Yan kp unazingua Leo Wanangu nimewalisha mchicha nikijua last card Leo haraf bdo yote nimeagalizia ujinga USO na maana kabisa dah wanang mnisamehe hapa nimeyatimba
Kp,sheira,zebuu nawapenda San San hongeren kazi nzuli Yan mm ukitok ii move silali bola kuangaliaa mko vizuli San mwaaa love team kp msalimie sulaj anajitaid Kula ad naogopaa ila kiufupi nawapenda San nataman hat kuonana na ninyi by me nipo mlandizi
Mtu wa kazi Sheila Binti likoma. Hiyo nywele fupi imekupendeza pia. Ila Ile ndefu ndo zaidi. Ukivulugwa ukifanya kufungua na kuitikisa Huwa napenda sana.
Kp we unajuw sana huku mtwar tunakukubal San nakutakia maisha mema na maref uzid kutupa raha hakika baada ya kanumba we ndo unafata kweny tasnia hii ya filamu unawez sana hii mov umetumia elimu sana Tena sana
Yaani hapo jamaa akisema ni Zebuu ndo Kisai na Mzee watabisha tu Kwa Imani waliyonayo Kwa Zebuu ukizingatia Hamna ushahidi wowote wakuonekana ni mahisio yangu tu hayo ila inaweza kuwa tofauti Thanks alot to the whole Crew for mind challenging 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Umeonaeee Nora kuna mtu Kampala kazi but atafeli coz zebu nae mjanja huoni siku yakutia hamira kwa juice alimony but akampotezea km hakumuona.so hii ni red card wala sio last card
Last card ni Moto 🔥🔥 zebuu pole hahaaaa 😂🎉🎉🎉 Sheila wewe!!! Nimewasamehe kwa kuchelewesha maana mmenifurahisha sana episode 31 msifanye makosa kama episode ya 30 maana wateja wenu wengi wamechukiaaaaaaa Hongeren nyote
Nawapenda sana washikaji wangu mungu awabaliki mahali mlipo naendeleakutazama last da ? nizulisana dada zebu na keip da? natamani niwe kama wewe niwenaekit by naomi
SAA 3 ASUBUHI, NJOO TIZAMA🙏🏽🙏🏽 ASANTENI KWA KUWA NA SUBIRA,
Yan kp unazingua Leo Wanangu nimewalisha mchicha nikijua last card Leo haraf bdo yote nimeagalizia ujinga USO na maana kabisa dah wanang mnisamehe hapa nimeyatimba
Mnazingua yani
Mnazingua jana ulisema utaweka leo,leo imekuwa kesho
Duuuuh kudaaadeenyaaa mnazingua 😢
Kp usifanye ivooooooooo😢😢
Wale wanaounga mkono kp asogeze dk ziwe nyingi kidogo na awe anatoa kwa wiki mara mbili wapige like
Kwakweli mana saizi inachelewa mpaka tunasahau Yani inaboa sanah lakini Iko on 🔥🔥🔥🔥🔥
Mbona dakika ziko Sawa Ila kuchelewa ndio wanachelewa na pia alisema umeme ulikuwa na shida
Tupo humu
Ila wanatumia akili nyingi sana jemeni ila naomba mpambane usiku na mchana
Mimi Nora simuelewi wangap awaelewi km mm
hata me simuelew nora
Namuona anachora chora kwa daftari jikoni au anataka achome kazi kwa kisai 😂😂
Ht mm Nora sjuelewq
Pongezi Kwa Shei Shei I really love this woman am from Kenya ❤❤❤❤
Kp,sheira,zebuu nawapenda San San hongeren kazi nzuli Yan mm ukitok ii move silali bola kuangaliaa mko vizuli San mwaaa love team kp msalimie sulaj anajitaid Kula ad naogopaa ila kiufupi nawapenda San nataman hat kuonana na ninyi by me nipo mlandizi
Mtu wa kazi Sheila Binti likoma. Hiyo nywele fupi imekupendeza pia. Ila Ile ndefu ndo zaidi. Ukivulugwa ukifanya kufungua na kuitikisa Huwa napenda sana.
