Imani Eric Shoo Ft Paul Clement - Roho Mtakatifu (Prayer Anthem)
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Imani Eric Shoo Ft Paul Clement - Roho Mtakatifu (Prayer Anthem)
This is a prayer dedicated to the HOLY SPIRIT according to the book of Psalms 143:10 "Teach me to do your will, for you are my God. May your gracious Spirit lead me forward on a firm footing."
#ImaniEricShoo #RohoMtakatifu #PaulClement
Lyrics:
#VERSE: Rafiki wa karibu yangu kuliko mavazi yangu, ni wewe Roho Mtakatifu
Mito inayotiririka vilindini mwa moyo wangu, ni wewe Roho Mtakatifu
Upole wa asili yako na makali ya nguvu zako, ni dhahiri sana kwangu
Ukisema unatenda ukiahidi unafanya, Hakuna usiloweza
#CHORUS : Nifundishe, kuishi sawasawa na mapenzi yako
Nithibitishe, katika haki na utakatifu wako
Ushawishi, kuishi kwangu na matendo yangu
Nipe hatua moja zaidi ewe mpenzi wangu.
#VERSE: Uzuri wako na Uaminifu wa Moyo wako uwepo wako, uwepo wako
Ushindaye giza kwa Nuru ya asili yako, ewe Roho Mtakatifu
Umejawa uhai uweza mamlaka vyote, vimebebwa nawe
#VERSE: Ukiwa ndani yangu mashaka sina tena, ujasiri wote unawewe
Ututofautishae na watu wa duniani, Mwalimu wa Haki yote
Ni shauku yangu kuwa nawe kuliko jana, Nijaze kwa Nguvu zako.
BGV's MUNGU ANAISHI LEO TEAM
MD(Main Keys 🎹 ) - Joshua Charles
Aux keys 1 (Layering) - James Steinberg
Aux keys 2 - Baraka Aden
Bass Guitar - JP Kazire
Lead Guitar - Benjamin Kazire
Saxophone 🎷 - Simon Anta
Drums - Samuel Simon
Percussion - FureRaguel
Audio mixing - Frester's Records
Video Production - AmigoJohnson
Audio Capturing - Christian Mgana
Front of House Engineer - Christian Mgana
Backline Engineer - Lameck
WATCH AMEINULIWA
• Imani Eric Shoo - Amei...
WATCH MWAMBA WA KALE
• Imani Eric Shoo - Mwam...
FOLLOW ME ON INSTAGRAM
...
Ni wewe Roho Mtakatifu Mungu akutunze sana Shoo
Kabisa amebarikiwa
Aminaaa
Mmm Ameen
Amen
GLORY TO GOD 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
💗❤️
Barikiwa sana mtumishi Paul Clement
Kaka Mungu azidi kukutumia, you are my mentor
❤
mungu akuzidishiye
Wimbo huu hakika ni wa maombi. Mungu jehovah aendelee kuku paka mafuta katika utunzi wa nyimbo zenye nguvu ya Mungu. Paul Clement ubarikiwe sana Imani barikiwa na wapiga vyombo wote pamoja na waitikiaji wote. Mmebarikiwa sana aisi.
Amen amen
Ewe mpenzi wangu Roho mtakatifu.
Blessings man of GOD #maombi
Nipe hatua moja zaidi, ewe mpenzi wangu😭
Nithibitishe katika haki bwana wangu
Rohomtakatifu nifundishe🙏🙏🙏🙏
What a powerful prayer. Holy spirit my best friend my helper help and guide me in the way of righteousness ❤. 🇰🇪
I have been listening to this song for long Tim this day and there is revelation inside this song. For sure my God almighty bless you all , am really grateful and am blessed by this song 🙌🔥🔥
My Song 😢😢😢😢 Oh Lord
Mungu azidi kukutumia ufike mbali na mafanikio yawe katika kila nyimbo unayoitoa
Haya ni maombi yangu BWANA 🙌🏽
Ututofautishaee na watu wa dunia... Mwalimu wa haki yote😊
This is my prayer and desire of every born again christian. Mungu akuzidishe Shoo
Mungu naomba unifundishe kuishi sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏
Maombi mazuri kwelikweli.
Thank you for leading us.
Vessesl of God.
