Nicole wa Harmonize aonyesha kufuru

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 269

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 3 года назад +178

    Kila mtu ana LifeStyle yake, Mimi kama Kigogo Dr. Charles nina Mahindi Gunia 200, Nguo zangu ni 6 tu😂

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 3 года назад +10

    Mash Allah I just love her

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 3 года назад +9

    Hao ndio duniya wameipa uso. Ni maisha mafupi tu ya duniya. Akhera wamesahu😭

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 3 года назад +7

    Naona kawekeza katika mavazi

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 3 года назад +18

    Dooh hiyo kufulu jamani basi wa kumbuke masikini huko nnje

    • @DespereuxRaizo
      @DespereuxRaizo 3 года назад +2

      Kwahiyo unataka maskini apewe Luis Vuitton sio ,

    • @happyndomba6965
      @happyndomba6965 3 года назад +1

      @@DespereuxRaizo msamehe mwenzio hajui gharama yake 🤭🤭🤭

    • @azizamuhiddin8993
      @azizamuhiddin8993 3 года назад

      kweli

    • @kellyemm3701
      @kellyemm3701 3 года назад

      @@DespereuxRaizo 🤣🤣🤣🤣

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 3 года назад +5

    Sio vibaya kumiliki pesa wala gari,Ila n vibaya kutokumjua Mungu wako na at km ukimjua n mbaya usitembee katika neno lake,am not judging am reminding,Yesu anarudi kunyakua watu wake tusisahau kuutafta ufalme wa Mbinguni maana n maisha yasiyoharibika nayamilele Ila tukiwa matajiri dunian tukawa maskin
    baada ya kufa n laana,waebrania 9:27

    • @noydanthewinner1146
      @noydanthewinner1146 3 года назад +1

      Kweli amini

    • @wahabmkazi7902
      @wahabmkazi7902 3 года назад

      Unaweza kufikiri unamfahamu mungu nn anataka lkn bado ukawa humfaham nn anataka. Yawezekana yule udhaniye siye ndiye. Wengi wetu tunamhubiri mungu tusiyemfaham. Acha kusemaa watu vibaya kwa kumshirikisha muumba aliye muaminifu kupita

    • @ivonaevarista4654
      @ivonaevarista4654 3 года назад

      @@wahabmkazi7902 namhubiri Mungu nayemfahamu na nimemhakikisha naye ndiye aliniamuru niandike hivo,rudia kusoma sms yamgu acha kukurupuka

  • @simonanthonykayombo6913
    @simonanthonykayombo6913 3 года назад +3

    Greedy is inhumanity.
    Siku moja utakuja kujutia ku-show off huo u-greedy wako.
    Hukatazwi kuwa navyo kama ni halali, ila ku-show off wakati wengine hata chakula cha siku ni mtihani, unawatengenezea mazingira ya kukufuru.

  • @ommymehmed8880
    @ommymehmed8880 3 года назад +4

    Ilo c ni duka kabisa ilo jaman ....yaan mtaji wa maisha ya watu anao yeye ndani anapambia kuta za nyumabaa

  • @OmarMohamed-tp4uf
    @OmarMohamed-tp4uf 3 года назад +3

    Tanzania boss lady Nicole 👏

  • @elishaobadia8829
    @elishaobadia8829 3 года назад +18

    Tako kubwa akili ndogo

  • @sabunitv2121
    @sabunitv2121 9 дней назад

    Nikajua duka....... anyway yote Ni mbwembwe na tutviacha hapa 😊

  • @nelsonmpolochacha5035
    @nelsonmpolochacha5035 3 года назад +4

    then zari anatamba kwamba Tanzania wasichana hawajielewi....
    Vitu vya kurithi kweli havimwachi mtu sawa.

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 3 года назад +6

    Mmmmmh Maisha Mazuri ivyo biashara gani hasa unayofanya kucheza filamu ndio ununue pochi milioni 9 Ee MUNGU

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад

    Milioni Tisa hiyo kwio kajisemea Tabu mtingita Aaaa thubutuuuuuuu acheni mashauzi Halafu watu kama Hawa wanashuka vibayaaaa kwa nn hamui kwali?? Ununue Bagel milioni Tisa kwa maisha haya au mengine

  • @fatmasaid3536
    @fatmasaid3536 3 года назад +8

    Mimi personally, hata nkiwa nazo, siwez kununua bag ya that amount. As they say, kuna binadam na kuna viumbe. Focus yangu ni kwnye raslimali kama manyumba, viwanja lakin ujinga kama huu not my type. Wish u well.

