Khatibu Wa Vetenari (Kishki) ....... Amkufurisha Sheikh Nabahany

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 мар 2015
  • Description

Комментарии • 570

  • @YusufMatianyi1388
    @YusufMatianyi1388 7 месяцев назад +1

    Jazakallahu kheyra Shiekh letu kwa Urekebishaji upotovu wa Mawahabi

  • @abasialiy4647
    @abasialiy4647 7 лет назад +4

    kishki bado mdogo sana kwenye watu wenye elimu muacheni arekibishwe waislamu tusomeni tusifuate mkumbo,mungu akuzidishie elimu na akuruzuku ufahamu shekh

  • @sabrajuma859
    @sabrajuma859 7 лет назад +4

    safi sana sheikh mohamed al hatimy kwa kutuweka sawa na endelea na moyo huohuo

  • @nassormohamedmwarizo4433
    @nassormohamedmwarizo4433 6 лет назад +12

    Kwa mwenye kufikiri atajua kweli Kishki amekosea. Huyu sheikh anatoa hoja kielimu sana. Mimi pia nilikua nna ufahamu huo wa Kishki lakini huyu sheikh kanishibisha.

    • @luuqmanabdi6052
      @luuqmanabdi6052 4 года назад +3

      Nassor Mohamed Mwarizo ..nko Pamoja nawe kiukweli kishk kakosea sna.ila mungu ndie mjuz wa yote

  • @hamidmaulid5232
    @hamidmaulid5232 8 лет назад +1

    ndugi yangu fatma buyusuf sheikh al hady yuko sahihi hata allah shahidi wa hilo MANA NI MARA YA TATU MTU MMOJA YY KUTOLEWA MAKOSA MBONA KUNA MASHEIKH WINGI TANZANIA MA YY SHEIKH AL HADY HAJAWAFANYIA RADIY allah akulinde na kila hasidi sheikh alhady Amiin

  • @abdula4014
    @abdula4014 Год назад +1

    Maasha Allah sheikh Muhammad. Nimeelewa Kuna wanazuoni waliosoma na wenye ilm, na wengine hawajasoma nawamejaaliwa ilm, na wale waliosoma lakini hawana ilm.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +1

    Mashaallah ustadh Mohamed umejibu vizuri hata kama umeelekezwa na masheikh zako ujibu hivyo.Kinachoniudhi mimi marudio ya nurdin kishki ni mengi Sana na yanachosha sana.majibu umemjibu vizuri na jibu lake ni ndani ya dakika tano tu

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 4 года назад +3

    Allah Akbar Allah tuongoze sheikh wangu wa kenya maneno yako mazuri

  • @manishbishar882
    @manishbishar882 2 года назад +1

    Weh sheikh una wivu bona husema hivo sheikh nurdin kishki ako sawa kwa maneno yake basi tupe tafsiri

  • @slamecktz
    @slamecktz 7 лет назад +1

    Shekh Alhatym kadri Mwenyezi Mungu anavyokuwezesha mrekebishe ipasavyo hawezi wakufurisha Mashekh wetu kiasi hicho.

  • @omarisimba8864
    @omarisimba8864 Год назад +1

    MashaAllah Allah azidi kukupa muongozo Shekh Alhatimy

  • @lamarwazza4323
    @lamarwazza4323 7 лет назад +1

    sheikh al hatimy ahsante sana wallah... E'limu za ujanja ujanja hazina nafasi tena. sheikh kishki ludi sheikh darasani

  • @kakamama5104
    @kakamama5104 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤mashaalaah shekhewangu alihtimiy

  • @saadjahadhmy103
    @saadjahadhmy103 6 лет назад +6

    Mawahabi muna shida sanaa . Hamuezi kukubali ukweli . Na mukielimishwa mwatuita wanafki

