TRAORE AMEIPA IRAN KUIJENGA KISASA BURKINA FASO KAMA DUBAI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

Комментарии • 111

  • @RajyMussa
    @RajyMussa 6 месяцев назад +5

    Namuomba mungu azidi kumsimamia mwamba wa bukinafaso mwana wa traore

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 17 часов назад

    Naamini maneno yako benson muajemi na mrashia ni waki sawa sawa ,kauli zao na matendo yao nayakubali na napendezwa saaana nayo,traore kujiunga nawo ajiunge na kushikana nao kiukamili kwani ni watu waki sawa sawa, santa sana kwa habari zako ,mungu awabariki,amin

  • @mascoboy
    @mascoboy 6 месяцев назад +16

    Siachi kukufuatilia mwalimu napenda sana habari za hii channel

    • @hamisramadhan-eb3ie
      @hamisramadhan-eb3ie 6 месяцев назад +1

      Mungu tunakuomba mlinde ibrahim twaole huyu nimwamba kweli😅

  • @NyembeSamwel
    @NyembeSamwel 6 месяцев назад +16

    JPM kaibukia bukinafaso pigakazi kaka🎉🎉🎉

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha 6 месяцев назад +5

    Kweli kuna zawadi kutoka kwa Mungu jamaa Mungu amulinde hata Mimi nafurahia kazi zake

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 6 месяцев назад +8

    Nakupenda sana mwalimu wanenolamungu niko ujerumani

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 6 месяцев назад +7

    Asante mwalim tuna kupenda sana

  • @dubzman5874
    @dubzman5874 6 месяцев назад +5

    long live captain ibrahim traore....Salute kwako Mwalimu

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 6 месяцев назад +2

    Kazi nzuri kwake Traore mungu amlinde na Africa yetu viongozi wafuate nyayo zake waepuka utumwa wa magharibi

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im 6 месяцев назад +6

    Yaani huyu Ibrahim traore nampenda kwa ujasili wake tu.

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 6 месяцев назад +4

    Shukran Mzee wagaza kwatalifa nzur tunakufwatilia tukiwa Oman uwarabun

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 6 месяцев назад

    From nairobi kenya nawapata vizuri sana

  • @RamadhanRamdhan-i2c
    @RamadhanRamdhan-i2c Месяц назад

    Haswaaaa mungu yupo naye muda wwote

  • @mfupakhamis9751
    @mfupakhamis9751 6 месяцев назад +1

    Ujenzi mwenye makubaliano ya mali kwa mali ndio uchumi Bora.
    Ufalme wa Mungu usimame.
    Amin

  • @evancemichael5489
    @evancemichael5489 6 месяцев назад

    Namuombea maisha marefu kijana Ibrahim Traore

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 25 дней назад

    Mungu huwapa mtu sahihi kwa wanaohitaji

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 6 месяцев назад +6

    Mwenzimungu amlinde nahao manyangau

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 6 месяцев назад +2

    Big up mwalimu

  • @bahatimanegabe1777
    @bahatimanegabe1777 6 месяцев назад +3

    African power traoré is the best

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 6 месяцев назад

    Inatakikana Africa zina yni nchi zote za african tuipige chini ulaya tujenge na watu wa bei nafuu tna imara🎉#viva ibrahim

  • @alimzee
    @alimzee 6 месяцев назад +2

    Big up

  • @hbdina
    @hbdina 6 месяцев назад +2

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Sema kaka ,nchi za Magharibi zitaanguka zikiendelea na misimamo yao.Wanagombana na kila mtu.Wasaau Africa tumeamka tuna Majenzii Tanzania tuwekeze kwa watu wetu

  • @reginamayuto1357
    @reginamayuto1357 6 месяцев назад +2

    Safi sana mwalim tuna kufatilia kutoka Danmark 🇩🇰🇩🇰🇩🇰❤️🤝🫡

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 6 месяцев назад

    Tz kama uraya..mwenye ndoto zakeee...magu mungu anakuona..

