USIYOYAJUA KWA WANAOIZUNGUKA TANZANIA NZIMA KWA MGUU "HATUVUNJI SHERIA YA NCHI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 фев 2022

Комментарии • 129

  • @ivangeorge1578
    @ivangeorge1578 2 года назад +4

    Mnapoteza MDA mkizeeka mtakuwa hoi Sana tembea bila kujiengeneza maisha yako

    • @amosjuma4536
      @amosjuma4536 2 года назад

      Ukisema ivo unakosea kwasababu sio wonte Nimatajili umemanisha wanapoteza Munda kutafuta maisha ety wanatembea naomba uteguwe kauli

  • @africankidsnegebumamlemale9176
    @africankidsnegebumamlemale9176 2 года назад +1

    Njaa sio nzuri

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 2 года назад

    Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.

  • @alexsalum7824
    @alexsalum7824 2 года назад +3

    Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 2 года назад

    SUPER MTANGAZAJI,SIMPLE AND SHORT QUATIONS.... HONGERA

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 года назад +2

    Heee njaa hizi lazma tuseme nazo jmn

  • @hadiaali5517
    @hadiaali5517 2 года назад

    Safi sana mungu awabariki mbona hujamhoji dd

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 9 дней назад

    Oooh allah hakika kila penye mwanzo pana mwisho hara wanadamu wafanyaje kama riziki ni ya mtu itabaki kuwa yake tu

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад +1

    Mashaallah nguvu moja💪🔥🔥🔥🔥

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 2 года назад +2

    Kwa mabango hayo, lazima serikali iwape fungu la maana na huwenda wakawa mabalozi wa sensa na chanjo ya uviko- 19

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 2 года назад +1

    Hasa dude lenyewe mmetengeneza naona kama ni zito mnatumia nguvu mtamaliza mikoa yotee kweli

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 2 года назад

    Hii Ni Sanaa

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 года назад +2

    Nchi yenye wapuuzi watupu wanasahau majukum yao wakiwa vijana

  • @mariasalumu474
    @mariasalumu474 2 года назад

    Mmmmmmh mimi huo uzalendo sina kwakweli

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 2 года назад

    Mnalala wapi

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 6 месяцев назад

    Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 года назад

    We unafikiri mda wanaozunguka wanakula nn? Na wanafaidika nn wanatuongopea ni mchongo huo

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 года назад

    Hamna kaz mbwa nyinyi kalimeni mnajitesa tu hafu hamaambulii kitu shika jembe kalime

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 года назад

    Kwa mwendo huo ni miaka5

  • @timamusulemani7306
    @timamusulemani7306 2 года назад +1

    Awana kz yakufanya Bangi mbaya sana

  • @zihinjishinifa7573
    @zihinjishinifa7573 Год назад

    Kwanza nicheke mie😅😅😅😅

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi380 2 года назад +3

    HAO HATEMBEI KWA MIGUU NCHI NZIMA WASITUDANGANYE

  • @adamambangile7819
    @adamambangile7819 2 года назад +2

    Huyo Dada kanuna au kachoka?

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 9 дней назад

    Hatakama iwekwe kipingamizi namna gani itarudi kuwa haki tu

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 2 года назад

    wanatafuta rawama2 ili bdae waseme serikari haitujali haitupi chochote kwani mlitumwa

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 2 года назад +1

    Madhara ya kutoajiri kwa mda mrefu ndo haya matokeo

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 года назад +3

    Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Год назад

      Hakika we jembe nimebkukubali 🙏🙏🙏💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 года назад +1

    huko maporini ngoja mkutane na MAJAMBAZI muuwawe, mna dhalilisha wasukuma

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 2 года назад +1

    Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 2 года назад

    Hapo sawa

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 года назад

    Mmekosa kazi

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 2 года назад

    Vichaa nyinyi madishi yanayumba

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 2 года назад +2

    Dada atafikia labor moja kwa moja ili azae tu ....dada mwenyewe kanuna kama kala ukwaju

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa Год назад

      Hapo hakuna kazi. Hapo ni ngoswe, penzi kituvo cha uzembe. Hakuna chochote kitakachotokea hapo.

