MENEJA WA KIBU ATAJA ALIPO KIBU DENIS, SIMBA SC WANAMCHUKIA, HAJALIPWA PESA ZAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • MENEJA WA KIBU ATAJA ALIPO KIBU DENIS, SIMBA SC WANAMCHUKIA, HAJALIPWA PESA ZAKE.
    #yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko

Комментарии • 81

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 2 месяца назад +3

    Hapo ndo utajua kuwa zile kelele zetu juu ya viongozi zilikuwa za kweli

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 2 месяца назад +2

    JAMAAA KAZAMA MAJUU😅

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 2 месяца назад +3

    KIBU ni CONGO au BURUNDI, JEMEDARI ndio aliemuombea URAIA sasa atasema yupo wapiiiiiii na ameiba hela ya MAKOLO, UBAYA UBWELAAAAAAA 😂😂😂😂😂

  • @nicholasmwakatali3499
    @nicholasmwakatali3499 2 месяца назад

    Kibu Denis Prosper ni myovu wa Nidhamu hivyo anastahili kuadhibiwa na club ya Simba sports club. Club ya Simba sc ni club pekee inayoruhudu Wachezaji wanapopata timu kwenda Kufanya makaribio au kusajiliwa Ili mradi mchezaji na club inayo mhitaji ifuate taratibu zilizowekw na club,Caf na FiFA Ili kuepuka kukiuka taratibu. Kibu Denis yeye kajismulia kaona yeye ni Mkubwa zaidi ya club hivyo anastahili aadhibiwe.

  • @benardsenguji8254
    @benardsenguji8254 2 месяца назад +1

    Hapo baadae ,tutajua kauzwa kimya kimya na Wajanja.

  • @seifntandala9137
    @seifntandala9137 2 месяца назад +1

    Kibu kasepa nampunga 😂😂😂😂

  • @MogelaSaileni
    @MogelaSaileni 2 месяца назад +1

    Kibu unazingua Babu popote ulipo jitokeze umalize tofauti

  • @Saidaabdu
    @Saidaabdu 2 месяца назад +1

    Hata ww kiongozi wa kibu ni mwizi na tapeli Kwa nn uchukue hela Kwa Simba Kisha umtoroshe mwizi tu ww

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki1317 2 месяца назад

    Wenye hakiri mtajuwa manager wawachezaji kama anawadai nyinyi mkadiri na mchezaji mtahelewana kwenye mazoezi lakini kwenye mchezo atapokea maelekezo kwa manager wake matokeo yanakuwa tofauti,Ivyo viongozi mulituhujumu kutoripa mawakara wanaoleta wachezaji.

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 2 месяца назад +1

    Huyu wakala anataka kutrend kama mzee MAGOMA

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 2 месяца назад +1

    HEBU NYAMAZENI KIMYA TUONE KAMA ATACHEZA MAHALI POPOTE BILA KUVUNJA MKATABA NA SIMBA. SHERIA MSUMENO

  • @RashidiAlly-et1sg
    @RashidiAlly-et1sg 2 месяца назад +1

    Kibu ameleta utoto sana na hii inaleta shombo katika soka letu la bongo hii ndio shida ya kuwakalibisha wakimbizi

  • @kelvinissaya3537
    @kelvinissaya3537 2 месяца назад

    Bwana Jaribu Tena ndio katukosesha wachezaji wazuri kwa kubargain kwake kwenye usajili, unapewa siku 14 Bado hujamaliza deal.

  • @ZabronMajige
    @ZabronMajige 2 месяца назад

    kibu yeye ninani kwenye timu ya simba wamuache twendelee na maisha Kama mastaa wengine walienda lakin simba ipo yeye ninani asiende wamuache asepe

  • @kisubikilozo6128
    @kisubikilozo6128 2 месяца назад

    Ichi imebaki na umama ubanguzi nitanzania tu uchi zingine zinaelewa tuleane wa afrika one love

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 2 месяца назад

    Hapo mtaanza kutengenisha Sasa garasa na Mali kuldadadeko😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje 2 месяца назад +1

