2004, 2005 memories Mr blue kipindi hicho alikua ndie jamaa wa bling bling ata Kila mkono uko na saa so kina Diamond walicopy kutoka Kwa huyu mwamba 2023 still rocking gonga like twende sawa#micharazo
A Somali From Switzerland 🇨🇭 listening to this masterpiece from Mr blu.we in 9th Feb 2024..when this song was out I was 1yr 😂😂😂😂. Nakupenda, nakupenda nitazidi kukupenda watu wangu wa 🇰🇪
Enzi hizo miaka ya 2003 hivi mziki ulikuwa na ubunifu mkubwa mashairi yenye maadili na mafunzo yaani it was Good noiwadays kuna jimbo huwezi kusikiliza mbele za watoto na hazina ubunifu, Sikiliza hiyo Beats utanieelewa kila kitu kinasikika na mashairi mazuri y Mr. Blue na kiitikio cha Abby yaani unasikiliza uchoki yes that are musics we nneed. Mr Blue gonga ngoma moja na Abby 2023 natabiri itakuwa kali sana
Jamani those days nilikuwa ndani ya basi la Scandinavia nausikia huu wimbo for the first time hakika safari yangu ilikuwa murua sana sitokaa nisahau.. 2023 hii bado wimbo ni mkali kinoma
God damn! I love Tanzanians ! I like the way you keep your archives! I used to watch this shit when I was like 8 on VHS, but here I have it available anywhere even downloadable !!! Thank You RUclips!! Big respect to the creators of this big tune, 2020 we still vibing
Nakumbuka miaka ya 2003 ilitamba sana hii, kwasasa ni 2024 lakini bado ni kama imetoka jana hivi, sasa huyu ndiye mr.Blue mzee wa mapozi nami na blue pamba bling bling kabla ya 26 hawajambadilisha falsafa ya uimbaji😂😂
Endelea kupumzika kwa aman ROY BUKUKU umefanya bit kali sana chini ya kaka mkuu GULU a.k.a G Love sio kitu kidogo ngoma zako zote kali vijana walizitendea haki beat zako pumzika roy
tume shinda ligi ya mbuzi kati ya form 2 na Form 3 , 2006.Tuna piga disco kwenye conference room ! watoto wana nukia poda ! pamba kali enzi hizo ni jeans mapepe au zezzle, modo jeans kwa mbaaali !....tuliosoma Gender balance tuna kumbuka mbali sana .
My young life in love memory at sec school that 2004 olevel was crazy men,, that we copy blue style kabaisa childish but remind it makes me crying times flies ,, life history lol
Watoto wa Ilala Gerezani kariakoo kabla enzi hizo hapajajengwa kituo cha Mwendokasi. Enzi hizo kuna nyumba za Shirika la Reli. Kitambo sana Abby yupo kwenye pick hatari. Blue alikuwa hashikiki. 2004 kuelekea 2005. Kitambo sana
THAT'S Queen Darlin' Lol. She was so little. Still a banger, Wallai ABBY Skillz was on a very different level of music. He is so good. I hope he comes back.
Ok Guyz Jus' Wanna apologize if i hurt your feelings by the fact that i put BURUNDI or KenYa instead of TANZANIA ..So YES he is from there,i made a mistake ..doesn't it happen sometimes?Sorry then!
Hivi kwwann basata hawajawai kuwapa tuzo hawa wasanii wakizazi kipya ambao nyimbo zao zilikuwa zina mauzui kwajamii. Hawatukani kama ilivyo nyimbo zasasahv. Kwaiyo cjui mme wapotesea wasanii wetu, wenye jina la bongo hiii tulio nayo.
Kama uko na mimi 2024 na ngoma bado inakubamba gonga like 👍
listening to this in 2024
2024 real bongo. I'm Kenyan.
This is when music was music, I'm 🇰🇪 an.
Kama unaangalia hii ngoma 2024 gonga like tujuane wanangu
2024 bado ngoma kali sana...kama unamkubali Mr blue gonga like
❤❤❤❤ 2007🎉🎉🎉
Kama upo na mimi 2023 unasikiliza ngoma hii gonga like 👍
Pamoja sana
❤❤❤❤ 2023
Hrllo guys we love you
🎉
2024
A Somali from wajir ❤❤listening to this masterpiece from Mr bule ❤❤28 April 2024 my favourite song like comment my comment guys Kenya
Aliemuona Queen Darleen anyooshe mkono😂😂😂
tupo weng
We were in such a rush to grow up, now we are sitting here thinking about how to go back to those days. 😢
true😂😂😂😂
Definitely
Banaa 😢 Those days wacha tu 😢😢
Ukweli mtupu
😅😢😢
2023 and this song still does something!!!!
