Hii nyimbu ilisaidia kumpata mschana ambae alikuwa ameshindikana kipindi hico, basi kuna versus ya joslin imeleta matunda hadi sas tuko mume na mke na watoto3😊
We hujui jinsi gani moyo wangu unaumizaaaa,we hujui tu jinsi gani nawazaaaa,Q jay,joseline hebu rudini tena mazee,mj qj wakali kwanzaaaaa,we acha tu,hizi vitu hakuna siku hizi,wanatupigia makopo tu hawa watoto wa sasa
Very Great that Makamua posted this, Where is Wakali Kwanza..these guys rocked a lot in my iPod enzi hizo, I would like to see these guys together somehow, Wakali Kwanza was the best RnB group of all times wakati huo 2007
Q-j, ulipojichanganya ulipokuwa kwenye climax mda wakuvuna matunda yako yasanaa ukaacha mziki, ulizingua Sana ungekaza Sana ungekuwa poa Sana kila idara, maana ulikuwa wamoto sana
it is a song for men. kwasababu mashairi yake yamebeba hisia nzito za mwanaume ambaye ametendwa. Na ukweli ni kwamba wimbo huu unaishi kutokana maisha halisi sisi tunakutana nayo. Big up 2022
Wenye miziki Yao ndio awa bhana wakali kwanza Hakuna Bongo nzima kama Awa viumbe hili kundi pamoja na Ngwea uwa naelewa sanaa Ngoma zenu brothers Rudini kwenye Game Madini yenu yanahitajika Uraiani, 2023 February
Walioletwa huku na taarifa ya mchungaji kua Qj kaokoka tujuane😅, nyimbo yenyewe leo ndiyo naisikia
Apa
Kumbe tupo wengi
😂😂
😅😅😅😅😅
😂
ii nyimbo leo imekuja tu kichwani mwangu 2024
Hata mimi 16.08.2024 watoto wadogo hawaeliwi hizi ngoma bora wasikilize Amapiano tuu
This Dude Joslin had a different vibe...
Icon
2022 kama bado unakubali hii ngoma like hapo tujuane
2023
Yap
2023
July 23
Uhalika man
Jumapili ya tar 29 2023. Houston TX kama bado unaskiliza kali za zamani kama hizi Halaf Uko majuu gonga like twende sawa
Nimekutana na QJay leo hii Tar 30/8/2024 hali yake kiuchumi inatisha na inahuzunisha sana
Umekutana naye wap mzee
@@chingejotham3508 Songea bhana kama una namba ya WhatsApp nipe nikutumie picha
Juz tu hapa ??
....duh
2023 bado ngoma ya moto sana
2024 - Listening to This Hit #tbt
nyimbo nzuri tuko tena 2024 Mungu apewe sifa ❤❤
East Africa TV and Fm were the best thing to happen in East Africa in the early 2000s
Hii nyimbo Kuna muhuni alijifanya Joselin akaniea mimba now ni Baba watoto 2 na nimume wangu wandoa Maua kwake naiskiza leo 2024 mwezi huu wa 9
Aysee!!! Me mwenyewe ndo naiskliza hapa
Hii nyimbu ilisaidia kumpata mschana ambae alikuwa ameshindikana kipindi hico, basi kuna versus ya joslin imeleta matunda hadi sas tuko mume na mke na watoto3😊
😂😂😂😂hongera
"We don't search for old songs"
"We search for gold memories"🎶🎶
20..
Everlasting masterpiece🎉❤
2024 kama tume sikiliza hii Ngoma gong like
Still a hit in 2023. Rnb for real
We hujui jinsi gani moyo wangu unaumizaaaa,we hujui tu jinsi gani nawazaaaa,Q jay,joseline hebu rudini tena mazee,mj qj wakali kwanzaaaaa,we acha tu,hizi vitu hakuna siku hizi,wanatupigia makopo tu hawa watoto wa sasa
❤❤❤❤
Ameokoka. Tunasali pamoja. NI mpole na mnyenyekevu sana
Hata wakirudi hawawezi tena kuleta nyimbo yenye feelings kama hii😢
The real RnB wana walitisha sana hapa aisee
Its end of 2021 and am still listening since day 1... Tangu mm mtot had sasa in my late 20s dash hii miziki inaishiii... Wapi Qj...wapi joslin 😍😍😍
Dah Ngoma kalin Sana hii bongo fleva yenywe vocal za Qjay hatr❤
Hizi ndyo nyimbo zenye ujumbe mzito was kweli, wakali kwanza rudini tumewamiss Sana.
