Al-Hady v/s Kishki ... Je Mtume Muhammad SAW hanufaishi wala hadhuru?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2016
  • Al-Hady v/s Kishki ... Je Mtume Muhammad SAW hanufaishi wala hadhuru?

Комментарии • 98

  • @tigersterling5417
    @tigersterling5417 8 лет назад +2

    Waislam sote ni ndugu, tupendane kwa ajli ya Allah. tuwache malumbano kama kweli niya yetu ni moja.

  • @saidsalim2386
    @saidsalim2386 8 лет назад +1

    Kazi nzuri Sheikh na zidi kuwafunza hawa....Na sio kuekana sawa kwa ilmu ni kukoseana la...ilmu ni bahari na haina mwisho.
    Na kulingana na lugha za ustadh wetu wa Tz hata ww ukiziangalia yuwamponda Mtume Swalla Llahu alayhi Wassalam...
    Na vile vile aingilia mambo ambayo bado hayajayajua kwa kina jambo hili lawa vip na laenda vip....mm pia nikirekebishwa ndio najifunza na najua kuwa mahali flani nimekosea yapasa nirudie vitabu na nijue kosa lngu liwapi.
    shukraan

    • @HababahappynewyearNuru
      @HababahappynewyearNuru 7 лет назад

      Said Salim Mungu atuongoze njia ya haqi & atutie peponi kwa rehma zake

    • @HababahappynewyearNuru
      @HababahappynewyearNuru 7 лет назад

      ndugu said salim umeongea vzr sana...Mungu atukubalie sote...

    • @bintalhwamer5291
      @bintalhwamer5291 6 лет назад

      Said Salim usipende kupost kitu ambacho hujakijua huyu ni filauni unataka tu umaalufu mnafiki mkubwa huyu

  • @omarhussein9612
    @omarhussein9612 8 лет назад +1

    Mashalah wafanya kazi nzuri

  • @abdulhalimmohamed3643
    @abdulhalimmohamed3643 6 лет назад +1

    Vipi Al Hatimy anakuwa na Roho mbaya kwa sababu ya kumrekebisha Kishki anapodai kuwa Mtume Sallallahualeyhi wa sallam kuwa hanufaishi?

  • @swalehbadawi4496
    @swalehbadawi4496 2 года назад

    sure we really need corrections, thank you yabib

  • @abdullatifabdalla1843
    @abdullatifabdalla1843 7 лет назад

    Allah akuongoze mtoto wa watamu. ...acha kufata HAWAA Za nafsi yako

    • @alliabdallah9355
      @alliabdallah9355 7 лет назад

      Abdullatif wee mwenyeo hawa za nafsi yako zinakushinda

  • @rashidmohammed9128
    @rashidmohammed9128 4 года назад

    Mashaa Allah msomeshe ..kishki soma mjuwe MTUME (swa)wako kabla kuongea kwenye miskiti...kwa kweli kishik unahitaji kusoma kabla kupoteza watu

  • @abuufaadhil1229
    @abuufaadhil1229 8 лет назад +3

    Asalam Aleykum Warahmatullahi Wabaraktu ndugzangu.
    kuekana sawa na kupatiyana ilimu ni sawa kwene uislamu. lakini jee, dini yatuelezeya vipi masala ya KUKOSEYANA na Kuvundiyana daraja sisi kwa sisi?
    Hatufikirii madhara ambazo yatatokea beyna waislamu na hatufikiri mapenzi ambao itapunguwa.
    ziko ndia nyingi zakumelezya mwenzako lakini kumfedhehesha mwenzako na kumkosea mbele za millioni ya watu kila tafautu haytajenga uislamu wala hayvutii kwa wale wataka kuingia kwene uislamu.
    Uislamu ni ni dini ya Salama na mapenzi. TUPENDANENI.

    • @khalfankhamis9083
      @khalfankhamis9083 5 лет назад

      Kishki kwa huyu haoni ndani uyu jamaa ana elimu safi sana Hatim

  • @098890786
    @098890786 8 лет назад +1

    ما هي القصيدة في المقدمة؟!

