Ekaristi Takatifu ni chakula cha roho, na ni Yesu mzima ndani ya maumbo ya Mkate na Divai. Wimbo huu unaoitwa TUKAMPOKEE YESU ni wimbo unaotukumbusha kwamba Fumbo la Ekaristi takatifu ni nafasi ya kukutana na Yesu Mzima katika maumbo ya Mkate na Divai. Karibuni ili kwa pamoja tukaweze kubarikiwa. Msisahau kusubscribe, kuLike, Kucomment na pia kushare. One Love❤️.
🤲🙏 kiufupi huwa napenda uiambaji wako dada cjui nikuambie neno Gani, ila Mungu akubariki sana ili uendelee kutuinjirisha kwa njia nzuri ya kuimba. Hongera 🔥🔥
Karibuni kwenye channel yangu ya pili. Kwenye hiyo channel nitawaletea matukio mbali mbali. Please support me. SUBSCRIBE, LIKE, SHARE and COMMENT.👉👉ruclips.net/video/GSmQt5JksC4/видео.html
Nyimbo nzuri sana bado utaendelea kuwa juu hauna upinzani japo kuwa kuna mwimbaji mmoja anajitaidi kuiga sauti lakini bado maana kitu mungu alicho kupa nitofauti nawengine pamoja na mpiga kinanda yuko vizuri
Hi ni siri kubwa yesu mwenyewe alituajia katika safari yetu, sisi mitume wake tupate nguvu , na upendo ndani yetu , tuweze kufanya kazi za huruma .. wimbo mtamu ,pongezi kwenu. .. .
O how sweet and profoundly reverent this eucharistic song is! We're invited to approach the *table of love* and receive Jesus in his body, blood, soul & divinity. The eucharist is not only the source & summit of faith but also the wellspring of goodness that leads to eternal life. Thank you Anastacia & team for yet another stellar job and for reminding us that Eucharist is indeed the highest form of Christian worship & prayer. God bless you immensely 🙏🙏🙏
Wimbo mtamu sana dadangu kama tulivyo utarajia... Zidi kupaa Anne tuko nyuma yako na Mungu wetu azidi kukuinua, kukupa nguvu na kukuongezea Ufunuo zaidi Ili uijirishaji wako ufikie mataifa yote ya Ulimwengu. Keep it up siz...
Asante sana kwa kumtukuza Mungu kwa wimbo mtamu huu. Sauti tamu sana. May God bless you for inspiring us with the beautiful songs. I love everything about this song, kinanda and the video as well. ❤️Kudos✌️
Hongera sana dada angu kwa uinjilishaji wako mzuri ambao daima unanivuta niwe kama wewe
Ahsante saana kwa nyimbo safi ya Komunio. Tunashukuru Sana kwa uinjilishaji.
Amina🙏
Mungu akubariki😊
🎉❤l love this
Ekaristi Takatifu ni chakula cha roho, na ni Yesu mzima ndani ya maumbo ya Mkate na Divai. Wimbo huu unaoitwa TUKAMPOKEE YESU ni wimbo unaotukumbusha kwamba Fumbo la Ekaristi takatifu ni nafasi ya kukutana na Yesu Mzima katika maumbo ya Mkate na Divai. Karibuni ili kwa pamoja tukaweze kubarikiwa. Msisahau kusubscribe, kuLike, Kucomment na pia kushare. One Love❤️.
Lovely, lovely dearest. Mbarikiwe sana for nourishing our souls with the beautiful songs.....ingine ije 10th April
@@angelamalii4338 paa
P00
Ule mpango wa kufunguwa account kwa jili ya uchangiaji ulifikia wapi
As expected... A great hit. Keep up the good job siz.