  • @JudicaMboye
    @JudicaMboye 6 месяцев назад +2

    Safi sana kamanda 🎉

  • @SaidiNgulupi-p1o
    @SaidiNgulupi-p1o 6 месяцев назад

    Namtakia kila la heri Traore na Mungu atamsaidia

  • @OmarSagamiko
    @OmarSagamiko 6 месяцев назад +2

    Nice

  • @HassanGolesu
    @HassanGolesu 6 месяцев назад

    Sawa kbs mwamba kwa habari za ukweli

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 6 месяцев назад +2

    Asante kwa Habari

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 6 месяцев назад

    Mwl wa neno la Mungu,ninakukubali sana

  • @AnnoyedHarp-tg7ur
    @AnnoyedHarp-tg7ur 6 месяцев назад

    Asante kwa Elimu

  • @deusmauka8270
    @deusmauka8270 6 месяцев назад +1

    JPM namkumbuka, 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh 6 месяцев назад +4

    Safi sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 6 месяцев назад

    Nakupata kaka isaya

  • @abdurahfaris8438
    @abdurahfaris8438 6 месяцев назад

    Mzee isaya nakupata vyema kabisaaa tena nakuelewa huna uchambuz wa hovyo wala braaa braaaa

  • @hbdina
    @hbdina 6 месяцев назад +2

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Sema kaka

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 6 месяцев назад +2

    hiii imekaa poa sana

  • @shaurisaidi7470
    @shaurisaidi7470 6 месяцев назад

    Tatizo la Afrika ni uongozi nakubali sana

  • @MpwataOmari
    @MpwataOmari 6 месяцев назад +4

    Kwasisi wabongo hatuwezikufikahuko mpaka tutakapopata uhuru la sivyo tutaendelea kutumikishwatuu😂.

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 6 месяцев назад

      Mwamba alikuwa anaelekea hku jpm mungu amuweke pema pmoja na wema❤😢 Ameen

  • @pascalzakaria7874
    @pascalzakaria7874 6 месяцев назад

    Mwambie raisi wa congo asome hapo bos

  • @JanePaulo-r6z
    @JanePaulo-r6z 6 месяцев назад +2

    Jamaa ni mwamba

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 6 месяцев назад

    Ibrahim traole🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 6 месяцев назад

    Nakupenda sanaaa

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 6 месяцев назад +4

    ***Hawa watawala wa Afrika hawatakawia kumhujumu***Sababu ni vibaraka***

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 6 месяцев назад +2

    Traore maisha marefu

  • @NtahoZuberi
    @NtahoZuberi 6 месяцев назад +2

    Tazama congo haina barabara kuokopa mtambo waumeme wakuwasha dunia wao giza wa mpe traore hata miaka10 atengeneze

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 6 месяцев назад +1

    Safii

  • @MateusPius
    @MateusPius 4 месяца назад

    África hoooeeee 🇲🇿

  • @HassanGolesu
    @HassanGolesu 6 месяцев назад

    Ibrahm traore na magufuli ni Mfano wa viongozi bora wa afrika kwa karne hii

  • @Daidizz01chinga
    @Daidizz01chinga 6 месяцев назад +2

    Traor balaa

  • @LinusiMeza
    @LinusiMeza 6 месяцев назад +1

    Chapisheni t-shirts za Traore

  • @emmanuelademba7919
    @emmanuelademba7919 6 месяцев назад

    Huyu mwana BUKINABE Ibrahim Traore ni MAGUFULI mwingine kaibuka tena,Mungu aendelee kumpa ulinzi dhidi ya WANYONYAJI.

  • @chande2k250
    @chande2k250 6 месяцев назад +3

    Africa viongozi Wengi wachumia matumbo na vibaraka wa MAGHARIBI uckute huyu mwamba Traore watamfanyia hujuma Mpk wafanikiwe maana manyang'au wana umoja kama vyama vya wanga vile

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 6 месяцев назад

    Bokinafaso mnapahati sana

  • @ZainulKiondo
    @ZainulKiondo 6 месяцев назад +1

    natamani tungekuwa nae hapa ee mlmungu tujalie

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 6 месяцев назад

    Tupen taarifa za kweliii

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 6 месяцев назад +1

    El capitano Traore

  • @vanemmy6043
    @vanemmy6043 6 месяцев назад +2

    muwe mna wa Tag viongozi wa Tanzania😅😅 wapate makala ya ukuu wa Afrika

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 6 месяцев назад +1

      Jamani tulicheleewaa sana kukumbatia imani potofu za kutugawa kwa misingi ya dini ukiwa muislamu tukapandikiziwa ugaidi ukitakuleta mawazo ya kutoka kwa wamagharibi unaitwa gaidi viongozi waafrika amkeni
      L

