- Видео 766
- Просмотров 1 181 667
INJILI YA FURAHA
Танзания
Добавлен 1 дек 2017
HISTORIA IMEANDIKWA: Ndoa 52 zafungwa siku moja parokia ya Makokola Tabora | Pd. Rwechungura anena.
Neno La Mungu
Просмотров: 365
Видео
Tafakari Ya Jumapili Ya 28, mwaka B wa kanisa. Oktoba 13, 2024
Просмотров 4,7 тыс.9 часов назад
Neno La Mungu
Tafakari Ya Jumapili Ya Dominika ya 27 Mwaka B | Pd.Faustine Rwecungura
Просмотров 1,9 тыс.День назад
Neno La Mungu
Novena Kwa Mt Theresia Mtoto Siku 9 | Pd John Kulwa | Jimbo Kuu La Tabora
Просмотров 22714 дней назад
Neno La Mungu
Novena Kwa Mt Theresia Mtoto Wa Yesu Siku 7 | Pd Thomas Mambo | Jimbo Kuu La Tabora
Просмотров 12214 дней назад
Neno La Mungu
Novena kwa Mt. Theresia wa Mtoto Yesu Siku 6 | Pd Faustine Rwechungura | Jimbo Kuu La Tabora
Просмотров 9314 дней назад
Neno La Mungu
Novena kwa Mt. Theresia wa Mtoto Yesu Siku 5 | Pd Anton Bujiku | Jimbo Kuu La Tabora
Просмотров 5414 дней назад
Neno La Mungu
Tafakari: Dominika ya 26 Mwaka B wa Kanisa 29 September 2024 | Pd Faustin Rwechungura
Просмотров 2,6 тыс.14 дней назад
Neno La Mungu
Novena kwa Mt. Theresia wa Mtoto Yesu Siku 4 | Pd John Kulwa | Jimbo Kuu La Tabora
Просмотров 9314 дней назад
Neno La Mungu
Novena kwa Mt. Theresia wa Mtoto Yesu Siku 3 | Pd Thomas Mambo | Jimbo Kuu La Tabora
Просмотров 11614 дней назад
Neno La Mungu
Novena kwa Mt. Theresia wa Mtoto Yesu Siku 1 & 2 | Pd Faustine Rwechungura | Jimbo Kuu La Tabora
Просмотров 18121 день назад
Neno La Mungu
Tafakari: Dominika ya 25 Mwaka B wa Kanisa 22 September 2024 | Pd Faustin Rwechungura
Просмотров 3 тыс.21 день назад
Neno La Mungu
''HAKUNA NDOA YA JINSIA MOJA, hayo ni MAHUSIANO YA JINSIA MOJA'' -Padre Thomas Mambo
Просмотров 40321 день назад
Neno La Mungu
Alichokisema Fr. Rwechungura katika misa ya shukrani kwa Sr. Maria Lucia Kulwa / Sikonge Tabora
Просмотров 19028 дней назад
Neno La Mungu
Huyu ndiye Sister Maria LUCIA KULWA wa shirika la Mabinti wa Maria Jimbo kuu Tabora
Просмотров 26128 дней назад
Neno La Mungu
FR. JOHN KULWA awacharukia wanafunzi TYCS Tabora / Awaonya wanaopuuzia utaratibu wa misa takatifu
Просмотров 262Месяц назад
FR. JOHN KULWA awacharukia wanafunzi TYCS Tabora / Awaonya wanaopuuzia utaratibu wa misa takatifu
Nondo za Pd. Rwechungura kwa wanafunzi wa TYCS Tabora katika misa ya shukrani kwa kidato cha nne
Просмотров 68Месяц назад
Nondo za Pd. Rwechungura kwa wanafunzi wa TYCS Tabora katika misa ya shukrani kwa kidato cha nne
UTAPENDA : wanafunzi wa TYCS Tabora walivyoimba wimbo wa shukrani / Septemba 14, 2024
Просмотров 63Месяц назад
UTAPENDA : wanafunzi wa TYCS Tabora walivyoimba wimbo wa shukrani / Septemba 14, 2024
Walichokisema wahitimu kidato cha 4 TYCS Tabora baada ya misa ya shukrani / Septemba 14, 2024
Просмотров 41Месяц назад
Walichokisema wahitimu kidato cha 4 TYCS Tabora baada ya misa ya shukrani / Septemba 14, 2024
