Nicole wa Harmonize aonyesha kufuru
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Kila mtu ana LifeStyle yake, Mimi kama Kigogo Dr. Charles nina Mahindi Gunia 200, Nguo zangu ni 6 tu😂
Umetisha kigogo
Hivi wewe ni yule mtoa taarifa usiye rasmi???? #salute
The
To
N
Nomaaa kwer 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mash Allah I just love her
Hao ndio duniya wameipa uso. Ni maisha mafupi tu ya duniya. Akhera wamesahu😭
Una uhakika kasahau?😊
Naona kawekeza katika mavazi
Dooh hiyo kufulu jamani basi wa kumbuke masikini huko nnje
Kwahiyo unataka maskini apewe Luis Vuitton sio ,
@@DespereuxRaizo msamehe mwenzio hajui gharama yake 🤭🤭🤭
kweli
@@DespereuxRaizo 🤣🤣🤣🤣
Sio vibaya kumiliki pesa wala gari,Ila n vibaya kutokumjua Mungu wako na at km ukimjua n mbaya usitembee katika neno lake,am not judging am reminding,Yesu anarudi kunyakua watu wake tusisahau kuutafta ufalme wa Mbinguni maana n maisha yasiyoharibika nayamilele Ila tukiwa matajiri dunian tukawa maskin
baada ya kufa n laana,waebrania 9:27
Kweli amini
Unaweza kufikiri unamfahamu mungu nn anataka lkn bado ukawa humfaham nn anataka. Yawezekana yule udhaniye siye ndiye. Wengi wetu tunamhubiri mungu tusiyemfaham. Acha kusemaa watu vibaya kwa kumshirikisha muumba aliye muaminifu kupita
@@wahabmkazi7902 namhubiri Mungu nayemfahamu na nimemhakikisha naye ndiye aliniamuru niandike hivo,rudia kusoma sms yamgu acha kukurupuka
Greedy is inhumanity.
Siku moja utakuja kujutia ku-show off huo u-greedy wako.
Hukatazwi kuwa navyo kama ni halali, ila ku-show off wakati wengine hata chakula cha siku ni mtihani, unawatengenezea mazingira ya kukufuru.
True
🤣🤣🤣🤣
Ilo c ni duka kabisa ilo jaman ....yaan mtaji wa maisha ya watu anao yeye ndani anapambia kuta za nyumabaa
Tanzania boss lady Nicole 👏
Tako kubwa akili ndogo
mwanamke asiye na akili lazima mwili na kiungo chake kitumike.
😆😄😄
Kama hujui huyu dada ni mjulima wa iringa; usione watu wanatumia pesa
Akili yako imekusaidia nn na bando la mkopo kenge wewe
🤣🤣🤣🤣🤣
Nikajua duka....... anyway yote Ni mbwembwe na tutviacha hapa 😊
then zari anatamba kwamba Tanzania wasichana hawajielewi....
Vitu vya kurithi kweli havimwachi mtu sawa.
🤣🤣🤣🤣
Mmmmmh Maisha Mazuri ivyo biashara gani hasa unayofanya kucheza filamu ndio ununue pochi milioni 9 Ee MUNGU
Wanadanga
Wakulima wanaela mm simbishii
Ukulima unalipa sana
@@maureensunguya8779 namm natak niwe mkulim
Milioni Tisa hiyo kwio kajisemea Tabu mtingita Aaaa thubutuuuuuuu acheni mashauzi Halafu watu kama Hawa wanashuka vibayaaaa kwa nn hamui kwali?? Ununue Bagel milioni Tisa kwa maisha haya au mengine
Mimi personally, hata nkiwa nazo, siwez kununua bag ya that amount. As they say, kuna binadam na kuna viumbe. Focus yangu ni kwnye raslimali kama manyumba, viwanja lakin ujinga kama huu not my type. Wish u well.
Hapo umeongea point dadangu, nakuunga mkono mia kwa mia
Mwili mkubwa Ila upstairs ni zero
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio utake usitake mwenzako MUNGU kampa wewe mwenye akili kichwani unanini?
Jamn wadada tukubali tu kama hatuna alivyo navyo mwenzetu comment ndefu za nini oooh wakumbuke masikini oooh wakumbe yatima kawambia hawakumbuki tuache roho mbaya hongera Nicole
😂😂😂😂😂
Kweli aisee si kila muda chuk tuu
KBS tuache
Mimi sichukii mtu mwingine akiwa navyo ila mi magauni 15 tu na viatu pairs 10 tu mi ni kero kwangu vikizidi huwa nagawa Kwa watu wengine hata huyu huenda anavaa Nguo moja na kugawa sio ajabu kila mtu ana kitu anapenda sanaaa
Mimi kwangu hapo ningefanya duka
Mkiumwa mnaanza jamani msanii hoi taabani jamani watanzania na Samia mchango pumbavu zenu uzenimabegi yenu wengi sisi hatuna hata mitaji ninyi beg Mija mlion 9 way, way ooo my god
I like her like serious
Dah kwer noma begi milion 9 arafu muhuni iyo milioni 9 sijawai ishika kwer lazma tuzidiane yooh
Mshangazi kama huo ukidaka msukuma kaja na lori la Pamba Dar, mskuma anaua mtaji shamba harudi tena baada ya kuuza tujirobota twake twa pamba bandarini .