    Aende zake kasha vimba kichwa

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад

    Kibu!kibu!kibu!kibu! ,kuna watu walikua mastar kuliko wewe acha mambo hayo

  • @AhmedMohammed-xt1dc
    @AhmedMohammed-xt1dc 2 месяца назад

    Sioni sababu Simba waumize kichwa kwani wachezaji kama yeye ama zaidi yake wameondoka na Simba imekuaje wamekufa ? Kina Kagere na wengine wengi hao ni wababaishaji tu na ni bora ameondoka mapema kuliko hao ndio wasaliti . Arudishe wamuachie

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 2 месяца назад +1

    Hiyo timu itakayomchukua Kibu huko Norway itabidi imnunue kwa Simba kwa bei itakayopangiwa. Vinginevyo FIFA itaingilia kati suala la Kibu. Hawa Mawakala itabifi wamwambie Kibu na hiyo timu kwamba watadaiwa na Simba sighning fee.

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 2 месяца назад

      @@charleskuyeko4400 ww hapo KIBU kesha jilipa alikuwa anaidai MALOLO fc madeni ya nyuma kwani yy mjinga hana vielelezo na hiyo hata walala wake anajua ndio maaana anasema majibu wanayo MAKOLO fc wenyewe!!

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 2 месяца назад +1

    Mimi ni shabiki wa Simba!
    Neno nililoondoka nalo hapo, ni "Yanga ukiwa Invoice within 30 days wanalipa" Viongozi wa Simba this is also an Image of the Club ambayo dhamana yake nyie ndo mwaibeba! Ujumbe mzito sana huu!

    • @paulpaschal6185
      @paulpaschal6185 2 месяца назад

      Mzee Ingekuwa hivyo,usingesikia Yanga wanafungiwa na FIFA kila kukicha,na badala yake ungesikia SIMBA wanadaiwa na kufungiwa...akili za kuambiwa,changanya na zako

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki1317 2 месяца назад

    Tulijua tunaviongozi kumbe wanatuharbia time,ukimsikiliza yule bwana utapata majibu,Utafikiri walikuwa hawalipwi kukaria kiti eti nikiongozi.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 месяца назад

    Makolo HAWANA PESA! WAPIGAJI WENGI PALE

  • @elsonmushi9491
    @elsonmushi9491 2 месяца назад +1

    Kweliii viongozi wa simba ni changamoto mnamlipaje staiki zote bado hamwoni.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 2 месяца назад

    Kwa hiyo hapo mmejazana mmekalia umbeya na mkirudi makwenu mnasema mlikuwa kazini? Huko kusema du ndyo kazi mna raha sana watu

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 2 месяца назад

    Ukweli meneja mwizi mchezaji mwizi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 2 месяца назад +1

    Hivi nyie waandishi washenzi mutaacha lini kutengeneza video na habari za uongo ili tu matumbo yenu yajae? Aibu yenu.

  • @AthumanKisoma-k5g
    @AthumanKisoma-k5g 2 месяца назад

    Mh wakimbizi Tena tusiwe tunaropoka maneno

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад

    Kibu kaenda kuungana na wazazi wake waliohamia Norway kama wakimbizi na Kisha kuomba uraia na walipewa sasa ni Wanorway na yeye muda si mrefu atakuwa Mnorway.

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 2 месяца назад

    Huyu mzee kama kunafiche fiche ya hujma basi asomewe ahalbadri ajipange

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 2 месяца назад

    Kama vipi aende tuu mbona sio mfungaji magoli anasumbua tu diffence basi lkn sio mtaalam wa kufunga magoli

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo 2 месяца назад

    WEWE AHMED ALLY TUNAKUOMBA NA TUNAKUSHAULI UWAAMBIE UONGOZI WOTE WA SIMBA UTUSIKILIZE WAACHANE NA MSNULA AMEISHA KWISHA TUNAMTAKA SALIMU TU KTK LANGO LA SIMBA BASI

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 2 месяца назад +1

    Wakongo ndo walivyo

  • @kadegeasilitv-zt9bv
    @kadegeasilitv-zt9bv 2 месяца назад

    Kibu denis ni mwixi👉🙏

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 2 месяца назад

    Hawa mameneja wanajifanya kama wao ndio wamemfundisha mchezaji kucheza mpira, kazi nikula pesa za wachezaji .acheni hizo tabia

  • @elsonmushi9491
    @elsonmushi9491 2 месяца назад

    Hana hata maajabu lakini alete pesa zetu kama alichukuwa kama hadaiwi tumteme

  • @AllyHussein-so1hr
    @AllyHussein-so1hr 2 месяца назад

    Ubaguzi uko wapi hapo? Kachukua mpunga halafu analeta ushamba wa kule alikotoka mnamtetea. Arudishe pesa halafu aende zake.