    • @salimmank3592
      @salimmank3592 3 года назад

      Hapo umeongea point dadangu, nakuunga mkono mia kwa mia

  • @amooclassic1133
    @amooclassic1133 3 года назад +7

    Mwili mkubwa Ila upstairs ni zero

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 3 года назад

      Ndio utake usitake mwenzako MUNGU kampa wewe mwenye akili kichwani unanini?

  • @mariamsaid5655
    @mariamsaid5655 3 года назад +6

    Jamn wadada tukubali tu kama hatuna alivyo navyo mwenzetu comment ndefu za nini oooh wakumbuke masikini oooh wakumbe yatima kawambia hawakumbuki tuache roho mbaya hongera Nicole

    • @richardsizya1847
      @richardsizya1847 3 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 3 года назад

      Kweli aisee si kila muda chuk tuu

    • @aminadada9045
      @aminadada9045 3 года назад

      KBS tuache

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 3 месяца назад

      Mimi sichukii mtu mwingine akiwa navyo ila mi magauni 15 tu na viatu pairs 10 tu mi ni kero kwangu vikizidi huwa nagawa Kwa watu wengine hata huyu huenda anavaa Nguo moja na kugawa sio ajabu kila mtu ana kitu anapenda sanaaa

  • @mariamariki7132
    @mariamariki7132 Год назад +1

    Mimi kwangu hapo ningefanya duka

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery3378 8 месяцев назад

    Mkiumwa mnaanza jamani msanii hoi taabani jamani watanzania na Samia mchango pumbavu zenu uzenimabegi yenu wengi sisi hatuna hata mitaji ninyi beg Mija mlion 9 way, way ooo my god

  • @catherineeward9663
    @catherineeward9663 3 года назад +3

    I like her like serious

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 3 года назад +5

    Dah kwer noma begi milion 9 arafu muhuni iyo milioni 9 sijawai ishika kwer lazma tuzidiane yooh

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 Год назад

    Mshangazi kama huo ukidaka msukuma kaja na lori la Pamba Dar, mskuma anaua mtaji shamba harudi tena baada ya kuuza tujirobota twake twa pamba bandarini .

  • @johnmunyoro4428
    @johnmunyoro4428 6 месяцев назад

    Nakushauri uwekeze kwenye nyumba za kupangisha .na viwaja utazeekana umaarufu utaisha na hera itakata

  • @berithatilutoza5492
    @berithatilutoza5492 3 года назад +7

    Siku wakiugua wasitwambie wanataka michamngo

  • @IsmailMadrelya
    @IsmailMadrelya 3 года назад +8

    Almauti ya Akbaki Tatani,,,
    Wali Qaburi Sunduki laamalli ,,
    Kifo kinakuja ghafla na kaburi lako ndo sanduku la Matendo yako ,,,Kumbuka Hilo pia

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 3 года назад +10

    Tutawafanyia councelling mkianza kuvuta bangi tu mtakuja soba house

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 3 года назад

      Acha wivu

    • @mercypeter162
      @mercypeter162 Год назад

      Hilo nalo neno. Na wakiugua tutawachangia Ahahahaaa

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 3 года назад +3

    Mtanzania kosea utajua hujui hyo kulima mchele ñâ mpunga 😁😁😁😁

  • @kelvinjohn7273
    @kelvinjohn7273 3 года назад +6

    9m for 1 bag ?? Damn it

  • @fahimafah349
    @fahimafah349 3 года назад +1

    Sasa unanguo zote izo nipe ata nguo maja jamani mudukumbuke sisi maskini

  • @rehemamkalawa3801
    @rehemamkalawa3801 3 года назад +10

    Muhehe muongo huyu! Khaa! Ati pochi hiyo mil.9 si elfu 25 kariakoo hizi D&G

    • @maimyahkassim4299
      @maimyahkassim4299 3 года назад

      Za feki

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 3 года назад +1

      Fek zipo Hadi 15 dia pole

    • @carolinemusimbi9232
      @carolinemusimbi9232 3 года назад +1

      Original yes hio ndio bei yake

    • @maimyahkassim4299
      @maimyahkassim4299 3 года назад

      @@carolinemusimbi9232 na mimi najua haswa original ndio bei zake ndio maana nikashangaa bei za 15 elf n.k

    • @bahatynangy1381
      @bahatynangy1381 3 года назад

      Muongo kweli uyu Dada,namjua vizur, labda ivi vitu amepata majuz

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Год назад

    Heeee😳nilizan duka kumbe ndan honger

  • @marthamwandumbya1268
    @marthamwandumbya1268 3 года назад

    Mh okay madam

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 3 года назад +6

    Utazikwa nazo. Tuonyeshe biashara ganivinafanya pesa zote hizo. Hayo maguo ukivaa hawa unaweka za nini?