Nakushauri uwekeze kwenye nyumba za kupangisha .na viwaja utazeekana umaarufu utaisha na hera itakata
Siku wakiugua wasitwambie wanataka michamngo
Almauti ya Akbaki Tatani,,,
Wali Qaburi Sunduki laamalli ,,
Kifo kinakuja ghafla na kaburi lako ndo sanduku la Matendo yako ,,,Kumbuka Hilo pia
Mmh Hizi kufuru zingine mmh
Tutawafanyia councelling mkianza kuvuta bangi tu mtakuja soba house
Acha wivu
Hilo nalo neno. Na wakiugua tutawachangia Ahahahaaa
Mtanzania kosea utajua hujui hyo kulima mchele ñâ mpunga 😁😁😁😁
9m for 1 bag ?? Damn it
Sasa unanguo zote izo nipe ata nguo maja jamani mudukumbuke sisi maskini
Muhehe muongo huyu! Khaa! Ati pochi hiyo mil.9 si elfu 25 kariakoo hizi D&G
Za feki
Fek zipo Hadi 15 dia pole
Original yes hio ndio bei yake
@@carolinemusimbi9232 na mimi najua haswa original ndio bei zake ndio maana nikashangaa bei za 15 elf n.k
Muongo kweli uyu Dada,namjua vizur, labda ivi vitu amepata majuz
Heeee😳nilizan duka kumbe ndan honger
Mh okay madam
Utazikwa nazo. Tuonyeshe biashara ganivinafanya pesa zote hizo. Hayo maguo ukivaa hawa unaweka za nini?
Hatar hajui kama atakufa anaziacha
Alihojiwa akasema analima mpunga na mchele😂
@@dianajavan609 kudanga tu huyu maana wanaume wanape,NDA matako makubw!
Masha allaah
Umenichekeshaaa kwelii ganivinafanya🤣🤣
Maashallah
Wht!Mpunga na mchele.
mhhh hao kwa kupiga virungu ndio zao,,,
ukigawa naombaa
Pesa anatoa wapi ndomana amuolewi
Nguo moja tu utakayoivaa siku ya mwisho ni sanda na hutavaa viatu. Wala kibegi 😂 mungu ni mwema haki
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Si tumekubaliana kuwa vyote vya China 😉
Nicole niwezeshe kimtaji mwanmke mwenzio
Haya wale ma super star wa bongo mko wapi wema na wengine soma hio poch 900000 je chupi 🙄
Mwili umezidi haki mpka anashndwa kusimama na kupumua,punguza dear.
Amekuambia apumui?
analima mpunga na mchele huyu lazima awe na hela
Wht,mpunga na mchle
Utuandikie uridhii kabisaa tusije kugombania viatu na mikoba baadae
nimongooooo jmn hizo poch kariako 19000
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Muogope mungu
Waislamu walioyashindwa maisha watakuja na maneno yao ya kifo.. usiishi vizuri sabab siku utakufa,,,
Waislamu wameingiaje hapo
Kwani kifo hakipo? Think more before talking
Warabu wanahella kuliko kilamtu duniani na awajawai kupost mtandaoni 🙄🙄🙄kuna watu wanahella zaidi yake uyo naawajawai kupost kwaiyo usitutukane bure waesilimu awajakosea Bali wanakumbusha
@@rashidmalikia5079 fedha na dhahabu na vyote viijazavyo dunia ni Mali ya Mungu (Allah) hakuna cha waisilamu wala wakristo kila MTU ataondoka mtupu pamoja na kujikusanyia mengi.
Hall in kama unalo linalokukera na waislam sema kwa sababu unaleta udini sasa .Watu wote walio comment hapa sio waislam peke yao ila wewe una kinachokusumbua rohoni kiteme au kimeze usitafute ubaya na watu bure kwa upumbavu wako.
Yan nicole nakupenda bure
Dah siamini huyu dada ndo video vixen kwenye ngoma ya sumalee hakunaga
Munatafuta comment acheni uongo nyie wabongo
HAPA ALIKUWA HAJAENDA UTURUKI MBONA YUPO KAWAIDA
Dah pochi tu Dada nicol naomba moja
Sheer extravagance! I don't think that you are damn rich, girlie!
Hiki ndicho kinachoonyeshwa na main media. Mnajiita tv no one ya vijana hapa mna weka athari ipi chana kwa vijana wa nchi zinazoendelea kama sisi?
