- Видео 129
- Просмотров 9 280
TAWLA DAR
Танзания
Добавлен 10 июл 2017
Tafakuri ya Haki za Binadamu nchini Tanzania
"Tafakuri ya Haki za Binadamu nchini Tanzania, tukichambua mafanikio yake katika kulinda na kutetea haki za wanawake" ni kesho, una nafasi ya kujisajili leo."
Fuatilia ujifunze historia ya Hati ya Haki za Binadamu iliyopo kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria inayoratibu utekelezaji wake nchini toka kwa Wanasheria Wabobezi wa masuala ya haki za binadamu, Wakili Harold Sungusia, Wakili Dkt. Cecilia Ngaiza, Wakili Tike Mwambipile na wengineo wakiwemo wakina Wakili John Seka na kadhalika.
#HakiZaWanawake
#HakiZaBinadamu
#HakiHainaJinsia
Fuatilia ujifunze historia ya Hati ya Haki za Binadamu iliyopo kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria inayoratibu utekelezaji wake nchini toka kwa Wanasheria Wabobezi wa masuala ya haki za binadamu, Wakili Harold Sungusia, Wakili Dkt. Cecilia Ngaiza, Wakili Tike Mwambipile na wengineo wakiwemo wakina Wakili John Seka na kadhalika.
#HakiZaWanawake
#HakiZaBinadamu
#HakiHainaJinsia
Просмотров: 63
Видео
MALEZI KWA WATOTO KUPINGA UKATILI KWA WATOTO
Просмотров 852 месяца назад
Mratibu wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) Mkoa wa Tanga Bi. Mwanaidi Kombo amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha wanashiriki kikamillifu katika kupambana na ukatili wa kijinsia kwa watoto wao. Bi.Mwanaidi amesema hayo wakati akizungumza na Wazazi pamoja na Walezi katika sherehe ya kuhitimu Elimu ya awali kwa Watoto wa kituo cha Glory To God kilichopo Kata ya Magaoni Jijini Tanga...
Wanawake Vijana Wapewa Chachu ya Kujipambambanua Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Просмотров 92 месяца назад
Kama sehemu ya kujengeana uwezo na wadau washirika wetu juu ya ulinzi wa haki na usawa wa kijinsia kupitia haki za binadamu, tumeshirikiana na Chama Kikuu cha Ushirika Iringa (IFCU) kuwajengea wanawake na vijana nguvu ya kiuchumi ili kujikwamua katika umasikini, kujilinda dhidi ya ukatili wa kijinsia na kuikomboa jamii yao. #LRF #HakiHainaJinsia
Huduma Msaada wa Kisheria Dodoma - TAWLA
Просмотров 283 месяца назад
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) tunakukaribisha katika katika ofisi yetu ya kanda ya kati mkoa wa Dodoma ili tukusaidie kulinda haki yako ya msingi kupitia huduma za msaada wa kisheria katika kliniki yetu inayopatikana Ilazo Mashariki mkabala na Kanisa Katoliki la Ilazo. Huduma zetu ni bure! Tafadhali tembelea ofisi yetu kwa msaada zaidi. Haki yako ni msingi wa maendeleo. #Msaada...
Mila kikwazo kwa Wanawake Kumiliki Ardhi
Просмотров 213 месяца назад
Maadhimisho ya #SikuYaMwanamkeAnayeishiKijijini #IRWD2024 imetoa fursa kwa wadau wa maendeleo ya jamii na haki za wanawake katika ardhi kuitisha Jukwaa la Mwanamke Aishiye Kijijini na kujadiliana na wananchi wa kijiji cha Nkulabi, kata ya Mpunguzi mkoani Dodoma juu ya umuhimu wa wanawake kumiliki ardhi na mchango wao katika mfumo wa upatikanaji wa chakula kwa kaya. Pia imesisitiza umuhimu wa us...