  • @tumao970
    @tumao970 7 лет назад +4

    subhanallah ' m.mungu akusamehe maana unaonekana unachuki na roho mbaya juu ya kishki

    • @alliabdallah9355
      @alliabdallah9355 7 лет назад

      Na wee Tuma mungu akuongoze tena ukasome maana kama unakubali ni haki anasema kishki jiandae na la kumjibu Allah labda ulete toba

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 6 лет назад

      sheikh wetu hana wivu yuwamrekebisha kishki na pia ndio wasa kidini..

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 6 лет назад

      mbona kakufuru mbele za watu alikuwa kakosa mawaidha????

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 6 лет назад

      je kishki waeza simamisha wanaoimba taarabu zanzibar ayo ndio makosa makubwa ???

    • @alishariff8657
      @alishariff8657 6 лет назад

      tuma o9 kishki ni kimbelele kama short ya kwanda ukilala na mkeo

  • @mahdsalim
    @mahdsalim 5 лет назад

    Allah akuongoe maana chuki zako zinaondosha haya usoni mwako. ALLAH akuepusha kuja kuishia mchawi maana hasad inapelekea uchawi

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile9327 10 месяцев назад

    Umeeleza sna ustadh al.hatimy umebobea luqya na elimu ya kutosha

  • @abujasimabujasim4173
    @abujasimabujasim4173 6 лет назад

    Ndugu zanguni mashekhe wote wa kimadhehebu hao wote washirikina mnatakiwa mrudi kwenye kitabu cha mungu pekee nacho ni Quran

  • @somosomo4860
    @somosomo4860 4 месяца назад

    Kwa loe nadani amejifunza kuliko zamani .miaka saba 2023 years ago....

  • @maryamali6144
    @maryamali6144 8 лет назад +1

    sheikh mrekebishe Huyo ndugu yetu mwislamu kapotea hakika

    • @bintalhwamer5291
      @bintalhwamer5291 6 лет назад

      Maryam Ali hakupotea ila huyu ni mnafiki tu anaetaka umaalufu

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад

    Subhanallah mbona hivi jamani waislamu wote ni ndugu tusichukiane

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela524 4 года назад

    Msomeshe atajua tu inshaallah, pmj kwamba maamuma wake wanamtaka asisome awe mjinga km wao

  • @mansoorsadiq5721
    @mansoorsadiq5721 6 лет назад

    Allah pekee ndoanae dhuru na nfoanaenufaisha

  • @abdulrahmanhaji1348
    @abdulrahmanhaji1348 7 лет назад

    mungu awaongoze baba

  • @hawraymuncw9893
    @hawraymuncw9893 4 года назад +1

    Hawa mawahabi ni wapotevu walojawa na shubuhati nyingi

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 8 лет назад +2

    Naende akasome akutia dhiki tu kishki hana elimu

    • @bintsalim759
      @bintsalim759 8 лет назад +1

      muogope Allah ndungu muislamu n.a. vilevile fikiria Kabla ya kukufuru

    • @mannuhussein1601
      @mannuhussein1601 8 лет назад +1

      sio yey Pekee hata Wew ukasome

  • @choloboy9354
    @choloboy9354 6 лет назад +1

    Al hady bora uifute hii video cuz hii aibu kubwa kwa uislamu yani bado unawapa wakiristo kecheko kwa kuona hii video manake haina manufa kwa mtu yeyote ila kwa watu watu wenye kupenda maulidi watu wenye kupenda kuchezacheza na kutikisa mabega na mili kuitikisa maulidi hayafai dini imesimamishwa kwa upanga sio kwa dufu oyaaaah fungueni masikio

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 5 лет назад

    Shekhe.msomeshe
    Mwalimu.wangu
    Kishiki.mana.hajajua.kusoma.ilakuripokwa.anjua.kuliko.hamza

  • @abdisheikh6175
    @abdisheikh6175 5 лет назад

    kishki ana kideefu , haja soma dini. pole sana wale watu waa najdi ya petro dolar wame potesha kishki