    • @alhamudesser758
      @alhamudesser758 3 года назад

      Ukweli Gani shekhe wenu nipimbi Hatoi dalili.dini niyanyanyake

  • @nganzirashidi1463
    @nganzirashidi1463 6 лет назад +2

    Huyu sheikh nimemuelewa vzur sana. Huyu sheikh Elimu yake kubwa sana.
    kishki Ukasome zaidi

  • @hamidmaulid5232
    @hamidmaulid5232 8 лет назад +4

    mashallah sheikh muhammad alhady mungu akuzidishie elimu yenye manufaa ya kutufaa sote ni kuutoa umma ktk giza mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila balaa amiin jazaka llahul khayri

  • @razaqwalulu530
    @razaqwalulu530 6 лет назад +1

    ungemwendea tu kishki mwenyew bila cc kujua lakini sikukatakata maneno yake nakuyakosoa .shekh naona wapenda sana sifa .mche Allah shekh

    • @omariomari3393
      @omariomari3393 3 года назад

      Angeanza kwanza kishk kuwaendea wasomaji wa kitabu hiki kabla hajawakufurisha waislam

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад

    Unarudia Sana kauli za sheikh kishki na kupoteza muda mpaka inatuchosha Sana .Dakika 30 nzima unarudia maneno yake.Bora ungerudia mara moja tu.Ungejibu tuhuma moja kwa moja ingependeza Sana.Afwan

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +2

    Laula muhammadun maujudun makunna muhtadina Wala baqina alal hidaya( s.a.w)

  • @juma6454
    @juma6454 Год назад

    Mashalh wasomi wapo kenya .na mungu kuzidishie elimu na kutusomesha ktka hili n mengine

  • @nadeemadams-mr3bs
    @nadeemadams-mr3bs 20 дней назад

    Mashallah Al-Habib.

  • @abdulhalimmohamed3643
    @abdulhalimmohamed3643 6 лет назад +4

    poleni wapenzi wa Kishki. vumilieni tu. Shekhe lenu amewekwa sawa. nothing personal.

  • @hamzashaaban6942
    @hamzashaaban6942 Год назад

    Mashekhe wetu nyote tunawapenda lkitokea kosa ktika dini basi elezaneni kwa uslubu mzuri .dini haijaeleza mkoseaji akosolewe kwa njia ya hasira sote ni binaadam na kila mmoja nimkoseaji kosoananeni kiheshima.tunajua nyote mna uchungu na dini Nyote Allah atawalipa kwa nia zenu msigombane jamani .

  • @sulaimsameer2668
    @sulaimsameer2668 7 лет назад +1

    Weww na kishki ni vitu viwili tofauti hata baada ya 10 years Huwezi kumkuta Nurdin kishki ...Qur'an yenyewe hujui kosoma

  • @abdallahathman7013
    @abdallahathman7013 7 лет назад +2

    asalam aleikum sheikh una wazo zuri masha Allah walakin unachofanya kumjibu kwenye mtandao ni makosa. kila muumin hukosa na akikosa unamrekebisha walakin si kwa video

  • @kitotaabdillahi4609
    @kitotaabdillahi4609 5 лет назад +2

    Kishki yupo sahihi. Hicho kitabu kina shirki ndanimo. Usituletee upumbavu hapa.

    • @sefuidi4535
      @sefuidi4535 5 лет назад

      We nirashaia

    • @khalidmuhammed2903
      @khalidmuhammed2903 4 года назад

      Kitota Abdillahi unajua watu wanafuata mkumbo tu hawafanyi utafiti ila kina makosa kweli

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад

    Shekhe wa kenya nimekuelewa Allah akuhifadhi alkamalu llah yy ni mtu na kukoseya ni kawaida fadhakr

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

    Allahu ya Allahu ya Allahu ya majaalkasidi ya ghathau iko hiyo tangu zamani

  • @mustafaabdullah9124
    @mustafaabdullah9124 3 года назад +1

    watu wamatwariqa mtabaki huko mliko nasi masalaf tutabaki tuliko.Nakuheshimu sheikh lakini pia katika ukosoaji wako umejichanganya,pole...