  • @mutambukamubaraka
    @mutambukamubaraka 6 месяцев назад +5

    🤲🤲🤲🙏🙏🙏❤💯💯🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷💪

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo5515 6 месяцев назад +1

    Tupe matokeo ya Rwanda

  • @RamlaMburi
    @RamlaMburi 6 месяцев назад

    Sijui itakuaje kwa waisraeli wa bongo, maana wanavyoichukia Iran😂😂

  • @yassinitupa5819
    @yassinitupa5819 6 месяцев назад

    Duniani kuna wabishi lakini sijaona anae mkataba huu mwamba

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 6 месяцев назад

    Mataifa yetu mengine wnafiki sana

  • @MohamedSaid-em4of
    @MohamedSaid-em4of 6 месяцев назад +1

    manyang,au hawakubali kuwekwa pembeni

  • @NassibMbuguni-n1d
    @NassibMbuguni-n1d 6 месяцев назад +2

    Kaka watu wa lran walikuwapo blonde la rufiji kea kILIMO lakini walifanyiwa zengwe walifaga hata mbuzi

  • @MustaphaManole
    @MustaphaManole 6 месяцев назад

    Sisi tutafika lini uko mana mi celew tunaenda au tunarud

  • @loisujakigodson8997
    @loisujakigodson8997 6 месяцев назад +4

    Nyie wachambuzi hewa tuu Mbna hamchambui madudu yanayoendelea nchini kwenu. Magari 100 yote suv yanasindikiza mtu mmoja mkija online mnamsifia mafisadi

    • @rajabuKilongo-d3h
      @rajabuKilongo-d3h 6 месяцев назад +3

      Tatizo tukianza kuichambua tz chanel yetu itafungiwa hembu imagen nape alivyokuwa anawaabia watu kuhusu wanavyoshindaga uchaguzi na watu wanamshangilia Sasa watu wa namna hii utawashauri kitu gani wakuelewe Wacha tumsifie traore ndio kipenzi chetu Kwa sasa

    • @Kelviniemileemile
      @Kelviniemileemile 6 месяцев назад +1

      Kweli kabisa traore ndio mwamba kwa sasa​@@rajabuKilongo-d3h

  • @princefeisla3692
    @princefeisla3692 6 месяцев назад

    Habari mzuri lkn za uongo Kila siku tunaskia Russia china na corea wanawasaidia Palestine lkn hatuwaoni mara Wana jeshi kubwa mara silaha lkn kilamtu na mamboyake mwalimu unatupumbaza na uongo tu nimefatilia Hadi nimechoka series Yako ndefu sana😂😂😂

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 6 месяцев назад

    Mwamba umetisha kwani hizi habali una zipataga wapi?👏👏👏

  • @EliudLikakali
    @EliudLikakali 6 месяцев назад

    Magulifications of Africa

  • @DeusRobart
    @DeusRobart 6 месяцев назад

    sijuinizamie brkina faso🙅

  • @NtareHill-re1bw
    @NtareHill-re1bw 6 месяцев назад +1

    Africa kwanza others rest.

  • @NtahoZuberi
    @NtahoZuberi 6 месяцев назад +1

    Tim russia ina kumbusha tazara imejegwa magharibi hawakupenda china imejenga kama wizi usiku

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 6 месяцев назад

    Hakuna kiongozi hapo,ni swala la muda tu mtakuja kuniambia.Anataka kupambana zaidi na wale anao wachukia kwa sababu zake binafsi,hata kama wazungu walitufanyia mabaya lakini tukumbuke kuna mazuri mengi tu waliyafanya,

  • @SwammaduAlly
    @SwammaduAlly 6 месяцев назад

    Alafu bongo siasa nyingi

  • @KiwiaCasmir
    @KiwiaCasmir 6 месяцев назад

    Siyo kijana wa huku anakaa kwao na anakula kwa baba yake.mbaya zaidi wa huku wanajiita chawa kabisaa!.

