EXCLUSIVE ; KIBOKO YA WACHAWI AFUNGUKA KULAZIMISHA WAUMINI KUTOA SADAKA "HATA KIDOGO WANYANG'ANYENI"
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Watu wa mungu tuwe makini sana maandiko yameshaa tuambia manabii kama Hawo watakuja wenye macho ya kiroho tumeshaa juwa nini kinaendelea
Hilo jicho ulilitolea wapi wewe
Mtangazaji nmekukubali sana maswali yako n mazuri...ila mlengwa anajua sana kuiepuka😂😂😂
Wewe siyo nabii bali mganga wa kienyeji.
Kazi ya Mungu kwann uwatoze pesa jmn ww huna wito
My spiritual father watching from kenya u're right
Mungu turehemu ktk nyakati hizi mbaya
Wapige pesa sana mtumishi si hawajaamua kutii kweli ya neno ukiwa nje ya Yesu utataabika sana
Kunawatu wanapenda umaskini sana
Nashangaa serikali inamuacha huyu mkongo mpaka Sasa badala kumkamata
Muda huongea, wakati ukuta. Hata saa mbovu huwa inasema ukweli mara mbili kwa siku !! Hata maandiko yanasema katika (Mathayo 24 : 35, Marko 13 : 31, na Luka 21 : 33 [Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe] !! Kumbuka wakati, walikuja wengi na mambo yao wakapita, watakuja na wengine na wao watapita, siku zote focus yako imtazame Mungu na sio mwanadamu awaye yeyote !! Kila mwanadamu anao uwezo wa kutenda muujiza wowote ule sharti kuu ishi maisha ambayo yanampendeza Mungu, tii sheria zake hakika utakuwa na uwezo wa ajabu !! Mbarikiwe sana
Barikiwa Sana mtumishi, watu wang wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, jihadharini na manabii wa uongo, . Mungu aliliona hili ndo maana alitoa msisitizo mapema.
Injili imeingiliwa, shuka mungu kwenye ufahamu wa kondoo wako😢
Ww ni mwizi kwenda kwenu Congo hacha kuibia watanzania
Mungu naomba pesa mengi nitoe kuwasaidia wanao ongea ongea hawana hela naomba mungu nisaidie pesa nyingi na mimi
Amen baba
Ni kweli kazi ya Mungu ni garama.Watu hua wanapoenda kwa waganga wanatoa garama nyingi sana. Hivyo ni vyema kuthamini huduma za watumishi wa Mungu .
Nimecheka sana majibu ya Nabii kiboko ya wachawi nimecheka sanaa😝😝😝
Tapeli huyooo
Watu amkeni ohooo
Hahahaha hahahaha ufafanuzi wa maandiko hayo aisee ni hatariii...
Huyu jamaa ana kipaji cha utangazaji aisee huyu dominic
Nikweli Anafanya Business Aseme ukweli
😂😂 Wajinga ndowaliwao mnapigwa sana aisee
Huyu sio mtumishi wa Mungu ni agent wa shetani
Huyo ni mpiga dili
Ziki nyingi mno kwa watu hawatakikufanya kazi wanataka hela raisi acha wapigwe 😂😂😂😂😂😂
huyu jamaaa hapana😂
Huyo ni tapeli jamani kimbieni mnapotea
😂😂zingatia neno WANAOTAKA kuanguka wanaanguka na wasiotaka hawaanguki
Hizi ni nyakati za mwisho YESU KRISTO yuko malangoni TUJITAKASE TUJIANDAYE TUWE macho wateule
Serikali isimrudishe huyu tapeli aende kwa kagame
nani tuende tukaanguke😅😅😅
Good Job Mgosi, Kussaga.
Umeuliza maswali mazuri sana.!
