MENEJA WA KIBU ATAJA ALIPO KIBU DENIS, SIMBA SC WANAMCHUKIA, HAJALIPWA PESA ZAKE.
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- MENEJA WA KIBU ATAJA ALIPO KIBU DENIS, SIMBA SC WANAMCHUKIA, HAJALIPWA PESA ZAKE.
#yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko
Hapo ndo utajua kuwa zile kelele zetu juu ya viongozi zilikuwa za kweli
JAMAAA KAZAMA MAJUU😅
KIBU ni CONGO au BURUNDI, JEMEDARI ndio aliemuombea URAIA sasa atasema yupo wapiiiiiii na ameiba hela ya MAKOLO, UBAYA UBWELAAAAAAA 😂😂😂😂😂
Kibu Denis Prosper ni myovu wa Nidhamu hivyo anastahili kuadhibiwa na club ya Simba sports club. Club ya Simba sc ni club pekee inayoruhudu Wachezaji wanapopata timu kwenda Kufanya makaribio au kusajiliwa Ili mradi mchezaji na club inayo mhitaji ifuate taratibu zilizowekw na club,Caf na FiFA Ili kuepuka kukiuka taratibu. Kibu Denis yeye kajismulia kaona yeye ni Mkubwa zaidi ya club hivyo anastahili aadhibiwe.
Hapo baadae ,tutajua kauzwa kimya kimya na Wajanja.
Kibu kasepa nampunga 😂😂😂😂
Kibu unazingua Babu popote ulipo jitokeze umalize tofauti
Hata ww kiongozi wa kibu ni mwizi na tapeli Kwa nn uchukue hela Kwa Simba Kisha umtoroshe mwizi tu ww
Wenye hakiri mtajuwa manager wawachezaji kama anawadai nyinyi mkadiri na mchezaji mtahelewana kwenye mazoezi lakini kwenye mchezo atapokea maelekezo kwa manager wake matokeo yanakuwa tofauti,Ivyo viongozi mulituhujumu kutoripa mawakara wanaoleta wachezaji.
Huyu wakala anataka kutrend kama mzee MAGOMA
HEBU NYAMAZENI KIMYA TUONE KAMA ATACHEZA MAHALI POPOTE BILA KUVUNJA MKATABA NA SIMBA. SHERIA MSUMENO
Kibu ameleta utoto sana na hii inaleta shombo katika soka letu la bongo hii ndio shida ya kuwakalibisha wakimbizi
Bwana Jaribu Tena ndio katukosesha wachezaji wazuri kwa kubargain kwake kwenye usajili, unapewa siku 14 Bado hujamaliza deal.
kibu yeye ninani kwenye timu ya simba wamuache twendelee na maisha Kama mastaa wengine walienda lakin simba ipo yeye ninani asiende wamuache asepe
Ichi imebaki na umama ubanguzi nitanzania tu uchi zingine zinaelewa tuleane wa afrika one love
Hapo mtaanza kutengenisha Sasa garasa na Mali kuldadadeko😂😂😂😂😂😂😂😂
Aende zake kasha vimba kichwa
Kibu!kibu!kibu!kibu! ,kuna watu walikua mastar kuliko wewe acha mambo hayo
Sioni sababu Simba waumize kichwa kwani wachezaji kama yeye ama zaidi yake wameondoka na Simba imekuaje wamekufa ? Kina Kagere na wengine wengi hao ni wababaishaji tu na ni bora ameondoka mapema kuliko hao ndio wasaliti . Arudishe wamuachie
Hiyo timu itakayomchukua Kibu huko Norway itabidi imnunue kwa Simba kwa bei itakayopangiwa. Vinginevyo FIFA itaingilia kati suala la Kibu. Hawa Mawakala itabifi wamwambie Kibu na hiyo timu kwamba watadaiwa na Simba sighning fee.
@@charleskuyeko4400 ww hapo KIBU kesha jilipa alikuwa anaidai MALOLO fc madeni ya nyuma kwani yy mjinga hana vielelezo na hiyo hata walala wake anajua ndio maaana anasema majibu wanayo MAKOLO fc wenyewe!!
Mimi ni shabiki wa Simba!