Mimi natamanii sanaa kuwa kama wewe upo vzuri sanaaa Mungu akutunze
🤲🙏 kiufupi huwa napenda uiambaji wako dada cjui nikuambie neno Gani, ila Mungu akubariki sana ili uendelee kutuinjirisha kwa njia nzuri ya kuimba. Hongera 🔥🔥
Amina🙏
Asante sana kwa upendo huo.😊
Wow.. Napenda nyimbo zenu.... Najifunia kuwa mkatoriki mwema... Pongezi sana.. God bless
Amen.🙏🙏God bless you too mkatoliki mwenzetu❤️
Hakika kazi yenu inabariki Sana hongereni Sana
Asante sana🙏
Naomba mungu akumiminie Baraka tele na akujalie siku nyingi uzidi kutubariki na nyimbo hizi tamu zinazojenga mioyo yetu Sana❣️❤️
Amina🙏. Mungu akubariki sana🤗
Mungu akuzidishie kipaji cha uimbaji, your songs is a blessing to many@@anastaciamuema
Karibuni kwenye channel yangu ya pili. Kwenye hiyo channel nitawaletea matukio mbali mbali. Please support me. SUBSCRIBE, LIKE, SHARE and COMMENT.👉👉ruclips.net/video/GSmQt5JksC4/видео.html
just rewatched again... Wonderful song here..... Hapa kenya tushaanza kuiimba mass
Asante sana Vinnie🙏🙏
Great work for God here
Thankyou🙏🙏
Nashukuru Sana nyie Kwa kutukumbusha umuhimu wa Ekaristia kwetu sisi. Hongera Sana dada Kwa wimbo huu......
#2022Narokcounty
Asante na ubarikiwe sana.🤗
Congratulations
Thankyou🙏
Mungu akupe nguvu uedeleee kuzitunga nyimvo kama izi zilizo na ujumbe
Amina🙏
Naombea baraka tele ili muendelee kutubariki jinsi mnavyofanya. Hongera kwa wahusika wote!
Asante sana🙏
Nyimbo nzuri sana bado utaendelea kuwa juu hauna upinzani japo kuwa kuna mwimbaji mmoja anajitaidi kuiga sauti lakini bado maana kitu mungu alicho kupa nitofauti nawengine pamoja na mpiga kinanda yuko vizuri
Amina Epifani🙏🙏🙏🥰
Asante kwa wimbo mzuri. Asante kwa mwaliko wa kujongea mezani kwa Bwana
Amina🙏
wow... nice one dear.. more love 💞😍
Thankyou Pascaline🙏
Love you more🥰
My sister and brothers in Christ God bless you abanduntly amen. Hii wimbo nizuri sana asante sana
Amen🙏🙏
Hi ni siri kubwa yesu mwenyewe alituajia katika safari yetu, sisi mitume wake tupate nguvu , na upendo ndani yetu , tuweze kufanya kazi za huruma .. wimbo mtamu ,pongezi kwenu. ..
.
Amina🙏. Asante sana Mathew🙏
Wah moto...haki mko viwango na ngazi ya juu sana kwa tasnia hii ya Muziki.Barikiweni
Amina🙏. Ubarikiwe sana pia🙏
Baraka tele!!baraka tele.
Amina🙏🙏
You are a verry good singer
Thankyou Ronald🙏
Kazi tamu sana
Asante sana🙏
Hongereni sana kazi nzuri dada Anne natamani siku moja nifanye kazi na ninyi nyote watatu
Asante sana na karibu😊😊
Hii ni Kali sana
Asante Malii🙏
Great much blessings muziki maridadi wa komunyo
Asante sana🙏
Sauti nzuri kweli...wimbo wenyewe mtamu sana...😜😜😜
Asante sana Daniel🙏
❤❤❤Beautiful song and great voices. Asanteni
Asante sana Lucy. Ubarikiwe
Good Composition @ Tumaini Swai. Barikiwa
Amina🙏
Nice music jaber
Thanks alot neighbor🙏🥰🥰
Sina Cha kunena, hongera kwa kazi nzuri dada Muema🥳🥳
Asante sana Lagat🙏
Oooh nice. Hongereni nyote kwa kazi hii nzr
Asante sana Winnie🙏🥰
"Ingekuwa hivi Leo msikie sauti yake"...how can I be late!?!?!
😅😅
Nyimbo zako zapendeza Sana, haswa TUKAMPOKEE BWANA
Wow wow Well-done
Thankyou so much🙏
Always I play to u anne coz unanifurahisha na kuniinjirisha...be blessed forever.
Thankyou so much William. Be blessed🙏😊
Woooow! Amazing song, congratulations!
