LAST CARD _ EP 30

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 фев 2024
  • #kp #kpnazebuu #lastcard #zebuu #wamangushi #kpcomedy #bintinyoka
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 1 тыс.

  • @kpwaaquino
    @kpwaaquino  4 месяца назад +315

    SAA 3 ASUBUHI, NJOO TIZAMA🙏🏽🙏🏽 ASANTENI KWA KUWA NA SUBIRA,

    • @rachelpaul460
      @rachelpaul460 4 месяца назад +13

      Yan kp unazingua Leo Wanangu nimewalisha mchicha nikijua last card Leo haraf bdo yote nimeagalizia ujinga USO na maana kabisa dah wanang mnisamehe hapa nimeyatimba

    • @EdisonMorice
      @EdisonMorice 4 месяца назад +4

      Mnazingua yani

    • @AishaMpole-ps9rm
      @AishaMpole-ps9rm 4 месяца назад +3

      Mnazingua jana ulisema utaweka leo,leo imekuwa kesho

    • @AthmanJuma-dc7xl
      @AthmanJuma-dc7xl 4 месяца назад +4

      Duuuuh kudaaadeenyaaa mnazingua 😢

    • @nouraalharthy5509
      @nouraalharthy5509 4 месяца назад +3

      Kp usifanye ivooooooooo😢😢

  • @user-pm9hl1bu3w
    @user-pm9hl1bu3w 4 месяца назад +166

    Wale wanaounga mkono kp asogeze dk ziwe nyingi kidogo na awe anatoa kwa wiki mara mbili wapige like

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 4 месяца назад +3

      Kwakweli mana saizi inachelewa mpaka tunasahau Yani inaboa sanah lakini Iko on 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @user-si1ti2qk8n
      @user-si1ti2qk8n 4 месяца назад +3

      Mbona dakika ziko Sawa Ila kuchelewa ndio wanachelewa na pia alisema umeme ulikuwa na shida

    • @ZainabuOmary-nt7xf
      @ZainabuOmary-nt7xf 4 месяца назад +1

      Tupo humu

    • @ZainabuOmary-nt7xf
      @ZainabuOmary-nt7xf 4 месяца назад +1

      Ila wanatumia akili nyingi sana jemeni ila naomba mpambane usiku na mchana

  • @fatmamdihiri4164
    @fatmamdihiri4164 4 месяца назад +23

    Mimi Nora simuelewi wangap awaelewi km mm

  • @user-hn6jq1ix6o
    @user-hn6jq1ix6o 4 месяца назад +8

    Pongezi Kwa Shei Shei I really love this woman am from Kenya ❤❤❤❤

  • @user-hg5ow4mc9b
    @user-hg5ow4mc9b 4 месяца назад +4

    Kp,sheira,zebuu nawapenda San San hongeren kazi nzuli Yan mm ukitok ii move silali bola kuangaliaa mko vizuli San mwaaa love team kp msalimie sulaj anajitaid Kula ad naogopaa ila kiufupi nawapenda San nataman hat kuonana na ninyi by me nipo mlandizi

  • @user-gh4if8oo2c
    @user-gh4if8oo2c 4 месяца назад +10

    Mtu wa kazi Sheila Binti likoma. Hiyo nywele fupi imekupendeza pia. Ila Ile ndefu ndo zaidi. Ukivulugwa ukifanya kufungua na kuitikisa Huwa napenda sana.

  • @Shemlindajr
    @Shemlindajr 4 месяца назад +41

    Mnazingua bhana kp kama shida ni umeme niwanunulie jenereta maajabu😢😢

  • @user-eh2jz8rw3o
    @user-eh2jz8rw3o 4 месяца назад +10

    Mtu wangu wamana sheilla dada wa plan B uwa nakukubali sna🎉🎉🎉

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 4 месяца назад +15

    Waaa sisemi Kiri hapa nipe like ya sheillah❤❤❤binty likoma🎉🎉

  • @allanmbele
    @allanmbele 3 месяца назад +3

    Alooh mimi nola simuele jaman wangap awmuelew kama mimi dondosha like yako ap

  • @user-zl6ox9hr1v
    @user-zl6ox9hr1v 4 месяца назад +14

    Wakwanzaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤mauwa yangu jmn nawapenda Sana ,,,hata tano tyuu

  • @user-ox1cx2np5v
    @user-ox1cx2np5v 4 месяца назад +19

    Kp we unajuw sana huku mtwar tunakukubal San nakutakia maisha mema na maref uzid kutupa raha hakika baada ya kanumba we ndo unafata kweny tasnia hii ya filamu unawez sana hii mov umetumia elimu sana Tena sana

