SIMULIZI YA KWELI. SIKILIZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 72

  • @elizabethmburu2210
    @elizabethmburu2210 2 года назад +2

    Hakika duniani hakuna uaminifu Bora mtu ajiaminie na sikuwaamini wanadamu maana wamegeuka kuwa hayawani shukrani Director jay Kwa kazi nzuri nazaidi darasa la mafunzo kutufunza jinsi yatufaa kuishi katika ulimwengu wa leo

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 Год назад

    A very nice one Mrs Anko j thanks nimejifuza mengi sana

  • @Adonai810
    @Adonai810 2 года назад +9

    THE SADDEST THING ABOUT BETRAYAL IS, IT NEVER COMES FROM YOUR ENEMIES. BETRAYAL COMES FROM FRIENDS AND LOVED ONES PERIOD....WELL DONE ANKO JAY 🙌👏👏🔥🔥

  • @lucymonje5358
    @lucymonje5358 Год назад

    Big up anko j kazi nzuri Sana napenda kusikiliza simulizi zako

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 Год назад

    Nimejifunza never trust people too much cz kikulacho kinguoni mwako asanteni kwa nice story

  • @rahelbaduu4875
    @rahelbaduu4875 Год назад

    Marafiki sio wakuamini kabisa simulizi nzuri 🔥🔥

  • @rahelbaduu4875
    @rahelbaduu4875 Год назад

    Ni Kama simulizi ya jestina vile nice anko jay unajua big up👊👊

  • @hassinafati3512
    @hassinafati3512 Год назад

    Wawooo anko jay unajua hata kaburi la omani 🤣🤣shukrani Kwa simlizi anko jay 🙏🌹🌹

  • @milhamariam7105
    @milhamariam7105 Год назад

    Shukran kwa Baba Anko Jy usizubaye kwa Morin anakupenda kabisa rafiki kwenye matatizo uyu Stvu anamwisho mubaya atakufa naco kiziba camwoyo😭😭😭😭😭😭😭

  • @charlesomoyo6326
    @charlesomoyo6326 2 года назад +1

    Safi sana na mafunzo mengi tukiwa hapa duniani

  • @HelenaGodfrey-k3m
    @HelenaGodfrey-k3m 11 дней назад

    Wengine yameshatushida bola tu nilundi kwa mungu wangu 🙏 ndio kimbilio langu la mwisho binadamu si watu🙅🧟

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 2 года назад

    Asante xana Anko J kwa simulizi hii nzr na yenye kutufunza kua tusiwaamini marafiki kikulacho ki nguoni mwako!

  • @josianekwizera3809
    @josianekwizera3809 Год назад +1

    💗💗💖

  • @bxhryxhbn4812
    @bxhryxhbn4812 2 года назад +2

    Anko j pomoj sana bro 🔥🔥🔥

  • @roznaaa5995
    @roznaaa5995 Год назад

    So hivo

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 года назад +4

    Kweli dunia hii rafiki ndio anakua adui yako na kikulacho huwa kiko maungoni mwako.

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 Год назад

    Ameshushuliwa shuu lika mshuka shuu Anko j ww😂🤣😂

  • @leahmajaliwa6575
    @leahmajaliwa6575 Год назад +1

    Sio Siri anko Jay unajua kusimulia inabidi upewe ulinzi tu

  • @ashajumashaban2071
    @ashajumashaban2071 Год назад

    Jaman sinulizi ni nzuri but inatisha pia😥😥😥😥

  • @josphinesagina6909
    @josphinesagina6909 2 года назад

    THANKS so much

  • @speciozamauggo5496
    @speciozamauggo5496 2 года назад +1

    Mm

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Ina mafunzo mazuri na yakuzingatia sana asnt mtunzi na mcmuliaji mahiri Anko jey na wa shirika wote wa cmulix mix

  • @sheilaapondi9245
    @sheilaapondi9245 Год назад

    Inauma

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 года назад

    Haa haaa kaburi basi😂😂🤣🤣🤣🤣 labda umekosea...brother

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Mungu hatupi mja wake ukweli utabainika

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 2 года назад

    Asate sana simlizi fupi by ako j

  • @zenasalum3107
    @zenasalum3107 2 года назад

    Ahsante Uncle J simulizi ni moto sana

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 2 года назад +1

    Ivi mtu anaondokaje na mkeo wewe ukibaki lnasikitisha binaadam niwanyama asante Anko J hii simulizi lna mafundisho usimamini kila mtu lshi kwa machale.