Jukwaa la Mwanamke wa Kijijini - Kijiji cha Nkulabi, Mpunguzi 15/10/2024
Просмотров 343 месяца назад
Jukwaa la Mwanamke wa Kijijini, lililofanyika katika kijiji cha Nkulabi, kata ya Mpunguzi mkoani Dodoma, kama sehemu ya maadhimisho ya mwaka huu ya Siku ya Mwanamke Aishiye Kijijini, yametoa fursa kwa Wananchi wa vijijini, hususani Wanawake, kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu haki zao na masuala muhimu kama: - Umuhimu wa Haki ya Umiliki Ardhi kwa Mwanamke - Ushiriki wa wanawake na vijana kat...
KANUNI KURATIBU VIWANGO VYA KEMIKALI KWENYE BIDHAA ZA VYAKULA
Просмотров 403 месяца назад
Kama sehemu ya maadhimisho ya #SikuYaMoyoDuniani2024 Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) tunaitaka Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wizara ya Viwanda kupitisha kanuni inayoweka kiwango cha juu cha #TransFatAcids kuwa asilimia 2% kwenye bidhaa zote za mafuta na vyakula, kuwalazimisha watengenezaji wa vyakula kuweka lebo inayoonesha uwepo wa #TransFatAcids kwenye b...
Kanuni ya Trans Fat Acids Ndio Mwarobaini wa Magonjwa ya Moyo
Просмотров 503 месяца назад
Mratibu wa miradi toka Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Mwanasheria Yosia Kimweri, aelezea umuhimu wa kupitisha kanuni za kudhibiti kiwango cha #TransFatAcids kwenye bidhaa za vyakula na mafuta nchini. Ndugu Kimweri pia atambua jitihada zinazofanywa na wadau washirika katika kuchangia kupunguza athari za magonjwa ya moyo na mishipa ya damu nchini akielezea kwa undani jitihada amb...
TIMIZA WAJIBU WAKO, FICHUA WAHALIFU - TAWLA
Просмотров 1214 месяца назад
Mratibu wa mradi toka Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Wakili Isabella Nchimbi aiomba jamii kuwafichua wahalifu kwani kwa kufanya hivyo itasaidia sana kupunguza wimbi la ukatili. Akizungumza na wanawake media katika warsha iliyoandaliwa na Chanzo cha matumaini Tanzania (CHAMATA) amesema ni vyema kushirikiana na jeshi la polisi ili kuwafichua uhalifu. #PingaUkatiliWaKijinsia #Haki...
Sheria ni Moja ya Nyenzo za Kulinda Afya Jamii - TAWLA
Просмотров 324 месяца назад
Mratibu wa mradi, Wakili Isabella Nchimbi akielezea warsha ya wanahabari iliyoandaliwa kuwajengea uwezo waandishi wa habari juu ya uandishi wa kimkakati kama sehemu ya kufanya uchechemuzi unaolenga kuishawishi serikali kutengeneza kanuni za lazima za viwango ili kuhakikisha kuwa bidhaa zinazouzwa zina taarifa sahihi na katika lugha nyepesi za lishe. Video credit to Dilunga TV Link: ruclips.net/...
NJIA ZA WANAWAKE KUJIAMINI,KUTOBOA SERIKALI ZA MITAA
Просмотров 455 месяцев назад
Mratibu wetu wa Kanda ya Nyanda za juu kusini, ofisi ya Mbeya Wakili Latifah Ayoub akiongelea umuhimu wa Wanawake kujiamini na kushiriki kugombea nafasi za uongozi katika ngazi ya serikali za mitaa. USIKOSE KUSIKILIZA kila Ijumaa saa 10:30 jioni - saa 12:00 jioni kupitia 100.9 Access FM #WanawakeNaUongozi #HakiHainaJinsia Video credit to Access FM radio Link: pC_A7C5dqVyF/
Faida za Viongozi Wanawake Katika Jamii
Просмотров 125 месяцев назад
Wakili Latifah Ayoub kupitia kipindi cha Sanuka cha redio Access FM ya Mbeya anatukumbusha ya kuwa wanawake wana uwezo wa kuwa viongozi bora katika jamii na kuchangia kuleta maendeleo husika. #WanawakeNaViongozi #HakiHainaJinsia Video credit to Access FM Radio, Mbeya Link: pC-VmPvJqxe1/
Mdahalo wa Wadau Juu ya Haki ya Afya Bora Nchini
Просмотров 205 месяцев назад
Kama sehemu ya kuunga mkono jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Afya katika harakati za kupambana na magonjwa yasiyoambukiza nchini, Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) tumeratibu kongamano la kitaifa la haki ya afya na jinsi inavyotekelezwa nchini Tanzania, tukiwaleta pamoja wadau mbalimbali wa afya ya jamii. Kongamano hilo liliangazia changamoto zinazokabili sekta ya afya, husus...
