Atasimama (Akutetee) official live video - Bethlehem Choir
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Bwana atasimama akutetee katika kila hali unayoipitia
2 Nyakati 20
Hili ndilo asemalo Bwana kwenu,'Msiogope wala msifadhaike kwa sababu ya jeshi hili kubwa. Kwa maana Vita si vyenu Bali ni vya Mungu.
Credits:
Song writer: Steven Sabugo
Video Director: Amani Sabugo & Daniel Mangare
Audio Capture
& Sound engineer : Noel Mbaruku (B&W Studio)
Audio Production& Mixing: Steve Sabugo ( ASST MUSIC)
Music Director : Calvin Marco (1st PIANIST)
Aux: Amani Sabugo
Drummer: Joshua Mtalemwa
Bass Guitar: David Uromi ( D. Bass)
lead Guitar: Godson
Leaders: Steve Sabugo, Happy Mhae , Ibrahim Stanford
Venue: Kilimanjaro Crane
#worshipmusic
#africanchoir
#tanzaniagospel
You people mbinguni ni kwenuu banaa🙌🙌🙌🙌 mnagusa na kuponya mioyo ya watu
Barikiwa Sana . Utukufu kwa MUNGU
Kabisaaa..wamejua kuniganga moyo na kuniinua🙏🙏🙏🙏
Exactly
Mungu awabariki waimbaji wote mliohusika kwenye wimbo huu
Silegei hata lipi lije. Nani ananiunga mkono anipe likes🙏
Yanayonisumbua shughulika nayo,vita si zangu atapigana,Baba yu mbele yangu🙏🙏❤️
Huu wimbo sijui nimeskiza mara ngapi... I've lost count. Sio tu mziki bali ujumbe na Roho nyuma ya kila neno.
Super Producer Steven Sabugo, asante sana kwa kazi hii nzuri ya utunzi, mixdown na master💪💪
Endelea kubarikiwa ndugu yetu
Best song so mungu atasimama🤚 I'm Pastor Grace-Ditshima from Lubumbashi town, RDcongo contry 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 we love Swahili Gospel.
Amen Amen Pastor
there are more to come keep subscribing us pastor may God bless you amen
War is not mine..God is before us ..sihesahu Yale yaliyoniumiza kale nahesabu wema wa Mungu😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi njema sana.! Hongereni Bethlehem Choir.!🔥🔥
Amen
Mungu aendelee kuwatumia . Barikiwa sana na nyie watu.
Vita si yangu atapiga bwana yu mbele yangu,be blessed ❤❤
Kweli ananipigania vita si vyangu
Asante kwakunihakikishia vita si viangu. Astasimama kunitetea bwana. Amen
Amen Amen
Jmn nawapenda sana Happy mdogo wangu Mungu akusaidie uiishi huduma Yako
Bwana awatie nguvu kwa kazi nzuli sana
Wanangu mubarikiwe mnooooo na Bwana mmeimba vizuri Sana nimebarikiwa Muinuliwe zaidi
Nabarikiwa Sanaa na wimbo huu MUNGU wa mbinguni aendelee kuwaongoza
Hatulegei Hatulegei aliye anzisha safari yu mbele yangu,kusudi lake ni njema kwangu wow. Thank you Jesus.
Ninajua Bwana yu upande wangu🙌🙌🙌 Atasimama anitetee🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Hongereni vijana wote. Watching you from Uganda
Am n
Amen
Hongeren kwa kazi nzuri Mungu awabariki na azidi kuwatunza muifanye kazi ya Mungu ,Maana atasimama atutetee
Asante Sana
🔥🔥🔥🔥
Mbariliwe saaana Yaani Wimbo unagusa saaana
Na ktutia Moyo...huyu Mtunzi kwa kweli abarikiwe saaana..huyu dada Solo list Aiseee amenogusaa Mnooo..Mbarikiwe time.. Nzima
Mbarikiwe sana Bethlehem choir, hakika Bwana atasimama anitetee.