Uyo jama ni shetani
Huyu mkongo ni tapeli na mganga wa kienyeji
Huyo ji Muhuni na ni Magic
Imani yako ndo inakuponya au kukupoteza kila mtu afanye yake zaidi bila uchawi tungefanikiwa sana acha awauwe hata atumie ushirikina hayatuhusu
Kumbe wachawi wamekufa Arusha? Ndio alienda kuwazika
🎉❤😮
Kafanikisha arusha jaman arudi
Amen
Ivi Yesu alitoza Zakayo Pesa. Wewe bwana TAPELI.
Hahaha halafu wewe kusaga unacho kitafuta utakipata
yesu hakuwai kutoza watu fedha kwa muona bali aliponya bure hakuchukua hata senti
Mmmmmmm tuombe Muñgu atupe masikio na maamzi ya tohoni
ujue wengi wanapenda uhojiwe.ili tu wackie umesema nn ili wapate kujirecod na kukushambulia kwa maneno mabaya...lkn cmama imara MUNGU yupo pamoja na ww
Subhaannallah huyu mshirikina na muongo anawatapeli hao wajinga wasiyoenda shule keshawaona Watanzania wengi ni mijinga sana, na ogopeni na hawa WaCongo ni matapeli sana.
Hicho kidogo ulichonacho myanganyeni dah kama kwwli ni maandiko yanasema hivo hio sio dini ya mungu kwwli ni dini ilioanzishwa na kaisari 😂😂
Yeye mwenyewe mchawi yeye ni kiboko ya wachawi wenzake Tunawatuma Malaika wazvuruge hiyo mipango yako yote ya KICHWANI wewe mwenyewe ni mchawi wewe mwenyewe mchawi
Huyu ni tapeli,mimi yalinikuta.
😢😢😢😢😢pole sana wengi wanalia kutapeliwa na huyu baba kuna mama alitoa lak5 ili kumuona kufika huko hakuna unabii wwt kamuuliza shida yake nn kisha akamuambia toa lak7 nikuombee😢 bora na huyo mwingine katoa lak5 na hata kumuona hajamuona @@leonarddamian
Hizo ni ctori lkn angetoa huduma bure mngewezaje kumjua kwa televison kwa radios utubu muwe mnafikiria
Huyu jamaa niajent wa ibrsii hafai kuwa mtumshi
Safi sana naomba waibie majuha hayo piga pesa MUcongo ile Mutu ya Pesa 😂😂😂
Mhh wajinga ndio waliwao
Anaongea kama mtu wa vigengeni.duh.toka apo
Muache baba wachawi wakufe
Huyu jamaa nimempenda leo aseee ana ukomedi ndani yake
He is arrogant and apeleke arrogance yake hukohuko kwao Congo. Kwanini asiwe kiboko ya wachawi Congo???..
Mm smeumia jaman
Mtumishi hajui pesa za Zakayo zilikoenda. sasa ujue zilipoenda tena kwa hiari yake baada ya kuamua kumfuata Yesu.
Luka 19:8-10
8 Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.
9 Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu.
10 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
Kukutsna eden garden njiro saa 12 jioni, mbona ni usiku Sana. Wattu wanatoka mbali na usafiri ni wa shida pia. Basi tu tuombee wala usituache, mwenyenzi mungu akuongoze unionekanie mtumishi.
Na kale kadogo alikonako nmnyang'anyeni duu andiko Hilo halipo😂😂😂😂😂
Safi sana kiboko ya wachawi...man of God
Watu wa mungu. Tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kweli baba umenena
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!
Sina hela ningekuwa nayo ningekupa milioni 20,000 na watanzania wakue hakuna bure kila kinahitaji gharama km hawawezi kutoa pesa wapite hivi hakuna bure jamani maisha imebadilika Kila kitu pesa
Mat28:19:20)kristo ali tuma watu kuwaokowa watu waovu laki sikatika kuwagamiza)
Tumuogope mungu duniani tunapita tuu
😂😂😂 hapo kwa mchawi na mm nlimuona anamfukuza
Hongera mh nabii..nimekufuatilia utube mara nyingi Sana.. radioni pia.. Pesa mtu anatoa m wenyewe, na wanapona pia.