TAWLA AGM 2024
Просмотров 187 месяцев назад
This video gives a Highlight of what transpired during the TAWLA Annual General Meeting 2024. #TAWLAAGM2024 #HakiHainaJinsia
Wanaume Washiriki Mijadala ya Wanawake
Просмотров 118 месяцев назад
Mshirika wetu shirika la Sauti ya Jamii alitupatua fursa ya kutoa ufafanuzi wa masuala ya mirathi na ndoa mali za ndo katika moja ya shughuli zake ambazo anazitekeleza katika kata ya Kipunguni. Mwanasheria wetu Wakili Lightness Raimos alishiriki katika zoezi hili lililohusisha mashindano ya Mchezo wa Bao uliowaleta pamoja wanaume 56 wa kata Kipunguni kwa lengo la kujadili masuala ya haki za ard...
Wanaume Kuwa Chachu ya Kulinda Haki ya Ardhi ya Wanawake
Просмотров 68 месяцев назад
Wanaume Kuwa Chachu ya Kulinda Haki ya Ardhi ya Wanawake
Mila Potofu kikwazo kwa Wanawake Kumiliki Ardhi
Просмотров 98 месяцев назад
Mila Potofu kikwazo kwa Wanawake Kumiliki Ardhi
JAMII YAASWA KUSINGATIA HAKI ZA MSINGI ZA WANAWAKE
Просмотров 2810 месяцев назад
JAMII YAASWA KUSINGATIA HAKI ZA MSINGI ZA WANAWAKE
KODI YA MEZA CHANGAMOTO KWA WANAWAKE KUSHTAKI WAUME ZAO
Просмотров 4610 месяцев назад
KODI YA MEZA CHANGAMOTO KWA WANAWAKE KUSHTAKI WAUME ZAO
TIKE ON REPRODUCTIVE HEALTH RIGHTS- IWD2024
Просмотров 1810 месяцев назад
TIKE ON REPRODUCTIVE HEALTH RIGHTS- IWD2024
Tunahitaji Huduma Ya Msaada wa Kisheria - Samia
Просмотров 17811 месяцев назад
Tunahitaji Huduma Ya Msaada wa Kisheria - Samia
TAWLA SIKU 16 ZA UANAHARAKATI DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA
Просмотров 18Год назад
TAWLA SIKU 16 ZA UANAHARAKATI DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA
Ubabe kuchangia ukatili wa kijinsia - Mpunguzi
Просмотров 36Год назад
Ubabe kuchangia ukatili wa kijinsia - Mpunguzi
Uhitaji wa Elimu ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia - Koromije
Просмотров 59Год назад
Uhitaji wa Elimu ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia - Koromije
Mgeni akikutembelea Nyumbani kwako kampangishie Guest House Bi Mwanaidi Kombo
Просмотров 1,7 тыс.Год назад
Mgeni akikutembelea Nyumbani kwako kampangishie Guest House Bi Mwanaidi Kombo
TAF na TAWLA washirikiana kuleta mabadiliko kwenye kumkomboa mwanamke.
Просмотров 19Год назад
TAF na TAWLA washirikiana kuleta mabadiliko kwenye kumkomboa mwanamke.
Mratibu na Wakili wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA)
Просмотров 111Год назад
Mratibu na Wakili wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA)