Kama kiongozi, anadririki vipi kutamka yale kwenye hadhara ile ilhali anafahamu ni "CONTEXT" tofauti kwa sisi tuliosoma Cuba bila shaka lipo jambo nyuma ya pazia "UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA" Wengine tukipewa mamlaka kiduchu tunadhani "we are above the law" au kutafuta kiki, kuleta taharuki, kuharibu, forum zipo za kuzungumzia sio kilichofanyika tuna vikao
Chama au serikali inayovujisha Siri maana yake Kuna ombwe la uongozi. Watu wa mitandao ya jamii wanawezaje kupata habari za Siri au za ndani ya chama. Chama kinaendeshwa kihuni. Hali ni ile ile kama ilivyokuwa enzi za jakaya.
Serikali na Chama walikosea kumrejesha kwenye system, huyu alikuwa na makandokando mengi tu, rejea ishu ya kuingia na silaha Clouds studio, kipindi Roma mkatoliki ametekwa aliajidi siku fulani atatoka na kweli alitoka, swali hakujua kuingia na silaha ni kinyume na sheria, kubainisha fulani ataachiwa na ukatokea, yeye alojuaje au alikuwa ni sehemu ya tukio?
Mtu hawez sema ambako hakipo makonda anayosema yapo uyo c mgonjwa yupo ok Cha mcng awataje kwa ushahid kwenye kikao alichoitwa alaf kikao kitaje wanaomtukana Kama kweli na kcfche cr kikamfanya makonda anadanganya umma
@Lizer ww ndiyo unafaa kuongoza ummaa au acha wivu na Fitina,, tunawajua kuwa mtu ukiwa mkweli unachukiwa kwahiy vile mange anavyotukana matusi km yale naona sahihi? Acheni wivu bhana
Mege tunamuhesabu kama chiz nahana nafac yoyote kwenye ofic zanchi yetu je nawakuu wa mikoa nao wanaropoka akawataje ila kama hawapo atupishe maana huyu jamaa kishazoea kuropoka
Siasa safi na uongozi Bora ... kama ni tatizo!
Shida ni kusema ukweli
Waziri Nape humwita Rais Samia nani? Nape kila hotuba yake humwita mama na tumweshimu mama...
Kama kiongozi, anadririki vipi kutamka yale kwenye hadhara ile ilhali anafahamu ni "CONTEXT" tofauti kwa sisi tuliosoma Cuba bila shaka lipo jambo nyuma ya pazia "UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA" Wengine tukipewa mamlaka kiduchu tunadhani "we are above the law" au kutafuta kiki, kuleta taharuki, kuharibu, forum zipo za kuzungumzia sio kilichofanyika tuna vikao
Ajitahidi kubadili mwenendo wake
Chama au serikali inayovujisha Siri maana yake Kuna ombwe la uongozi. Watu wa mitandao ya jamii wanawezaje kupata habari za Siri au za ndani ya chama. Chama kinaendeshwa kihuni. Hali ni ile ile kama ilivyokuwa enzi za jakaya.
Makonda Hana maadili ya kiongozi,au kuhudumu katika ofisi ya umma.
Nan anamaadili sasa😂😂😂😂😂😂😂
Ahaaa kumbe mtu akiwamkweli hua hatakiwi mimeshaamini
Serikali na Chama walikosea kumrejesha kwenye system, huyu alikuwa na makandokando mengi tu, rejea ishu ya kuingia na silaha Clouds studio, kipindi Roma mkatoliki ametekwa aliajidi siku fulani atatoka na kweli alitoka, swali hakujua kuingia na silaha ni kinyume na sheria, kubainisha fulani ataachiwa na ukatokea, yeye alojuaje au alikuwa ni sehemu ya tukio?
Wewe hujitambui
Sio lais bwana ni Rais
Hivi mitandao inapata wapi taarifa za ndani za chama?Km taarifa hizi nizakweli basi kuna zua maswali ndani ya Taasisi
Nahisi wote waliotoa maini yao Ni wake wanaohifia uchaoakazi wako tunajua utendaji WA makonda acheni ubwege nyie mm marofa
Kuna watu walipatikana wakimtukana mh. Jpm.kwa hiyo hawa watu pia wapo si mapya. Na huyu jamaa hajakosea, kosa lake kusema hadhalani labda!
Uongo tu na wivu mwacheni apige kazi.
Chanel zakihuni ndo shida kuzisikiliza au naninyi mmepewa hela na mafisadi
Mtu hawez sema ambako hakipo makonda anayosema yapo uyo c mgonjwa yupo ok Cha mcng awataje kwa ushahid kwenye kikao alichoitwa alaf kikao kitaje wanaomtukana Kama kweli na kcfche cr kikamfanya makonda anadanganya umma
Sawa
Ni mouuzi akili ndogo. Wapumbavu wanasema ATI ana akili kilaza yule.
@Lizer ww ndiyo unafaa kuongoza ummaa au acha wivu na Fitina,, tunawajua kuwa mtu ukiwa mkweli unachukiwa kwahiy vile mange anavyotukana matusi km yale naona sahihi? Acheni wivu bhana
Mege tunamuhesabu kama chiz nahana nafac yoyote kwenye ofic zanchi yetu je nawakuu wa mikoa nao wanaropoka akawataje ila kama hawapo atupishe maana huyu jamaa kishazoea kuropoka
Makonda watanzania hamam pendi
Ukweli unachoma
Ukweli utabaki kuwa hivyo hivyo! Hata wakuite mala elf moja!