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 4 месяца назад +14

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI

  • @user-xf1by9je1f
    @user-xf1by9je1f 4 месяца назад +9

    Huyu Nora kweny hvh kithab kwan anaandika nn,am thayr ashakuw msalith mana kw sasa cmuelew kabsaaa😊😊😂

    • @kulthumuazizi7753
      @kulthumuazizi7753 4 месяца назад +1

      Yani uyu namuwazia ivoivo kama wewe nimsaliti uyu

    • @mzembemakini3532
      @mzembemakini3532 4 месяца назад +1

      Yan mm mwenyewe ximwelew Nora anaonekana kuwa na chembe za kisalit

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 4 месяца назад +2

    Duuuh blaitoni nankubaly sana duuh hongereni sana ❤❤❤❤❤

  • @kaleseif3483
    @kaleseif3483 4 месяца назад +61

    Naomba like mm ni wakwaza plzzz from kenya

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад +2

      Video hado unadaiii umekuwa wa kwanza subriii wakat badooo😂😂

    • @SittaMNhogolo
      @SittaMNhogolo 4 месяца назад

      Mkenya angalia hapoo juu ni nani wakwanza.

    • @mybenzii7608
      @mybenzii7608 4 месяца назад

      Mko vizuri haki nawafatilia nkiwa Saudi 2:17

    • @kaleseif3483
      @kaleseif3483 4 месяца назад

      Sw

  • @user-ts7fy7qf9f
    @user-ts7fy7qf9f 4 месяца назад +16

    Wa kwanza leo jaman like kwangu

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 4 месяца назад +30

    Wooow imeenda poa sana 😊 congrats guys ❤❤❤

  • @LinusMsimbano-uq1kg
    @LinusMsimbano-uq1kg 4 месяца назад +35

    Nimewai leo na mm naomben like hata kumi nawakubali sana kp na zebuu kaz nzuri sana

    • @Azlay
      @Azlay 4 месяца назад +3

      Upewe like Kwan we ndo mwwnye last card we kaz yako n kulike kisabscribe na kuangalia tu

    • @user-yd3yq9tr7u
      @user-yd3yq9tr7u 3 месяца назад

      Ki

  • @adamuipingika122
    @adamuipingika122 4 месяца назад +33

    Mnazingua sana asee yaan wiki nzima mnatupatia ep Moja kweli daahh hamtutendei hak bhn

  • @user-pf8bl9fs9t
    @user-pf8bl9fs9t 4 месяца назад +30

    Hiv na nyie hizo like mnapeleka wap

  • @user-jf3qz3il3u
    @user-jf3qz3il3u 4 месяца назад +9

    Wow mashallah much love from saudia Arabia like all 2❤❤❤🎉🎉

  • @user-oz2nt8yy3g
    @user-oz2nt8yy3g 4 месяца назад +5

    Suis tellement très content de vôtre 🎦film kp n'a zébu courage on est ensemble👭👭

  • @anifakihongosi9637
    @anifakihongosi9637 4 месяца назад +3

    Jamanii nani anaemuelewa norah😂😂😂 mm hata simuelewe

  • @user-ry9uq4ke3j
    @user-ry9uq4ke3j 4 месяца назад +9

    Tumesubiri sana jitaidi !maajabu ,tunawapendasana from South Africa

  • @hkapesa4647
    @hkapesa4647 4 месяца назад +4

    Yaani hapo jamaa akisema ni Zebuu ndo Kisai na Mzee watabisha tu Kwa Imani waliyonayo Kwa Zebuu ukizingatia Hamna ushahidi wowote wakuonekana ni mahisio yangu tu hayo ila inaweza kuwa tofauti Thanks alot to the whole Crew for mind challenging 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @user-gl7py7qo6v
    @user-gl7py7qo6v 4 месяца назад +11

    sheiraaa good unaakil ila nywere ungetumia za kwanza ingekua vyema

  • @user-gi4jo5ib6l
    @user-gi4jo5ib6l 4 месяца назад +8

    Waaoooooo kazi nzr wapendwa

  • @user-oc8qm5rv5m
    @user-oc8qm5rv5m 4 месяца назад +11

    Daaaaaaah KP nilikaa mlo wa kula ngoja Leo nivute usingz wa nguvu ili asubh mapem kabsa nicheki kazi mpya