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 2 месяца назад +1

    😮MAKOLOBOI JANJA JANJA SANA, NA SUBIRINI TAR 8 TUWABINUE HADI MSHIKE ADABU ZENU

    • @ramseyrmsy3366
      @ramseyrmsy3366 2 месяца назад

      Umeskia hapo vizur kwamba Kibu hadai

    • @alexandernyambo7739
      @alexandernyambo7739 2 месяца назад

      @@ramseyrmsy3366 Sio Kibu tu.... Hujasikia huyo wakala anavyo wadai pesa za wachezaji wengine? Amewafata Zambia, Misri, Morocco na hata Mwanza, mnamzunghsha tu 🙀 nyau ninyi....
      Ndo maana mmelaaniwa milele na hamtapata ubingwa miaka 10 na mtakuwa mwakarobo siku zote hata kwenye vikombe vya kugombea kuku 🐔

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 2 месяца назад

      ​@@alexandernyambo7739Sasa ujanja hapo uko wapi? UTOPOLOOOOO kama UTOPOLOOOOO mjikuta nani? Hamna jipyaaaaaa😅😅😅

    • @alexandernyambo7739
      @alexandernyambo7739 2 месяца назад

      @@taseleli9181 Mnamzungusha wakala mnadhani ni litimu la baba yenu eeeeeh? Makolo wote ni mipanya buku tu

  • @FredricktheonestShayo
    @FredricktheonestShayo 2 месяца назад +1

    Wewe wakala umeamua mambo kwa njaa zako mkataba utakubana chezea sheria wewe

  • @madangibura1070
    @madangibura1070 2 месяца назад

    huyu anajisumbua. atapata changamoto na anajiangusha mwenyewe

  • @AthumanKisoma-k5g
    @AthumanKisoma-k5g 2 месяца назад

    Mh wakimbizi tena

  • @kisubikilozo6128
    @kisubikilozo6128 2 месяца назад +4

    Watanzania ibwa sana tena ukija angalia ubaguzi ila wote wangeni wacongo wamejaa wasafi wamakonde mozambiki mpaka nyerere mrudi wa makamba leo munamsubuwa kibu wapumbavu nyie ibwa waafrika amupendagi maendeleo ya wangeni wanafiki masikini

    • @phakundigervas1360
      @phakundigervas1360 2 месяца назад +2

      Kala kashiba kana kwenye sahani, eti bongo hatupendi wageni! NDIO Maana mnauana kila siku

    • @jdanny497
      @jdanny497 2 месяца назад +2

      Kuma wewe tulia kibu ni nani t7mempa uraia kwenu hapakaliki..simba haina haja na kibu

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 2 месяца назад

      Kuna ndugu zenu wengi bado wako huku kwa "ibwa" wamestiriwa na wanakula na kulala kwa hisani ya "ibwa!!" hata hiyo serikali ya huko kwenu ipo kwa hisani hiyohiyo ya hao unaowaita "ibwa!!" Je wewe dada au shangazi yako hana mahusiano na "ibwa?"

    • @jdanny497
      @jdanny497 2 месяца назад

      Zenge hawa wanategemea wanawake kuishi

    • @oliverwhite1676
      @oliverwhite1676 2 месяца назад

      Mbona Kama unaubaguzi acha hizo

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 месяца назад

    Kwa maana hiyo,Simba hawana pesa😂😂😂😂 ndo maana hata usajili wao wa kuokoteza!

    • @ramseyrmsy3366
      @ramseyrmsy3366 2 месяца назад

      Umeskia hapo kua Kibu hadai hata kidogo

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 2 месяца назад

      Wakuokoteza kwa maana ipi acha hizo wewe una pesa?

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 месяца назад

      @@ramseyrmsy3366 Kibu anaidai Simba ela nyingi! Achana na mkataba,maneja wake, Carlos, anaidai Simba malimbikizo! Nyie , KUNA issue hamuambiwi na wagumashi wa Makolo!

