KICHEKO MSIBANI: Angalia Masanja Mkandamizaji alivyowachekesha watu siku ya mazishi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Комментарии • 167

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 4 года назад +1

    Masanja oyeeee from Lebanon nawakilisha

  • @nyash2542
    @nyash2542 6 лет назад +4

    Good speech for the family n community i like the intermix this guy is brilliant.when it's sad time we need people to comfort us at the same time educate us not to provoke God.God bless you Masanja...

  • @nderindichu8754
    @nderindichu8754 6 лет назад +12

    Safi sana mazishi ya watakatifu haina kilio twajua mwezetu ametangulia tu nyuma nasi.
    Kenya hapa nawakilisha

  • @hekimasandet5332
    @hekimasandet5332 3 года назад +3

    Nawatangazia ulimwengu kwamba Yesu kristo atarudi kuchukuwa watakatifu wake okokokeni tubuni haraka walioanguka rudini kwa Yesu inukeni tutembee

  • @philemonkageleja3858
    @philemonkageleja3858 4 года назад +1

    Brother Masanja uko vizuri sana

  • @sadickwalker2795
    @sadickwalker2795 5 лет назад +2

    Safiiiiiii......... majeshi majeshi.....%100

  • @seiftaji4416
    @seiftaji4416 4 года назад

    Polepole na kamati yako mupo vizuri sana saluti kwenu maana musiba hafai kua kiongozi pamoja na lugola alikua waziri wa mambo ya ndani akathani dunia ameibeba kwenye mgongo wake kumbe mambo ya mpito too.

  • @lucassamike2198
    @lucassamike2198 Год назад

    Mungu aiweke mahali pema

  • @evancemwaky7425
    @evancemwaky7425 3 года назад

    Amina leo umenibariki

  • @軽井沢ペヌエルチャーチ
    @軽井沢ペヌエルチャーチ 2 года назад +1

    Hallelujah‼︎

  • @amoslumoka6065
    @amoslumoka6065 6 лет назад

    Nampenda sana Rais wetu Jonh Pombe magufuri kwa kazi nzuri anayo ifanya,ametufuta machozi kwa mambo yote tuliyo yapata kipindi cha nyuma,naomba watanzania wote tuzidi kumwombea uzima mungu azidi kumwongoza katika kazi yake nzuri anayo ifanya,Amina

  • @bonabonala7685
    @bonabonala7685 6 лет назад

    Masanja nirikua nakipinga sana IRA Leo nimekukubali wenimtumishi wa mungu nisamehe kwa kukupinga ameni ubarikiwe imanueli mgaya nakuoenda sana kama unavyojikubali mwenyewe aleluya!!

  • @paschalnkwabi6938
    @paschalnkwabi6938 4 года назад

    Ni vizuri kwa kuwa kilio hakitakiwi kwa watakatifu....