  • @fettykhalfan7337
    @fettykhalfan7337 6 лет назад

    wa sema shekhe kishki kakufurisha watu kwenye mimbar nawe wamkufurisha kwenye mitandoao inna lilahi

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 6 лет назад

      Fetty Khalfan hajakurishwa kishki hapa

  • @sadikiyahaya6325
    @sadikiyahaya6325 5 лет назад

    shekhe uko swa ila ungemuita,ungemfuta au ungempgia hta cmu mana nikpindi cha utandawazi.ila umejipanga kuja kumzihaki mwenzio wote nia ni moja kuilingania din ya hki na jua ndomana yy hajakujibu na kusema yy anamabomu ya nyuklia alisema .Jua hkuna anae ijua dini ila watu wanpishana kielimu kwa uwezo wake Allah aweke amani juu yenu.

  • @suleymanhureyn7013
    @suleymanhureyn7013 4 года назад

    ya sheikh Allah akuoneye huruma wallah na asikuazibu kwa husda yako , ayo mawaidha amekua anaeleza wenye husda ,

  • @allymbasha8794
    @allymbasha8794 2 года назад

    Ufafnuzi juu ya mstari huo wa kufuru sheikh tuelimike

  • @slamecktz
    @slamecktz 8 лет назад +4

    Ni swahihi kabisa maamuma wanatakiwa kuelimishwa lakini kabla mtu hajapanda juu ya Mimbari ni vyema ukaaliza kitu ambacho huna uhakika nacho au hujaelewa vizuri Mkoa wa Dar Es Salaam kuna wasomi wakubwa saaana achilia mbali mkoa wa Tanga, Kigoma na Kisiwa cha Zanzibar ni kweli alikosa Shekh wa kumfata akamuuliza uhakika wa Shekh YUsuph Ismail Nabahany, masikitiko makubwa saaaaana.

  • @user412
    @user412 6 лет назад

    Dah alhadiy unamkosoa kishk wakati wewe mwenyewe kiswahili haukijui.... ebu fahamu hutba ya kishk... hakumkufurisha sheikh nabahaniy..

    • @salaamclinicoftraditionalm3641
      @salaamclinicoftraditionalm3641 6 лет назад

      Khattab Khamis ila kafanyaje???

    • @user412
      @user412 6 лет назад

      Mohamed Alli Omari kiufupi Nenda kasome tawhiid utalipata jawabu lakn ukiulizia kwa mashekhe watakwambia ya kuwa hapa hakumkufurisha sheikh kama tunavyoona...
      Sikatai kuwa kishk amekosea lakini ndugu uyo anaekosea naye ana udhaifu wa kibinadamu na pia unaipima elimu yake ikoje ila ndugu nikusturiana na kutumia njia nzur Katika kukosoana......

  • @ahmedmohamed-wm5ec
    @ahmedmohamed-wm5ec 6 лет назад

    Shekh ahsante sn upo sahihi Jamaa aka some huyo huwez kumkosoa mwanazuoni kw matakwa yko mwenyewe watu wamejitahid ktk din wametung vitab zaid ya 50 uje ww ulosom miaka saba ujitie ujanja ktk dini asante shekh wasiilat shafy haijui undan wake yule angejua asinge sema hajawahipo kutokea mwanazuon ht mmoja akakosoa wasilat shafy wamepita vigogo wngp aje yy shekh wa juzi amkosoe ulamaa dah kweli kiama kipo karibu aombe msamaha huyo

  • @najibfatma5476
    @najibfatma5476 6 лет назад

    Subunallah nadhani ungemfuata pembeni au ungetuelimisha kuhusu kitabu sio kumtaja jina

  • @achiwaachiwa3425
    @achiwaachiwa3425 7 лет назад +7

    sheikh kwa njia kama hii ya utoaji wa mawaidha hujengi dini na ni dalili ya unafiki na ugombaninashaji wa waislam.... wewe kama umeona Sheikh Kishky amekosea huna haja ya kutoa cd mfate mwenyewe ukamrekebishe... Tuwache unafiki waislam utatufikisha pabaya

  • @ibrahimabdulrahman4301
    @ibrahimabdulrahman4301 8 лет назад +1

    Shekhe Alhady watoto wa kitwarika wenyewe wasema kuwa hzo raddi zko zte waandkiwa na fatha na kasra watiliwa na mwanafunzi wa mambrui. kuwa na ikhlasw kaa uchuwe!!!

