ANTII Pt 5 | Tamthilia Ya Maadili | Official Hd Video | Mash Tv | Madrasa shop tz |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 595

  • @ashajaha7887
    @ashajaha7887 3 года назад +13

    Masha Allah.
    Ndoa ni pepo ya dunia ukipata mwenza wako anae jua thamani ya ndoa. Gonga likes

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 3 года назад +32

    Ma sha Allah km una kubali movie ina mafunzo mema piga like

  • @zamzamrashid9534
    @zamzamrashid9534 3 года назад +4

    Yaani mm namtazamaga huyu Antii tu yaani yukovizuri kasurakake kiko amizing 😍😍😍😍😍😍

    • @queenangal4714
      @queenangal4714 3 года назад +1

      Da nilikuwa naisubiri sana shekhe asate sana hata silali mpaka iishe ,kwa niaba ya watazamaji wengi kwenye funzo hii ya maadili has a hawa wadada wa kiteknolojia wa sasa wasiyoojua hata kupika kukata hata kitunguu wiki tu wako kwao mwendelezo wa antiii six tafadhali,

  • @pendohillrey1164
    @pendohillrey1164 3 года назад +23

    Hii n funzo mungu atujalie tuwe wake wema kwa maboma yetu tuwa heshmu na waume zetu inshallah

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber6038 3 года назад +7

    Mashaallah. Fundishooo safi sanaa kwetuuu wanawakeeeee.

  • @mashtv5103
    @mashtv5103  3 года назад +135

    SHUKRAN KWA KUIANGALIA ILA NA SISI NI BINAADAM MUTUVUMILIE KWA HILO
    PIA HALI IKIRUHUSU KUFANYA HARAKA TUTAFANYA ISHALLAH

  • @mariyammrisho6393
    @mariyammrisho6393 3 года назад +47

    Mashaallwah nilikuwa naisubiri kwa hamu hii film naipenda had balaa,,,,,,,Mungu atujaalie tuwe wake wema na wenye kutii amri zao njema

  • @lukmanomar5039
    @lukmanomar5039 3 года назад +22

    Jitahidini kutuletea muwendelezo mapema hizo ndo filam za kujifunza allah awafanyie wepesi

  • @binasrabakari8876
    @binasrabakari8876 3 года назад +12

    Maa sha Allah kwa kutuletea tena Allah awazidishie nguvu mzidi kutufurahisha na kutuelimisha zaidi awape nguvu na afya njema in sha Allah

  • @soumyasingh2011
    @soumyasingh2011 3 года назад +6

    Mashaallah nilisubiria sana,shukran ndugu zangu mumetufunza kinachohitajika katika ndoa 🙏🙏🙏💓

  • @anisabakari5298
    @anisabakari5298 3 года назад +7

    .mambo ni 🔥🔥🔥 ni Sana Allah azidi kuwaongoza lnshaanllah 🙏🙏🙏kipande kijacho msichelewesh ivyo

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 3 года назад +316

    Naomba like zenu jamani kwa wale walio kuwa wakisubir kwa hamu hii filam 👍

  • @alhajjngoliomahmud6657
    @alhajjngoliomahmud6657 2 года назад

    Mashaallah tabaraka rahman naona apo umekuwa na furaha zaidi

  • @fatmaali409
    @fatmaali409 3 года назад +3

    Antii thanteeee hbbt thanteeee , Fahad sas kapata jikooooo maasha Allah pumzika sas tumia matunda ykoooo sas toka kwa antiiii🥰🥰🥰🥰😘😘😘😘

  • @Williams-u4z
    @Williams-u4z Год назад

    Hayo ndoyemye ulikuwa unataka waooo pole namaumivu anti ❤️❤️❤️🇧🇮😂😂😂

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +10

    Saf sana hii ndodawa ya wanawake wavvu wasio jielewa mwanamke mjinga huvunja ndowa yake Kwa mkono yake miwli

  • @azizajuma2401
    @azizajuma2401 3 года назад +31

    Msicheleweshe tena jaman tuliisubir sanaa 🙏

    • @khamisally6924
      @khamisally6924 3 года назад +1

      Uhakika hasa wasituonjeshe chunvi tu na chakula watupe

  • @raheemarahman1435
    @raheemarahman1435 3 года назад +8

    Mashallah filam nzr ila munachelewesha muendelezo
    Wanawake wasiojielewa dawa yao ndo hyo mtihan jmn

