Shilole awaonesha wanae kusherehekea birthday yake, wamekua haswaa!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 дек 2021

Комментарии • 71

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 года назад +4

    Happy birthday mumy, kwa mara ya kwanza leo umependeza sana mashallah maana kwenye kuvaa mpendwa huwa unachemsha 😉 ila leo 👌🥰

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 2 года назад +4

    Blessings you Shilole and your
    beautiful family💖 👪 💖
    HAPPY BIRTHDAY 🎂 🥳 🎉

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 2 года назад +2

    Kwa hio miaka sijui

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 2 года назад +6

    *Shishi mzuri wa sura maashaAllah sikuambii tabia zake*

  • @joycekitengai6577
    @joycekitengai6577 2 года назад

    Hongera shsh nimependa

  • @nurahyusuph9771
    @nurahyusuph9771 2 года назад +3

    Happy birthday shishi baby nakupend

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 2 года назад

    Happy birthday 🎂 🥳 🎉 🎈 shishi

  • @estherwilliam4675
    @estherwilliam4675 2 года назад

    Yaani watu wa humu ndani wanavituko kweli mtu anakataa hana umri huo utasema aliyemzaa ni yeye,,basi kama mnacheti chake cha kuzaliwa onyesheni mana mnapingana na mwenyewe kanakwamba nyie ndo mnamjua vizuri,,mnabohaa jamani khaaa...Happy birthday shishi baby miaka kama yote yenye baraka na mafanikio tele,,,enjoy your day my dear....

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi4881 2 года назад

    Mbona wewe hjaweka sherehe mama kama watu wengine! HBD my love

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 2 года назад

    Mashallah shishi wewe ni mama bora

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 2 года назад +1

    Mm totoz

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 2 года назад +2

    Munaesema ni muongo amedanganya umri si 34 tuleteeni card yke ya kuzaliwa watu wanakaa kuyajua maisha ya Mtu zaidi ya huyo mtu mwenyewe

  • @victoriampangala6795
    @victoriampangala6795 2 года назад

    Wewe ni mwanamke mpambanaji hongera

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks4312 2 года назад +1

    34 2?

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад

    Mashaallah watoto wazuli mashaallah

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 2 года назад +2

    Hii ya kujishusha miaka mastaa wa kibongo mi ata cwataki..

  • @salisali3738
    @salisali3738 2 года назад +1

    Kamzidi Arni uoya mwaka 1 😂😂

  • @chisaid3999
    @chisaid3999 2 года назад

    eti macho ya waja😁😁😁

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 года назад +3

    Shilole 34 mmh kumbe bad
    mdog tuu happy birthda shilole

    • @magrethsanga942
      @magrethsanga942 2 года назад

      39 muongo nae huyu miaka yote 34

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 2 года назад

      @@magrethsanga942 🤣🤣🤣🤣 wasann wetu umri unarud nyuma

    • @eliyajeremia1447
      @eliyajeremia1447 2 года назад +1

      Antiezekieli utasikia ana 28 watu tumeanza kusikia nyimbo zao tuko darasa7 leo siwenyewe tuna 30 waondo Wana 34 huu uongo niwakiwango charami

    • @magrethsanga942
      @magrethsanga942 2 года назад +1

      @@eliyajeremia1447 hahahahaha 😆 😂 alafu hawa wasaniii bhana wote waongo mimi nasoma darasa la tatu nimemsikia wema miss nawasikia wakina ailine wakina ant saiv nina thelathin na upuuzi huko eti wana 28 mara 33 mar 34 hyo anty saiv 41 shishi 39 ailini 39 au 40 pumbafuuu

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад +4

    Alianza kuzaa akiwa std 4

  • @asmasalum675
    @asmasalum675 2 года назад +1

    Mmmh
    Miaka 34 itakua
    Zaidi. Bhana. Unajua. Wengine. Awapendi. Kusema. Ukweri. Nisiri. Yao wengi. Awapendi ktaja. Umri. Maarumu.ikiwa.ao.watoto.ni.ni.banti.wakubwa.tu.au.alianza.na.miaka.10.kama.yeye.mwenzetu
    Kashika.34.ila
    Nisiri.yake.

  • @elizabethmajaliwa5189
    @elizabethmajaliwa5189 2 года назад +1

    Umekuza wtt punguza kulala na vijana mtashea wanaume mwishowe

  • @bantuboy9492
    @bantuboy9492 2 года назад

    h b d my love wa tabora mwisyane bho

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 2 года назад +2

    Mimba imepotelea wapi tena

  • @salma-fc4xc
    @salma-fc4xc 2 года назад +1

    Waongo 34 mmh

  • @itslayla1506
    @itslayla1506 2 года назад +1

    Kajitahidi sio kamazari kutwakucha yeyenamwanaye kwenye mitandao

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 2 года назад

      Usipomnywa utamnawa au utamfua nguo🙄🙄🙄🙄

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 2 года назад +1

    Happy birthday shishi wangu!! hujafikia 40 ila 34 years no..mdogo wangu .. nakutania mwaya😁😁😁😁