Neno nililoondoka nalo hapo, ni "Yanga ukiwa Invoice within 30 days wanalipa" Viongozi wa Simba this is also an Image of the Club ambayo dhamana yake nyie ndo mwaibeba! Ujumbe mzito sana huu!
Mzee Ingekuwa hivyo,usingesikia Yanga wanafungiwa na FIFA kila kukicha,na badala yake ungesikia SIMBA wanadaiwa na kufungiwa...akili za kuambiwa,changanya na zako
Tulijua tunaviongozi kumbe wanatuharbia time,ukimsikiliza yule bwana utapata majibu,Utafikiri walikuwa hawalipwi kukaria kiti eti nikiongozi.
Makolo HAWANA PESA! WAPIGAJI WENGI PALE
Kweliii viongozi wa simba ni changamoto mnamlipaje staiki zote bado hamwoni.
Kwa hiyo hapo mmejazana mmekalia umbeya na mkirudi makwenu mnasema mlikuwa kazini? Huko kusema du ndyo kazi mna raha sana watu
Ukweli meneja mwizi mchezaji mwizi
Hivi nyie waandishi washenzi mutaacha lini kutengeneza video na habari za uongo ili tu matumbo yenu yajae? Aibu yenu.
Mh wakimbizi Tena tusiwe tunaropoka maneno
Kibu kaenda kuungana na wazazi wake waliohamia Norway kama wakimbizi na Kisha kuomba uraia na walipewa sasa ni Wanorway na yeye muda si mrefu atakuwa Mnorway.
Huyu mzee kama kunafiche fiche ya hujma basi asomewe ahalbadri ajipange
Kama vipi aende tuu mbona sio mfungaji magoli anasumbua tu diffence basi lkn sio mtaalam wa kufunga magoli
WEWE AHMED ALLY TUNAKUOMBA NA TUNAKUSHAULI UWAAMBIE UONGOZI WOTE WA SIMBA UTUSIKILIZE WAACHANE NA MSNULA AMEISHA KWISHA TUNAMTAKA SALIMU TU KTK LANGO LA SIMBA BASI
Wakongo ndo walivyo
Kibu denis ni mwixi👉🙏
Hawa mameneja wanajifanya kama wao ndio wamemfundisha mchezaji kucheza mpira, kazi nikula pesa za wachezaji .acheni hizo tabia
Hana hata maajabu lakini alete pesa zetu kama alichukuwa kama hadaiwi tumteme
Ubaguzi uko wapi hapo? Kachukua mpunga halafu analeta ushamba wa kule alikotoka mnamtetea. Arudishe pesa halafu aende zake.
😮MAKOLOBOI JANJA JANJA SANA, NA SUBIRINI TAR 8 TUWABINUE HADI MSHIKE ADABU ZENU
Umeskia hapo vizur kwamba Kibu hadai
@@ramseyrmsy3366 Sio Kibu tu.... Hujasikia huyo wakala anavyo wadai pesa za wachezaji wengine? Amewafata Zambia, Misri, Morocco na hata Mwanza, mnamzunghsha tu 🙀 nyau ninyi....
Ndo maana mmelaaniwa milele na hamtapata ubingwa miaka 10 na mtakuwa mwakarobo siku zote hata kwenye vikombe vya kugombea kuku 🐔
@@alexandernyambo7739Sasa ujanja hapo uko wapi? UTOPOLOOOOO kama UTOPOLOOOOO mjikuta nani? Hamna jipyaaaaaa😅😅😅
@@taseleli9181 Mnamzungusha wakala mnadhani ni litimu la baba yenu eeeeeh? Makolo wote ni mipanya buku tu
Wewe wakala umeamua mambo kwa njaa zako mkataba utakubana chezea sheria wewe
huyu anajisumbua. atapata changamoto na anajiangusha mwenyewe
Mh wakimbizi tena
Watanzania ibwa sana tena ukija angalia ubaguzi ila wote wangeni wacongo wamejaa wasafi wamakonde mozambiki mpaka nyerere mrudi wa makamba leo munamsubuwa kibu wapumbavu nyie ibwa waafrika amupendagi maendeleo ya wangeni wanafiki masikini
Kala kashiba kana kwenye sahani, eti bongo hatupendi wageni! NDIO Maana mnauana kila siku
Kuma wewe tulia kibu ni nani t7mempa uraia kwenu hapakaliki..simba haina haja na kibu
Kuna ndugu zenu wengi bado wako huku kwa "ibwa" wamestiriwa na wanakula na kulala kwa hisani ya "ibwa!!" hata hiyo serikali ya huko kwenu ipo kwa hisani hiyohiyo ya hao unaowaita "ibwa!!" Je wewe dada au shangazi yako hana mahusiano na "ibwa?"