  • @saidasanga3233
    @saidasanga3233 Год назад

    Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад

    Safi sana kila kitu kinawezekana

  • @menikojohn2782
    @menikojohn2782 25 дней назад

    Mpaka mmalize hiyo safari huyo Dada atakuwa tayali ana mimba ya miezi mitatu, jiandae kutoa mahali kabisa.

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Год назад

    😄😄😄😄 mtakuja kuvimba miguu ukienda hospitali ndio mtajua kua hii nchi ngumu

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 2 года назад

    Wako vzr

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya7521 2 года назад +1

    Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Год назад

    Mtafia njiani, watu wanakula hela nyie mnajitesa tu

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 2 года назад

    Kazi zenyewe akuna hichi ndio tulicho kiacha ni kubeba mabango ndio tumekiacha

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Год назад

    basi ndyo maana hauchoki, mnalala wapi mkichoka 😂

  • @jafarimruke9111
    @jafarimruke9111 Год назад

    Si wakachunge ng'ombe jaman🤣🤣🤣 desi shaur yako

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Год назад

    Mmhhj,🤣🤣ety kwa mguuu. C wangebaki vipara kama tairi za gari... wazarendo wa michongo haoooo

  • @mkushiandikayakoachananaya7944
    @mkushiandikayakoachananaya7944 2 года назад +1

    Akili wameishiwa hao!

  • @calvinmramba8087
    @calvinmramba8087 2 года назад +1

    Hawana kazi hawa

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 2 года назад

    Waongo

  • @salomeyuvenali3700
    @salomeyuvenali3700 Год назад

    Uzalendo gani nawakati sisi teali ni Mali ya mzungu
    mzalendo alikua Nyerere na maguli hakuna tenaa.

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Год назад

    😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo

  • @jacobjoel3804
    @jacobjoel3804 Год назад

    Hao waache umbea hawatopata kitu chochote wanajichosha tu kutembea waache ujinga warudi wakafanye kazi hatuna cofid hap

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 2 года назад

    Kubwa tuu mtt wa watu asije akabebea mimba brbrni hiyo safari itakuwa ngumu sana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад

    Wamefika wapi Hadi sasa jamani 🤣

  • @kauyegeorge3335
    @kauyegeorge3335 2 года назад +1

    Hawawezi tembea kw mguu nchi nzima

  • @annrobin9291
    @annrobin9291 2 года назад +1

    Washezi hawa hawanakazii 😏😏

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Год назад

    Hakika nyinyi ni wazalendo wa kweli

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 2 года назад

    Kuchanja ndio mkome kabisaa tangazani mengine

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 2 года назад

    Mpaka unamalizia hiyo safar nadhan tutapata na kachanga

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 года назад

    Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 года назад +1

    mnatumalizia bandoo milard

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 2 года назад

    Daaaa

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 2 года назад

    Niliwaona na mlikuwa nao na sio mmekitana

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 2 года назад

    Kazi mnayo

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 года назад

    Wanatfta kiki awa kw mama Samia ili wagange njaa

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 2 года назад

    Alafu mbona host kawa mmbaguzi jamni...
    Hajamuhoji dada mbona ama me ndo sijaelewa?

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 2 года назад

    Niwashaurii mpige pichaa na mikoa. Yote muweze kushut na kutoa move ya history

  • @evaristimramba9047
    @evaristimramba9047 2 года назад

    Kutembea dar nzima muhimbil utapumua kidg

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 2 года назад

    Daaaa sio poa

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma9603 Год назад

    Ww unampango wako na uyo dem

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Год назад

    Pesa za matumiz mnatoa wap Kula kunywa na n k

  • @mwanahawarajabu9253
    @mwanahawarajabu9253 2 года назад

    LENGO kikuamsha hamasatu kwa vijana kuipenda nchi yao

  • @anahna6788
    @anahna6788 2 года назад

    Duu nimejikuta nacheka tu kwa sauti
    Mmeshakuwa wapenzi
    Sasa kutembea kite huko
    Mnakula kwenye vichaka Yale mambo yetu