Mnazingua bhana kp kama shida ni umeme niwanunulie jenereta maajabu😢😢
😂😂😂😂😂😂
Mtu wangu wamana sheilla dada wa plan B uwa nakukubali sna🎉🎉🎉
Waaa sisemi Kiri hapa nipe like ya sheillah❤❤❤binty likoma🎉🎉
Alooh mimi nola simuele jaman wangap awmuelew kama mimi dondosha like yako ap
Wakwanzaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤mauwa yangu jmn nawapenda Sana ,,,hata tano tyuu
Kp we unajuw sana huku mtwar tunakukubal San nakutakia maisha mema na maref uzid kutupa raha hakika baada ya kanumba we ndo unafata kweny tasnia hii ya filamu unawez sana hii mov umetumia elimu sana Tena sana
Kweli kabisa
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Huyu Nora kweny hvh kithab kwan anaandika nn,am thayr ashakuw msalith mana kw sasa cmuelew kabsaaa😊😊😂
Yani uyu namuwazia ivoivo kama wewe nimsaliti uyu
Yan mm mwenyewe ximwelew Nora anaonekana kuwa na chembe za kisalit
Duuuh blaitoni nankubaly sana duuh hongereni sana ❤❤❤❤❤
Naomba like mm ni wakwaza plzzz from kenya
Video hado unadaiii umekuwa wa kwanza subriii wakat badooo😂😂
Mkenya angalia hapoo juu ni nani wakwanza.
Mko vizuri haki nawafatilia nkiwa Saudi 2:17
Sw
Wa kwanza leo jaman like kwangu
Wooow imeenda poa sana 😊 congrats guys ❤❤❤
Nimewai leo na mm naomben like hata kumi nawakubali sana kp na zebuu kaz nzuri sana
Upewe like Kwan we ndo mwwnye last card we kaz yako n kulike kisabscribe na kuangalia tu
Ki
Mnazingua sana asee yaan wiki nzima mnatupatia ep Moja kweli daahh hamtutendei hak bhn
Kwa kweliiii
Hiv na nyie hizo like mnapeleka wap
😂😂😂😂
😁😁😁😁 SEM WW MWENZANGU
Wanakula
Na ww unazitaka za nn
Wow mashallah much love from saudia Arabia like all 2❤❤❤🎉🎉
Suis tellement très content de vôtre 🎦film kp n'a zébu courage on est ensemble👭👭
Jamanii nani anaemuelewa norah😂😂😂 mm hata simuelewe
Tumesubiri sana jitaidi !maajabu ,tunawapendasana from South Africa
Yaani hapo jamaa akisema ni Zebuu ndo Kisai na Mzee watabisha tu Kwa Imani waliyonayo Kwa Zebuu ukizingatia Hamna ushahidi wowote wakuonekana ni mahisio yangu tu hayo ila inaweza kuwa tofauti Thanks alot to the whole Crew for mind challenging 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
sheiraaa good unaakil ila nywere ungetumia za kwanza ingekua vyema
Kweli kabisa hazijampendeza Bora mbano wa juu
😂😂hata mm nimeona
Hajakata ila zimefungwa tyu izo
Waaoooooo kazi nzr wapendwa
Daaaaaaah KP nilikaa mlo wa kula ngoja Leo nivute usingz wa nguvu ili asubh mapem kabsa nicheki kazi mpya
Mzee wa giza naingoja
congregation🎉🎉🎉 much love❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪
tunaisubiri kaz kwa hamu kubwa kp and your team are the best
Wooow imeenda poa sana😊 congrats guys❤❤❤
Zebuu vile umemgonga uyo jamaa daah😂😂😂😂😂😂😂
Kwahyo nola nae kageuka upande wa kisai
Norah n kama atasaliti zebuu 😢😢
itakua kweli mana Nola asomeke kabisa
Umeonaeee Nora kuna mtu Kampala kazi but atafeli coz zebu nae mjanja huoni siku yakutia hamira kwa juice alimony but akampotezea km hakumuona.so hii ni red card wala sio last card
Atazibgua kam yupo kwa kisai
mafunzo sio kwa ajili ya kukata nyanya uraiani...... nimeipenda hiyo sheishei❤
Yuko vzr sana mis sheishei 🌹🌹
Last card ni Moto 🔥🔥 zebuu pole hahaaaa 😂🎉🎉🎉 Sheila wewe!!! Nimewasamehe kwa kuchelewesha maana mmenifurahisha sana episode 31 msifanye makosa kama episode ya 30 maana wateja wenu wengi wamechukiaaaaaaa
Hongeren nyote
Nlisubiri sana mpaka nikaanza kurudia zilizopita Asante pia Kwa kutuletea
Hkuna shida bado tunasubir 🔥🔥🔥👌💃💃💃🌷🌷❤❤❤
Hatari......
Subira ya vuta kheri ishaaalla tomorrow is trying
Waiting❤❤
Much love guys KP n Sheila n zebuu Mzee likoma shulaji pongezi sna guys ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hizo mvii za mzee diboz siyo powa😂😂😂
Mm wakwanza hta like 20 ya kusubiri basi
Tuko area kama bacteria😂...tukiisubili kwa hamu❤
norah ni gang ya kisai kma unaamin gonga like hapa
Big up team kp,much love from kenya 🇰🇪 ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hi mresh❤
Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤ 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Like 5 tu zinatosha
Hey 😊
Duhh yaan hii movie mmeumiza vichwa sana bg up sana wadau
Kazi mzuri Jaman nawapenda sana ❤❤❤❤❤
Jamani leo nimekuwa wa kwanza like zangu
Umekuwa wa kwanza kufanyeje wakati video bado mpaka kesho😂😂😂
Wa kwanza?