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 3 года назад +1

    صلى الله عليه وسلم

  • @mohamudyaya8278
    @mohamudyaya8278 8 лет назад

    Wacha mungu hua hawashindani lakini duh kweli ni ustadh wa kujimba video ya kish hujamalizia mpka mwisho sijui una maana gani Allah knows best

  • @Halimabintmafitah
    @Halimabintmafitah 8 лет назад

    Subhana Llah.

  • @lydianasike2629
    @lydianasike2629 3 года назад +1

    Nimekisoma sana Kwa kweli tulipokuwa madrasa kila asubuhi tukiingia madrasa

  • @allychambale3242
    @allychambale3242 5 лет назад

    Mimi sijapenda mambo hayo tumezoea kuyaona kwa wanabongo move wasanii wa muzik sasa mpaka mashekh mbona hawawasio na muongozo sahihi viongoz wao hawafany malumbano mitandaon

  • @khalfankhalfan7813
    @khalfankhalfan7813 7 лет назад +1

    khery tupu masha allah

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Год назад

    Sheikh Muhammad waislam wanakutegemea, Sheikh Kishk tunanawategemea Elmu haina tofauti na bahri tunaomba barka za elmu zenu musidhalilishe uislam. Uislam unamaanisha Amani

  • @ahmedalmahrooqi9542
    @ahmedalmahrooqi9542 7 лет назад +2

    Mnamuonea donge tu ,nenda mbele uko na husda zako ,Kishki yupo juu

    • @RekhaRekha-es8br
      @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

      TWASIKITIKA HANA ILIMU

    • @zubeeihamisi8439
      @zubeeihamisi8439 5 лет назад

      Wehamed wacha upumbavu mtoto mdogo sana unawezakufananisha elimu ya kishki na SHEKH mohamad

  • @taitaomar6309
    @taitaomar6309 4 года назад

    Aliepewa hekma hakika amepewa kheri nyingi mno! innalillah wainnaailaih rajiuun!

  • @sammo6090
    @sammo6090 5 лет назад +1

    Kwaiyo tumeletwa na Allah kwa lengo gani hata useme hatujaumbwa kwa lengo na husda zako moyoni

  • @abdirahmanvideos555
    @abdirahmanvideos555 7 лет назад +1

    am sry for u sheikh.may Allah gaide us.kumsisitizia makosa kwa mtu asiye kuwa na makosa si vizuri.

  • @hawamusa2451
    @hawamusa2451 6 лет назад

    Huna lolote unamuonea wivu sheikh kishki , unatafuta umaarufu Kwa kumchafua mwezio acha chuki sheikh kishki ypo juu,,,Allah kashampandisha daraja ww huwez kumshusha ,,,roho mbaya inakusumbua ,,,lione vile ovyoo

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад

    Kishiki unanichekesha na hizo nyimbo zako hhhhhh shekhe wee du

  • @razaqwalulu530
    @razaqwalulu530 6 лет назад

    Huna lengo lakumrekebisha kishki Bali unatafuta kiki tu shekh wangu nalemba lako kubwa kweli

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

    Asalmu alekum kabisa ajifanya sana akizungumza kama yeye ni yeye hakuna shekh mungine nimashiaa hao usi stop edeleya kuwa faha misha shekh weto mungu akuweke ndiomana akapigwa huyo bahero huyo na huyo rafiki yaki kishki

  • @fatmabayusuf595
    @fatmabayusuf595 8 лет назад +15

    punguza ushindani kama mwenzio amekosa unamfuata private.ukimstiri muislam mwenzako na ALLAH atakustiri.kama hoja yako kua kishki amewakufurisha watu kwenye mimbar basi ww na yy una tofauti gani? ?