FAHAMU UKUU WA ADHIMISHO LA EKARISTI TAKATIFU / Askofu Simon Masondole / Kongamano la Ekaristi 2024
Просмотров 466Месяц назад
FAHAMU UKUU WA ADHIMISHO LA EKARISTI TAKATIFU / Askofu Simon Masondole / Kongamano la Ekaristi 2024
Tafakari Ya Jumapili Ya 24, mwaka B wa kanisa. Septemba 15, 2024
Просмотров 2,9 тыс.Месяц назад
Tafakari Ya Jumapili Ya 24, mwaka B wa kanisa. Septemba 15, 2024
IMEFICHUKA Siri nzito iliyopo katika sakramenti ya UPAKO WA WAGONJWA / Shemasi Kagolo afunguka
Просмотров 234Месяц назад
IMEFICHUKA Siri nzito iliyopo katika sakramenti ya UPAKO WA WAGONJWA / Shemasi Kagolo afunguka
Tafakari Ya Jumapili Ya 23, mwaka B wa kanisa. Septemba 08, 2024
Просмотров 2,4 тыс.Месяц назад
Tafakari Ya Jumapili Ya 23, mwaka B wa kanisa. Septemba 08, 2024
Tafakari Ya Jumapili Ya 22, mwaka B wa kanisa. Septemba 01, 2024
Просмотров 3,2 тыс.Месяц назад
Tafakari Ya Jumapili Ya 22, mwaka B wa kanisa. Septemba 01, 2024
Tafakari Ya Jumapili Ya 21, mwaka B wa kanisa. Agosti 25, 2024
Просмотров 2,3 тыс.Месяц назад
Tafakari Ya Jumapili Ya 21, mwaka B wa kanisa. Agosti 25, 2024
Tafakari Ya Jumapili Ya 20, Mwaka B wa kanisa. August 18, 2024
Просмотров 2,8 тыс.Месяц назад
Tafakari Ya Jumapili Ya 20, Mwaka B wa kanisa. August 18, 2024
Tazama: Pd. Rwechungura alivyowatambulisha masista watakaohudumu katika kituo cha hijja Kategile
Просмотров 4432 месяца назад
Tazama: Pd. Rwechungura alivyowatambulisha masista watakaohudumu katika kituo cha hijja Kategile
HOMILIA YA KARDINALI RUGAMBWA KATIKA SHEREHE YA KUPALIZWA MAMA BIKIRA MARIA / JIMBO KUU TABORA
Просмотров 8002 месяца назад
HOMILIA YA KARDINALI RUGAMBWA KATIKA SHEREHE YA KUPALIZWA MAMA BIKIRA MARIA / JIMBO KUU TABORA
ALICHOKISEMA KARDINALI RUGAMBWA BAADA YA MISA YA SHEREHE YA KUPALIZWA MAMA BIKIRA MARIA.
Просмотров 1772 месяца назад
ALICHOKISEMA KARDINALI RUGAMBWA BAADA YA MISA YA SHEREHE YA KUPALIZWA MAMA BIKIRA MARIA.
Alichokisema rais wa TEC, askofu WOLFGANG PISA / Jubilei ya miaka 25 ya ypadre wa askofu Kassala
Просмотров 2202 месяца назад
Alichokisema rais wa TEC, askofu WOLFGANG PISA / Jubilei ya miaka 25 ya ypadre wa askofu Kassala
Asante baba kwa mahubiri ❤🎉
Congratulations Fr. Faustine , it's a Very good homily, to me you are supposed to be a rector somewhere.
Hongera Baba kwa mahubiri mazuri
Kumbe kwa kifupi ni kuishi waefeso 1:11......kwa sala na kwa matendo...DESTINY!!❤
Hongera sana Fr. Faustine Rwechungura Kwa mahubiri mazuri sana ,ubarikiwe sana.
Karibu sana Theodory. Sambaza ujumbe huu ili Kristu Bwana azidi kutawala
Pardon si m'aviez mal compris mais vraiment je suis touché par cette Evangil sur ce vraiment pardon.
Hongera sana Mtumishi wa Mungu,ingekuwa mapadri wote wangesimama kwa Neno la Mungu kama,hakungekuwa lazima ya madini maelfu duniani
Amina Baba .