  • @rajabunjenje4890
    @rajabunjenje4890 3 года назад +28

    Inshaallah m/ mungu atujalie wake wema yapo haya na yanatokea

  • @ladyfausta7448
    @ladyfausta7448 3 года назад +9

    Nzuri sana japo mnachelewa alafu muwe mnaendeleza mlipoishia asante kaka

  • @khadijamussa6380
    @khadijamussa6380 3 года назад +5

    Mashaaalah madras shop kwkwel 💫💫💫💫💫💯💯💯💯

  • @ahadiahadi1724
    @ahadiahadi1724 3 года назад +1

    Ah hmm Nampa moja Kwanza akajifunze kwao

  • @sophiaabdallah7821
    @sophiaabdallah7821 3 года назад

    Wanawake jmn yaan unatak kutoka unashndw kumuag mume wko vzr unaend kuagia mlangni looh 🙌 🙌,,tnahrb ndoa ztu wenyew at the end of the day tunalalmikaa oooh ndoa ynguu

  • @alsaarh239
    @alsaarh239 3 года назад +1

    Mbona fupi ivi mwaturambisha asali alafu mwatunyima mafunzo mazuri nyoote nawa pongeza mashaallah mara 1000

  • @fajompangile
    @fajompangile 2 года назад +1

    Mbona house girl mzur sana hivi 😍

  • @ustbll6181
    @ustbll6181 3 года назад +4

    Tatizo mnachelewesha saaana
    Maaaana naangalia halaf naenda shule nkirudi likizo nyingine nd nakuta mnaweka
    Jiatahidini mwez huuuu huuu tuwe tumeshamalizana

  • @abubakaryusuph6555
    @abubakaryusuph6555 3 года назад +3

    Maa shaa llaah
    Ndugu zangu watazamaj wenzangu tusiwalaumu hawa ndugu zetu kwa kuchelewa kuileta hii filam tujitahid kuwapa saport ya hali na mali huenda wanachelewa kwa kua hawana pesa

  • @ناجمهحسن
    @ناجمهحسن 3 года назад

    hahahahaaaa mke huyu jamani......ni nzurii na mafunzo asanteni

  • @sofiayusufu8124
    @sofiayusufu8124 3 года назад +6

    Maashaallah my bro kwa kazi nzuri yenye kutuelimisha jamii,mola awalipe badala kundi lenu fidduniya wal aakhera,nasi watazamaji mola atubadilishe tabia zetu mbovu tuwe watiifu kwa waume zetu,tuache mwenendo wa antii.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 года назад +9

    Mashaallah hongeren sana inamafunzo sana muandelezo musituchelewesheaa 👌💕👍🙏🙏

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      We una asli yakichina🤣🤣

  • @zuleikhasuleiman4634
    @zuleikhasuleiman4634 3 года назад +1

    Masha Allah huu mchezo n mzuri zaidi😍 unafunza sana

  • @ilhammbaruku6099
    @ilhammbaruku6099 3 года назад

    Epsodi moja mwaka duu munachelewesha sana

  • @fatumahassani5636
    @fatumahassani5636 3 года назад +1

    Mwenyezi mungu awaongoze kutuleteya vitu vizuri vya kuelimisha nili kuwa naisubiri kwa hamu
    Masha Allah

  • @rehemamgunga8854
    @rehemamgunga8854 3 года назад +1

    pole sana kakangu

  • @fatmaahmedbashirfatmabashi364
    @fatmaahmedbashirfatmabashi364 3 года назад +9

    Twasubiria part 6 ije kw haraka in shaa Allah....nawatakia kila la kheri filamu nzuri sanaa mashaa Allah naipenda am watching from saudi arabia

  • @husnaabdulrahman3244
    @husnaabdulrahman3244 3 года назад +2

    Mashaa Allah Wallah nimependa sana hii filamu napia nazikubali sana kazi zao watu wa madrasa shop Allah awalipe kila lenye kheir kwa kz nzuri In shaa Allah

  • @nakshymrembo2874
    @nakshymrembo2874 3 года назад

    Wallah ukipata mume Kama huyu anakupenda jamani Yulia wa awake sisi jamani kazi nyengine s za antii

  • @laliakiza7351
    @laliakiza7351 3 года назад +1

    Mwendelezo jamani
    Movie inamafunzo mazuri kweli
    God awa bless

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +1

    Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni walah nzuri tamthilia ina mafunzo mazur nimependa sana ila nawaombeni mjitahid msichelewesheee

  • @sharifahatibu6204
    @sharifahatibu6204 3 года назад +2

    Mashaallah nime jifundisha kwa kweli kazi nzuri🤗

  • @halimaomar2795
    @halimaomar2795 3 года назад +2

    Mashallah 👌 movie nzuri, japo mwachelewesha

  • @fadhilaahmed6639
    @fadhilaahmed6639 3 года назад +1

    Mashallah najizunza kitu kupitia tamthilia yenu Alhamdulillah, mashallah

  • @nairathabdallah1669
    @nairathabdallah1669 3 года назад +1

    Mashaallah,,, Allah atujaalie tuwe wema kwa waume zetu inshaallah

  • @nasraseif7549
    @nasraseif7549 3 года назад

    Masha Allah anti funzo tosha la ndoa ila jitahidini musicheleweshe mnatukosesha utamu