🔥🔥🔥✅
❤❤❤❤🙏🙏🙏😍🥺🌹🌹💎 Mungu wa mbinguni awabariki na haja zote za miyoyo yenu
MUNGU AWAKUMBUKE WATUMISHI WOTE WATENDA KAZINYA BWANA, AMINA🙏🙏🙏🙏
Hakika ni bwana wa vita kwake yeye yote yanawezekana🙏
Amen Amen
Amen amen Mungu azid kuwainua viwango na viwango
Hakika Bwana atatupigania kwa Yale yatuumizayo Mioyo
Amina
Kali sana hii nimeiyona
Tunasubiri kwa hamu. Mungu awatunze watumishi
Amen
Hongereni sana watumishi,nabarikiwa sana nyimbo zenu karibu sana Tanga
Great song indeed 👍 👍 😍.More love from Kenya 🇰🇪.
Rimix drums base ikooo wapiii umetunyimaaaa wimboo ni Babuu kubwaa sanaa sanaa Hatuaregeiii kaka uliyee frontma upooo makiniii imechangayaaa asisew Bwanaaa azidii kuwa upandee wenuu
Amen Amen .. Barikiwa Sana ndugu tumeyapokea maoni yako
Hakika mungu amenitetea sana bila yeye mm si kitu
Amen Amen
Naupenda mno huu wimbo hakika
Mungu awabirki Watumishi...kwa wimbo huu, hakika naamini atasimama atutetee
A very powerful one..KWELI NI BWANA WA VITA...AMEN❤❤❤❤❤❤❤❤❤..I feel protected by the Lord
Amen
Amen😢 God will fight for us
Mungu awabariki watumishi wa Mungu
Amen Amen
Wimbo bomba sana,Soloist wote wako vzr,Organist uko vzr mno!
Amen Amen
The song is👌👌👌👌
Utukuzwe Mungu sana, kazi ni njema kwa kweli Bwana asiwapungikie
This is so touching, for the first time I have felt like I should just surrender my life to God. Sauti tu mulipewa kweli kwanza that lady's voice 🔥. May you all be blessed haki
Mimi ni zaidi ya mshindi maana vita si vyangu bali ni vya Bwana.
Atasimama,atapigana Kwa niaba yangu na ya wote waliitialo Jina Lake.
I'm blessed by the song.
Much love 💓 from 🇰🇪
Ninajua Bwana yu upande wangu!! Ooh Bwana yu mbele yangu!! Be blessed watu wa Mungu•
Très contente et heureuse d entendre LES NOMS DE NOTRE DIEU bien énumérés sans oublié de l appeler par son GRAND NOM DE PÈRE DES ORPHELINS . LÀ JE VIS LA SUPER GRANDEUR DE NOTRE CRÉATEUR.
SOYEZ BÉNIS LES CHANTEURS
Amen Amen Barikiwa ndugu yetu
Vita sio yangu ila yako bwana wangu............najua Mungu wangu u mbele yangu na mbele ya rafiki zangu pia. Nakwamini utatupigania.
This is a great song. Much blessings to you all.
Haleluyaaaaaa🙌🙏
Hakika hatulegei, atasimama atutetee hyu yesu, nabarikiwa Sana na huduma yenu mungu awapandishe viwango vingne❤️❤️🥰🙏
Ninaupenda na unanibariki sana
Hongera mtunzi
waimbaji wote wangekua wanaimba kama ivi hakika tungekua mbali hongereni sana kwa uimbaji bora
Utukufu kwa MUNGU
Nabarikiwa sana na wimbo huu🙏🏼🙏🏼🙏🏼
🎉🎉🎉🎉🎉 Sipigani🏃🏃🙌
👏👏👏👏 mbarikiwe sana wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri very uplifting song keep it up looking forward to see more songs from u guys🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amen Amen
Nataman hata kulia kwa ushindi jinsi wimbo huu wimbo ulivyo nitia nguvu kutokana na mambo magumu niliyopitia . Mungu azid kuwatia neema na baraka tele katka uimbaji wenu 🙌🙌🙌
Amen Amen ndugu . MUNGU HAWEZI KUKUACHA UJITESEKEE YUKO UPANDE WAKO DAIMA endelea kumtumaini
GOD is saying to you today;"I know that you feel stressed out at times. I don't blame you, life can be hard, life can be challenging, & life can be overwhelm us.However,when you're in a season of trouble, I want you surrendered it all to ME.I will take care of you."