Zenge hawa wanategemea wanawake kuishi
Mbona Kama unaubaguzi acha hizo
Kwa maana hiyo,Simba hawana pesa😂😂😂😂 ndo maana hata usajili wao wa kuokoteza!
Umeskia hapo kua Kibu hadai hata kidogo
Wakuokoteza kwa maana ipi acha hizo wewe una pesa?
@@ramseyrmsy3366 Kibu anaidai Simba ela nyingi! Achana na mkataba,maneja wake, Carlos, anaidai Simba malimbikizo! Nyie , KUNA issue hamuambiwi na wagumashi wa Makolo!
@@taseleli9181 ndio mimi nina PESA siishi bongo pi bro! Angalia wachezaji wote waliosajiliwa ndugu yangu,nani wa million 200? Nani katoka timu ya CAFCL? Rudi kwa Yanga,angalia usajili wao na bei zao! Na wametoka wapi na nani asiyejulikana ktk mpira wa Africa? Subiri tarehe 8/8 ndo utajua
Ninachokiona hapa kibu kauzwa ila Simba hawataki kutoa taarifa mapema
Duuuuh hii ni hatari Tena Aibu
Kibu hovyoʻoo
Kitenge naona moyo unakuma ukitaka majibo yawe tafauti.
Achunguzwe kibu na chama lao ni moja zichunguzwe sm zao lazima wanawasiliana?
Nani awachunguze
Kibu kwa nn ulimpa ulaia wakati wakongo wasumbufu
Uyo mpuuz tu anatigisha kibiriti atarudi.
Simba inavifaa vya kutosha, Kibu sio mchezaji wa Kusumbua kikosi cha Mnyama. SASA hivi Simba ni Ubaya Ubwela tu.
Hamna ela😂😂😂😂
KIBU D MPILA ANAO ILA HAKILI HANA😂😂😂😂😅
Hahaha
Kwanz kibu mkimbiz uyo
Tunachozungumza, je kibu kachukuwa mpunga wetu ama la?! Na kama amechukuwa na ww umemuuza ulaya basi rudisha pesa yetu, hayo mengineni yakwako na viongozi wa simba, tunazungumza ishu ya kibu, so kama simba hawakulipi basi nenda ukafanye kazi na yanga kaka
Amekwambia BIASHARA NA UPENZI NI VITU VIWILI TOFAUTI! kuna ugumu gani kuelewa hapo? Simba pesa hamna! Huyu dili la Kibu analijua! Kwenye mikataba ya wachezaji kuna kitu kinaitwa BUY OUT CLOSE! Kibu anaweza kununuliwa huko Norway from simba! Wakalipa! ,ni ela ndogo sana! Huyu jamaa analijua hilo, Kawa mstaaraaab tu kimaongezi asiharibu reputation yake, believe me,anajua sakata zima la Kibu! Nafikiri,haelewani na viongozi wa Makolo, wamempiga, anawakomia pia! Unafikiri Kibu katafutiwa na nani timu huko Norway!? N yeye!
Ww ni muogo tu kbu ni mali ya simba
KOKOTE ALIKOKWENDA HATOCHEZA NG'OOOOOO!
ila akumbuke aliko toka
!!!!?????.????????????? waulizwe viongoz wanajua kibu aliko
Anamkataba halali wa simba alaf unasema harudi ng'oo hivi wewe ni kuma la mamaako mtoa post au shida unataka watamazaji
Punguza matusi mtafute JEMEDARI aongeleeee labda utaelewa UBAYA UBWELAAAAAAA 😂😂😂😂
Eeeeeeh JEMEDARI ndio anajua alipo 😂😂😂😂UBAYA UBWELAAAAAAA 😂😂😂
UBAYA UBWELA NDO HUO