  • @HassanGolesu
    @HassanGolesu 6 месяцев назад

    3:52 napenda habari zako mkuu

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 25 дней назад

    kwanza aongoze hadi achoke yeye....kwani si tunataka vyuma kama hivyo

  • @kavakurejeanBaptist-nk7jz
    @kavakurejeanBaptist-nk7jz 6 месяцев назад

    Magorofa malefu Tena mazuri

  • @magabemkami6653
    @magabemkami6653 6 месяцев назад +3

    huku tz ili tupate maendeleo tuwape nafasi wapinzani

  • @ZakayoDionisi
    @ZakayoDionisi 6 месяцев назад

    Tusubiri

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 6 месяцев назад

    TZ😂😂😂tuna almas .dhahabu..Magufuli ameondoka navyo iweje tusilie😢😢..kkopaaaaaa..miamba watoto wa afrika traoree tutoe kimasomasooo😊😊

  • @OngezekoPaschal
    @OngezekoPaschal 6 месяцев назад

    Komaa

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 6 месяцев назад

    Isaya nitumie namba yako broo

  • @nongollohsuleyman9734
    @nongollohsuleyman9734 6 месяцев назад

    Wewe bwana anataka kutuponza wenzio tupotee maana watendaji wake wapo bize mitandaoni kuliko kuondoa tatizo husika Lakini pia tunaogopa Roman catholic yetu l

  • @ماريافيدال
    @ماريافيدال 6 месяцев назад

    Kwani izo gorofa nazo ziona, ziko burkinafaso ao ndo zitajengwa badae ?

  • @dennisngonyani1795
    @dennisngonyani1795 6 месяцев назад

    Nilidhani jeshi la bukina ndoo linaijenga bukina hakuna kitu hapo

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 6 месяцев назад

    VIONGOZI WETU WANACHUKUA PESA ZA UMA KUPELEKA WACHEZA SINEMA NA WAIMBAJI NCHI ZA NJEE KWA PESA ZETU😂😂😂😂😂😂

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 6 месяцев назад

    Vp kuhusu wakwetu kafanya nini alipoenda USA

  • @AbdallaBakari-m3t
    @AbdallaBakari-m3t 6 месяцев назад

    Rest in peace, JPM

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 6 месяцев назад +1

    Asante sana mwalim Kwa uchambuz mzur.je rais wa xx wa iran ni nani?

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 6 месяцев назад +1

    Mwakilembe, huu ni mpango wa Urusi yaani Putin ndiye kasuka huu mpango wa Iran kuja Burkina Faso ili kuijenga kisasa Burkina Faso.
    Lengo ni kwamba itakapojengwa Burkina Faso na Iran basi nchi zingine za Africa zitatafuta kandarasi za wa Iran na kwa kitendo hicho basi kandarasi nyingi za wazungu zitapoteza soko katika ukanda wa Africa.
    Hii ni hesabu kubwa ya Putin ya kuiangusha kabisa marekani na ulaya.

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 6 месяцев назад

    Ujuo wa Magufuli umeibua viongozi wengi waliozibebe fikra zake

  • @ezekielikoribikomeye9474
    @ezekielikoribikomeye9474 6 месяцев назад

    🌍👍🫡

  • @mohamedally4535
    @mohamedally4535 5 месяцев назад

    𝙈𝙪𝙣𝙜𝙪 𝙖𝙢𝙨𝙞𝙢𝙖𝙢𝙞𝙚 𝙠𝙬𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙟𝙖𝙢𝙗𝙤!

  • @RajyMussa
    @RajyMussa 6 месяцев назад +16

    Namuomba mungu azidi kumsimamia mwamba wa bukinafaso mwana wa traore

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 6 месяцев назад +2

    Safi sana

  • @HassanGolesu
    @HassanGolesu 6 месяцев назад

    Ibrahm traore na magufuli ni Mfano wa viongozi bora wa afrika kwa karne hii

  • @kavakurejeanBaptist-nk7jz
    @kavakurejeanBaptist-nk7jz 6 месяцев назад

    Safi sana