  • @shikandamunyasia6950
    @shikandamunyasia6950 7 лет назад

    al istidhwaa ya kunufaisha na kudhuru mtu huwa nayo akiwa hai ama akiwa hata amekufa naomba kufahamu zaidi

    • @aminaally1248
      @aminaally1248 6 лет назад

      Kumfuata kwake mm nazan. si vizur zaidi kuliko alivo fanya hivo shekh AL Hadii. ukiwa NDUGU YETU KISHIK ALITOA SIDII HIO NA IKAFAHAMIK KWA MAMILION YA WATU. BAS NAE ALHADII ANAHAKI YA KUONESHA NI WAPI ALIPOTELEZA. KWAN ANGELIMFUATA. ASINGELITOA MADA YA KUSEMA NILITELEZA MAHALA FULAN HIVO NAWAWEKA SAWA WAISLAMU. KATU HATOTOA SIDII YA NAMNA HIO. PIA WENZETU ZAMA HIZO HAPAKUWA NA MEDIA, SASA LEO HII HIZ MEDIA ZAWEZA TULETEA FITNA

  • @al-habibmuhammadrafiqal-ka3807
    @al-habibmuhammadrafiqal-ka3807 8 лет назад +2

    السلام عليکم ياأخي محمد الهادي
    ولوانا لا نفهم لغتكم تحن نفهم ان رجل اخرفي الفيديو انه من الواهابيون
    تقدم وادم وقم! نحن في اندونيسي معكم
    هل انت من "الهادي" من ال باعلوي؟
    Salam,ifen we dont understand you r language,we know NURDIN KISHKI is wahabism. Just do it ya akhiy,we are from indonesia with you.
    Never Let wahabi said about bid'ah,because their aqidah is mujassimah,different aqidah with us,different aqidah with 4 mazhab ahlus sunnah wal jama'ah.
    Allah bless u ya Ahmad alhadi

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 5 лет назад

    Kishiki.kwanza.iyarabu.ndio.anachofanya niaya

  • @adamjutto7893
    @adamjutto7893 5 лет назад

    We sheikh unaempiga raddi kishki kama we mwanaume mpige raddi sheikh qaasim kama hujaongea upuuzi,huyo kishki ni mchovu katka elimu,mtafute sheikh wowote wa kisalafy

  • @boi8986
    @boi8986 4 года назад

    We sheikh, kazi yako imekuwa kufatiliya kishiki alichosema, huna kazi nyingine? Ni kweli m/mungu ndiye anaye dhulu na ndio wenye uwezo wa kila kitu, stop hating!

  • @abdulghanizubeir5512
    @abdulghanizubeir5512 6 лет назад

    Anpata faida gn huyu? Maana ukiangalia hii video unachoona ni mipasho, chuki na kibri. Mtoto wa kiume una mipasho na kidoleee juuu 👌

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 5 лет назад

    Mwambie.kweli.wewe.shekhe
    Kishiki.hunalolote.ila.mavazi
    Yaurembo.basi.

  • @adamjutto7893
    @adamjutto7893 5 лет назад

    Kama ye mwanaume ampige raddi sheikh yoyte wa manhaji ya salaf

  • @nicemunacute5772
    @nicemunacute5772 7 лет назад

    Hata sikubaliani nawewe shk sasa tujifunze nn ss

  • @mansoorsadiq5721
    @mansoorsadiq5721 6 лет назад

    Wewe achakumhusudu kishki

  • @bultumstudio6871
    @bultumstudio6871 8 лет назад

    We monyewe ujamuelewa mada yakoni kutafuta ayibi yamasheke

  • @abdulrahmanhaji1348
    @abdulrahmanhaji1348 7 лет назад

    lakini wansifu alikwambia usimsifu namna he maulidi wacha urongo unampenda mtume zaidi he mashaba usiongeze kitu katika fini he walad

    • @alliabdallah9355
      @alliabdallah9355 7 лет назад

      Abdurrahman huna kitu kichwani bufuru huna ujualo salafi wee

  • @bintalhwamer5291
    @bintalhwamer5291 6 лет назад

    unaloho mbaya hadi sula mtazame huon haya ivyo umekosa kazi yakufanya mpaka unatengeneza kirpu ilitu umdhalilishe shekh wetu kishky

    • @bintalhwamer5291
      @bintalhwamer5291 6 лет назад

      shekh wetu kishky nakuombea kwa ALLAH akuepushe na mahasidi kama hawa maana amekuandama mno shekh wetu kishky nikama mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe kwani hata mtume muhammad alisingiziwa vitu vingi mno kwaiyo usife moyo hii nimitihani ya mwenyenzi mungu

    • @somosomo4860
      @somosomo4860 4 месяца назад

      Kama akutoa pinga atungeli jifunza .

