikiwe sana

    • @nurdinmvellah4032
      @nurdinmvellah4032 Месяц назад +1

      Barikiwa Sana mtumishi, watu wang wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, jihadharini na manabii wa uongo, . Mungu aliliona hili ndo maana alitoa msisitizo mapema.

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 Месяц назад +2

    Injili imeingiliwa, shuka mungu kwenye ufahamu wa kondoo wako😢

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 Месяц назад +2

    Ww ni mwizi kwenda kwenu Congo hacha kuibia watanzania

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Месяц назад +2

    Mungu naomba pesa mengi nitoe kuwasaidia wanao ongea ongea hawana hela naomba mungu nisaidie pesa nyingi na mimi

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Месяц назад +2

    Amen baba

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Месяц назад +2

    Ni kweli kazi ya Mungu ni garama.Watu hua wanapoenda kwa waganga wanatoa garama nyingi sana. Hivyo ni vyema kuthamini huduma za watumishi wa Mungu .

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 Месяц назад +2

    Nimecheka sana majibu ya Nabii kiboko ya wachawi nimecheka sanaa😝😝😝

  • @ramadhanimsangi9515
    @ramadhanimsangi9515 Месяц назад +3

    Tapeli huyooo

  • @WilleMtei
    @WilleMtei Месяц назад +4

    Watu amkeni ohooo

  • @NathanMwakabana-dt9xq
    @NathanMwakabana-dt9xq Месяц назад +2

    Hahahaha hahahaha ufafanuzi wa maandiko hayo aisee ni hatariii...

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Месяц назад +2

    Huyu jamaa ana kipaji cha utangazaji aisee huyu dominic

  • @rahabmausli4183
    @rahabmausli4183 Месяц назад +2

    Nikweli Anafanya Business Aseme ukweli

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Месяц назад +9

    😂😂 Wajinga ndowaliwao mnapigwa sana aisee

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад +3

    Huyu sio mtumishi wa Mungu ni agent wa shetani

  • @Nipe9
    @Nipe9 Месяц назад +2

    Huyo ni mpiga dili

  • @engelbertnjau1622
    @engelbertnjau1622 Месяц назад +2

    Ziki nyingi mno kwa watu hawatakikufanya kazi wanataka hela raisi acha wapigwe 😂😂😂😂😂😂

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 Месяц назад +2

    huyu jamaaa hapana😂

  • @RachelEmmanuel-r4p
    @RachelEmmanuel-r4p Месяц назад +2

    Huyo ni tapeli jamani kimbieni mnapotea

  • @yohanamorisi9027
    @yohanamorisi9027 Месяц назад +2

    😂😂zingatia neno WANAOTAKA kuanguka wanaanguka na wasiotaka hawaanguki

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Месяц назад +2

    Hizi ni nyakati za mwisho YESU KRISTO yuko malangoni TUJITAKASE TUJIANDAYE TUWE macho wateule

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 Месяц назад

    Serikali isimrudishe huyu tapeli aende kwa kagame

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 Месяц назад +2

    nani tuende tukaanguke😅😅😅

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 Месяц назад

    Good Job Mgosi, Kussaga.
    Umeuliza maswali mazuri sana.!

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo Месяц назад +2

    Uyo jama ni shetani

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад +2

    Huyu mkongo ni tapeli na mganga wa kienyeji

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n Месяц назад

    Imani yako ndo inakuponya au kukupoteza kila mtu afanye yake zaidi bila uchawi tungefanikiwa sana acha awauwe hata atumie ushirikina hayatuhusu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Месяц назад +2

    Kumbe wachawi wamekufa Arusha? Ndio alienda kuwazika

  • @JohnKitinyagamuga
    @JohnKitinyagamuga Месяц назад

    🎉❤😮

  • @AshoreAa
    @AshoreAa 26 дней назад

    Kafanikisha arusha jaman arudi

  • @GraceKazi-z8d
    @GraceKazi-z8d Месяц назад

    Amen

  • @Missionary_work
    @Missionary_work Месяц назад +4

    Ivi Yesu alitoza Zakayo Pesa. Wewe bwana TAPELI.

  • @imakulathasimon
    @imakulathasimon Месяц назад +4

    Hahaha halafu wewe kusaga unacho kitafuta utakipata

  • @user-lx6cf4jf4e
    @user-lx6cf4jf4e Месяц назад

    yesu hakuwai kutoza watu fedha kwa muona bali aliponya bure hakuchukua hata senti

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Месяц назад +2

    Mmmmmmm tuombe Muñgu atupe masikio na maamzi ya tohoni

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 Месяц назад +2

    ujue wengi wanapenda uhojiwe.ili tu wackie umesema nn ili wapate kujirecod na kukushambulia kwa maneno mabaya...lkn cmama imara MUNGU yupo pamoja na ww

  • @Gamba177
    @Gamba177 Месяц назад +3

    Subhaannallah huyu mshirikina na muongo anawatapeli hao wajinga wasiyoenda shule keshawaona Watanzania wengi ni mijinga sana, na ogopeni na hawa WaCongo ni matapeli sana.