  • @patrickmvera6487
    @patrickmvera6487 4 месяца назад +4

    Mzee wa giza naingoja

  • @mwanamisibabuhija7705
    @mwanamisibabuhija7705 4 месяца назад +5

    congregation🎉🎉🎉 much love❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪

  • @othmanmazuri1365
    @othmanmazuri1365 4 месяца назад +6

    tunaisubiri kaz kwa hamu kubwa kp and your team are the best

  • @Grace-rx5xy
    @Grace-rx5xy 4 месяца назад +8

    Wooow imeenda poa sana😊 congrats guys❤❤❤

  • @carolkiptoo8703
    @carolkiptoo8703 4 месяца назад +8

    Zebuu vile umemgonga uyo jamaa daah😂😂😂😂😂😂😂

  • @marthaelias3422
    @marthaelias3422 4 месяца назад +17

    Kwahyo nola nae kageuka upande wa kisai

    • @DoricasAmbani-ol7ej
      @DoricasAmbani-ol7ej 4 месяца назад +1

      Norah n kama atasaliti zebuu 😢😢

    • @Elizakilisipinilikolika1996
      @Elizakilisipinilikolika1996 4 месяца назад +1

      itakua kweli mana Nola asomeke kabisa

    • @user-wt1ui3vz8n
      @user-wt1ui3vz8n 4 месяца назад +1

      Umeonaeee Nora kuna mtu Kampala kazi but atafeli coz zebu nae mjanja huoni siku yakutia hamira kwa juice alimony but akampotezea km hakumuona.so hii ni red card wala sio last card

    • @jengenimsuva377
      @jengenimsuva377 4 месяца назад

      Atazibgua kam yupo kwa kisai

  • @user-gn1ep8fi4s
    @user-gn1ep8fi4s 4 месяца назад +6

    mafunzo sio kwa ajili ya kukata nyanya uraiani...... nimeipenda hiyo sheishei❤

    • @user-ws4km9fb7s
      @user-ws4km9fb7s 4 месяца назад +1

      Yuko vzr sana mis sheishei 🌹🌹

  • @eliphasethobias1133
    @eliphasethobias1133 4 месяца назад +6

    Last card ni Moto 🔥🔥 zebuu pole hahaaaa 😂🎉🎉🎉 Sheila wewe!!! Nimewasamehe kwa kuchelewesha maana mmenifurahisha sana episode 31 msifanye makosa kama episode ya 30 maana wateja wenu wengi wamechukiaaaaaaa
    Hongeren nyote

  • @user-yu2sy9bk4n
    @user-yu2sy9bk4n 4 месяца назад +7

    Nlisubiri sana mpaka nikaanza kurudia zilizopita Asante pia Kwa kutuletea

  • @irankundaamida521
    @irankundaamida521 4 месяца назад +5

    Hkuna shida bado tunasubir 🔥🔥🔥👌💃💃💃🌷🌷❤❤❤

  • @Perfectway411
    @Perfectway411 4 месяца назад +14

    Hatari......

  • @MaSuzy-zf8ol
    @MaSuzy-zf8ol 4 месяца назад +11

    Subira ya vuta kheri ishaaalla tomorrow is trying

  • @nancyshikuku-vs9le
    @nancyshikuku-vs9le 4 месяца назад +27

    Waiting❤❤

  • @lydiawaweru6391
    @lydiawaweru6391 4 месяца назад +14

    Much love guys KP n Sheila n zebuu Mzee likoma shulaji pongezi sna guys ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @siayako4836
    @siayako4836 4 месяца назад +1

    Hizo mvii za mzee diboz siyo powa😂😂😂

  • @JoshuaMwangi-fs2kg
    @JoshuaMwangi-fs2kg 4 месяца назад +34

    Mm wakwanza hta like 20 ya kusubiri basi

  • @Ganzefilms
    @Ganzefilms 4 месяца назад +8

    Tuko area kama bacteria😂...tukiisubili kwa hamu❤

  • @chikumdee8379
    @chikumdee8379 4 месяца назад +2

    norah ni gang ya kisai kma unaamin gonga like hapa

  • @FelistusMbithe-qg1ox
    @FelistusMbithe-qg1ox 4 месяца назад +7

    Big up team kp,much love from kenya 🇰🇪 ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Jaydanny..
    @Jaydanny.. 4 месяца назад +3

    Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤ 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @Meryda623
    @Meryda623 4 месяца назад +38

    Like 5 tu zinatosha

    • @Mattutu
      @Mattutu 4 месяца назад

      Hey 😊

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 4 месяца назад +1

    Duhh yaan hii movie mmeumiza vichwa sana bg up sana wadau

  • @user-xy8ti6ki4l
    @user-xy8ti6ki4l 4 месяца назад +1

    Kazi mzuri Jaman nawapenda sana ❤❤❤❤❤

  • @user-kq8jw8gv2j
    @user-kq8jw8gv2j 4 месяца назад +11

    Jamani leo nimekuwa wa kwanza like zangu

    • @deusmakaranga6146
      @deusmakaranga6146 4 месяца назад +2

      Umekuwa wa kwanza kufanyeje wakati video bado mpaka kesho😂😂😂

    • @betyjoseph6812
      @betyjoseph6812 4 месяца назад

      Wa kwanza?

