Da nilikuwa naisubiri sana shekhe asate sana hata silali mpaka iishe ,kwa niaba ya watazamaji wengi kwenye funzo hii ya maadili has a hawa wadada wa kiteknolojia wa sasa wasiyoojua hata kupika kukata hata kitunguu wiki tu wako kwao mwendelezo wa antiii six tafadhali,
Wanawake jmn yaan unatak kutoka unashndw kumuag mume wko vzr unaend kuagia mlangni looh 🙌 🙌,,tnahrb ndoa ztu wenyew at the end of the day tunalalmikaa oooh ndoa ynguu
Maa shaa llaah Ndugu zangu watazamaj wenzangu tusiwalaumu hawa ndugu zetu kwa kuchelewa kuileta hii filam tujitahid kuwapa saport ya hali na mali huenda wanachelewa kwa kua hawana pesa
Maashaallah my bro kwa kazi nzuri yenye kutuelimisha jamii,mola awalipe badala kundi lenu fidduniya wal aakhera,nasi watazamaji mola atubadilishe tabia zetu mbovu tuwe watiifu kwa waume zetu,tuache mwenendo wa antii.
Mashaa Allah Wallah nimependa sana hii filamu napia nazikubali sana kazi zao watu wa madrasa shop Allah awalipe kila lenye kheir kwa kz nzuri In shaa Allah
Mkitafta wanawake wakuoa mnaangalia tako ndio mana sasa ndio kama hivi mtoto mzuri lakin hakujali ana mdomo kumuacha huezi mana nimrembo ukimwambia naoa yuakwambia niache duh Allah tuongoze sisi wanawake
Masha Allah.
Ndoa ni pepo ya dunia ukipata mwenza wako anae jua thamani ya ndoa. Gonga likes
Ma sha Allah km una kubali movie ina mafunzo mema piga like
Yaani mm namtazamaga huyu Antii tu yaani yukovizuri kasurakake kiko amizing 😍😍😍😍😍😍
Da nilikuwa naisubiri sana shekhe asate sana hata silali mpaka iishe ,kwa niaba ya watazamaji wengi kwenye funzo hii ya maadili has a hawa wadada wa kiteknolojia wa sasa wasiyoojua hata kupika kukata hata kitunguu wiki tu wako kwao mwendelezo wa antiii six tafadhali,
Hii n funzo mungu atujalie tuwe wake wema kwa maboma yetu tuwa heshmu na waume zetu inshallah
Mashaallah. Fundishooo safi sanaa kwetuuu wanawakeeeee.
SHUKRAN KWA KUIANGALIA ILA NA SISI NI BINAADAM MUTUVUMILIE KWA HILO
PIA HALI IKIRUHUSU KUFANYA HARAKA TUTAFANYA ISHALLAH
Ndo mfanye maana hadi twakuwa tumesahau kipande kilichopita
Afwan Afwan
In shaa Allah
Inshallah
Sawa
Mashaallwah nilikuwa naisubiri kwa hamu hii film naipenda had balaa,,,,,,,Mungu atujaalie tuwe wake wema na wenye kutii amri zao njema
Maashallah unafundisha xna naipenda
Mashaalah mungu awabariki inshaallah mlete nyingine
Ameen yaraab alamiin
Amina
Amiin
Jitahidini kutuletea muwendelezo mapema hizo ndo filam za kujifunza allah awafanyie wepesi
Maa sha Allah kwa kutuletea tena Allah awazidishie nguvu mzidi kutufurahisha na kutuelimisha zaidi awape nguvu na afya njema in sha Allah
Mashaallah nilisubiria sana,shukran ndugu zangu mumetufunza kinachohitajika katika ndoa 🙏🙏🙏💓
.mambo ni 🔥🔥🔥 ni Sana Allah azidi kuwaongoza lnshaanllah 🙏🙏🙏kipande kijacho msichelewesh ivyo
Naomba like zenu jamani kwa wale walio kuwa wakisubir kwa hamu hii filam 👍
Yaani acha tu
Naipenda sana mashaalah inafundisha sana
Naipenda hadi basi
sawaaa bwanaaa
naombaa unitumie wsspp 0623120994
Mashaallah tabaraka rahman naona apo umekuwa na furaha zaidi
Antii thanteeee hbbt thanteeee , Fahad sas kapata jikooooo maasha Allah pumzika sas tumia matunda ykoooo sas toka kwa antiiii🥰🥰🥰🥰😘😘😘😘
Hayo ndoyemye ulikuwa unataka waooo pole namaumivu anti ❤️❤️❤️🇧🇮😂😂😂
Saf sana hii ndodawa ya wanawake wavvu wasio jielewa mwanamke mjinga huvunja ndowa yake Kwa mkono yake miwli
Msicheleweshe tena jaman tuliisubir sanaa 🙏
Uhakika hasa wasituonjeshe chunvi tu na chakula watupe