Ngethe is vipi mamake
Niko piaa🎉🎉🎉🎉
Listening ❤
I had a crash on Mr blue growing up
Favorite
2004, 2005 memories Mr blue kipindi hicho alikua ndie jamaa wa bling bling ata Kila mkono uko na saa so kina Diamond walicopy kutoka Kwa huyu mwamba 2023 still rocking gonga like twende sawa#micharazo
Flash back....memories 2004...form one
Tbt hizo
Ebwana tupo shule ya msingi miaka hiyo
Nipo darasa la nne ...memory
❤❤❤
Kama huko pamoja nami 2020 gonga like zako hapa
safi
Kamakawa, kama dawa yani !pamoko mungu kipenda
2022
2023
mimi niko apa 2023. from Boston
Let’s get to 1M!!! Still listening 2023.
A Somali From Switzerland 🇨🇭 listening to this masterpiece from Mr blu.we in 9th Feb 2024..when this song was out I was 1yr 😂😂😂😂.
Nakupenda, nakupenda nitazidi kukupenda watu wangu wa 🇰🇪
How did you know
2023 gonga twende nalo ❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
bluu katusumbua sana mashalobalo wazamani tulikuw tunamuiga sana
😂😂😂😂
Kama tuko pamoja 19/5/2023❤❤❤❤
Queen Darleen hapa alikua mzuri sana.
Naikubar xana
Duu nlikua cjsoma kilikua chombo
Mmmmh😂😂Mziki kitambo watu wanaimba japo walikus local ...sasa hivi cjui wana kosea wapi...?
Sanaa
Enzi hizo miaka ya 2003 hivi mziki ulikuwa na ubunifu mkubwa mashairi yenye maadili na mafunzo yaani it was Good noiwadays kuna jimbo huwezi kusikiliza mbele za watoto na hazina ubunifu, Sikiliza hiyo Beats utanieelewa kila kitu kinasikika na mashairi mazuri y Mr. Blue na kiitikio cha Abby yaani unasikiliza uchoki yes that are musics we nneed. Mr Blue gonga ngoma moja na Abby 2023 natabiri itakuwa kali sana
kwa wale wa zamani big up
Still listening to this jam 2020 despite COVID-19. Like Kama upo nami
2023 and am still here
Jamani those days nilikuwa ndani ya basi la Scandinavia nausikia huu wimbo for the first time hakika safari yangu ilikuwa murua sana sitokaa nisahau.. 2023 hii bado wimbo ni mkali kinoma
2020 kama bado unaielewa hili song gonga like
2023 still listening to this masterpiece......nan kamwona queen darling
2023 still rockin...melts ma heart man
2006 banger 😩😩 2020 September lovers from Rwanda 🇷🇼
tangu bongo fleva ianze hakuna ngoma kali kam hii. iko wazi 👊
Guys the Violins the Violins daaamn Rest in Peace ROY he was the Killer. G records was the Best Booth 🙌🏾💡 2023 who else bang with me.
2023 nani yupo
We are here bro
Gone are the days wen music was music unlike the diamond platinumz era where they sing obscenity
Hii song nlikuwa std 7 2006 na mpaka leo naisikiliza
Mr Brue is E-sir for TZ period
Watoto wa 2000 hii nyimbo haiwahusu tuacheni kidogo 😂😂😂😂😂 2023+2024
😂😂😂❤
2020 April who is here despite Corona stress
2023 and this is still a hit when bongo was bongo😭😭💔
God damn! I love Tanzanians ! I like the way you keep your archives! I used to watch this shit when I was like 8 on VHS, but here I have it available anywhere even downloadable !!! Thank You RUclips!! Big respect to the creators of this big tune, 2020 we still vibing
Ab skills best singer but unlucky.... Mr blue legend
well said
BACK THEN WHEN WATCHING EAST AFRICAN TV WAS A COMPETITION😊😊😊
Ilikuwa haiitwi East African TV, bado hujasema....ebu sema..
I had a huge crash on me. Blu. Listening in from Chicago. Love bongo music. 2020
Naomba like kama unawatch 2018
Yap am watching from dubai old is gold👌
Upeleke wapi umbwa hii?
Mimi na wewe nitakufa na wewe hata useme nn nitabaki na wewe duhh hili song lilikuwa na hatar🔥🔥🔥♥️♥️♥️ 2024 like hapa
If you here 2019 hit like mob love from kenya
Old days 😭😭😭😭mm na ndugu zangu oh I wish my two brothers were alive so we can continue having fun together 💓
still haaaat🔥🔥🔥🔥🔥much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hii ni banger mpaka leo yani, na ni 2024😊
Iyapa 2023 kitambo sana wakongwe 😎
Who is watching 2018 still hot.