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад

    Mashallah antii ndo mke

  • @laylatmlacha4729
    @laylatmlacha4729 2 года назад

    Naomba mungu niwe auntie kwa mume wangu sio bi mkubwa mana mdomo huo mh

  • @mithlamussa6845
    @mithlamussa6845 3 года назад

    Mambo ni moto shkh fahad

  • @danaakassim2683
    @danaakassim2683 2 года назад

    Huyo Antii Anakicheko kizuri dah nafurah nikimuona anacheka

  • @brinahminja8256
    @brinahminja8256 3 года назад +1

    Dah patamuuu hapoooo bongee la fumaniziiiiii msicheleweshee muendelelezo jamaniiii

  • @humaryasalim7208
    @humaryasalim7208 3 года назад +2

    Mashaallah mzuri sana inafundisha maadili mema

    • @barloami6416
      @barloami6416 3 года назад

      jamna kwani mwendelezo hauja Toka bado

  • @mwansityhassan8446
    @mwansityhassan8446 3 года назад

    Maashaallh in nzur San INA mafunz ila mnaaiwek San adi yatok ladh

  • @thobiasrobert9847
    @thobiasrobert9847 3 года назад +1

    Hayo ndo maamuz yakiume yaliyonifany niendeleee kufatilia

  • @biommy2619
    @biommy2619 3 года назад +1

    Damanii patamu hapa,, can't wait next episode, musicheleweshe sanaa

  • @bintmhammad9557
    @bintmhammad9557 3 года назад

    Mnachelewesha sana jamaniii

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 3 года назад

    Ongeren sana yn kaz yaukwer kbs 👏👏👏👏

  • @chukidawa8018
    @chukidawa8018 3 года назад +1

    Jaman mabrouky jiddan ndugu zangu kwel antii ana akhlaq njema mashaallah ❤❤❤

  • @mulhatsalum2141
    @mulhatsalum2141 3 года назад +2

    Mimi siweki mfanya kazi kwangu nitafanya mwenyewe kazi zangu mh. Jamoni pepo twazikosa kwa kutowatii waume zetu

  • @aminamsomali1619
    @aminamsomali1619 3 года назад +6

    Mashaallah muendelezo tafadhali

  • @haafidhaboubakary3097
    @haafidhaboubakary3097 3 года назад +4

    Maashallah!!!!
    Maashallah!!!
    #Maashallah
    Jazakumullahu-khair😍😍

  • @sambilahussein2045
    @sambilahussein2045 3 года назад

    Mmmmh anajua kula tikiti aisee hadi kwenye ganda duuh

  • @rukiamsomi5415
    @rukiamsomi5415 3 года назад

    Nurat utaolewa na boss wako 🥰🥰🥰 jaman kwan nurat kaolewa 🙄🙄🙄

  • @mariamswalehe3933
    @mariamswalehe3933 3 года назад +5

    Kwann Kila kitu anti jaman wanawake wezangu tuwatii Waume zetu

  • @lukmanomar5039
    @lukmanomar5039 3 года назад +1

    Filam nzr sana nilikuwa naisubir kwa hamu ila inakuwa inachelewa sana

  • @alhajjngoliomahmud6657
    @alhajjngoliomahmud6657 2 года назад

    Nyumba ndogo raha zaidi

  • @nasarasalim7893
    @nasarasalim7893 3 года назад

    Duuu 🥰💕 jaman naomba namm niwe na nyie,🙏🙏🥰🥰

  • @najmaomar2751
    @najmaomar2751 3 года назад +8

    Mambo ni moto Allah awabarik

  • @ashayazeed2953
    @ashayazeed2953 3 года назад

    Mashallah nice flam allah awajalie kher nyote munatupa mafunzo mashaallah

  • @zuhurajumapore2243
    @zuhurajumapore2243 3 года назад

    Noma next

  • @rakbeenrakbeen4961
    @rakbeenrakbeen4961 3 года назад +2

    Mashaallah tunaomba mwendelezo jamani msichelewe

  • @rashidamagayane9864
    @rashidamagayane9864 3 года назад

    mashaallah nzuri nimejifunza mengi

  • @fatumajuma2518
    @fatumajuma2518 3 года назад +2

    Waoooo nime isubiria sana kwa hamu na ghamu mashallah

  • @fatumahassan3205
    @fatumahassan3205 3 года назад +4

    Nimesubiri vilivyo asante dj

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 3 года назад +1

    Masha Allah mnajuwa kuelimisha jamii najifunza vingi

  • @leylamapenz1914
    @leylamapenz1914 3 года назад +4

    Masha Allah,jmn twasubil muendelezo naipenda san

  • @musabakar2889
    @musabakar2889 3 года назад +2

    Mashallah najikuta nafirahi pekeyangu musichelewe mwendelezo 6

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 3 года назад

    Aunt aunt kwa raha zako mume kashamchukua💔💔💔💔💔💔💔.alaf kaswida mzur mashallah ongera