Give us one stap ahead and let your Will be done unto us. Oh Lord teach us to live your Will ,one day we will celebrate our victory in You.
Nifundishe kuishi sawasawa na mapenzo yako Yesu. Big up Imani, hii ni ibada kabisa
Kweli kabisa Mtumishi
Mungu akuongeze zaidi
Nifundishe kuishi sawasaw na mapenzi yako.
All my favorite Tanzania Gospel Artists have released songs the past 7 days,i jave a new playlist for Pasaka
Happy Easter Fellow Believers Of Christ
Mungu akubariki sana mwanangu Imani Eric Shoo. Uliishi shauri la Bwana na ufikie hatma yako.
Let the Glory be to Jesus for this powerful song🙏👏🥰🥰🥰
HOLY SPIRIT indeed has inspired this song...the instrumentals are Heavenly!
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭
Hakika uweza wa Mungu anaonekana dhairi katika hii nyimbo.... Mungu haibariki kazi yenu watumishi #Rohomtakatifu
Home boy,, apo kwenye nifundishee apoo
@@Micahsaninga-tj2vi wewe achaa tuu kaka
Eeh ROHO WA NEEMA 😭
Wow! A very nice and anointed song. God bless you
Mungu akufunike kwa mbawa zake,dunia hisikumeze,Mambo ya dunia na tamaa zake za kimwili zikae mbali nawe,ili Mungu atukuzwe kupitia wewe,hakika Ni Mungu tu, Roho mtakatifu akufundishe kila leo, powerful song.
Just discovered this man of God! Mungu akulinde na uzidi kutunga nyimbo zinatoka mbinguni...
Ma brothers natamani kufikia kiwango chenu dah hakika tupo kwenye kizazi cha kumtukuza MUNGU
be blessed man & servant of God ...............be humble and stay connected God will use you to the next level😇😇😇😇😇
Nifundishe ROHO MTAKATIFU, nipe Hatua moja zaidi
What a blessing song🤗. Mbarikiwe kwa wimbo mzuri
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri roho Mtakatifu amenihudumia
Goo higher the son of my friend Dr.Eric shoo We Love You❤
God bless you minister Eric Shoo, am blessed 🧎♂️🧎♂️🧎♂️
Roho Mtakatifu Mpenzi wangu ,🤲wimbo wa kiroho kabisa 🙌🏼 neema iwazidi 🙌🏼💗
Hakika huu Ni moyo wa ibaada🙇♀️🙌be blessed my kaka
Aseeeee vyombo wapigaji 🎷🎸🎸🎸🎸🎤safiiiii
Kaka nyimbo zangu zinamaneno matamu saana Mungu aendelee kukutumia yaan Kuna mda mtu unakua unaskia ni kama malaika wanaimba aiseee🤍🤍💙🙌🏽
Holy Spirit inspired..kwa kweli Maulana anatutofautisha na watu wa duniani na ni mwalimu wa haki yote..Bwana tufunze kuishi sawasawa na mapenzi yako🥺😭😭
YOU UNDERSTOOD WHAT TOUCHES THE HEART OF GOD. WORSHIPPING THE DARLING OF HEAVEN, THE GENTLE HOLY SPIRIT IS ALL I WANT. SEND ME LYRICS KINDLY
Roho mtakatifu unifunze kuishi sawa sawa na mapenzi yko nidhibitishe baabaaa
I love this song, though i dont understand the lyrics I connect to it so much. More grace from Zimbabwe
Roho Mtakatifu, Rafiki wa karibu yangu kuliko mavazi yangu.
Iwapo siku zitaundika hadi miezi na miezi kuundika hadi miaka,yeye atabaki kuabudiwa milele na milele
Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake. (Yohana7: 38)
HILI JIMBO NI LA MOTO MNO
You Are Blessed Sir @ImaniEricShoo
The back up team!!! Aaaah Mungu awaneemishe hata na zaidi❤❤❤
That's my prayer today,Roho mtakatifu ingia ndani yangu unitawale
Favor upon favor young
😭😭😭😭😭 THE SPIRIT OF GOD HAS IMPARTED MY LIFE THROUGH THIS SONG GLORY TO JESUS🙌🙌
Wow! Neema ikuzidie. Ombi hili lina nguvu tele
Amen amen
What a powerful revelation speaking to our hearts please where do l get the lyrics
Nifundishe kuishi sawa sawa na mapenzi yako🤲🤲
Dr lpyana mungu akubariki ❤
🥹Huu wimbo una nguvu isiyo ya kawaida kila nikiusikiliza najisikia kuomba kwa bubujiko tokea ndan😭 To GOD Be All The Glory
Great music,, I have to listen to this piece each day I get to my desk at work. Roho Mtakatifu msaidizi wangu. Good job musically, mob love from KE. Glory to Jesus!
