KIMENUKA: MAKONDA APIGWA NYUNDO NZITO NA KAMATI YA MAADALI CCM

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 25

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 13 дней назад +2

    Siasa safi na uongozi Bora ... kama ni tatizo!

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 13 дней назад +2

    Shida ni kusema ukweli

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 12 дней назад +1

    Waziri Nape humwita Rais Samia nani? Nape kila hotuba yake humwita mama na tumweshimu mama...

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 12 дней назад +1

    Kama kiongozi, anadririki vipi kutamka yale kwenye hadhara ile ilhali anafahamu ni "CONTEXT" tofauti kwa sisi tuliosoma Cuba bila shaka lipo jambo nyuma ya pazia "UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA" Wengine tukipewa mamlaka kiduchu tunadhani "we are above the law" au kutafuta kiki, kuleta taharuki, kuharibu, forum zipo za kuzungumzia sio kilichofanyika tuna vikao

  • @ManaseMoses-dc2dl
    @ManaseMoses-dc2dl 13 дней назад +2

    Ajitahidi kubadili mwenendo wake

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 12 дней назад +1

    Chama au serikali inayovujisha Siri maana yake Kuna ombwe la uongozi. Watu wa mitandao ya jamii wanawezaje kupata habari za Siri au za ndani ya chama. Chama kinaendeshwa kihuni. Hali ni ile ile kama ilivyokuwa enzi za jakaya.

  • @Lizer-zl2qh
    @Lizer-zl2qh 13 дней назад +2

    Makonda Hana maadili ya kiongozi,au kuhudumu katika ofisi ya umma.

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 12 дней назад

      Nan anamaadili sasa😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-cg6iy2et7q
      @user-cg6iy2et7q 11 дней назад

      Ahaaa kumbe mtu akiwamkweli hua hatakiwi mimeshaamini

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 12 дней назад +2

    Serikali na Chama walikosea kumrejesha kwenye system, huyu alikuwa na makandokando mengi tu, rejea ishu ya kuingia na silaha Clouds studio, kipindi Roma mkatoliki ametekwa aliajidi siku fulani atatoka na kweli alitoka, swali hakujua kuingia na silaha ni kinyume na sheria, kubainisha fulani ataachiwa na ukatokea, yeye alojuaje au alikuwa ni sehemu ya tukio?

  • @sabinuskomba2535
    @sabinuskomba2535 12 дней назад

    Sio lais bwana ni Rais

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 13 дней назад

    Hivi mitandao inapata wapi taarifa za ndani za chama?Km taarifa hizi nizakweli basi kuna zua maswali ndani ya Taasisi

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 12 дней назад

    Nahisi wote waliotoa maini yao Ni wake wanaohifia uchaoakazi wako tunajua utendaji WA makonda acheni ubwege nyie mm marofa

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 12 дней назад

    Kuna watu walipatikana wakimtukana mh. Jpm.kwa hiyo hawa watu pia wapo si mapya. Na huyu jamaa hajakosea, kosa lake kusema hadhalani labda!

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 12 дней назад

    Uongo tu na wivu mwacheni apige kazi.

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 12 дней назад

    Chanel zakihuni ndo shida kuzisikiliza au naninyi mmepewa hela na mafisadi

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 12 дней назад

    Mtu hawez sema ambako hakipo makonda anayosema yapo uyo c mgonjwa yupo ok Cha mcng awataje kwa ushahid kwenye kikao alichoitwa alaf kikao kitaje wanaomtukana Kama kweli na kcfche cr kikamfanya makonda anadanganya umma

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 12 дней назад

    Sawa

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 12 дней назад

    Ni mouuzi akili ndogo. Wapumbavu wanasema ATI ana akili kilaza yule.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 13 дней назад

    @Lizer ww ndiyo unafaa kuongoza ummaa au acha wivu na Fitina,, tunawajua kuwa mtu ukiwa mkweli unachukiwa kwahiy vile mange anavyotukana matusi km yale naona sahihi? Acheni wivu bhana

    • @ZakayoYohana
      @ZakayoYohana 13 дней назад

      Mege tunamuhesabu kama chiz nahana nafac yoyote kwenye ofic zanchi yetu je nawakuu wa mikoa nao wanaropoka akawataje ila kama hawapo atupishe maana huyu jamaa kishazoea kuropoka

  • @ndikumanajackson9233
    @ndikumanajackson9233 12 дней назад

    Makonda watanzania hamam pendi

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7s 12 дней назад

    Ukweli unachoma

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 12 дней назад

    Ukweli utabaki kuwa hivyo hivyo! Hata wakuite mala elf moja!