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад

    Hicho kidogo ulichonacho myanganyeni dah kama kwwli ni maandiko yanasema hivo hio sio dini ya mungu kwwli ni dini ilioanzishwa na kaisari 😂😂

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Месяц назад +2

    Yeye mwenyewe mchawi yeye ni kiboko ya wachawi wenzake Tunawatuma Malaika wazvuruge hiyo mipango yako yote ya KICHWANI wewe mwenyewe ni mchawi wewe mwenyewe mchawi

    • @leonarddamian
      @leonarddamian Месяц назад +2

      Huyu ni tapeli,mimi yalinikuta.

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV Месяц назад +1

      😢😢😢😢😢pole sana wengi wanalia kutapeliwa na huyu baba kuna mama alitoa lak5 ili kumuona kufika huko hakuna unabii wwt kamuuliza shida yake nn kisha akamuambia toa lak7 nikuombee😢 bora na huyo mwingine katoa lak5 na hata kumuona hajamuona ​@@leonarddamian

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 Месяц назад

      Hizo ni ctori lkn angetoa huduma bure mngewezaje kumjua kwa televison kwa radios utubu muwe mnafikiria

  • @AlfaniMohammed-zk1hn
    @AlfaniMohammed-zk1hn Месяц назад +2

    Huyu jamaa niajent wa ibrsii hafai kuwa mtumshi

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 Месяц назад

    Safi sana naomba waibie majuha hayo piga pesa MUcongo ile Mutu ya Pesa 😂😂😂

  • @WiliamMatondo
    @WiliamMatondo Месяц назад +2

    Mhh wajinga ndio waliwao

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo Месяц назад

    Anaongea kama mtu wa vigengeni.duh.toka apo

  • @aminarama711
    @aminarama711 Месяц назад

    Muache baba wachawi wakufe

  • @user-su3zd6mz6d
    @user-su3zd6mz6d Месяц назад

    Huyu jamaa nimempenda leo aseee ana ukomedi ndani yake

  • @samniza1763
    @samniza1763 Месяц назад

    He is arrogant and apeleke arrogance yake hukohuko kwao Congo. Kwanini asiwe kiboko ya wachawi Congo???..

  • @RehemaStannley
    @RehemaStannley Месяц назад

    Mm smeumia jaman

  • @bulengedimathias6756
    @bulengedimathias6756 Месяц назад

    Mtumishi hajui pesa za Zakayo zilikoenda. sasa ujue zilipoenda tena kwa hiari yake baada ya kuamua kumfuata Yesu.
    Luka 19:8-10
    8 Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.
    9 Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu.
    10 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад

    Kukutsna eden garden njiro saa 12 jioni, mbona ni usiku Sana. Wattu wanatoka mbali na usafiri ni wa shida pia. Basi tu tuombee wala usituache, mwenyenzi mungu akuongoze unionekanie mtumishi.

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 Месяц назад

    Na kale kadogo alikonako nmnyang'anyeni duu andiko Hilo halipo😂😂😂😂😂

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Месяц назад

    Safi sana kiboko ya wachawi...man of God

  • @paulolaizer1798
    @paulolaizer1798 18 часов назад

    Watu wa mungu. Tunaangamia kwa kukosa maarifa

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Месяц назад

    Kweli baba umenena

  • @LimitlessLyfe
    @LimitlessLyfe Месяц назад

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Месяц назад +2

    Sina hela ningekuwa nayo ningekupa milioni 20,000 na watanzania wakue hakuna bure kila kinahitaji gharama km hawawezi kutoa pesa wapite hivi hakuna bure jamani maisha imebadilika Kila kitu pesa

  • @JofryDaud-kc2du
    @JofryDaud-kc2du Месяц назад

    Mat28:19:20)kristo ali tuma watu kuwaokowa watu waovu laki sikatika kuwagamiza)

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc Месяц назад

    Tumuogope mungu duniani tunapita tuu

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 Месяц назад

    😂😂😂 hapo kwa mchawi na mm nlimuona anamfukuza

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад

    Hongera mh nabii..nimekufuatilia utube mara nyingi Sana.. radioni pia.. Pesa mtu anatoa m wenyewe, na wanapona pia.

