Hakika duniani hakuna uaminifu Bora mtu ajiaminie na sikuwaamini wanadamu maana wamegeuka kuwa hayawani shukrani Director jay Kwa kazi nzuri nazaidi darasa la mafunzo kutufunza jinsi yatufaa kuishi katika ulimwengu wa leo
Ivi mtu anaondokaje na mkeo wewe ukibaki lnasikitisha binaadam niwanyama asante Anko J hii simulizi lna mafundisho usimamini kila mtu lshi kwa machale.
Hakika duniani hakuna uaminifu Bora mtu ajiaminie na sikuwaamini wanadamu maana wamegeuka kuwa hayawani shukrani Director jay Kwa kazi nzuri nazaidi darasa la mafunzo kutufunza jinsi yatufaa kuishi katika ulimwengu wa leo
A very nice one Mrs Anko j thanks nimejifuza mengi sana
THE SADDEST THING ABOUT BETRAYAL IS, IT NEVER COMES FROM YOUR ENEMIES. BETRAYAL COMES FROM FRIENDS AND LOVED ONES PERIOD....WELL DONE ANKO JAY 🙌👏👏🔥🔥
Big up anko j kazi nzuri Sana napenda kusikiliza simulizi zako
Nimejifunza never trust people too much cz kikulacho kinguoni mwako asanteni kwa nice story
Marafiki sio wakuamini kabisa simulizi nzuri 🔥🔥
Ni Kama simulizi ya jestina vile nice anko jay unajua big up👊👊
Wawooo anko jay unajua hata kaburi la omani 🤣🤣shukrani Kwa simlizi anko jay 🙏🌹🌹
🤣🤣
Shukran kwa Baba Anko Jy usizubaye kwa Morin anakupenda kabisa rafiki kwenye matatizo uyu Stvu anamwisho mubaya atakufa naco kiziba camwoyo😭😭😭😭😭😭😭
Safi sana na mafunzo mengi tukiwa hapa duniani
Wengine yameshatushida bola tu nilundi kwa mungu wangu 🙏 ndio kimbilio langu la mwisho binadamu si watu🙅🧟
Asante xana Anko J kwa simulizi hii nzr na yenye kutufunza kua tusiwaamini marafiki kikulacho ki nguoni mwako!
💗💗💖
Anko j pomoj sana bro 🔥🔥🔥
So hivo
Kweli dunia hii rafiki ndio anakua adui yako na kikulacho huwa kiko maungoni mwako.
Ameshushuliwa shuu lika mshuka shuu Anko j ww😂🤣😂
Sio Siri anko Jay unajua kusimulia inabidi upewe ulinzi tu
Jaman sinulizi ni nzuri but inatisha pia😥😥😥😥
THANKS so much
Mm
Ina mafunzo mazuri na yakuzingatia sana asnt mtunzi na mcmuliaji mahiri Anko jey na wa shirika wote wa cmulix mix
Inauma
Haa haaa kaburi basi😂😂🤣🤣🤣🤣 labda umekosea...brother
Nikweli pilau waarabu wanaita kaburi
Mungu hatupi mja wake ukweli utabainika
Asate sana simlizi fupi by ako j
Ahsante Uncle J simulizi ni moto sana
Ivi mtu anaondokaje na mkeo wewe ukibaki lnasikitisha binaadam niwanyama asante Anko J hii simulizi lna mafundisho usimamini kila mtu lshi kwa machale.
Kweli Rafiki yako ndio adui yako hautakiwi kuamini mtu katika hii dunia
Anko jay 🥰🥰
Wa Kwanza leo
🔥🔥🔥🔥👌
Dah hii story tam mnoo ila huy stive kichw maj
😭😭😭😭
💔💔💔💔💔😭😭
Imeniliza lkn ss imebidi nikeshe mutajua jiji cmwajua kubaka
Mackini Ben kama angejua yaliyo ndani ya mwenzake hata ungekaa nae mbali
Uonevu ktk jamii unaleta majonzi,na pesa ni chanzo cha uovu wote duniani
Mh inauma
Yani urafiki uishe sababu ya mcchana
Asante kwa simulizi hii yenye mafundisho sana,rip morin and long live Benn and Agnes give birth to many children🤗❤
Wa pili leo
Anko jy mbn sikuhiz umekula adimu nni shida mpendwa
Ameoa
Marafiki wanafiki huishia kuangamiza mtu bila kujiuliza nao mwishoe wataishia wapi
Hujui unae ongea nae jmn
Kikulacho kimo nguoni mwako
Nzuri sana asante Anko J
Ya umiza sana mpk nimeshinda kujizuia yani umfanyie mtu unyama kiac hiki
😭😭😭 IT SO pain kikulacho kinguoni mwako
Uclo lijua ni ucku wa kiza kama Ben angejua rafiki yake anayo muazi a acnge kubali kuwa nae karibu
Kweli kikulacho kingioni mwako na rafiki yako ndiye adui yako
Nduma kuili yuwauma na kupuliza
Glory be to God 🙏
Moyo wa mtu kichaka hujui kilichoko ndani
😭😭😭😭Itasikitisha
Balaa hii ss Wamaliza walinzi Nani atakusaidia mambo yako, kukata liwa kubaya jamani
Pamoja Santa anko j
Pamoja Sana anko j
Chidzo
Rafiki yuwaweza kuibia na akakusaidia kutafuta
Hakuna rafiki dunianila mungu tu
Ni kama simulizi ya usife kwanza mpenzi
Sisemi kitu
Bado cnyinyi mababe malipo duniani akhera ni hesabu tu mutalipia mabaya yote
imebamba
Inaniumiza kama ni mm ndio na fanyiwa hivyo, msamaha wa kinafiki juwajua alivyo ya panga kwa Hao watu wawili
Wacha nisikize kwanza comments baadae
Yani urafiki uishe sababu ya mcchana
😭😭😭😭