#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 38

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 16 дней назад +4

    Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅

  • @ebisomola9989
    @ebisomola9989 16 дней назад +5

    Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 16 дней назад +6

    Unajuaje Simba at Fanya vizuri

  • @adamgwila3395
    @adamgwila3395 16 дней назад +5

    Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 16 дней назад +9

    Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi

    • @iddrisanyange8175
      @iddrisanyange8175 16 дней назад

      Weto masta na wanajuwa mpira

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 14 дней назад

      Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.

  • @sauka9622
    @sauka9622 16 дней назад +2

    Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana

  • @HamadMkubwa
    @HamadMkubwa 16 дней назад +3

    ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢

  • @IsayaJoseph-ty3kq
    @IsayaJoseph-ty3kq 16 дней назад +3

    waambie ukweli

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale235 16 дней назад +2

    Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu

  • @Graceyust
    @Graceyust 16 дней назад +1

    mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 16 дней назад +3

    We fala tu

  • @shalooboyburundi
    @shalooboyburundi 16 дней назад +2

    ays unaongeya ukwr

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 16 дней назад +1

    Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣

  • @suitbertmaro5792
    @suitbertmaro5792 16 дней назад +2

    Jinga hili

  • @collectionline6055
    @collectionline6055 16 дней назад

    Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌

  • @kainkamwagila6046
    @kainkamwagila6046 16 дней назад +1

    We ni shabiki yanga😅

  • @user-pl4rm6rk8n
    @user-pl4rm6rk8n 16 дней назад +2

    Ambukile ndo ww

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa 16 дней назад +1

    Ngao yanga 8 vs simba 0

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe512 16 дней назад +2

    Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 15 дней назад

      Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 15 дней назад

      Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 16 дней назад

    Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 16 дней назад

    Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli

  • @adamgwila3395
    @adamgwila3395 16 дней назад +2

    Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe

  • @jumapindi2313
    @jumapindi2313 16 дней назад

    Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali

  • @seniormagali5580
    @seniormagali5580 14 дней назад

    Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki

  • @AdenSator
    @AdenSator 16 дней назад

    😂😂😂😂kweli kaka

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 15 дней назад

    Mchambuzi maandazi kwelikweli

  • @tseinlee6727
    @tseinlee6727 16 дней назад

    Wachambuzi wa skuiz shida sana

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 16 дней назад

    We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 16 дней назад +1

    Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.

    • @maulidkawala104
      @maulidkawala104 16 дней назад

      Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel

    • @idrisanaumanga6410
      @idrisanaumanga6410 16 дней назад +1

      Makolo tulia boya wewe, jamaa anaongea fact!

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g 10 дней назад

    Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 15 дней назад

    Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 16 дней назад

    Kwl😂😂😂😂