Tumejifunza pia kuwa Yesu aliwapenda watoto, hivyo kuwauwa kwa kutoa mimba au kuoana jinsia moja na kupelekea kutopata watoto watakaenda kwa Yesu ni kuuangusha ufalme wake kwa ufalme ni watu na watu hutokana na watoto wanaotokana na ndoa, tena ndoa bora. Asante sana father kwa kutupitisha katika masomo ya dominika ya leo. Tumsifu yesu kristo.
Katekista Joel Mulashani kutoka Chuo kikuu cha Dodoma...Asanteni sana kabla sijaenda kwenye Ibada bila padre Nahakikisha nafatilia kwanza.....Asanteni mbarikiwe sanaaa
Kifupi tuheshimu ndoa kama ilivyo mpango wa Mungu, pamoja na uchumi na kisomo, Ni huzuni kubwa kwa watoto pale watoto wanapokuwa bila kulelewa na umoja wa wazazi kwa pamoja. Tena inasikitisha pale baadhi ya kina mama wanapopigania hadharani kwamba wanapoolewa lazima wanaume wawafanyie kazi na majukumu yote ya kuhudumis Familia anaachiwa mwanamume. Hapo si halali wanandoa wote wahangaokie Familia zao.
Kuna shida ya kukamiñishana katika ndoa, kutokana na majukumu ya utafutaji wa kuhudumia Familia kwa Sasa maana unakuta mama au baba amehamishwa kikazi, ambapo inakuwa vigumu mwingine kupata uhamisho. Mwanamume anaamua kutafuta nyumba ndogo je tutafanyaje.
Somo zuri la ujenzi wa familia
Asante kwa tafakari nzuri
Barikiwa baba Padre.
Tushirikiane na tusiwe na wivu fundisho limeniguza asante Fr
Baba! Yaani umefafanua vizuri hadi baaas. Mungu akutunze sana baba uendelee kutulisha Neno.
Amina Fr
AMINA Baba.Ubarikiwe kwa Tafakari nzuri ya neno la Mungu 🙏🙏🙏
Barikiwa sana baba.. sema tuponywe. Nabarikiwa sana na mahubiri unayoweka kila wakati. Roho Mt. aendelee kukutumia kwa ajili ya watu wake
Asante padre Kwa tafakari
Asante sana kwa tafakari nzuri Fr.
Plz father share with us the reflection
Baba Faustine ubarikiwe sana baba.
Padre Faustin.Mungu akubariki sana.somo hili nimelielewa la kushilikisha wakiristo wengine kazi ya Bwana.shida kubwa ni ubinafsi na kujiona wewe ndo unaelewa nakuwazalau wengine,ni kiburi na kujiinua.kujiona kama wewe ndo unammiliki Mungu na roho mtakatifu pekeyako.
Hongera sana padri kwa funzo🙏❤
❤❤❤
Nashukuru kwa neno
Asante baba kwa mafundisho yako mazuri,umenifungua akili sana.MUNGU AKUBARIKI SANA
Asante baba kwa mafundisho mazuri. Hongera kwa utume mwema. Endeleeni kutuimarisha KIROHO tupate wongofu
Baba Asante sana kwa tafakari nzuri
Asante sana Baba
Baba Faustine Rwechungura ahsante sana kwa tafakari nzuri dominika ya 25 ya mwaka B wa Kanisa. Nimejifunza mengi sana, hii ni lishe roho nzuri sana, Mungu akubariki sana na nikutakie jumapili njema.
Asante sana Baba kwa tafakari nzuri mno iliyofafanuliwa kinagaubaga. Jina la Bwana lihimidiwe
Asante kwa tafakari nzuri
Amen
🙏🙏wagalitia 1:8❤❤❤ Ahsante Baba sema Tuponeeee
Ndivyo ilivyo Father ❤❤ tuambie tuponeee maana wakristo wengi ndio wanaomtukana Kristo nakumfanya kitu kisicho faaa na atokeo yake amekuwa laumu lakini hakika imeandikwa wamekwisha kupata thawabu yao Bwana atuhurumie
🙏🙏
Mungu Akutunze Baba
Aksanti baba paroko
Asante Baba Paroko kwa neno la Hekima.
Asante baba
🙏🙏
barikiwa sana❤❤❤
Hapo ni kweli,watu watubu dhabi zao,watu watafakari maisha ya badae🙏🙏🙏
Barikiwa sana Baba Padre kwa Tafakar nzuri.
Hongera sana Sr. Mungu ni Mwema!
Ahsante Sana Fr kwakututafakarisha neno la Mungu.
Asante kwa tafakari nzuri baba.