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya Месяц назад

    Wa Arusha ndugu zangu kuweni makini

  • @emachangale769
    @emachangale769 Месяц назад

    Mm hamna kitu kajaliwa TU kuongea sana na kutapeli watu. Mimi aliwahi kunitapeli Sina hamu naye

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Месяц назад

    Zakayo aliwarudishia wenye.nazo ila Yesu nae alitumia hela kuna.watu walitoa ila kama kiboko ya wachawi anatapeli watu shauri yake yy siku za mwisho hatari sana na si kiboko ya wachawi tu watumishi waombeaji wengiwengi wamesema bahasha kwenye maviumba.ya maombi.yao wanadamu tumefanywa biashara huduma jamani ina Yesu watu walimpelekea mitume walichanga.wenyewe na watu kujitolea leo watu wanachajiwa ile yakupeleka haipo

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Mbona unachukua pesa nyingi sana laki 5 unasaidia vipi sasa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад

    Huyu ni mkongo man au mtz....
    Mwizi kama mwizi

  • @monicamichael-sr4kx
    @monicamichael-sr4kx Месяц назад

    we kiboko ya wachawi mpaka nimecheka kwa sauti

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Месяц назад

    Kweri baba

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Месяц назад +1

    Huyu ni wauongo, narudia huyu ni wa uongo.

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Месяц назад

    Baba hata ukisema million moja tutakuj mbn hata kwa waganga kwa mahospitalin anapeleka Zaid ya mamillion na kam Co nguvu za mungu kwa wagang mnafuatag nin ufisad umewajaa wa tanzania na bd

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 Месяц назад

    Huyu mganga wa kienyeji atawakomesha watanzania

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Месяц назад

    Yeye amesema iwe usiku nani mapepo na wachawi kazi zao ni usiku usituzunguke

  • @Nipe9
    @Nipe9 Месяц назад

    Wanatoa naigeria

  • @MedyMjenga-q1n
    @MedyMjenga-q1n Месяц назад

    Wapige wajinga wengi wanakufata wenyewe hao

  • @joycekweka5416
    @joycekweka5416 Месяц назад

    Mh huyu ni tp

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu Месяц назад

    😂😂😂😂 amesema YESU ALICHUKUA FEDHA ACHA UONGO JAMANI YESU ALIFANYA KAZI BURE HAKUCHUKUA CHA MTU😮😮😮

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад

    Huyu ni kibwetele mwingine kama wa Uganda

  • @zamdaAlliy-iu8kf
    @zamdaAlliy-iu8kf Месяц назад

    Mngutusaidie

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 Месяц назад

    Huyu freemason Katumwa mkimbienj kama ukoma

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Месяц назад

    WE NI TAPELI KAMA MATAPELI WENGINE NA UNAKWENDA ARUSHA KUWATAPELI WALE WALIOFUNGWA UFAHAMU NA WASIOIJUA KWELI..WE NI MTUMISHI WA SHETANI..

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta Месяц назад

    Watu tumezoea vitu vya bure mno wao wataishije

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 Месяц назад +2

    Haya utayapata tz tyu.

  • @WilliamMtaresi
    @WilliamMtaresi Месяц назад

    Baba nitabirie

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Месяц назад

    Wewe ndo mchawi mafundisho yako hayaniingii kichwani

  • @wilbertkemeli8869
    @wilbertkemeli8869 Месяц назад

    Dah huyu anayehoji ni mtu na nusu😅😅😅😅

    • @glorymanga3650
      @glorymanga3650 Месяц назад

      Anauliza maswali ambayo nayo tunafurahiaa😆

  • @samweli7985
    @samweli7985 Месяц назад

    Kwahiyo nyinyi mtu akiongea ukweli niwashetani, eti amkeni, maana yake mmelala au

  • @DoriceHyera-tz9vq
    @DoriceHyera-tz9vq Месяц назад

    Mtume songea

  • @EufranciaNgombo
    @EufranciaNgombo Месяц назад +2

    Anaemwongelea vibaya huyu baba anamatatizo yawe kiakili yawe kiuchawi kwasababu hamwiti mtu wanaoenda wote wanashida zao na wanafanikiwa

  • @Lupembeajua
    @Lupembeajua Месяц назад

    Haya magrofus ya nini sasa?

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад

    Mpuuzi na wajinga wake

  • @user-el8rp6pd5q
    @user-el8rp6pd5q Месяц назад +2

    Watanzania tuna midomo michafu alafu atuna jema . Yaan Mtumishi amekuja kutusaidia na kutuombea na kutuondolea haya maroho yanayotutesa bado mnaropoka ungese. Mtumishi huyu nimejalibu kumfatilia sana anapenda kuongea uhalisia hapo tu ndio anapigwa vita. Kaza baba tunaokuelewa tutapona

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 Месяц назад

    Mpuuzi huyu

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Месяц назад +2

    Mi uwa sisemagi manabii..Ila huyu jamaa ni tapeli la kikongo limekuja kuwakaanga watanzania.. Hii biashara ya maji na mafuta inalipa

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 Месяц назад

    😂😂😂