  • @joycekazungu4003
    @joycekazungu4003 2 года назад

    Kweli Rafiki yako ndio adui yako hautakiwi kuamini mtu katika hii dunia

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад

    Anko jay 🥰🥰

  • @annasituma8810
    @annasituma8810 2 года назад

    Wa Kwanza leo

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥👌

  • @bxhryxhbn4812
    @bxhryxhbn4812 2 года назад

    Dah hii story tam mnoo ila huy stive kichw maj

  • @josianekwizera3809
    @josianekwizera3809 Год назад

    😭😭😭😭

  • @ElizaSada
    @ElizaSada Месяц назад

    💔💔💔💔💔😭😭

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Imeniliza lkn ss imebidi nikeshe mutajua jiji cmwajua kubaka

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Mackini Ben kama angejua yaliyo ndani ya mwenzake hata ungekaa nae mbali

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад

    Uonevu ktk jamii unaleta majonzi,na pesa ni chanzo cha uovu wote duniani

  • @katalamohamed4305
    @katalamohamed4305 2 года назад

    Mh inauma

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад +1

    Yani urafiki uishe sababu ya mcchana

    • @patiencembekelu240
      @patiencembekelu240 Год назад

      Asante kwa simulizi hii yenye mafundisho sana,rip morin and long live Benn and Agnes give birth to many children🤗❤

  • @mwanajumamohammed4356
    @mwanajumamohammed4356 2 года назад

    Wa pili leo

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 2 года назад +1

    Anko jy mbn sikuhiz umekula adimu nni shida mpendwa

  • @elizabethmulunda8400
    @elizabethmulunda8400 2 года назад

    Marafiki wanafiki huishia kuangamiza mtu bila kujiuliza nao mwishoe wataishia wapi

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Hujui unae ongea nae jmn

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 2 года назад

    Kikulacho kimo nguoni mwako

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Ya umiza sana mpk nimeshinda kujizuia yani umfanyie mtu unyama kiac hiki

    • @ashamohamed2812
      @ashamohamed2812 2 года назад

      😭😭😭 IT SO pain kikulacho kinguoni mwako

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Uclo lijua ni ucku wa kiza kama Ben angejua rafiki yake anayo muazi a acnge kubali kuwa nae karibu

  • @sellenasellena5475
    @sellenasellena5475 2 года назад

    Kweli kikulacho kingioni mwako na rafiki yako ndiye adui yako

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Nduma kuili yuwauma na kupuliza

  • @jenipherbukoma9726
    @jenipherbukoma9726 2 года назад

    Glory be to God 🙏

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Moyo wa mtu kichaka hujui kilichoko ndani

  • @ziyadamubark1612
    @ziyadamubark1612 2 года назад

    😭😭😭😭Itasikitisha

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Balaa hii ss Wamaliza walinzi Nani atakusaidia mambo yako, kukata liwa kubaya jamani

  • @izackmabena6313
    @izackmabena6313 2 года назад

    Pamoja Santa anko j

  • @chidzobetty5869
    @chidzobetty5869 2 года назад

    Chidzo

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Rafiki yuwaweza kuibia na akakusaidia kutafuta

  • @ruthvilinga5961
    @ruthvilinga5961 2 года назад

    Ni kama simulizi ya usife kwanza mpenzi

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 2 года назад

    Sisemi kitu

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Bado cnyinyi mababe malipo duniani akhera ni hesabu tu mutalipia mabaya yote

  • @lameckmvungi9683
    @lameckmvungi9683 2 года назад

    imebamba

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Inaniumiza kama ni mm ndio na fanyiwa hivyo, msamaha wa kinafiki juwajua alivyo ya panga kwa Hao watu wawili

  • @elizabethmulunda8400
    @elizabethmulunda8400 2 года назад +1

    Wacha nisikize kwanza comments baadae

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад

    Yani urafiki uishe sababu ya mcchana

  • @faridamideva2892
    @faridamideva2892 2 года назад

    😭😭😭😭