    • @hamaddede464
      @hamaddede464 8 лет назад +1

      elimu haifati ila inafatwa hlo la kusema afatwe ni kosa kubwa

    • @fatmabayusuf595
      @fatmabayusuf595 8 лет назад +4

      +Hamad Dede hapo ni sawa. iloniudhi ni vile anavyoongea.ukimtoa mwenzako makosa kwa uzuri hata alokosa atakufahamu zaidi na wengine wanaoskiza pia.

    • @oyay2821
      @oyay2821 7 лет назад +2

      amekashif hadharani na yeye arekubishwe haradharani

    • @neemaabdi4791
      @neemaabdi4791 5 лет назад

      Fatma Bayusuf ,hiyo hana lolote ,Ni kutaka kumdhoofisha tu nurdin

    • @salumkawa7333
      @salumkawa7333 5 лет назад

      kwann yy alisema private au kwenye member

  • @abdulahrasambi235
    @abdulahrasambi235 7 лет назад

    tofauti na Huyu Hatton.. hata kwa dawa kishk awezi mfikaa she ismail nabahanii kielimu doo kishhk Omba msamahaa tafadhali

    • @RekhaRekha-es8br
      @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

      Kabise aombe msamah kwa mngu na kwa shekh wetu

  • @khatibujuma2080
    @khatibujuma2080 5 лет назад

    unasaut mzur kwakutanhaza mpira

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад +2

    Mukitaka musitake Kishki hana ilimu aende madarasa

  • @amishcadey8806
    @amishcadey8806 6 лет назад

    namu penda sheikh kishki Allah amuhifathi

    • @RekhaRekha-es8br
      @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

      HAKUNA ALOMCHUKIYA KISHKI LAKINI ANAKOSEYA LAZIMA AKA SOME KWAUTULIVU

    • @RekhaRekha-es8br
      @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

      Hakuna aliye mchuki ana koseya sababu yaku koseya ni kuwa hana ilimu

  • @khaulatmohammed3765
    @khaulatmohammed3765 4 года назад +1

    Acha ujinga weee nyama wee kujifanya unajua kwan huyo shekh kishki kajiumba Hakuna binaadam dhaifu umenikera sana

  • @mwajumahassan5877
    @mwajumahassan5877 6 лет назад +1

    Nampen6a sana shekh kishki

    • @RekhaRekha-es8br
      @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

      UNA MPENDA HATU KATAI LAKINI HANA ILIMU HIBU MWABIYE AKASOME KWA MASHARIFU

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 6 лет назад

    Abdi rogo sijawahi kumsikia akijisifu.Othman maalim sijawahi msikia kujisifu hv.sheikh samir,sheikh ibrahim,bachu n.k sijawahi sikia

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 6 лет назад +1

    Hapo AllhAhu yaalam

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 6 лет назад

    Mm nawapenda mashekhe wt ela mt nikiona makelele meng hw simtizami tena

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 года назад

    Ungemtafta private mukachambua vitabu lkn sio kwa hali hii.... Subhanaallah lzm mushikamane ndio umma upate elmu. Kama kakosea mtafteni pravate hakuna mkamilifu

    • @salimlutfimohamed832
      @salimlutfimohamed832 3 года назад

      Amesema mwnywe aje ajibiwe na yeyote angemfuata private ungeelimika vp

  • @nassrajape2280
    @nassrajape2280 6 лет назад +1

    Kosa la sheikh kishk ni kwamba hajauliza kabla kusema ,angeuliza hapa kuna mania gan