I've a new favorite source of Catholic music...good job!
In deed 'TWENDENI KWENYE MEZA YA UPENDO' #injiliiendembele #queoevangelhováparafrente
Amen rafiki🙏🙏
Wimbo mzuri, sauti zimetulia, kinanda standard.. Ooooh Mungu ATUKUZWE hata Milele. Hongereni sana WAIMBAJI.
Asante sana Emmanuel🙏. Ubarikiwe sana🤗
Hongera Sana Annastacia, Wimbo Mzuri Sana Mungu Awabariki Sana
Amina.🙏 Baraka tele kwenu pia😊
Leo nimebarikiwa kwa kweli, asanteni
Amina🙏
Good job!endelezeni injuries kwa njia ya uimbaji ...your voices of the( trio )blend soo well kudos!
Thankyou Jane🙏🤗
Wowowowo...........aseeeeee.......💯💯💯💯💯
Asante🙏
Dada anaa naomba kukujuaaaa man so kwa kukupendaaa ukooo ....mko mumeimba vizuriii
🙏
@@anastaciamuema unapatikana wapi dada akeee
Wow sauti tamu tamu
Asante sana dearest🙏🥰❤️
Good job my teacher🔥🔥🔥
Thankyou🙏
Great gal. Proud of you
Thankyou so much🙏🥰
Nawapendaga sana Mungu awatunze
Amina🙏
Kazi safi ann, swai, kameza .....always 🔥 🔥
Tunashukuru Kipchumba🙏
O how sweet and profoundly reverent this eucharistic song is! We're invited to approach the *table of love* and receive Jesus in his body, blood, soul & divinity. The eucharist is not only the source & summit of faith but also the wellspring of goodness that leads to eternal life. Thank you Anastacia & team for yet another stellar job and for reminding us that Eucharist is indeed the highest form of Christian worship & prayer. God bless you immensely 🙏🙏🙏
I could not have put it well and better than this Father.🤗
Thankyou so much and may you be blessed.🥰
@@anastaciamuema Karibu na asante. These liturgical songs entertain & nourish our souls immensely because they are deeply anchored in Scripture 🙏👍🙏
@@mjkinuthia386 AMEN🙏
Nicely put! The table of love..a fore taste of heavenly banquet
Yes here it comes 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thankyou so much🙏🙏
Hongera saaana Tr adolf this is super 🎉🎉🎉🎉
Thanks Ann and your able team..Injili isonge mbele
Amina🙏
Pamoja sana , na Mungu azidi kuwabariki.
Amina🙏
Akubariki Mungu Mwenyezi.🙏
Glad to listen to it the very day and time it was uploaded
Thankyou so much Embati🙏🙏
Aah, wimbo mtamu jamani🔥
Continue with the same spirit
Thankyou🙏
amaizing song👏👍Barikiwa sana kwa wimbo mzuri...
Amina🙏. Ubarikiwe pia😊
Woooow! Dada nabarikiwa sana na nyimbo zako👏👏 barikiwa sana
Asante sana Imanueli🤗. Ubarikiwe sana🙏🥰
@@anastaciamuema 🙏🙏🙏
on another level Ann👌
Thanks be to God.🙏
Superb, amazing songs my friend, keep up.
Thankyou so much Ken🙏
Mungu azidi kubariki uimbaji wenu ili muweze kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji wenu.
Amina🙏🙏
Sauti za malaika ❤️❤️
Asante sana kelitu🙏❤️
Wimbo mtamu sana dadangu kama tulivyo utarajia... Zidi kupaa Anne tuko nyuma yako na Mungu wetu azidi kukuinua, kukupa nguvu na kukuongezea Ufunuo zaidi Ili uijirishaji wako ufikie mataifa yote ya Ulimwengu. Keep it up siz...
@@thepebrisfamilygracedbless6668 asante sana🙏. Mwenyezi Mungu asikie maombi haya.🙏🙏
Hongera sana mkuu Tumaini Swai(FM) kwa utunzi mzuri pamoja na Madam Anne na Lawrence kwa uimbaji mzuri.