  • @nilhamhamisi2865
    @nilhamhamisi2865 3 года назад +2

    Maashallah tabarakallah movies nzuri sana sama mnatuchelewasha sana

  • @maryammaryam7773
    @maryammaryam7773 3 года назад

    Dawa ya huyu ni mke mwenza anakiburi sana

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 3 года назад

    Maashaallaah hii ina fundi sha kabisa nzr sana

  • @halimahussein3635
    @halimahussein3635 3 года назад +2

    Maasha Allah inapendeza Allah awajaze hekma inaelimisha mnooo

    • @husnahilda7025
      @husnahilda7025 3 года назад

      Asalam alykum nimefurahi sana kweli subra huvuta khery😀😀

    • @halimahussein3635
      @halimahussein3635 3 года назад

      @@husnahilda7025 waalykum salam warahmatullah wabarakatuh subra jambo jema ukhty

  • @habibamtumbwe3439
    @habibamtumbwe3439 3 года назад +2

    Mashaaallah nzuriiiii,muendelezo tafadhali .

  • @asiaas6617
    @asiaas6617 3 года назад +4

    Mashaa ALLAH nzurii sn naona ucthadhi ashaanza kushukisha matavuu😁😁kwa ndoa yke mpya na uso kunawirii

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 3 года назад +1

    Inachelewa had twasahau
    Kaz nzur tu mashallah

  • @brinahminja8256
    @brinahminja8256 3 года назад

    Asalaam alaykm jman tunaomba muendelezooo mnakaaa saaana

  • @thamratsaid8526
    @thamratsaid8526 3 года назад

    Mashallah mashallah Allah atujaalie tuwe wake wema. Kwa. Waume zetu

  • @iddikessyshabani8814
    @iddikessyshabani8814 3 года назад +5

    Masha Allah mwendelezo mzuri sana

  • @rabiasalum1944
    @rabiasalum1944 3 года назад

    Jmn tunataka iendeleee sanaaa

  • @nailatanzania7376
    @nailatanzania7376 3 года назад

    Mashaallah ni nzuri,
    Allah awafanyie wepes mtuletee mwendelezo mapema Biidhnllah

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 3 года назад

    Asante sana muko vizuri hongera sana

  • @mariamakanu1690
    @mariamakanu1690 3 года назад +7

    mashaallah nilikuwa nasubir kwa hamu

  • @mariamubakari599
    @mariamubakari599 3 года назад

    Wanafumaniwa ss

  • @iigigijfjffjfif550
    @iigigijfjffjfif550 3 года назад

    Masha Allah yaani nilikuwa naisubri kwahamu video hi ya anti baraqallahu fiykum

  • @mudymo8818
    @mudymo8818 3 года назад

    Subiyaaaaan mkubwa we Duh

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 года назад

    Maa shaa Allah tamthilia nzuri yenye mafunzo
    Hongereni sana tupo twasubiri hatuchoki in shaa Allah

  • @abasimachano2964
    @abasimachano2964 3 года назад

    Alhamdulillah mko vzr Allah awajalie kher na baraka ktk kazi zenu

    • @aishaseif2324
      @aishaseif2324 3 года назад

      Mashallah nilikua nikiisubiri hii muendeleze tafadhali

    • @aishaseif2324
      @aishaseif2324 3 года назад

      Move inafundisha sana mashallah

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 3 года назад

    Imeishia patam, Maa shaa Allah, Allah awafanyie wepesi muilete mapema

  • @halimamohamed1693
    @halimamohamed1693 3 года назад

    Masha Allah munatupa raha inshalah pat6 twasubiri Allah awafanyie wepesi

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 3 года назад

    Mkitafta wanawake wakuoa mnaangalia tako ndio mana sasa ndio kama hivi mtoto mzuri lakin hakujali ana mdomo kumuacha huezi mana nimrembo ukimwambia naoa yuakwambia niache duh Allah tuongoze sisi wanawake

  • @zuwenaramadha5741
    @zuwenaramadha5741 2 года назад +1

    Maashaa Allah

  • @ummunusaybah1496
    @ummunusaybah1496 3 года назад

    Allah awalipe kila la kheriiiiiiiiiii