    • @mariamsuma3003
      @mariamsuma3003 3 года назад

      Hatar hajui kama atakufa anaziacha

    • @dianajavan609
      @dianajavan609 3 года назад

      Alihojiwa akasema analima mpunga na mchele😂

    • @mariamsuma3003
      @mariamsuma3003 3 года назад

      @@dianajavan609 kudanga tu huyu maana wanaume wanape,NDA matako makubw!

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 3 года назад

      Masha allaah

    • @swammyrashdi6633
      @swammyrashdi6633 3 года назад

      Umenichekeshaaa kwelii ganivinafanya🤣🤣

  • @swafiyamansur4326
    @swafiyamansur4326 Год назад

    Maashallah

  • @allykitanga5138
    @allykitanga5138 3 года назад +1

    Wht!Mpunga na mchele.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 3 года назад +9

    mhhh hao kwa kupiga virungu ndio zao,,,

  • @zakiahfaustin8087
    @zakiahfaustin8087 2 года назад

    ukigawa naombaa

  • @mutwalesylvie1305
    @mutwalesylvie1305 3 года назад +1

    Pesa anatoa wapi ndomana amuolewi

  • @fadhilaimran817
    @fadhilaimran817 3 года назад +2

    Nguo moja tu utakayoivaa siku ya mwisho ni sanda na hutavaa viatu. Wala kibegi 😂 mungu ni mwema haki

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 3 года назад +2

    Si tumekubaliana kuwa vyote vya China 😉

  • @SaidatIbrahim-l7o
    @SaidatIbrahim-l7o 10 месяцев назад

    Nicole niwezeshe kimtaji mwanmke mwenzio

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 года назад

    Haya wale ma super star wa bongo mko wapi wema na wengine soma hio poch 900000 je chupi 🙄

  • @esadkulovic6777
    @esadkulovic6777 3 года назад +4

    Mwili umezidi haki mpka anashndwa kusimama na kupumua,punguza dear.

  • @amalakh1990
    @amalakh1990 3 года назад +5

    analima mpunga na mchele huyu lazima awe na hela

  • @rithapuran7349
    @rithapuran7349 3 года назад +4

    Utuandikie uridhii kabisaa tusije kugombania viatu na mikoba baadae

  • @redemthajohnambros7876
    @redemthajohnambros7876 3 года назад +1

    nimongooooo jmn hizo poch kariako 19000

  • @aliy4116
    @aliy4116 Год назад

    Muogope mungu

  • @hallin9561
    @hallin9561 3 года назад +1

    Waislamu walioyashindwa maisha watakuja na maneno yao ya kifo.. usiishi vizuri sabab siku utakufa,,,

    • @hajinjawala8351
      @hajinjawala8351 3 года назад

      Waislamu wameingiaje hapo
      Kwani kifo hakipo? Think more before talking

    • @rashidmalikia5079
      @rashidmalikia5079 3 года назад

      Warabu wanahella kuliko kilamtu duniani na awajawai kupost mtandaoni 🙄🙄🙄kuna watu wanahella zaidi yake uyo naawajawai kupost kwaiyo usitutukane bure waesilimu awajakosea Bali wanakumbusha

    • @dianajohn3493
      @dianajohn3493 3 года назад

      @@rashidmalikia5079 fedha na dhahabu na vyote viijazavyo dunia ni Mali ya Mungu (Allah) hakuna cha waisilamu wala wakristo kila MTU ataondoka mtupu pamoja na kujikusanyia mengi.

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 года назад +1

      Hall in kama unalo linalokukera na waislam sema kwa sababu unaleta udini sasa .Watu wote walio comment hapa sio waislam peke yao ila wewe una kinachokusumbua rohoni kiteme au kimeze usitafute ubaya na watu bure kwa upumbavu wako.