Shukran sana 🙏
Annie nyimbo zako ziko sawa na sauti tamu... Za nipa uponyaji wa roho..mungu akuzindishie na akumiminie neema lukuki
Amina🙏🙏
Good music, congratulations 🎉
Thankyou so much🙏
Tumsifu Yesu kristu!!!! Mungu awabariki sana. Nyimbo zako ni nzuri sana.
Asante sana🙏. Ubarikiwe sana Kaka🤗
Kila mara nipo kusubiri kupata vitu vizuri Kama hivi,siku sio nyingi nami nitakua ulipo kwa nguvu za Mungu aliye juu,proud of you guys🙏
Thankyou so much Janeth🙏
Good and well arranged voice so beutiful songs god give more thinking🙏
Thankyou so much🙏🙏🥰
This is really amazing!! Na Lawrence Bwana umetandika nota za alto vema sana kwa ustadi nausafi
Asante😅
Congrats 👏👏👏👏👏
Thankyou!🙏
With love from Zim
Thankyou so much🙏
Mimi tangu nianze kusikiliza nyimbo hizi hata imani yangu kwa Mungu inakomaa kabsa, Anastacia wewe ni mkenya mzalendo na musiki huu ni mtamu sana
Asante sana kaka Raphael. Jina la Mwenyezi Mungu Lihimidiwe🙏🙏🙏
@@anastaciamuema Amen🙏🙏
Good job dear. Keep it up. 👏👏👏
Thankyou so much🙏🙏
soul nourishing thanks a lot anastacia music
❤❤👋👋
Kazi nzuri!
Asante sana🙏
Wimbo mtamu sana kwakweli mpo vizuri sana congratulations
Asante sana🙏
Safi sana 3:48
Utenzi wa ajabu.ekaristia chakula cha wasafiri wa mbingu
Amina🙏🙏
Congratulations to all for your good work
Hongera Sana Dada angu,, Nyimbo imekaa poa Sana na Utunzi Bora kabisa
Amina🙏
Asante sana🙏
Great tune
Thanks
Thank you for this beautiful song
🙏
One of my best eucharistic songs. I cant' get enough of it. Thank you for this piece. God bless you all.🙏
Thankyou so much. Be blessed
Wow....Ann....Lawrence and Swai....you are blessing us so much through your songs....Much love from Nairobi...You are great guys
Thankyou so much Christine.
Good work Anne. Keep It up.
Thankyou so much🙏
Hongera pia kwa Mpinga kinanda Mungu akukumbuke na kukutana na haja ya moyo wako.
Amina🙏
Asante sana kwa kumtukuza Mungu kwa wimbo mtamu huu. Sauti tamu sana. May God bless you for inspiring us with the beautiful songs. I love everything about this song, kinanda and the video as well. ❤️Kudos✌️
Thankyou so much🙏🙏
Wimbo mzuri saaana,hongereni kwa uimbaji mzuri na sauti nzuri,mbarikiwe kwa kuinjilisha
Amina.🙏
Asante sana Magreth kwa kutazama. Ubarikiwe🤗🤗
Aaw,nice song Madam Ann, congratulations together with your team. Injili isonge mbele
Thankyou so much Jackline🙏
Beautyfull song
Thankyou so much Ronald🙏
Msichana wetu doing nice talent💥💥💥♥️♥️♥️🤩
Asante sana kabro🙏❤️❤️
Cograts for the touching and harmonious piece. Keep the fire 🔥 burning. Blessings galore..
Thankyou so much🙏
Vyema kabisa, Tuendeni tukampokee chakula kinacho dumisha uhai siku zote. Very nice and sweet song. Kazi nzuri tchr Ann
Amina🙏
Congratulations Annastacia,
God bless best Voices of you and your team💝💞
Thankyou so much bro.🙏❤️❤️
Napenda. Nota tutazipataje
Woooooow woooooow woooooow..... U guys really are blessed.....the song is on 🔥🔥 I looooooove it
Thankyou so much🙏
Good work
Keep it up
Thanks dear Ruth🙏🥰
what a beautiful song so inspiring may you be blessed always in your evangelization,,,,your songs always makes me feel blessed
Amen🙏🙏
Blessings upon you too