@@deusmakaranga6146wanataka tuu likes kumaanisha wakiona tu LAST CARD kitu ya kwanza ni kukoment kabla kuitazama❤❤❤😂
😂😂 ajabu ndo hio anachoka kukimbia 100mtre na hata kipenga hakijapulizwa
😂😂😂😂 video mpaka kesho au kwako imefunguka
Naomben like jaman namim leo Mana dah
Uyu Nola vip? Mbona simwelewi cku hiz kama ana mambo
Wa kwanja jameni 😢😢, kazi nzuri saana
Waiting for it please,I like you guys ❤❤
❤❤❤
kp ushaanza kutuchoka tunaokupa kula ehhhh
Leo nm wah jomon like hata 5 tu
❤❤❤much love from Kenya 🇰🇪
Waiting for it mapema ❤❤
Mim kiufupi namkubali sana kp namie please naomba unisapoti mie kwenye uigizaji mie pia ni msanii
Nakupenda dada ang xhey xhey norah na dada zebuu
Courage kwenu 💐💐💐
Jaman move nzur ila inaisha mapema ongezen muda bas I like it ❤❤❤❤❤❤🎉
Sheishei uko sawa kazi nzuri sana
Inachelewa sana duuuu
Tunawapenda xana
Nawapenda san ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wapenzi leteni mauwa🎉🎉🎉
Congratulations ❤❤
Waaah i like this last card mana inachemsha hadi watazamaji
Tunaisubiri kwa hamu kubwa.💥🔥🔥🔥🎉🎊
Wow ,walai nmeingonja mm hapa mnafanya nkope buddles wish nikutane n zebuu n shyshy one day❤, from kenya
KP godea Sheila mwambie chonjo
Nawapenda sana washikaji wangu mungu awabaliki mahali mlipo naendeleakutazama last da ? nizulisana dada zebu na keip da? natamani niwe kama wewe niwenaekit by naomi
Waiting for it much more love
❤❤❤❤❤❤congratulations 🎉🎉🎉🎉
Zebuu na kp Vipindi vyenu nmevipenda kabisa
Sheila nilikuwa napenda ukiwa na hasira unarusha lasta zako, Ila umekata Sasa 😅😅
Hajakata kakunja tu huyo 😂😊😅
@@siayako4836 😆😆😆😆🙌
Il ne faut pas🚫 traîne avec d'autres série suis votre spectateur je vous aime💓💓💓 beaucoup Ⓜ📧®©❗
O trabalho está bem feito continue assim, Moçambique Mueda Cabo delgado
Nakubali San team KP hamna baya kazi nzuri sana twende nalo mwanzo mwisho ni ku enjoh ty HIII sio bongo movi hii ni ya mambele kabisa
Nice job nakubari sana
Kazi nzuri nawapa pogezi wakuu❤❤❤
woou nice job guys 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Sahii mnachelewesha mpaka tunasahau😢😢
Umeona enhee😭😭
Eeeh aki @@CollisBill-mu3zp
Hongereni kwa kazi nzuri Nola hatukuelewi upo upande upi
Wakwanza zuu from kenya
nmefurahishwa sana na movie zenu,kwanza kwa hii sheilla umenichezea poa hongera dada
Wa kwanza leo kutoka saud na mm naomba likes zenu
😂😂😂kumbe kidiboz kifupi kama kiandunjee jamanii looh😅😊
Huyu Nora nae ntamchapa makofi aseme tumpe pesa ngap azid fanya kaz na as jaman
Kuchelewa man nihii dahhhhhh oky like zenu basi hata kama ni tano
Kazi nzuri sana jamaa zangu
Hongereni Sana Kwa KAZI nzuri jamani natamani nije NAMI niwasaifie nawapenda wote zebuu KP likoma dibozi sheishei na Dada WA kazi
Blavo blavo kaka sikupingi god bless you 🎉🎉🎉🎉🎉🎉like jaman ata tatu
Congratulations nimeipenda hiyo🎉
❤❤🎉🎉🎉🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉zawad yako dada zebuu norrah na xheyxhey
Nawapend San nyie na timu yenu ya I mnanifanya Nita mani kuigiza Kam nyie Mungu awabariki saaaan
Watching from kenya 🇰🇪
Lakin Nora anaandika Nini mbon hamtuonyeshi