Kazi nzuri mungu awasimamie
wimbo unagusa sana, mbarikiwe🙏🏾
Kazi nzuri, Mungu azidi kuwabariki
Ni fire 🔥🔥🔥
kelv Munguaendelee kukupaisha kaka
Atasimama bwana Yesu atapigana,atatutea
Haleloyaaaaa Haleloyaaaaa
Utukufu kwa BWANA Yesu
Atasimama anitetee., kwa kuwa vita si zangu ni za kwake..💃💃💃🔥💥💥💥🔥🔥
Wow, Powerful Song There,Barikiweni Sana Ndugu na Dada Zangu🙏
Amina watumishi wa Mungu,
Bwana atende Jambo katika KUISHI kwetu hapa duniani🙏🙏🙏🙏
Mungu AWABARIKI Sana sana
Hakika Vita siyo yetu,atasimama atutetee na tunashinda
Mbarikiwe sana kazi yenu sio bure
Mungu azid kuwainua zaid kaz yenu njema
Mungu wetu.awatunze.
Kazi safi kabisa..
Halelujah.
Kongole @Bethlehem choir
Kazi njema sana kwa kweli,Mungu asiwapungukie kwa lolote! Nimebarkiwa
Nimebarikiwa sana na huu wimbo🙌
Hakika bwana atasimama anitete
A'm blessed 🙌
Mungu wa mbinguni awatie nguvu na kuendelea kuwapa kibali zaidi mbarikiwe sana
Asante utukufu kwa MUNGU
Mungu awabariki watumishi my Song of testimonial .
Mungu awalinde viwango kwa viwango
Utukufu kwa MUNGU
Mbalikiwe sana watumishi wa Mungu. Katika huduma yenu juweni kwamba Bwana yu mbele yenu
Hongeren mnooo
Finally, mbarikiwe sana nawapenda
Nimependa ujumbe mbarikiwe
navyosikiliza huu wimbo nabarikiwa Sana ...🙏🙏🙏 .. Guys mmefanya kazi nzur 👏👏.... Mungu azidi kuwabariki
Power full song guys ❤❤ we love you
Tunawapenda pia wana VoH ❤
Barikiweni
👏👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Soloist ni mzuri yuko vizuri sana.. wimbo ni mzuri sana vyombo vimepangiliwa vizuri sana...
Soloist wa kiume: awe more focused on the song, aache kupepesa macho kuona nani anamuangalia, inaondoa uwepo na inafanya yeye mwenyewe ashindwe ku-deliver to the maximum potential... Brother, focus. We can tell unajaribu kuona whether your audience is watching you .. that's not the time. Otherwise you're good bro.
🙏🙏🙏🙏Hi ni Baraka
🔥🔥🔥
🤝
Hongereni kwa kazi nzur watumishi, nikihitaji album nzima ntaipataje? Mm niko mwanza
🔥🔥🔥🙌
Powerfully song, I was blessed to listen to you today at st James
Huu wimbo umenigusa mnooo Mungu awainuee
Anasimama Kila siku ananitetea,kazini,nyumbani,kanisani,njiani,vita Si yangu anapigana,Bwana yu mbele yangu.
Ameen,,❤ barikiweni sana,, hakika Kwa mungu hatulegei tutasimama vema nae atatutetea.
Kazi nzuri sana. Hongereni
Song moja makini sana but aliefanya mixing ya audio kaninyima bass ya drum haisikiki but it's wonder
Katika vita vyangu Mungu atanipigania mwenyew siwezi kabisa😢😢
❤❤❤❤God Did
AMINA
Hakika atasimama atutetee kazi nzuri watumishi 🙏🏻🔥
Amina Amina
sihesabu yaliyoniumiza kale nahesabu wema wakoooo🥰 SAUTI NZURI HALAF HATA HALINGIIII❤❤ kipaji kimooo keep going my sister
mtumikie MUNGU kwa nguvu na kwa uaminifu mkuuu
Mbarikiwe sana wimbo mzuri wenye upako!
Kwangu ni best song of the year! ❤ 🎉
Kweli watumishi vita si yangu bwana atapigana na watesi wangu bwana awabariki sana