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 года назад

    Hawana kazi ya kufanya wanakula nini wanalipwaje hawana family😂😂😂😂

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa Год назад

    Bangiiiii

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 года назад

    Bongo kwa kutafuta umaarufu na mwishowe jitu kitakwenda kimya barabarani

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 года назад +1

    mafala hawa yani wamekosa kazi kwa kweli

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 2 года назад

      Hahahaaaa kule raisi alisema awape zawadi eti kanga karamu na tisheti hahaaaa

  • @josephinelyimo2467
    @josephinelyimo2467 2 года назад

    Vijana nendeni shambani
    Mkajiajiri kwenye kilimo
    Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima
    Naamini kinachowasumbua
    Ni ukosefu wa ajira na njaa
    Na si uzalendo !

  • @suzanfelix7703
    @suzanfelix7703 2 года назад +1

    Kwaiyo wapo mtu na mke wake 😂 wajanja Sana hawa

  • @veronikamkuwele9072
    @veronikamkuwele9072 2 года назад

    Upuuzi huo

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 2 года назад +1

    Kutembea wa mguu nchi mzima unafikir ni utani musitufanye sio mabwege,tena kwa mwendo huo..😳

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 2 года назад +3

    Jamani hivi vitu si vinatangazwa kwenye vyombo vya Habari huu muda si mngefanya kazi km kweli ni wazalendo 😒

  • @gambathegreat8997
    @gambathegreat8997 2 года назад

    Acheni uongo

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 2 года назад

    Nyie mmechanja

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 года назад

    kwaiyoo zanzibar mnapasua bahari kama musa

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 2 года назад

    😄😄😄😄😄😄 wamechanja wakachanganyikiwa😁😁😁😁🤒🤒🤒

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 года назад

    Mhhhhhh

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 2 года назад

    Wanajikuta vasco dagama

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 2 года назад

    Hakuna Tanzania visiwani

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 года назад

    Duh

  • @sagilododomamedelipeter1893
    @sagilododomamedelipeter1893 2 года назад

    Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃

  • @FakihiNapunda
    @FakihiNapunda 2 года назад

    Dah

  • @victormashauri3374
    @victormashauri3374 2 года назад

    Uongo tu nyie

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Год назад

    Mkamwambie mwiguru

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 2 года назад

    Inahitaji moyo kusukuma damu kweli. Hamfiki hata mikoa 15mshazalishana, uzalendo shughuli pevu mjue. Ohooo

  • @patrinussanga3081
    @patrinussanga3081 Год назад

    Jamani jamani muda wa kufanya kazi mnazunguka muda mnaopoteza ungekuwa labda mmepewa fungu

  • @misomisomisoji7722
    @misomisomisoji7722 2 года назад

    Pumbavu wee uzalendo sio kuchanja uviko 19, unajua hayo madawa ya uviko 19 yamewekwa nini ndani yake? mabebelu sio wajomba zetu watuletee chanjo.

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Год назад

    Watu wanapiga hela wewe unaburuza mkokoten eti uzalendo.Uzalendo? Nenda ukae na familia yako pumbvu zako!!!!

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад

    AWA YA KULIPWA MADENI YAKO m.ruclips.net/video/NzCJvpVkxHI/видео.html

  • @doreenkaiza9930
    @doreenkaiza9930 2 года назад +1

    Wameisha anza kuvimba mikono na miguu

  • @newschannel1558
    @newschannel1558 2 года назад +1

    Bora mtangaze hayo mwingine lakini kuhusu CHANJO siwaungi mkono SEMA tu hamjui kilichomo NDANI yake hizo CHANJO Ila ipo siku mtàkuja kujua system inapoanza kufanya kazi

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 2 года назад +2

    😁😁😁😁😁
    Eti kitembea nchi nzima ivi mnatuona sisi wajinga
    Jambo mnalofanya nizuri sana tena sana lakini kitembea kwa miguu hapo mmetupiga kitu kizito kichwan