Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hongera,tanzania kwa kushikamana na nchi za kidemokrasia kama Japan.. hii italeta maendeleo mengi kwa muda mrefu na kutakuwa na uhamishaji wa teknolojia.👏👏👏
Jengeni flyover ndefu kidogo nasie tuwe proud mfano kutokea Morocco hadi mwenge,Tazara hadi ubungo.
mngeanza kujenga flyover mwenge kwanza
Sawa sawa lakini nyie Tanroads ngonjera za ujenzi darala la Jangwani zitakwisha lini??? Au inasubiriwa mvua zianze Iwe sababu?
Mhe.umenikumbusha mbali sana nimefanya kazi na KONOIKE na ESTATES kwenye ujenzi wa Barabara ya mlima Kitonga
Daah kweli kiswahili Tz hakuna, waziri mzima kiswahili kibovu namna hio
Mbona tangu zamani? Kwa kuonesha Rais kafanya maendeleo ni lazima mseme uongo?
Hongera,tanzania kwa kushikamana na nchi za kidemokrasia kama Japan.. hii italeta maendeleo mengi kwa muda mrefu na kutakuwa na uhamishaji wa teknolojia.👏👏👏
Jengeni flyover ndefu kidogo nasie tuwe proud mfano kutokea Morocco hadi mwenge,Tazara hadi ubungo.
mngeanza kujenga flyover mwenge kwanza
Sawa sawa lakini nyie Tanroads ngonjera za ujenzi darala la Jangwani zitakwisha lini??? Au inasubiriwa mvua zianze Iwe sababu?
Mhe.umenikumbusha mbali sana nimefanya kazi na KONOIKE na ESTATES kwenye ujenzi wa Barabara ya mlima Kitonga
Daah kweli kiswahili Tz hakuna, waziri mzima kiswahili kibovu namna hio
Mbona tangu zamani? Kwa kuonesha Rais kafanya maendeleo ni lazima mseme uongo?