GHARIB MZINGA:AZUNGUMZIA UBORA WA BALEKE BAADA YA KUWAFUNGA AUGSBURG/VIPI KUHUSU CHAMA?/MAX AMETISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 51

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад +22

    Tumefungwa ila furaha tunayo asa kipind cha pili umebondwa sana mpira

  • @DonatiMbughi
    @DonatiMbughi Месяц назад +4

    Gharibu mimi napenda utangaze mechi zetu zoteeee nakukumbali sana

  • @JumaMasumbuko-w3t
    @JumaMasumbuko-w3t Месяц назад +2

    Hongereni kwausajiri jaman

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Месяц назад +11

    SIMBA watujuta kwa baleke...!

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l Месяц назад +5

    Yanga hii yatisha....

  • @AlexIsa-e8q
    @AlexIsa-e8q Месяц назад +1

    Yanga ni. Atari gharibu ongera kwakuwa mtangazaji bora

  • @DitrickKidagayo-cj1cj
    @DitrickKidagayo-cj1cj Месяц назад +2

    Huyu jamaa ndie mtangazaji ninae mkubali bongo

  • @erastojr1195
    @erastojr1195 Месяц назад +6

    Fundi Gharibu mzinga🎉

  • @KineMarley-pe5cg
    @KineMarley-pe5cg Месяц назад +5

    Huyu ndo mchambuzi wengine wanachambua mchele

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Месяц назад +2

    Bwana Gharibu sasa shangaa ni kiwango kipi Simba wanataka ulichoona kwa Baleke na Chama hakikubaliki Simba( anza kuiogopa Simba ya mwaka huu kabla hujawaona) What amazement on 3rd August 24???????????

    • @kulwampalashimpalashi7224
      @kulwampalashimpalashi7224 Месяц назад

      In August not on August

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад

      Nyie mnasajili kwa mihemko na kelele za nje ya uwanja hta hao wa sasa wakifungwa mechi 2 tu tutawasikia hapa usiongee maneno mengi subiri ligi ianze

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 Месяц назад

    duke abuya is my favorite 🎉

  • @saimonmanyerezi7169
    @saimonmanyerezi7169 Месяц назад +1

    Tabu bado ipo pale pale.

  • @JitihadaRashidi
    @JitihadaRashidi Месяц назад +1

    Gharibu KiLwa Finest

  • @JacklineMbuya-ym1ri
    @JacklineMbuya-ym1ri Месяц назад

    Yanga ni timu kubwaaaaaaaaa🎉🎉

    • @sadih5333
      @sadih5333 Месяц назад

      Kama yanga ni kubwa usinge lazimika kuitangaza hapa

  • @donimremi713
    @donimremi713 Месяц назад

    Fundi wa kutangaza boli dingi wa kirwa

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc Месяц назад

    Eti baleke na chama matunda ya simba kwan nyiny mliwatoa wp au walizaliwa hpo mmeishiwa makolo

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Месяц назад +3

    Thoria ni mbayuwai

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Месяц назад

    Nicce

  • @user-xt5be8vx8j
    @user-xt5be8vx8j Месяц назад

    Bado hamjasema

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +1

    APEWE MAUA YAKE MZEE MAGOMA 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉UONGOZI WAMCHONGO WA HERIS ,😢😢😢😢UBAYA UBWELA

  • @AbbySule-un3xg
    @AbbySule-un3xg Месяц назад

    Toria ni mwewe

  • @SadaBoyTz
    @SadaBoyTz Месяц назад

    "wait for me " song by Sada boy Tz is now on RUclips

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Месяц назад

    Gharibu
    Mzinga nawe usituchoshe Baleke mcheuo ya Simba na uzoefu wake sifa utakazo mpa ni mafundisho aliyoyapata Simba Chama na Baleke ni magraduates wa Simba ukiwafinya kama walikuwa usingizini ukawauliza mmetoka wapi kuja hapa watakwambia wametoka Simba.
    Kama ndo unamshangaa uchezaji wake au wao yeye na Chama ndo hao kwa Simba wamechuja.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Mtawajua tu kama ni wazee au wamechuja, swain nyie.

  • @dirhamsui7818
    @dirhamsui7818 Месяц назад

    Acheni siasa wahandishi wa bongo mulimponda. Ulimuona mazembe ila Simba hukumuona?
    Sema ukweli Yanga wamerudi nyuma kiusajili kwa bareke kwani aliibwa anaighalimu simba anapoteza nafasi leo kawa bonge la mshambuliaji. Aahaaaaa bongo bwana.😅

  • @JumanneBernard
    @JumanneBernard Месяц назад

    Magoma Hana lolote mtakoma nyau nyie

  • @AyoubSaid-b5n
    @AyoubSaid-b5n Месяц назад

    Wewe mzee hujui mpira muhimu nikuangalia mchezaji anonesha kipi kwa wakati upi na sio kuangalia alikua wp kumbuka kua historia inaenda kuandi katika team inayo mmiliki kwa ss na sio alio pita kabla