  • @hassandabaso3278
    @hassandabaso3278 6 лет назад

    Wacha kumpiga vita kishki

  • @rajabkapopo630
    @rajabkapopo630 7 лет назад

    sio salafi mawahabi n majaahili tyu ktk dini hawan walijualo waachen n vijkanzu vyao n videfu vya uwazimu....mjinga lazm akushnde tyu kwa mujibu wa imam shaafi r.a

  • @yahyaslim1938
    @yahyaslim1938 7 лет назад +3

    Kishki ni mtupu kabisa kama tissue paper ilmu yake ndogo sana, cha ajabu Kuna watu wanamuona msomi kumbe ni mtupu. Kingine ni kwamba mawahabi Wanafanya ugomvi na bwana Mtume SAWW huku wakimvunjia heshima kwa mafunzo ya viongozi wao wapotevu akina Muhammad bin Abdulwahhab na Ibn Taymiyya

    • @bintramadhani4018
      @bintramadhani4018 7 лет назад

      Yahya Slim Ww huenda hata Sura fatiha huijui humfikii hata shekhe kishki hata robo yake tengua kauli yako ndio wenyewe watu wabidaa

    • @alishariff8657
      @alishariff8657 6 лет назад

      Yahya Slim kweli yako bro

    • @zuweenanabhani7096
      @zuweenanabhani7096 6 лет назад

      Yahya Slim €

    • @jamalbahdela524
      @jamalbahdela524 4 года назад

      Swadakta shekh Yahya Salim

  • @bintalhwamer5291
    @bintalhwamer5291 6 лет назад

    tumesha kujua baba unatafuta kiki

  • @rukiaomar1292
    @rukiaomar1292 7 лет назад

    hii yake sasa n chuki hata km hana elmu n ww pia hujakamilika

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 5 лет назад

    Jiji.ladarisalama.nijiji.lalawama kma.huwamini.kamulize mama.wakula.wali.namaharage.kula.harama.nawtuwooooooooooooteeee.wadarisama.wanalaana

  • @alkashaaiy9722
    @alkashaaiy9722 7 лет назад

    huyu ni mjinga na AHLUL BID'AA NA KAMA ASIPOTUBU NI AHLU NNAAR

  • @fuadabubakar576
    @fuadabubakar576 8 лет назад +1

    wewe ulo soma mbona huji rekebishi

  • @munohassan8498
    @munohassan8498 8 лет назад

    Wewe mwenyewe ni mjinga una tambua bidah

  • @greenflower2078
    @greenflower2078 6 лет назад

    Sote tunakupenda sheikh kishki hongera big up usihofu huyo ni fitna tu

  • @bintramadhani4018
    @bintramadhani4018 7 лет назад

    shekhe ww Punguza Husda juu ya shekhe Kishki kwasababu Allah ndiyo mwenye kudhuru na Kunufaisha hapo ukisema kwamba Nabii mohammad anadhuru na ananinufaisha na wakrsto wanavomuabudu Nabii Issa wapo sasa? ?jiulize Nabii mohammad Anaweza kukupa Riziki au anaweza kukukadiria Riziki ?au anaweza kukuletea maradhi?
    Usituchanganye Ukisema Nabii Mohammad Anadhuru na ananufaisha wataka Tumuabudu kama wakrsto wanavyomuuabudu Nabii Issa?
    shekhe ww utakufa kwa husda zako Shekhe Kishik yupo swahihi kwasababu Mtume swala Allah Alayih wasalam hawezi kukukadiria Riziki wala maradhi hiyo ni kazi ya Allah
    MAUULIDI NI BIDAAA NA WW WA SHEKHE NI WABIDAA NA ELIMU YAKO ULIPOITOA NI KWENYE BIDAA WW NDIO UFUNDISHWE NA SHEKHE KISHKI SIYO WW UMUFUNDISHE
    SHEKHE KISHKI USIOGOPE MTU NA USIRUDI NYUMA KWA HUSDA ZA WATU WABIDAAA