    • @user-jj4id8vq2d
      @user-jj4id8vq2d 4 месяца назад

      ​@@deusmakaranga6146wanataka tuu likes kumaanisha wakiona tu LAST CARD kitu ya kwanza ni kukoment kabla kuitazama❤❤❤😂

    • @jameskalugo4583
      @jameskalugo4583 4 месяца назад +1

      😂😂 ajabu ndo hio anachoka kukimbia 100mtre na hata kipenga hakijapulizwa

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад +1

      😂😂😂😂 video mpaka kesho au kwako imefunguka

  • @user-pl4zd1il4h
    @user-pl4zd1il4h 4 месяца назад +20

    Naomben like jaman namim leo Mana dah

    • @elizajackson7979
      @elizajackson7979 4 месяца назад

      Uyu Nola vip? Mbona simwelewi cku hiz kama ana mambo

  • @birungideborah
    @birungideborah 4 месяца назад +6

    Wa kwanja jameni 😢😢, kazi nzuri saana

  • @johnsonshuja5148
    @johnsonshuja5148 4 месяца назад +36

    Waiting for it please,I like you guys ❤❤

  • @chikumdee8379
    @chikumdee8379 4 месяца назад +10

    kp ushaanza kutuchoka tunaokupa kula ehhhh

  • @AnnaShao
    @AnnaShao 4 месяца назад +8

    Leo nm wah jomon like hata 5 tu

  • @juliahmwaka7184
    @juliahmwaka7184 4 месяца назад +4

    ❤❤❤much love from Kenya 🇰🇪

  • @user-vi2pc5gj3t
    @user-vi2pc5gj3t 4 месяца назад +18

    Waiting for it mapema ❤❤

  • @bizowMacode
    @bizowMacode Месяц назад +1

    Mim kiufupi namkubali sana kp namie please naomba unisapoti mie kwenye uigizaji mie pia ni msanii

  • @EzekielJackson-dm2vk
    @EzekielJackson-dm2vk 4 месяца назад +1

    Nakupenda dada ang xhey xhey norah na dada zebuu

  • @user-ht5lx3wi5b
    @user-ht5lx3wi5b 4 месяца назад +8

    Courage kwenu 💐💐💐

    • @FranceNyato-lj1wh
      @FranceNyato-lj1wh 4 месяца назад

      Jaman move nzur ila inaisha mapema ongezen muda bas I like it ❤❤❤❤❤❤🎉

  • @user-oh9xj1rb4v
    @user-oh9xj1rb4v 4 месяца назад +1

    Sheishei uko sawa kazi nzuri sana

  • @user-wl7wp6kh4f
    @user-wl7wp6kh4f 4 месяца назад +5

    Inachelewa sana duuuu

  • @EzekielJackson-dm2vk
    @EzekielJackson-dm2vk 4 месяца назад +1

    Tunawapenda xana

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 4 месяца назад +1

    Nawapenda san ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MwA-ni1uk
    @MwA-ni1uk 4 месяца назад +4

    Wapenzi leteni mauwa🎉🎉🎉

  • @Mariam-er8nn
    @Mariam-er8nn 4 месяца назад +6

    Congratulations ❤❤

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 Месяц назад

    Waaah i like this last card mana inachemsha hadi watazamaji

  • @estrezekia
    @estrezekia 4 месяца назад +14

    Tunaisubiri kwa hamu kubwa.💥🔥🔥🔥🎉🎊

  • @MarionMwende-tb1zu
    @MarionMwende-tb1zu 4 месяца назад +1

    Wow ,walai nmeingonja mm hapa mnafanya nkope buddles wish nikutane n zebuu n shyshy one day❤, from kenya

  • @dennisnyakweba08
    @dennisnyakweba08 4 месяца назад +1

    KP godea Sheila mwambie chonjo

  • @SunguraMwita
    @SunguraMwita 4 месяца назад +1

    Nawapenda sana washikaji wangu mungu awabaliki mahali mlipo naendeleakutazama last da ? nizulisana dada zebu na keip da? natamani niwe kama wewe niwenaekit by naomi