Very Great that Makamua posted this, Where is Wakali Kwanza..these guys rocked a lot in my iPod enzi hizo, I would like to see these guys together somehow, Wakali Kwanza was the best RnB group of all times wakati huo 2007
Hizo harmony...utakimbia...yan hana sema mi sifai ...🎹🎹😍
Q-j, ulipojichanganya ulipokuwa kwenye climax mda wakuvuna matunda yako yasanaa ukaacha mziki, ulizingua Sana ungekaza Sana ungekuwa poa Sana kila idara, maana ulikuwa wamoto sana
Kali sana hii ngoma
Iyo cadence ya Josline ma man now that I'm grown up ndo naskia kuna uJay Z ndani yake bigup sana wakali 1st
Good music. Hawa jamaa wote wa Wakali Kwanza wako na talanta. I would be happy kama watarudi kwenye game. (15/05/2022)
Malgend
Old is gold
Ngoma hii itaishi sana
#Wakalikwanza
Unic voice Kama is sikuiz hatuziskii Sana wakali Kwanaza tunawaomba mrud kwa nguvu zote usomeni mchezo tu wa game la Sasa mnatoboa tundu
Nyimbo nzuri sana 2007-2023
I still love this record todate 🔥
Mlikujua sana nawakubali kinoma
Oya makamua wapi wewe unazingua ujue ludi golini bana watoto wadogo wanazingua atuwaelewi i miss you sana brother
Hawa watu walikua wanajua sana music
Daah nakumbuka hii nyimbo mpaka Mama yangu alikua anaipenda sana 2007 inanikumbusha huko
Miziki ya zamani lilikuwa na utulivu
Sifai nakumbuka enzi zile igalukilo ndo naanxa maisha fulan ya ma sstrr duh! Hit song for life and ever
Naikumbuka sanaaa na naipenda sanaaaaaa❤️😘😘😘
it is a song for men. kwasababu mashairi yake yamebeba hisia nzito za mwanaume ambaye ametendwa. Na ukweli ni kwamba wimbo huu unaishi kutokana maisha halisi sisi tunakutana nayo. Big up 2022
It's 2022 still this song is Dope 🔥🔥
2023hit song of all time
Dah ngoma haiwahi nitoka akilini😢 mwamba sijui alienda wapi
Yupo Sana, hata sasa tunasali pamoja
From +254..hii ssa ndio bongo flava,,izi zengine za wasafi atutambui
Dah! MADAWA yamewaharibu wasani😢
2024 ✊🏾
Qjay my guy na Joslin tangiya kitambo ile👊
Bonge la ngomaaaa dahh
Good luck mack makamua the rock ⭐ sana mkuu
Joslin noma sana huyu jamaa namkubali sana ngoma toka nipo std ii
❤
nmerud baada yaa kusikia QJ kaokoka....Mungu amuongoze
Wow...this song 🔥...and it's March 2023
Wenye miziki Yao ndio awa bhana wakali kwanza Hakuna Bongo nzima kama Awa viumbe hili kundi pamoja na Ngwea uwa naelewa sanaa Ngoma zenu brothers Rudini kwenye Game Madini yenu yanahitajika Uraiani, 2023 February
So uyu ndo rapa nimkua najiuliza alkuaga nani for over 15yrs now 🤔 aki goodmusic never dies
💯 Old is Gold
Dah nilitafuta sana hii video ngoma tamu sana hii daah ❤🙏
Enjoy classical music....dont forget to share and subscribe for more
Huu wimbo naupenda ila nakwazika unavoanza nusu... kwanini wahusika wasiuweke kamili
Ndio upo hvyo😂😂
Jaman Kuna wasanii wametuharibia mziki wetu hizi ndo Ngoma sana
Bado naskiza mziki mzuri 2022 🇰🇪🇰🇪
Nilikoma nilijua huu wimbo ,wimbo mkali sana
Sasa ivi kuma wanatumbia ushuzi2
I used to love this song damn. when adolescent was top notch. 2022 we here
tha combine went good accordingly to that yrs if was in this tme ingekua hit mojaa nomaa sana naumke na hata moja ya ukumbusho tena
2024 nani 2ko pmj?❤❤😢😢
My love goes out to these guys
Mie ndo nimededictiwa Leo july2024😂😂😂😂
Huu ndio ulikuwa muziki. Get blessed you guys
joselin mnyama..hatumii nguvu.
Hii ngoma naikubali. Since 2005 naiskiza
Who is here 2023 ,this song is lit💥
2024
We hay we haya haya hatari
Joselin yupo wapi jmn ❤❤❤ mwenye anajua anijulishe jmn
Halafu s2kizzy anajiita GOAT....yule mtoto hajielew.....asikie beat hii
hajui muziki yule kenge huu ndio muziki sasa.
2023 still enjoying with ds one...anasema mm sifai😜😜🙄
2023 nipo hapa like tusikilize mziki Mzur ✌🏾
Daaah One of my favorite,makamua kina Jocelyne na Qj wako wapi siku hizi
ila maisha😢😢
Dah!! Namiss sana iz vitu.
Enjoy classical music....dont forget to share and subscribe for more
Naupendag mpaka sasa 24 ❤❤❤
Old is gold
Hawa ndio walikuwa matozi wa mjin hapa
😂😂hawa ndio mabishoo mkuu
Mwanangu poa sannaa,Salim from Kampala
Them those days when girls could hear break my heart I could listen to this song and feel it
Ngoma kali sanaaa kama imetoka leo 2022
Makamua 🔥🔥nimeisaka Sana ngoma hii
Enjoy classical music....dont forget to share and subscribe for more
Mziki kama umetoka leo
Leo 2024..nipen Maliki hayo😅😅
Aisee iligoma guys
tulikua tuna hangaika kutafuta ile classic official video kama hii mzee baba, back again kwenye game kamanda.
Na hii haijaanza mwanzo
@@muslihelbarca6435 yeah haikuwa rahisi kuipata. Ila enjoy classical music....dont forget to share and subscribe for more
@@mkalimakamua kusanya ngoma zenu zote za wakali kwanza ziwe kwenye account moja .
Wakali kwanza Mrudi Kwa Fani ya Mziki!
2023 kama bado unaangalia gonga like hapa
2024 anyone
Dude hilo bado linatamba...!
Wap makamua
Joselin nimnyamwezi jmn hiv yupo wapi jmn
Miaka 15 ilopita ilihiti lakni utadhan imetoka jana
Still I listen this song 2024🎉
Unajua kulala mika hatari sana
Nice tune its been a long while since i listened to some joslin tune
These Old good days
Old is Gold.
2024...still on fire 🔥🔥🔥