  • @adamjutto7893
    @adamjutto7893 5 лет назад

    Mwanaume wao qaasim mafuta,nawashauri wote wakasome kwake

  • @mohamedkiyungi4867
    @mohamedkiyungi4867 3 года назад

    we mwenyewe umejichanganya yaani nyi maghulafi muna tabu sanga unauliza shirki iko wapi? kwani Allah ilikua lazima atuletee muhammad? na kwa man eno yako unamaanisha Allah hakua na uwezo wa kutuletea mtume mwingine ambaye si muhammad, subhannah LLAH

  • @amirikhatbu3850
    @amirikhatbu3850 6 лет назад

    Wewenikiboko wawa habi

  • @abdulrazaq212
    @abdulrazaq212 5 лет назад +3

    Hawawez kuku elewa shekh muhamad elimuzao ni ndogo wenyewe wanafata matamanio kwakua wanampenda kishki hiyo tunaita elmu bahari hawa wezi kukuelewa

    • @RekhaRekha-es8br
      @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

      Hwataelewa HAO NI WA POTOFU Kishki hana ilimu huyo nabahero

    • @khalidmuhammed2903
      @khalidmuhammed2903 4 года назад

      Sasa musiambiwe ukweli hem nenda kaangalie icho kitabu maneno ya shirki hayapo kweli

    • @nin-geed-saaran
      @nin-geed-saaran 4 года назад

      "Elmu bahari" subhanallah

  • @ahmadchitanda6149
    @ahmadchitanda6149 5 лет назад +3

    Una lolote unatafuta kiki mpumbavu

  • @sizasaidi6715
    @sizasaidi6715 Год назад

    Bd anaufahamu vizuli ao mawahabi niwauwaji kwaiyo tumsamehe bure sioakiliyake

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад +1

    Mpelekeni huyo kishki madarasa lamu akasome ajifanya sana na hana ilimu

  • @abuaminmadi9911
    @abuaminmadi9911 2 года назад

    Nyote wawili sio wasome ispokua muna punzi za kunguzungumza

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 6 лет назад

    uko sahihi kijana, kaweke sawa hako kashehe ubwabwa, yeye no bingwa wa bongo flavour tu.

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад +1

    Ww kweli wamfikia kishki katafute elmu

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 4 года назад

    wewe ukisema hautasamehe allah atamsamehe shekhe kishki

  • @bin_yameen
    @bin_yameen 6 лет назад

    Wewe achana na mashekh km hukusoma kasome

  • @lamarneir1671
    @lamarneir1671 8 лет назад +1

    Aaaahahaha... kishki unajichanganya wallah

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад +1

    Wambiyeni wapigao maulidi hata lini haukomi uhasidi mauli yako tawasuli iko mutake musitaki kasomeni bahero kishki

  • @abdisalamshee3698
    @abdisalamshee3698 2 года назад

    Nyie watu wa maulidi hamna elimu yyte ,, hamusikii uzuri kabsa

  • @msramadhan2810
    @msramadhan2810 2 года назад

    Hata kama nikweli kakosea lkn sio vzr kukosoana mitandaoni

  • @amohamed6948
    @amohamed6948 8 лет назад +3

    Kwak nini awachwe khatibu wa vetenari aendelee kupotosha wakati yupo ustadh mwenye kumrekebisha? Poleni wapenzi wa Ustadh Kishki lakini anaye potosha hadharani inabidi awekwe sawa hadharani. Ijapokuwa ingekuwa bora kutumiliwe hikma na utulivu itumiliwe katika kurekebishana. Sisi sote ni wamoja Kwak high turehemiyane na tusameheyane na tusiwe wa haraka kukufurishana.

    • @abadalaali7736
      @abadalaali7736 8 лет назад +1

      +A Mohamed dini haina mapenzi kwa sheikh fulani ni kosa

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

    Hahaha akitowa mawaidha haha atowa utendi haha ajifanya sana

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 6 лет назад

    Jamani 2chunge ndimi ze2 co kila 2naloliona au kulickia tulitolee fatwa! Hata comment ze2 2ziangalie 2we na hikhma. kuna haja ya masheghe we2 hasa wanao2100 kiswahili kuwa makini wakat wa kutoa fatwa kwa7bu CD zinackilizwa na kuangaliwa na waislam wengi xana na hata wasiokuwa "WAUMINI " Allahu yaalamu..