Unaimba vzr Iman mdg wangu ,,Mungu ainue huduma yako viwango vya juu sana.uko rohoni ,,I can seen the bright future of your service.
Nijaze nguvu zako Roho Mtakatifu...
Ni maombo yangu roho udumu ndani yangu unipe hatua moja zaidi
🔥🔥🙏🙏🇰🇪🇰🇪 Baraka watumishi,Wacha Neema izidii kuwatosha🙏🙏🙏
Ndugu Yanguu🔥🔥🔥🙏
This is a prayer.
Holy Spirit Season 🔥🔥🔥🔥🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu aende nawe mtumishi wa Mungu, Nakupenda mwanangu
Brother imani👏👏
My best friend Holly spirit more than anybody ❤️❤️
Such a wonderful Prayer Anthem ...God Bless you team.....Atukuzwe Yesu
Kwa unyenyekevu mwingi Sana nabarikiwa na huu wimbo
Nithibitishe ktk haki na utakatifu wako 🙏🙏🙏🙏
nifundishe Bwana kuishi sawa sawa namapenzi yako 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nizidi kutibitishwa katika haki yako Roho Mtakatifu.
Ushawishi wako uishi ndani yangu.
Glory to God. Atukuzwe Mungu atendaye kazi ndani yako.
Haya ni maombi yangu..Roho Mtakatifu!
Ushawishi kuishi kwangu na matendo yangu,,,, nikupendeze wewe Bwana, Mungu akubariki sana mwana wa Asafu iman eric shoo
Mungu aendelee kukuinua juu kamand wew wa ufufúo na uzima
🙌🙌
Powerful!!
All glory to God!
Ameen🙌🙌🙌. Chombo cha bwana
Mungu awazidishie huduma yenu. Amina!
Iman you are ministering....You have a unique calling on your own.
Ubarikiwe sanasana🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Mungu akutunze
ROHO MTAKATIFU ..
Heart full prayer
KINDLY SHARE WITH ME THE LYRICS. NIMETAFUTA KWELI KWELI LYRICS SIJAPATA JAMENI
Same here
We give God the glory...am blessed
Such an anointing..Asante roho mtakatifu
.
Mungu azidi kukuinua Utukufu hadi Utukufu .
Nifundishe kuishi sawasawa na mapenzi yako
Nimefurahi kukuona lizy humu, hakika Mungu azidi kukutumia kwa utukufu wake
@@sianasimbeye2757 utukufu una Yesu tu
Mungu akubariki sanaa Mwanangu, ubarikiwe
Hongereni sana
Kila dakika ya wimbo huu, unanisogeza karibu na Yesu. Kila neno mliloimba ndilo ninalotamani kumwambia Mungu wangu🙌, Barikiwa sana Imani.
Huduma nzuri nimependa wimbo huu
What a powerful song! Roho Mtakatifu nakuhitaji unifundishe.
Mungu akubariki sana my brother Imani Erick shoo hakina unabarik moyo wangu Sana Mungu akutunzee Sanaa🙏🙏🔥🔥🔥
Wow 😲 what a song, God bless you
I listen to this song daily,it has become my daily prayer
God bless you MoG
June 2024 it's my prayers
Likalabasakarabosi, Ubarikiwe sana Niliungojea wimbo huu kwa hamu BWANA AYFANYE KUWA BARAKA WIMBO HUU ULINIGUSA SANA SIKU NILIPOTEMBELEA GTCC
🔥
Powerful powerfull huuuuuuu🔥🔥🙌🔥🔥🔥 Speechless to Faithful Friend Holy Ghost 🙌🙌🔥🔥🙌🙌
Be blessed Man of Living God Iman Eric Shoo
Huu wimbo nimeimba siku nzima 🤲🤲 Barikiwa man of God