fravius manyika we here hot song
🖐️
Me
me
Jamani mr bluu alikuw hesome kinoma hp ukinenep uzuri wapoteza jamani 😂
Nakumbuka miaka ya 2003 ilitamba sana hii, kwasasa ni 2024 lakini bado ni kama imetoka jana hivi, sasa huyu ndiye mr.Blue mzee wa mapozi nami na blue pamba bling bling kabla ya 26 hawajambadilisha falsafa ya uimbaji😂😂
2020 and still here listening to these classics
Nakupenda mkazi just like the way I love this all time hit❤
Queen darling wa kipindi kile na apo alikuwa na ujauzito
Leo tarehe 12 ni skukuu za mapinduzi zenji niko naagalia goma langu pendwa
😋 2020 ngoma haichuji masikioni
17 years ago this was my favourite track. We are in June 2024
11th September 2023
Back here listening 🎧🎶
2020 bado tuna sikiliza. Ina nikumbusha mbali sana kipindi hicho nipo KIGOMA home daaaah. Kama ina kukumbusha sehemu tujuana
Queen Darlene was the universal video Queen miaka hio..... Bongo Flavor alikua anaitawala yeye kwa videos
Endelea kupumzika kwa aman ROY BUKUKU umefanya bit kali sana chini ya kaka mkuu GULU a.k.a G Love sio kitu kidogo ngoma zako zote kali vijana walizitendea haki beat zako pumzika roy
I barley understand it but i love it cause my older sisters used to sing it. But i still found myself listening to it ....😂😍
growing up listening to this masterpiece
manze AB Skills needs to come back
Money doesn't buy love!! ❤😍❤
If you with me 2024.
Old memories
tume shinda ligi ya mbuzi kati ya form 2 na Form 3 , 2006.Tuna piga disco kwenye conference room ! watoto wana nukia poda ! pamba kali enzi hizo ni jeans mapepe au zezzle, modo jeans kwa mbaaali !....tuliosoma Gender balance tuna kumbuka mbali sana .
2018 who's on this track
Zainab Adam Ali we here hot old bongo
Nakumbuka A town mwaka 2004 pale maskani na kina Pizza, Wizzo, Issa, Jigga na Jaco. Nawamiss sana aisee.
ROY ALIKUA ANAWAPATIA SANA KWENYE VOCALS ....AISEE R.I.P ROY
RIP
I accepted past will never comeback we only have memories that burn our hearts
2023 and still a banger!! 🔥
My young life in love memory at sec school that 2004 olevel was crazy men,, that we copy blue style kabaisa childish but remind it makes me crying times flies ,, life history lol
Naona mnamnawa2 Queen dary sister wa mondi 😁
Kwa wale wa mwaka 2023 gonga like please
Wangapi wako pamoja nami 2020 tunafuraiya mziki mzuri
I used to love this song 😂, wueeh time moves so fast
Watoto wa Ilala Gerezani kariakoo kabla enzi hizo hapajajengwa kituo cha Mwendokasi. Enzi hizo kuna nyumba za Shirika la Reli. Kitambo sana Abby yupo kwenye pick hatari. Blue alikuwa hashikiki. 2004 kuelekea 2005. Kitambo sana
Zamani jmn 2024👌🏽👌🏽🤸🏽♂️🤸🏽♂️💃
Mimi wa Kwanza 2024
ILA BLUE ZAMANI ALIKUWA ANANATA SANA,MIXER KUREMBUA NIN....ETI SAHIVI MGUMU 😄,,NYANDU BHN 🙌
THAT'S Queen Darlin' Lol. She was so little. Still a banger, Wallai ABBY Skillz was on a very different level of music. He is so good. I hope he comes back.
2020 and am still here
2023🙋🏽🇹🇿
Gonga like wale wa 2024
2020 still my favorite one.
Hii ngoma wallahi Nilikua nikiimbia my kindergarten school crush, still rocking
Sijui nani alimshauri Blue aache kuimba hizi, aanze kuimba kiganstar...
This was fire back in the day Mr blue🔥
Blue was soooo amazing looking handsome guy talented rapper musician everything days are not numbers some how
Nani kagunduwa huyu ni queen darling daaah watu wametoka mbali
Uyu model sio queen darlin
Ndio yeye
Ok Guyz Jus' Wanna apologize if i hurt your feelings by the fact that i put BURUNDI or KenYa instead of TANZANIA ..So YES he is from there,i made a mistake ..doesn't it happen sometimes?Sorry then!
Hivi kwwann basata hawajawai kuwapa tuzo hawa wasanii wakizazi kipya ambao nyimbo zao zilikuwa zina mauzui kwajamii. Hawatukani kama ilivyo nyimbo zasasahv. Kwaiyo cjui mme wapotesea wasanii wetu, wenye jina la bongo hiii tulio nayo.
Mdundo wa 11/02/2023 nakupenda na nitazidi kukupenda 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
wimbo una miaka 19 na bado ni another banger kwangu.
Here is where good music lives
Wewe kwel nyani zee, heshima kwako
Hit like if you joined form one during this times, vibes like no other
Blue alikua bishoo sana kitambo
Good old days....
Yaani acha tu bro
Queen darling, video vixen tangu kitambo sana!
Dah....
Gonga like kwa miambaa hiii.... 🇹🇿🇹🇿🌍🌍
#swahiliToTheWorld....
Old iz Gold july2019