Wa Arusha ndugu zangu kuweni makini
Mm hamna kitu kajaliwa TU kuongea sana na kutapeli watu. Mimi aliwahi kunitapeli Sina hamu naye
Zakayo aliwarudishia wenye.nazo ila Yesu nae alitumia hela kuna.watu walitoa ila kama kiboko ya wachawi anatapeli watu shauri yake yy siku za mwisho hatari sana na si kiboko ya wachawi tu watumishi waombeaji wengiwengi wamesema bahasha kwenye maviumba.ya maombi.yao wanadamu tumefanywa biashara huduma jamani ina Yesu watu walimpelekea mitume walichanga.wenyewe na watu kujitolea leo watu wanachajiwa ile yakupeleka haipo
Mbona unachukua pesa nyingi sana laki 5 unasaidia vipi sasa
Huyu ni mkongo man au mtz....
Mwizi kama mwizi
we kiboko ya wachawi mpaka nimecheka kwa sauti
Kweri baba
Huyu ni wauongo, narudia huyu ni wa uongo.
Huyu ni tapeli kama matapeli wengine..
tapeli kabisa huyo
Baba hata ukisema million moja tutakuj mbn hata kwa waganga kwa mahospitalin anapeleka Zaid ya mamillion na kam Co nguvu za mungu kwa wagang mnafuatag nin ufisad umewajaa wa tanzania na bd
Huyu mganga wa kienyeji atawakomesha watanzania
Yeye amesema iwe usiku nani mapepo na wachawi kazi zao ni usiku usituzunguke
Wanatoa naigeria
Wapige wajinga wengi wanakufata wenyewe hao
Mh huyu ni tp
😂😂😂😂 amesema YESU ALICHUKUA FEDHA ACHA UONGO JAMANI YESU ALIFANYA KAZI BURE HAKUCHUKUA CHA MTU😮😮😮
Huyu ni kibwetele mwingine kama wa Uganda
Mngutusaidie
Huyu freemason Katumwa mkimbienj kama ukoma
WE NI TAPELI KAMA MATAPELI WENGINE NA UNAKWENDA ARUSHA KUWATAPELI WALE WALIOFUNGWA UFAHAMU NA WASIOIJUA KWELI..WE NI MTUMISHI WA SHETANI..
Watu tumezoea vitu vya bure mno wao wataishije
Haya utayapata tz tyu.
Baba nitabirie
Wewe ndo mchawi mafundisho yako hayaniingii kichwani
Dah huyu anayehoji ni mtu na nusu😅😅😅😅
Anauliza maswali ambayo nayo tunafurahiaa😆
Kwahiyo nyinyi mtu akiongea ukweli niwashetani, eti amkeni, maana yake mmelala au
Mtume songea
Anaemwongelea vibaya huyu baba anamatatizo yawe kiakili yawe kiuchawi kwasababu hamwiti mtu wanaoenda wote wanashida zao na wanafanikiwa
Haya magrofus ya nini sasa?
Mpuuzi na wajinga wake
Watanzania tuna midomo michafu alafu atuna jema . Yaan Mtumishi amekuja kutusaidia na kutuombea na kutuondolea haya maroho yanayotutesa bado mnaropoka ungese. Mtumishi huyu nimejalibu kumfatilia sana anapenda kuongea uhalisia hapo tu ndio anapigwa vita. Kaza baba tunaokuelewa tutapona
huyu ni tapeli
@@Wilhelmsalvatory una kitu gani mpk utapeliwe hela yenyewe huna
Mpuuzi huyu
Mi uwa sisemagi manabii..Ila huyu jamaa ni tapeli la kikongo limekuja kuwakaanga watanzania.. Hii biashara ya maji na mafuta inalipa
😂😂😂