  • @IssaDanda-mg1uc
    @IssaDanda-mg1uc 4 месяца назад

    Amen

  • @simonwaziri4783
    @simonwaziri4783 5 лет назад

    Nakukubali kka mungu ndy mchungaji

  • @saiddotto1512
    @saiddotto1512 6 лет назад +1

    Barakah

  • @benigneirakoze9906
    @benigneirakoze9906 6 лет назад +1

    Jameni mbavu zangu nakupenda bule masanja

  • @zuriathdasilver810
    @zuriathdasilver810 3 года назад

    Ila kwel

  • @faithmuthoni5941
    @faithmuthoni5941 6 лет назад

    Bwana akubariki

  • @davidmapunda7525
    @davidmapunda7525 6 лет назад

    hongera Sana Masanja

  • @georgemwambona9890
    @georgemwambona9890 6 лет назад

    amen mungu ni mwema hatuna bundi kumrudishia yeye sifa na utukufu

  • @neemajose880
    @neemajose880 6 лет назад +1

    God blessings

  • @lukashally6509
    @lukashally6509 6 лет назад

    msuya utahukumiwa kwa kutofuata maagizo ya kristo

  • @rameckjoseph3875
    @rameckjoseph3875 6 лет назад +6

    Bwana alitoa na Bwana ametwa jinalake lipewesifa

    • @patrickkephas6847
      @patrickkephas6847 4 года назад

      Dojaman mungu awake rohoya malehemu mahalpema Pepon apumzike Kwa aman

  • @ahadisebastiani402
    @ahadisebastiani402 4 года назад

    Jaman

  • @djonetz2730
    @djonetz2730 6 лет назад

    Masanja namkubali sana yaan

  • @ndalojoriga6338
    @ndalojoriga6338 6 лет назад

    amina

  • @kakafranc8913
    @kakafranc8913 6 лет назад +7

    Nampenda bule masanja

  • @mwarabumshana3076
    @mwarabumshana3076 6 лет назад

    Pole

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 лет назад

    Hapo kipaji kipoo

  • @henrykinga1484
    @henrykinga1484 6 лет назад

    Nakupenda bure masanja we ni hatari

  • @aidahtimothy9052
    @aidahtimothy9052 4 года назад

    amen

  • @lacksonmonyo9851
    @lacksonmonyo9851 5 лет назад +1

    ukovizuri masanja watu same barikiwa

  • @HASASON
    @HASASON 6 лет назад +2

    Hivi Gwajima ni lini atajenga lile kanisa alilosema na kununua Ile train?

  • @lameckysulumbi4727
    @lameckysulumbi4727 6 лет назад

    Masanja we nooomaaa sanaaa

  • @officialdicrezzy4614
    @officialdicrezzy4614 6 лет назад

    safari njema ndugu yetu

  • @mariumchima8098
    @mariumchima8098 6 лет назад

    mtahukumiwa

  • @chasyrebeka3122
    @chasyrebeka3122 5 лет назад

    Tafuta furaha,aman,upendo wazati,hekima,busara,piakueshimika kupitia mungu kwamwanadau utapata machozi

  • @josephnayrathnayrath3331
    @josephnayrathnayrath3331 Год назад

    Masanj una mamb duuuuuuuh

  • @e.mbalazichannel4135
    @e.mbalazichannel4135 6 лет назад

    Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe

  • @denyoentertainmentcompany1559
    @denyoentertainmentcompany1559 6 лет назад

    Msiba ni sherehe

  • @yahayaally470
    @yahayaally470 4 года назад

    Nikweli kabisa masanja Kwa sababu Sisi watanzania tunaongoza Kwa rushwa matajir wote wange enda pepon .

  • @wazidimahenge2811
    @wazidimahenge2811 6 лет назад +2

    Haha masanja bibi alikuwa kweny promotion time 😻😀😀😀

  • @shomarimsuya8204
    @shomarimsuya8204 6 лет назад +9

    Nyie hukumu Itoke wap na wakati yesu kashabeba dhambi zenu !

    • @salviusnshoni3616
      @salviusnshoni3616 6 лет назад

      Daaaaah unahitaji kusoma maandika bro, SOMA BIBLIA

    • @mankamassawe385
      @mankamassawe385 6 лет назад +1

      Shomari Msuya hukumu IPO kama hukuomba msamaha yesu alikufa kwaajili yetu ila usikosee bila kutubu toba ni lazima

    • @shomarimsuya8204
      @shomarimsuya8204 6 лет назад

      Hata me najua hukumu ipo Happy , ila kuna baadhi ya wakristo wasiojua hilo , kama hili lijama linajiita Thomas jinga Sana hili

    • @shomarimsuya8204
      @shomarimsuya8204 6 лет назад

      Thomas Moris we punga kweli wewe ! Udini wa kijinga ukowap sasa apo !

    • @josephattarimo999
      @josephattarimo999 6 лет назад +2

      Kwanini unapenda kuleta udini? Hii inaonesha uwezo mdogo wa akili wewe shika unachokiamini usichokinua kiache.