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 2 года назад

    Yan nicole nakupenda bure

  • @mbonibaby7060
    @mbonibaby7060 3 года назад

    Dah siamini huyu dada ndo video vixen kwenye ngoma ya sumalee hakunaga

  • @jamesmiliyaoloulu8959
    @jamesmiliyaoloulu8959 2 года назад

    Munatafuta comment acheni uongo nyie wabongo

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri 24 дня назад

    HAPA ALIKUWA HAJAENDA UTURUKI MBONA YUPO KAWAIDA

  • @zainajafar8647
    @zainajafar8647 3 года назад

    Dah pochi tu Dada nicol naomba moja

  • @noelmtao2735
    @noelmtao2735 Год назад

    Sheer extravagance! I don't think that you are damn rich, girlie!

  • @georgeanthony1547
    @georgeanthony1547 3 года назад

    Hiki ndicho kinachoonyeshwa na main media. Mnajiita tv no one ya vijana hapa mna weka athari ipi chana kwa vijana wa nchi zinazoendelea kama sisi?
    Hakika msithubutu kuona mnamchango wowote wa msingi zaidi ya uharibifu tuu

  • @rukiasalum5671
    @rukiasalum5671 3 года назад +4

    Huyu hajawahi kuibiwa ndiyo maana

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад

    Bora ujinga kuliko upumbavu

  • @geraldgerrytrump254
    @geraldgerrytrump254 3 года назад +14

    Woow mwenye hela zake huyu , wenye kiroho utawajua kwenye comments 😂 😂 🤣 🤣

    • @supertal2943
      @supertal2943 3 года назад +1

      😝

    • @geraldgerrytrump254
      @geraldgerrytrump254 3 года назад

      @@supertal2943 na awaandikie uridhi wasije gombana kisa viatu na begi😂

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад +1

      @@geraldgerrytrump254 "uridhi" ndo nini?
      Hapo umeniacha kidgo tafadhali

    • @geraldgerrytrump254
      @geraldgerrytrump254 3 года назад

      @@chiefmahucha6847 mali anayo achiwa mtu 🤭

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 года назад

    Mie naishi ulaya sina ata nguo ila watoto alhamdulilah ila mimi mpaka shoga wananiambia si ununue ata kiatu Pia yaani tuna jua saa hii na niko na buti ila nangalia majukumuu nyumbani na wala saa nyengine lawama wazee

  • @MonicaMfinanga
    @MonicaMfinanga 4 месяца назад

    Mtu ukifa ndugu wanafungua duka sory kama nimeandika vbaya uwiiii.

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 3 года назад +2

    MNAPENDA KUSEMA WAHAYA WANAPENDA SIFA,SASA HUYU NI MUHAYA?

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 3 года назад

      Misifa ni Tabia ya mtu na asili ya mtu watu waache kuchukuliana na maneno ya kizamani et kabila moja ndo wanasifa

    • @gallousgosbert4993
      @gallousgosbert4993 3 года назад

      Asante

  • @user-ob4ud6qh3j
    @user-ob4ud6qh3j 3 года назад +1

    Haya n maisha au kufuru 🤔..

  • @happyjohn7630
    @happyjohn7630 3 года назад

    Atuna kiroho je hiv vitu vyote Mungu amempa nn masikin wanatembea uchi ana watt wangap wa yatima

  • @fantamohamedi8564
    @fantamohamedi8564 3 года назад +1

    Nasubiri wazungu walete mtumbani

  • @erickevarist8738
    @erickevarist8738 3 года назад

    Is up to you

  • @king-size8114
    @king-size8114 3 года назад +2

    Yuko vizur

  • @dottocharles1636
    @dottocharles1636 3 года назад +1

    Du Mimi nilijuwa dukan kumbe chumban .mmm! Makubwa .maisha

  • @bornifacecharles9555
    @bornifacecharles9555 3 года назад

    Wewe una biasha unayo fanya haiwezekani et Kambona m9 awap

  • @mausubrah6153
    @mausubrah6153 3 года назад +2

    Ww ni mbanga kwel yan una jinad una nguo 2ooo wakati kuna maskin wana teseka na njaa awana pakulala wala pakula ata nguo awana

    • @stevenadolph9138
      @stevenadolph9138 3 года назад +2

      Wafanye Kaz wajtume inshallah watakula watalala

    • @Inno-qz2ec
      @Inno-qz2ec 3 года назад +1

      Juhudi zake ..xo acha afanye anachojiskia

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      Masikini wako wangapi?
      Na Nicole wako wangapi?