Mashallah filam nzr ila munachelewesha muendelezo
Wanawake wasiojielewa dawa yao ndo hyo mtihan jmn
Inshaallah m/ mungu atujalie wake wema yapo haya na yanatokea
Ameen yarabbi 🤲
Nzuri sana japo mnachelewa alafu muwe mnaendeleza mlipoishia asante kaka
Mashaaalah madras shop kwkwel 💫💫💫💫💫💯💯💯💯
Ah hmm Nampa moja Kwanza akajifunze kwao
Wanawake jmn yaan unatak kutoka unashndw kumuag mume wko vzr unaend kuagia mlangni looh 🙌 🙌,,tnahrb ndoa ztu wenyew at the end of the day tunalalmikaa oooh ndoa ynguu
Mbona fupi ivi mwaturambisha asali alafu mwatunyima mafunzo mazuri nyoote nawa pongeza mashaallah mara 1000
Mbona house girl mzur sana hivi 😍
Acha uongo
Tatizo mnachelewesha saaana
Maaaana naangalia halaf naenda shule nkirudi likizo nyingine nd nakuta mnaweka
Jiatahidini mwez huuuu huuu tuwe tumeshamalizana
Maa shaa llaah
Ndugu zangu watazamaj wenzangu tusiwalaumu hawa ndugu zetu kwa kuchelewa kuileta hii filam tujitahid kuwapa saport ya hali na mali huenda wanachelewa kwa kua hawana pesa
hahahahaaaa mke huyu jamani......ni nzurii na mafunzo asanteni
Maashaallah my bro kwa kazi nzuri yenye kutuelimisha jamii,mola awalipe badala kundi lenu fidduniya wal aakhera,nasi watazamaji mola atubadilishe tabia zetu mbovu tuwe watiifu kwa waume zetu,tuache mwenendo wa antii.
Allaahumma aamiin
ALLAHUMA AMIIN
Mashaallah hongeren sana inamafunzo sana muandelezo musituchelewesheaa 👌💕👍🙏🙏
We una asli yakichina🤣🤣
Masha Allah huu mchezo n mzuri zaidi😍 unafunza sana
Epsodi moja mwaka duu munachelewesha sana
Mwenyezi mungu awaongoze kutuleteya vitu vizuri vya kuelimisha nili kuwa naisubiri kwa hamu
Masha Allah
pole sana kakangu
Twasubiria part 6 ije kw haraka in shaa Allah....nawatakia kila la kheri filamu nzuri sanaa mashaa Allah naipenda am watching from saudi arabia
Mashaallaah
Mashaa Allah Wallah nimependa sana hii filamu napia nazikubali sana kazi zao watu wa madrasa shop Allah awalipe kila lenye kheir kwa kz nzuri In shaa Allah
Wallah ukipata mume Kama huyu anakupenda jamani Yulia wa awake sisi jamani kazi nyengine s za antii
Mwendelezo jamani
Movie inamafunzo mazuri kweli
God awa bless
Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni walah nzuri tamthilia ina mafunzo mazur nimependa sana ila nawaombeni mjitahid msichelewesheee
ishaallah tupo pamoja
Mashaallah nime jifundisha kwa kweli kazi nzuri🤗
Mashallah 👌 movie nzuri, japo mwachelewesha
Mashallah najizunza kitu kupitia tamthilia yenu Alhamdulillah, mashallah
Mashaallah,,, Allah atujaalie tuwe wema kwa waume zetu inshaallah
Masha Allah anti funzo tosha la ndoa ila jitahidini musicheleweshe mnatukosesha utamu
Masha Allah
Mashallah antii ndo mke
Naomba mungu niwe auntie kwa mume wangu sio bi mkubwa mana mdomo huo mh
Mambo ni moto shkh fahad
Huyo Antii Anakicheko kizuri dah nafurah nikimuona anacheka
Dah patamuuu hapoooo bongee la fumaniziiiiii msicheleweshee muendelelezo jamaniiii
Mashaallah mzuri sana inafundisha maadili mema
jamna kwani mwendelezo hauja Toka bado
Maashaallh in nzur San INA mafunz ila mnaaiwek San adi yatok ladh
Hayo ndo maamuz yakiume yaliyonifany niendeleee kufatilia
Damanii patamu hapa,, can't wait next episode, musicheleweshe sanaa
Mnachelewesha sana jamaniii
Ongeren sana yn kaz yaukwer kbs 👏👏👏👏
Jaman mabrouky jiddan ndugu zangu kwel antii ana akhlaq njema mashaallah ❤❤❤
Mimi siweki mfanya kazi kwangu nitafanya mwenyewe kazi zangu mh. Jamoni pepo twazikosa kwa kutowatii waume zetu
Mashaallah muendelezo tafadhali
Maashallah!!!!