    • @magrethsanga942
      @magrethsanga942 2 года назад

      Kafika na kapita hawa watu sijui wapoje kila siku kurudisha miaka nyuma kisa vibenteni dah wasitudanganye saiv ana 39 au 40

    • @xkingx8041
      @xkingx8041 2 года назад

      @@magrethsanga942 kabisa

    • @anjelamassawe8997
      @anjelamassawe8997 2 года назад +1

      Shishi ni mdogo sana

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 года назад

      @@magrethsanga942 anaukubwa gani sasa huyo

  • @hanschuma7734
    @hanschuma7734 2 года назад +4

    Hahaha ila mama yao mhhh!!kajua kudanga ndio maana hatak watotowake wawe kama yy sema nn maji hufuata Mkongo.. 😄😄😄😄😄

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 2 года назад +5

    Kwakweli wasanii mnapenda kuongea maneno kisha mnasahau kwenye shunghuri ya Irine uwoya mwaka juzi ulisema wewe na Irine uwoya mmezaliwa mwezi mmoja na mkasema mna miaka 34 Sasa hiyo miaka 34 tangu mwaka juzi mpka aleo hiyo hiyo? Na huyo Irine uwoya ndio kadanganya kabisaaa eti 32 sijui 33 msiseme uongo bhana saivi shishi utakuwa na 36 pamoja na huyo Irine uwoya

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 2 года назад +1

      Wasanii wa kibongo hawa yaani acha tu hawaoni nikki minaj ana 39 na kinaonekana kadogo kuliko wao

    • @salma-fc4xc
      @salma-fc4xc 2 года назад

      Sura ndio zina waumbua licha ya makeup

  • @yusufsong9158
    @yusufsong9158 2 года назад +1

    Awa hii miaka yao kweli

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 2 года назад

      Hakunaga msanii wa bongo mwenye miaka mingi wote ni under thirty

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 2 года назад +1

    Kumbe shishi mtoto 34

  • @kennedyessau5169
    @kennedyessau5169 2 года назад +3

    Kumbe shilole Bado sana

  • @theblessedone7526
    @theblessedone7526 2 года назад +4

    Mbona Hawa wamama wa bongo wanapenda kudanganya miaka?? Watu wamegonga 40+ lakini bado wanakazania 30s upuzi tu😏😏😏😏

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 2 года назад

    Huyu mdog kafanan na maake kasur na macho huyu mkubwa kabeba rangu halis ya mamaake na ubongee

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 2 года назад +5

    Siku hizi hawajstri alivyokua na uchebe walikua wakivaa vizuri hawakuacha vichwa vyao wazi

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 2 года назад +3

      Alijistiri na kipigo akapata sasa alipata faida gani? Labda pia alikuwa anafunika kichwa kuficha manundu. Acha ajiachie now🥳🥳🥳

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 2 года назад +1

      @@vanessalaizer4363 😂😂

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 года назад +1

      @@vanessalaizer4363 😂😂😂

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 года назад

    Kumbe amekuwa na watoto wa kubwa kiasi icho aya ss na vp kuusu baba zao au mmoja ni wa uchebe

  • @nasriabdi9046
    @nasriabdi9046 2 года назад +1

    kudadeke matunda yameiva

  • @tatubadi9010
    @tatubadi9010 2 года назад +8

    Inamaana shishi na mimi tumepishana miaka 2 siamin wallahi..

    • @jimboulaya
      @jimboulaya 2 года назад +2

      Ndio wasanii na usanii. mtu unakuta ana mtoto miaka 20 na yeye miaka 34.

    • @tatubadi9010
      @tatubadi9010 2 года назад +1

      @@jimboulaya kwakweli me huwa sioni haja ya mtu kuficha umri ilhali unaonekana umri umeenda kweli..

    • @veronicapaul499
      @veronicapaul499 2 года назад +1

      Huamin nini unatishwa namwili

    • @jumannemfaume
      @jumannemfaume 2 года назад +1

      Inawezekana maana shilole alizaa mapema chini ya umri wa miaka 18

    • @modysultan6170
      @modysultan6170 2 года назад

      alizaa akiwa mdogo sana kama ulipitiaga interview zake za zazamani nashilole sio mkubwa hyo ndio miaka yake kweli

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 года назад

    Kwani shishi din gni? Mbona majina ya watoto wako Joice na Rahma

  • @shillahmahiri855
    @shillahmahiri855 2 года назад +1

    Eti 34 mmmh

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 2 года назад

    Amewaka mbali sana wanae na mitandao nimefurai kwa hilo

  • @Meme-sr1gl
    @Meme-sr1gl 2 года назад +3

    Miaka kadanganya

    • @mwanaishakhamis8069
      @mwanaishakhamis8069 2 года назад

      🤔🤔🤔🇰🇪

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 2 года назад

      Ndio mana wanaamuaga kudanganya kweli coz hata wakisema ukweli hamuwaamini. Uyo mwanae wa kwanza alimzaa akiwa na miaka 14 alisema baada ya kubakwa na bamtoto kichakani

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 2 года назад

      @@vanessalaizer4363 muongo tu 14 ya nani