  • @fettymsukuma
    @fettymsukuma 3 года назад

    Hongera yake xn nampa big up

  • @elizabethkibombo8151
    @elizabethkibombo8151 3 года назад

    Mambo mengi mengi tena ni uchafu tena kabisa yy tu 🤭🤔😳❌❌🙄🙄

  • @sarahambajo2873
    @sarahambajo2873 3 года назад +3

    Well organized

  • @angejeanboscohakizimana2402
    @angejeanboscohakizimana2402 3 года назад +1

    MASHALLAJ

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 3 года назад +2

    Hahahaha nyumba ya kupangaaaa iyoo

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 3 года назад

      Nimesikia milioni tisa tu mimi jamani jamani wadada tunaigahadi kupitiliza maana hata hao mnawaiga hawIshi iv

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 года назад

    Mmmmmh kubka utajr wa biguni sio mali.

  • @aysherkitoi6547
    @aysherkitoi6547 3 года назад

    Huyu ndio ana tembea na harmonize

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 3 года назад

    Anaeumia ni kondeboy tu hapo 😂😂😂

  • @mioszpiotrowski1467
    @mioszpiotrowski1467 3 года назад

    Mm nnavisubiria mitumbani maana sio kwapesa hio sinauwezonayo

  •  3 года назад +1

    Ha😃😃😃😃😃

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 3 года назад

    Subiri uchoke uone kama hiyo mikoba ya dola3000utapata hata dola 100subutu!!

  • @elizabethswai9670
    @elizabethswai9670 3 года назад

    Hufanani na unacho ongea Dd,bora Uokoke

  • @yassinm69
    @yassinm69 3 года назад

    Kiswahili ,kiingereza doogy poops

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 года назад +1

    Nampenda hasemagi uongo alafu msafi

  • @najmahamso8364
    @najmahamso8364 3 года назад +2

    Nlijua ni biashara 🤣🤣

    • @golipost5872
      @golipost5872 2 года назад

      😂😂😂😂😂😂 duka liko home

  • @joevang4685
    @joevang4685 3 года назад +1

    nyumba ya kupanga au yake

  • @rjthedj9869
    @rjthedj9869 3 года назад

    Nickoh noms

  • @minahwachack9637
    @minahwachack9637 3 года назад

    Nicol nigaiye ata poch moja

  • @hikmajeyz5072
    @hikmajeyz5072 3 года назад +1

    Vyote itaviwacha katika dunia,utaenda wwe tu na matendo yako mama😅

    • @salimguru6779
      @salimguru6779 3 года назад

      Alisikika fukara mmoja

    • @anorderastonyondo3726
      @anorderastonyondo3726 3 года назад

      Unaweza ukawa huna kitu na matendo yako yakawa mabaya but vilevile naww utaacha hicho ulichonacho utaenda na matendo yako

  • @jumalimbende4021
    @jumalimbende4021 3 года назад

    Ongea kwa kiswahili una nini?

  • @frankfranklyn2596
    @frankfranklyn2596 3 года назад +1

    wewe ni mshamba tu! hao wanaokusifu hawana akili

  • @ibrahimlema.3600
    @ibrahimlema.3600 3 года назад

    Hatari

  • @pendozenda5764
    @pendozenda5764 3 года назад

    Kuna watu wanaishi jmn

    • @kellyemm3701
      @kellyemm3701 3 года назад

      Na wasindikizaji tupo. Usitusahau

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 3 года назад

    Dukan au 😀😀

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 года назад +3

    Unauza ama za kuvalia tu

  • @herikaniugu
    @herikaniugu 3 года назад

    Mbona anateseka sana

  • @hassanmkwama9900
    @hassanmkwama9900 3 года назад

    Lugha yetu kiswahili tukithamini

  • @waukaecomedy
    @waukaecomedy 3 года назад

    Kufuru izo pochi iyo mxhahara wa mtu furan serikalin

  • @mwajumakweli6774
    @mwajumakweli6774 3 года назад +1

    Kajenga?

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Hapo sasa

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 года назад

      Mzungu mjanja sana anajua waafrika wengine ni wajinga anawatengenezea mapochi, nguo mabegi, perfume, magari makubwa saa na vipodozi anayapa brand design anapanga bei kubwa anajua malimbukeni watanunua tu ili kujionyesha na kweli wanunuaji ni sie wajinga wao pesa mfukoni halafu tunalalamka umasikini wakati tunautengeneza wenyewe. Wajinga ndio waliwao.

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 3 года назад

    Umalaya umaarufu na pesa...yote mapito tu

  • @mwigakatumpula9817
    @mwigakatumpula9817 3 года назад +1

    Kila mmoja ana lifestyle yake so hatuwezi kuwa sale Hata Kama tutaweza kupata kipato sawa sawa .🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏🏃🏃🏃🏃