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod9185 4 года назад

    👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @pastorgidion
    @pastorgidion 4 года назад +1

    ruclips.net/p/PLKasB8zDTCL-jXnbRpY_0e-ydrNjlulzU
    Soma Biblia kila siku kwa njia ya Audio

  • @nemohos4885
    @nemohos4885 5 лет назад +1

    hivi kuna mtuu amemuonaga mungu au yesu? kuna mtuu ambayo ameenda binguni au peponi? saa nyingine ujinga ni ubaya. ukishakufa basi tuu amna kitu kinaendelea. angalieni amerikkka wanauwa watu wengi alafu bado wanasema wao ni nchii yawa christo. daa nilisaau mungu aliuwa watu wakati hali panda juu na wazimu wake. daa mungu apendi afrika ndio maana nchii za afrika haziendelewi na wageni ndio wanapendwa. watanzania wengi ni wa jinga kama nini, amukeni kondo

  • @stevenmligo8734
    @stevenmligo8734 6 лет назад +18

    Jamani tumesahau kwamba kuna sherehe mbili... Ambazo ni kuzaliwa na kufa.... Tuwe tunasoma biblia jamani eeee..... Ubishi wawabongo...!!!!

    • @josephbizzy1813
      @josephbizzy1813 6 лет назад +3

      Kuna tofauti ya sherehe na sikukuu brother,sikukuu inaweza kua sherehe lakini si kila sikukuu ni sherehe, msiba ni sikukuu ila si sherehe.

    • @ayubujoseph7319
      @ayubujoseph7319 6 лет назад

      kweli

    • @davidmihambo3051
      @davidmihambo3051 6 лет назад

      +joseph bizzy well said

    • @estarkabogo4248
      @estarkabogo4248 6 лет назад

      haaaaa

    • @nemohos4885
      @nemohos4885 5 лет назад

      hahaha biblia inachekesha kama nini...daa kaiyo mungu anapenda wazungu sana kuliko sisi? biblia ni kitabu cha wazungu ambayo mambo ya sheriha. wazungu walikuja afrika na biblia wakawapa waafrika kitabu na wakachukua nchii.

  • @bonnysure5131
    @bonnysure5131 6 лет назад

    Hii comed

  • @jasperleopord2315
    @jasperleopord2315 5 лет назад +2

    ila masanja

  • @elikabonny13
    @elikabonny13 4 года назад

    Aladin

  • @mbotenigo9833
    @mbotenigo9833 3 года назад

    Bahahti bu

  • @shabanmussa7934
    @shabanmussa7934 4 года назад

    W

  • @lukashally6509
    @lukashally6509 6 лет назад +1

    yuko tununu

  • @mohamedabrahman5225
    @mohamedabrahman5225 3 года назад

    Kigogo

  • @raysonsamson1271
    @raysonsamson1271 5 лет назад

    mmmmh ay bwan

  • @abdulysheky1057
    @abdulysheky1057 6 лет назад +4

    Ningeamini Gwajima ni mfufuaji wafu kama angelimfufua mama yake

  • @musamtavangu5075
    @musamtavangu5075 5 лет назад

    muuuuua jamami kicheko

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад

    😃😃😃😃

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu8785 6 лет назад

    upuuzi

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 лет назад

    Hapo ndo wanaponiacha hoi mm nilifikiri sherehe kumbe msiba

  • @sophiavenancee750
    @sophiavenancee750 2 года назад

    P

  • @rosemarykiwelu7400
    @rosemarykiwelu7400 6 лет назад

    majuto

  • @joycecastory142
    @joycecastory142 5 лет назад

    mtukio

  • @paulvenance6843
    @paulvenance6843 4 года назад

    Da!!!
    Umefariji hadi sahau kama uko na msiba.

  • @ernestkimaro3361
    @ernestkimaro3361 4 года назад

    Tayari

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 5 лет назад +2

    Mm nifiwe na mzazi Wangu alafu nimwone mtu anafanya km anachekesha siwezi kumpenda