  • @IreneChahala-nr4dc
    @IreneChahala-nr4dc 4 месяца назад +3

    Waiting for it much more love

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana4750 4 месяца назад +5

    ❤❤❤❤❤❤congratulations 🎉🎉🎉🎉

  • @user-wh7kk6te6o
    @user-wh7kk6te6o 13 дней назад

    Zebuu na kp Vipindi vyenu nmevipenda kabisa

  • @batridapaul92
    @batridapaul92 4 месяца назад +2

    Sheila nilikuwa napenda ukiwa na hasira unarusha lasta zako, Ila umekata Sasa 😅😅

    • @siayako4836
      @siayako4836 4 месяца назад +1

      Hajakata kakunja tu huyo 😂😊😅

    • @batridapaul92
      @batridapaul92 4 месяца назад

      @@siayako4836 😆😆😆😆🙌

  • @user-oz2nt8yy3g
    @user-oz2nt8yy3g 4 месяца назад

    Il ne faut pas🚫 traîne avec d'autres série suis votre spectateur je vous aime💓💓💓 beaucoup Ⓜ📧®©❗

  • @user-vf8pd1uy4z
    @user-vf8pd1uy4z 4 месяца назад +2

    O trabalho está bem feito continue assim, Moçambique Mueda Cabo delgado

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 4 месяца назад

    Nakubali San team KP hamna baya kazi nzuri sana twende nalo mwanzo mwisho ni ku enjoh ty HIII sio bongo movi hii ni ya mambele kabisa

  • @user-xq1ir8jx2e
    @user-xq1ir8jx2e 4 месяца назад +4

    Nice job nakubari sana

  • @user-oj3pw5gl2f
    @user-oj3pw5gl2f 4 месяца назад +3

    Kazi nzuri nawapa pogezi wakuu❤❤❤

  • @user-jj5xk8it8t
    @user-jj5xk8it8t 4 месяца назад +4

    woou nice job guys 🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @fridahkaari4373
    @fridahkaari4373 4 месяца назад +5

    Sahii mnachelewesha mpaka tunasahau😢😢

  • @user-bh1yp2vk9y
    @user-bh1yp2vk9y 4 месяца назад +1

    Hongereni kwa kazi nzuri Nola hatukuelewi upo upande upi

  • @AshaMwakutengeza
    @AshaMwakutengeza 4 месяца назад +5

    Wakwanza zuu from kenya

  • @user-wh7kk6te6o
    @user-wh7kk6te6o 13 дней назад

    nmefurahishwa sana na movie zenu,kwanza kwa hii sheilla umenichezea poa hongera dada

  • @user-ks4gz9sb4j
    @user-ks4gz9sb4j 4 месяца назад +1

    Wa kwanza leo kutoka saud na mm naomba likes zenu

  • @siayako4836
    @siayako4836 4 месяца назад

    😂😂😂kumbe kidiboz kifupi kama kiandunjee jamanii looh😅😊

  • @johnmeshack8284
    @johnmeshack8284 4 месяца назад +2

    Huyu Nora nae ntamchapa makofi aseme tumpe pesa ngap azid fanya kaz na as jaman

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 4 месяца назад +2

    Kuchelewa man nihii dahhhhhh oky like zenu basi hata kama ni tano

  • @JacobMtawali
    @JacobMtawali 4 месяца назад

    Kazi nzuri sana jamaa zangu

  • @user-el9zz8bo9y
    @user-el9zz8bo9y 4 месяца назад

    Hongereni Sana Kwa KAZI nzuri jamani natamani nije NAMI niwasaifie nawapenda wote zebuu KP likoma dibozi sheishei na Dada WA kazi

  • @Yunucshird1213
    @Yunucshird1213 4 месяца назад

    Blavo blavo kaka sikupingi god bless you 🎉🎉🎉🎉🎉🎉like jaman ata tatu

  • @user-qk7jj4sz1p
    @user-qk7jj4sz1p 4 месяца назад +1

    Congratulations nimeipenda hiyo🎉

  • @EzekielJackson-dm2vk
    @EzekielJackson-dm2vk 4 месяца назад

    ❤❤🎉🎉🎉🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉zawad yako dada zebuu norrah na xheyxhey

  • @RachelIsaac-wk2tk
    @RachelIsaac-wk2tk 3 месяца назад

    Nawapend San nyie na timu yenu ya I mnanifanya Nita mani kuigiza Kam nyie Mungu awabariki saaaan

  • @periskemunto4133
    @periskemunto4133 4 месяца назад +1

    Watching from kenya 🇰🇪

  • @user-rf4tw3yq8s
    @user-rf4tw3yq8s 4 месяца назад +1

    Lakin Nora anaandika Nini mbon hamtuonyeshi