  • @mannuhussein1601
    @mannuhussein1601 8 лет назад +1

    wapoteza mda kufanya kazi isiyo ya msingi... je kuna ajr Hapo??? sio tabia ya muislam kufanya kazi hii...ungemfata personal

    • @queenmaya8022
      @queenmaya8022 6 лет назад

      Mannu Hussein Mashallah bola ata ww ulivyosema xx anawadaidisha. Watu kumfedhehesha mwnzak

    • @alishariff8657
      @alishariff8657 6 лет назад

      Mannu Hussein hatafutwe na ilahali ameponda waumini kwa RUclips

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 3 года назад

    Kishki ni jahil alievaa kilemba

  • @salaahmuswlih4378
    @salaahmuswlih4378 6 лет назад +1

    ewe sufi !
    mtume wa allaah ametufundisha namna ya kumuita yeye ktk hadith mashuhuri
    لاتطروني كما أمرت النصارى ابن مريم إنما أنا عبد فقولوا أنا عبد الله ورسوله
    ametamrisha tuseme yeye ni mja wa allaah na mtume wake.
    EWE SUFI ! mche allaah tumuite mtume kama alivyoitwa na allaah na kwa mujibu ya mafundisho yake.
    EWE SUFI ! Mtume mwenye anataka baraka kutoka kwa allaah , nashangaa ww wataka baraka kutoka kwake ukamsahau muumba wako !.
    MCHE ALLAAH
    يقول الله
    ليحملوا أوزارهم كاملة يوم القيامة ومن أوزار الذين يضلونهم بغير علم ...... الأية
    بغير علم أي بغير علم شرعي .

  • @mustayoo
    @mustayoo 6 лет назад

    Watu wa huzushi wana taabu.uzushi ni uzushi vyote motoni

  • @husseinsuleiman2013
    @husseinsuleiman2013 4 года назад

    Acha bidaa.. rudi katika manhaji salaf

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v 4 года назад

    Wewe sheikh nizuzu washindana na nurdin mbona hatujakusikia ukimradi mtume feki hamsa issa washindana namtu amekwambia ukweli.jinaga wewe kasome huna elmu yoyote sisi hatukutambuwi kama nisheikh nakutambuwa kama msani

  • @ashaali5773
    @ashaali5773 6 лет назад

    😂😂😂nikewel kabisamsimukosowe shekhk wetukishki hakunananaejuw niyupianaewakilish umaawakislm shekhnrdin wanawaduhawaisiw vitina tumiaelim wakokakuelimish wakisilm ishallmungu akuepushesar

    • @aminaally1248
      @aminaally1248 6 лет назад

      السلام عليكم ورحمة الله وبركته.
      HATUNA BUDI YA KUMSHUKURU ALLAAH kutujalia Sote kuwa waislamu .Ndugu zangu KATIKA IMAN. SHEKH NURUDIN KISHK YUKO SAHIHI PIA SHEKH AL HADII NAE YUKO SAHII. KWAN WOTE WAPO KTK KUITAFUTA HAKI. HAYA HATA ENZI ZA MASWAHABA YALITOKEA
      by Dr Faraji Ally juma. from singida central Tanzania

    • @khalfankhamis9083
      @khalfankhamis9083 5 лет назад

      Hajuwi mbona Othman maalim hakosolewi kishki hana elimu upo swa Hatim

  • @fuadabubakar576
    @fuadabubakar576 8 лет назад

    wewe hurekebishi ni ufidhuli tu

    • @nicemunacute5772
      @nicemunacute5772 7 лет назад +1

      Umeonae badala kulingania waso waislamu nyie mwakosoana live ukiona mada akosea mfate private unatufunza nn shk