  • @scottsanga557
    @scottsanga557 4 года назад

    Duu hi so PW

  • @teresiamsekwa1751
    @teresiamsekwa1751 6 лет назад

    Masanja umezd kuchekesha bhana mpaka ubavu wauma

  • @erastombwaga4750
    @erastombwaga4750 6 лет назад

    noma san

    • @carolinaakyoo1913
      @carolinaakyoo1913 5 лет назад

      Erasto Mbwaga allye fiwa anajickuyaje mnavyo cheka

  • @drmadofetv7477
    @drmadofetv7477 6 лет назад

    Doctor madofe tiba asili yupo kwaajili yenu, kutoa majini wachafu, kuzuiya majinamizi, kushika wezi, zindiko la mali, kumvuta mpenzi, kusafishwa nyota, kupata mtoto haraka, kurekebisha ndoa zenye migogoro, kumzibiti mme au mke kwenye michepuko, kufunga ndoa haraka, kupata Pete yabahati, kupata utajiri wa majini, dawa za biashara, masomo darasani, wasiliana na doctor madofe ili upate tiba, sim 0657035985,0745065574,0685326723.

  • @alphoncemakenzi6482
    @alphoncemakenzi6482 6 лет назад

    Duuuuuu

  • @toallilllookpolloimbila386
    @toallilllookpolloimbila386 5 лет назад

    Yuko tununu sana

  • @keregesechagamba2463
    @keregesechagamba2463 6 лет назад

    hahahaha!ubarikiwe

  • @seedugeneration9278
    @seedugeneration9278 6 лет назад

    Video za ngono

  • @eliadaabel8991
    @eliadaabel8991 6 лет назад +1

    sasa msibani mbn sherehen

    • @nyash2542
      @nyash2542 6 лет назад

      Eliada Abel msibani ukifika usiwe mzigo wape maneno ya faraja walo fiwa n thts what exactly Masanja is doing 😇😇

  • @ramadhaninurudin2625
    @ramadhaninurudin2625 4 года назад

    Duuh

  • @gracestanfod5511
    @gracestanfod5511 6 лет назад

    Haaaaaa sio poa

  • @edwardjulias3375
    @edwardjulias3375 6 лет назад

    na wew umekisea sio shereh mbili soma vizur biblia

  • @emmyiponea6461
    @emmyiponea6461 6 лет назад

    daaa hii balaa jmn!!

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 6 лет назад +1

    Mmmmhu huu msiba au nini ? Manake si kwa vicheko hivyo

  • @zanzibaronlytv3470
    @zanzibaronlytv3470 6 лет назад +3

    Sasa ngwajima c unafufuaga watu ww, ,tunaomba utufufulie masI mzee wetu

  • @shaabanmrishoshaaban1945
    @shaabanmrishoshaaban1945 4 года назад

    wee kama unamuamini MUNGU Tuelezee kwenye hi haleluya yako sheria afanywe nini au utungiwe ya kiumbe ndio MUNGU hakua na sheria kakuletea upako tu wa kudanganya watu

  • @hollynationproductions6326
    @hollynationproductions6326 6 лет назад +1

    mbona kama sielewi elewi jaman hii nisheree au msiba maana naona jeneza

  • @luckymkahala2805
    @luckymkahala2805 6 лет назад

    Asikiae na Afahamu jamani

  • @valentinajoseph2430
    @valentinajoseph2430 3 года назад

    Hahaha

  • @hellenmgungus1979
    @hellenmgungus1979 6 лет назад +1

    Hahahaha msiba umeingiliwa

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 4 года назад +1

    Lol 😂 kwa M/Mungu tumetoka na kwake tutarudi

  • @evodiarevocatus804
    @evodiarevocatus804 6 лет назад

    Kifo cha askofu nestoli timanywa

  • @amosimkonyi2292
    @amosimkonyi2292 4 года назад

    efv v f ...

  • @chantalshimi9619
    @chantalshimi9619 6 лет назад

    Bibi alikuwa kwenye promotion time 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @christinedisii626
    @christinedisii626 6 лет назад +3

    Haha

  • @emanuelamosy7131
    @emanuelamosy7131 6 лет назад

    haha

  • @evancemwaky7425
    @evancemwaky7425 3 года назад

    Amina leo umenibariki

  • @neliusnikazi9454
    @neliusnikazi9454 6 лет назад

    Amen

  • @elikabonny13
    @elikabonny13 4 года назад

    Aladin

  • @rosemarykiwelu7400
    @rosemarykiwelu7400 6 лет назад

    majuto