  • @idrissahamad5791
    @idrissahamad5791 4 года назад

    Mashaikh vp nynyi

  • @safari34410
    @safari34410 7 лет назад

    Acheni kushindana waislam

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 6 лет назад

    katika masheikh wapuuzi nisiowapenda dawa zao ni kishki, anapenda misifa mno, ya dini hayasimamii yuko pamoja na matwaghuti, hana inshu.

    • @RekhaRekha-es8br
      @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

      Mpelekeni huyo kishki madrasa riadhwa ajifanya sana hata hajuwi kuzunmza hata kidogo

  • @jabirimabada3967
    @jabirimabada3967 6 лет назад

    Nimefatilia CD nyingi na clips nyingi za sheikh nurdin kishki yaan huwa anaongopa hata lugha ya kiarabu hususan nahw,swarafu,balagha,usuli,mantwiq, hajui nandio maana anatafsiri kwa maneno yake mwenyewe nakumkufurisha mwanachuoni yusuph bun Ismail nabahani wakati elimu yake ndogo ila niseme tu kwamba kishki hana lolote kichwani zaidi ya sauti qaliii huyo sheikh ndio fundi humdanganyi mipito yote ya lugha nakupongeza sana tena sana sheikh kwakumkosoa huyo kishki anaejifanya Tanzania nzima hakuna msomi zaidi yake wakati ni box tupu kichwani.

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 6 лет назад +1

    Mm nasema toka zamani kabla ya hili nilipo aza kumsikiliza hy kishik alikuwa anaivuruga akili yng

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад

    Ame washinda

  • @mohamudyaya8278
    @mohamudyaya8278 8 лет назад +1

    Wewe sheikh mbona iyo video unaikatakata

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 4 года назад

    kauli zako sio zakurekebisha mtu niza kashfa, kauli zako zafanya watu kumtukana shekhe kishki jukumu lako kwa allah

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 5 лет назад

    Hakika ya kila jambo mtu hulipwa kwa nia. Lkn ikiwa mtu amekosea hadharani si arekebishwe hadharani? Ni kweli anaeza kuitwa pembeni akafahamishwa lkn anaeza akaeka sawa lile alilolikosea hadharani na wakti imani yake ndio ashaamini kua ndio hvyo? Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka, Amiin

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 6 лет назад +3

    kishki ni mzushi tu hata shehe rogo alishawahi kusema madhaifu yake.

    • @latifahmulanda682
      @latifahmulanda682 6 лет назад

      Ramadhan Ibrahim shetani ww unaye Sema kishki ni mzushi rogo ndie aliye kua mzushi mkubwa akafa kifo cha uzushi

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed694 5 лет назад

    Unatafuta kiki na followers ... mnafiki ww

  • @hawraymuncw9893
    @hawraymuncw9893 4 года назад +2

    مشكلة الوهبية لا يفتهمون لأن في قلوبهم أقفال

  • @meyramahir9055
    @meyramahir9055 6 лет назад +1

    Sheikh kishki mungu ampe umri mrefu enye baraka. But wewe sheikh mwengine tafadhali wacha wivu

  • @jasmineidd9443
    @jasmineidd9443 5 лет назад +1

    Kwan wewe unashangaa kijana wa miaka 36 kukuzidi elimu wewe mwenye miaka 1000 mbona hushangai firauni kuzidiwa akini na mtoto wa miezi3 hali yakuwa yeye ni lijibaba la miaka 50.

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад +1

    Muhammadil hadi Ali mkizi apinga qur'an katika nikkah Cd part2
    11.380 weergaven
    68
    14