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 месяца назад

      @@taseleli9181 ndio mimi nina PESA siishi bongo pi bro! Angalia wachezaji wote waliosajiliwa ndugu yangu,nani wa million 200? Nani katoka timu ya CAFCL? Rudi kwa Yanga,angalia usajili wao na bei zao! Na wametoka wapi na nani asiyejulikana ktk mpira wa Africa? Subiri tarehe 8/8 ndo utajua

  • @eliudmfumbilwa3675
    @eliudmfumbilwa3675 2 месяца назад

    Ninachokiona hapa kibu kauzwa ila Simba hawataki kutoa taarifa mapema

  • @SuzanKameta
    @SuzanKameta 2 месяца назад +1

    Duuuuh hii ni hatari Tena Aibu

  • @YusuphMdaki
    @YusuphMdaki 2 месяца назад

    Kibu hovyoʻoo

  • @NurdineAfai
    @NurdineAfai 2 месяца назад

    Kitenge naona moyo unakuma ukitaka majibo yawe tafauti.

  • @MusaZuberi-z3u
    @MusaZuberi-z3u 2 месяца назад

    Achunguzwe kibu na chama lao ni moja zichunguzwe sm zao lazima wanawasiliana?

  • @yohanamabula7088
    @yohanamabula7088 2 месяца назад

    Kibu kwa nn ulimpa ulaia wakati wakongo wasumbufu

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 2 месяца назад

    Uyo mpuuz tu anatigisha kibiriti atarudi.

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 2 месяца назад

    Simba inavifaa vya kutosha, Kibu sio mchezaji wa Kusumbua kikosi cha Mnyama. SASA hivi Simba ni Ubaya Ubwela tu.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 месяца назад

      Hamna ela😂😂😂😂

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 месяца назад

    KIBU D MPILA ANAO ILA HAKILI HANA😂😂😂😂😅

  • @RashidyRoggo
    @RashidyRoggo 2 месяца назад

    Kwanz kibu mkimbiz uyo

  • @HusseinaliPereketeke
    @HusseinaliPereketeke 2 месяца назад

    Tunachozungumza, je kibu kachukuwa mpunga wetu ama la?! Na kama amechukuwa na ww umemuuza ulaya basi rudisha pesa yetu, hayo mengineni yakwako na viongozi wa simba, tunazungumza ishu ya kibu, so kama simba hawakulipi basi nenda ukafanye kazi na yanga kaka

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 месяца назад

      Amekwambia BIASHARA NA UPENZI NI VITU VIWILI TOFAUTI! kuna ugumu gani kuelewa hapo? Simba pesa hamna! Huyu dili la Kibu analijua! Kwenye mikataba ya wachezaji kuna kitu kinaitwa BUY OUT CLOSE! Kibu anaweza kununuliwa huko Norway from simba! Wakalipa! ,ni ela ndogo sana! Huyu jamaa analijua hilo, Kawa mstaaraaab tu kimaongezi asiharibu reputation yake, believe me,anajua sakata zima la Kibu! Nafikiri,haelewani na viongozi wa Makolo, wamempiga, anawakomia pia! Unafikiri Kibu katafutiwa na nani timu huko Norway!? N yeye!

  • @hamisimtente2126
    @hamisimtente2126 2 месяца назад

    Ww ni muogo tu kbu ni mali ya simba

  • @JumaHeri-ph8bl
    @JumaHeri-ph8bl 2 месяца назад

    KOKOTE ALIKOKWENDA HATOCHEZA NG'OOOOOO!

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje 2 месяца назад

    ila akumbuke aliko toka

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 2 месяца назад

    !!!!?????.????????????? waulizwe viongoz wanajua kibu aliko

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 2 месяца назад

    Anamkataba halali wa simba alaf unasema harudi ng'oo hivi wewe ni kuma la mamaako mtoa post au shida unataka watamazaji

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 2 месяца назад

      Punguza matusi mtafute JEMEDARI aongeleeee labda utaelewa UBAYA UBWELAAAAAAA 😂😂😂😂

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 2 месяца назад

      Eeeeeeh JEMEDARI ndio anajua alipo 😂😂😂😂UBAYA UBWELAAAAAAA 😂😂😂

  • @sosmakanya4901
    @sosmakanya4901 2 месяца назад

    UBAYA UBWELA NDO HUO