Maashallah!!!
#Maashallah
Jazakumullahu-khair😍😍
Mmmmh anajua kula tikiti aisee hadi kwenye ganda duuh
Nurat utaolewa na boss wako 🥰🥰🥰 jaman kwan nurat kaolewa 🙄🙄🙄
Kwann Kila kitu anti jaman wanawake wezangu tuwatii Waume zetu
Asante
Filam nzr sana nilikuwa naisubir kwa hamu ila inakuwa inachelewa sana
Nyumba ndogo raha zaidi
Duuu 🥰💕 jaman naomba namm niwe na nyie,🙏🙏🥰🥰
Mambo ni moto Allah awabarik
Jmn inaendele Lin,
Mashallah nice flam allah awajalie kher nyote munatupa mafunzo mashaallah
Noma next
Mashaallah tunaomba mwendelezo jamani msichelewe
mashaallah nzuri nimejifunza mengi
Waoooo nime isubiria sana kwa hamu na ghamu mashallah
Nimesubiri vilivyo asante dj
Masha Allah mnajuwa kuelimisha jamii najifunza vingi
Masha Allah,jmn twasubil muendelezo naipenda san
Mashallah najikuta nafirahi pekeyangu musichelewe mwendelezo 6
Aunt aunt kwa raha zako mume kashamchukua💔💔💔💔💔💔💔.alaf kaswida mzur mashallah ongera
Maashallah tabarakallah movies nzuri sana sama mnatuchelewasha sana
Dawa ya huyu ni mke mwenza anakiburi sana
Maashaallaah hii ina fundi sha kabisa nzr sana
Maasha Allah inapendeza Allah awajaze hekma inaelimisha mnooo
Asalam alykum nimefurahi sana kweli subra huvuta khery😀😀
@@husnahilda7025 waalykum salam warahmatullah wabarakatuh subra jambo jema ukhty
Mashaaallah nzuriiiii,muendelezo tafadhali .
Mashaallah jaman mwendelezo bac
Mashaa ALLAH nzurii sn naona ucthadhi ashaanza kushukisha matavuu😁😁kwa ndoa yke mpya na uso kunawirii
Huhuhuu
Inachelewa had twasahau
Kaz nzur tu mashallah
Umeona eee
Asalaam alaykm jman tunaomba muendelezooo mnakaaa saaana
Mashallah mashallah Allah atujaalie tuwe wake wema. Kwa. Waume zetu
Masha Allah mwendelezo mzuri sana
Machaallah hakika hina mafunzo tocha kwa sisi wanawake!
Jmn tunataka iendeleee sanaaa
Mashaallah ni nzuri,
Allah awafanyie wepes mtuletee mwendelezo mapema Biidhnllah
Mashaallah jmn msituwek lkn
ishallah duwa zenu
Asante sana muko vizuri hongera sana
mashaallah nilikuwa nasubir kwa hamu
Mm pia 🇰🇪
Wanafumaniwa ss
Masha Allah yaani nilikuwa naisubri kwahamu video hi ya anti baraqallahu fiykum
Subiyaaaaan mkubwa we Duh
Maa shaa Allah tamthilia nzuri yenye mafunzo
Hongereni sana tupo twasubiri hatuchoki in shaa Allah
Alhamdulillah mko vzr Allah awajalie kher na baraka ktk kazi zenu
Mashallah nilikua nikiisubiri hii muendeleze tafadhali
Move inafundisha sana mashallah
Imeishia patam, Maa shaa Allah, Allah awafanyie wepesi muilete mapema
namba 6 lini jaman leteni utamu uwo
Masha Allah munatupa raha inshalah pat6 twasubiri Allah awafanyie wepesi
Mkitafta wanawake wakuoa mnaangalia tako ndio mana sasa ndio kama hivi mtoto mzuri lakin hakujali ana mdomo kumuacha huezi mana nimrembo ukimwambia naoa yuakwambia niache duh Allah tuongoze sisi wanawake
Maashaa Allah
Allah awalipe kila la kheriiiiiiiiiii