Hakika msithubutu kuona mnamchango wowote wa msingi zaidi ya uharibifu tuu
Huyu hajawahi kuibiwa ndiyo maana
😹
Bora ujinga kuliko upumbavu
Woow mwenye hela zake huyu , wenye kiroho utawajua kwenye comments 😂 😂 🤣 🤣
😝
@@supertal2943 na awaandikie uridhi wasije gombana kisa viatu na begi😂
@@geraldgerrytrump254 "uridhi" ndo nini?
Hapo umeniacha kidgo tafadhali
@@chiefmahucha6847 mali anayo achiwa mtu 🤭
Mie naishi ulaya sina ata nguo ila watoto alhamdulilah ila mimi mpaka shoga wananiambia si ununue ata kiatu Pia yaani tuna jua saa hii na niko na buti ila nangalia majukumuu nyumbani na wala saa nyengine lawama wazee
Mtu ukifa ndugu wanafungua duka sory kama nimeandika vbaya uwiiii.
MNAPENDA KUSEMA WAHAYA WANAPENDA SIFA,SASA HUYU NI MUHAYA?
Misifa ni Tabia ya mtu na asili ya mtu watu waache kuchukuliana na maneno ya kizamani et kabila moja ndo wanasifa
Asante
Haya n maisha au kufuru 🤔..
Atuna kiroho je hiv vitu vyote Mungu amempa nn masikin wanatembea uchi ana watt wangap wa yatima
Nasubiri wazungu walete mtumbani
Is up to you
Yuko vizur
Du Mimi nilijuwa dukan kumbe chumban .mmm! Makubwa .maisha
Wewe una biasha unayo fanya haiwezekani et Kambona m9 awap
Ww ni mbanga kwel yan una jinad una nguo 2ooo wakati kuna maskin wana teseka na njaa awana pakulala wala pakula ata nguo awana
Wafanye Kaz wajtume inshallah watakula watalala
Juhudi zake ..xo acha afanye anachojiskia
Masikini wako wangapi?
Na Nicole wako wangapi?
Hongera yake xn nampa big up
Mambo mengi mengi tena ni uchafu tena kabisa yy tu 🤭🤔😳❌❌🙄🙄
Well organized
MASHALLAJ
Hahahaha nyumba ya kupangaaaa iyoo
Nimesikia milioni tisa tu mimi jamani jamani wadada tunaigahadi kupitiliza maana hata hao mnawaiga hawIshi iv
Mmmmmh kubka utajr wa biguni sio mali.
Huyu ndio ana tembea na harmonize
Anaeumia ni kondeboy tu hapo 😂😂😂
Mm nnavisubiria mitumbani maana sio kwapesa hio sinauwezonayo
Ha😃😃😃😃😃
Subiri uchoke uone kama hiyo mikoba ya dola3000utapata hata dola 100subutu!!
Hufanani na unacho ongea Dd,bora Uokoke
Acheni wivu😄😄😄😄
@@elizabethzacharia2683 Bora umemwambia aiseee😂😂😂
Kiswahili ,kiingereza doogy poops
Nampenda hasemagi uongo alafu msafi
Nlijua ni biashara 🤣🤣
😂😂😂😂😂😂 duka liko home
nyumba ya kupanga au yake
Nickoh noms
Nicol nigaiye ata poch moja
Vyote itaviwacha katika dunia,utaenda wwe tu na matendo yako mama😅
Alisikika fukara mmoja
Unaweza ukawa huna kitu na matendo yako yakawa mabaya but vilevile naww utaacha hicho ulichonacho utaenda na matendo yako
Ongea kwa kiswahili una nini?
wewe ni mshamba tu! hao wanaokusifu hawana akili
Hatari
Kuna watu wanaishi jmn
Na wasindikizaji tupo. Usitusahau
Dukan au 😀😀
Unauza ama za kuvalia tu
Kuvaliya tu
@@happypa2027 noma
Mbona anateseka sana
Lugha yetu kiswahili tukithamini
Kufuru izo pochi iyo mxhahara wa mtu furan serikalin
Kajenga?
Hapo sasa
Mzungu mjanja sana anajua waafrika wengine ni wajinga anawatengenezea mapochi, nguo mabegi, perfume, magari makubwa saa na vipodozi anayapa brand design anapanga bei kubwa anajua malimbukeni watanunua tu ili kujionyesha na kweli wanunuaji ni sie wajinga wao pesa mfukoni halafu tunalalamka umasikini wakati tunautengeneza wenyewe. Wajinga ndio waliwao.
Umalaya umaarufu na pesa...yote mapito tu
Kila mmoja ana lifestyle yake so hatuwezi kuwa sale Hata Kama tutaweza kupata kipato sawa sawa .🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏🏃🏃🏃🏃