kishki bado mdogo sana kwenye watu wenye elimu muacheni arekibishwe waislamu tusomeni tusifuate mkumbo,mungu akuzidishie elimu na akuruzuku ufahamu shekh
Kwa mwenye kufikiri atajua kweli Kishki amekosea. Huyu sheikh anatoa hoja kielimu sana. Mimi pia nilikua nna ufahamu huo wa Kishki lakini huyu sheikh kanishibisha.
ndugi yangu fatma buyusuf sheikh al hady yuko sahihi hata allah shahidi wa hilo MANA NI MARA YA TATU MTU MMOJA YY KUTOLEWA MAKOSA MBONA KUNA MASHEIKH WINGI TANZANIA MA YY SHEIKH AL HADY HAJAWAFANYIA RADIY allah akulinde na kila hasidi sheikh alhady Amiin
Maasha Allah sheikh Muhammad. Nimeelewa Kuna wanazuoni waliosoma na wenye ilm, na wengine hawajasoma nawamejaaliwa ilm, na wale waliosoma lakini hawana ilm.
Mashaallah ustadh Mohamed umejibu vizuri hata kama umeelekezwa na masheikh zako ujibu hivyo.Kinachoniudhi mimi marudio ya nurdin kishki ni mengi Sana na yanachosha sana.majibu umemjibu vizuri na jibu lake ni ndani ya dakika tano tu
mashallah sheikh muhammad alhady mungu akuzidishie elimu yenye manufaa ya kutufaa sote ni kuutoa umma ktk giza mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila balaa amiin jazaka llahul khayri
Unarudia Sana kauli za sheikh kishki na kupoteza muda mpaka inatuchosha Sana .Dakika 30 nzima unarudia maneno yake.Bora ungerudia mara moja tu.Ungejibu tuhuma moja kwa moja ingependeza Sana.Afwan
Mashekhe wetu nyote tunawapenda lkitokea kosa ktika dini basi elezaneni kwa uslubu mzuri .dini haijaeleza mkoseaji akosolewe kwa njia ya hasira sote ni binaadam na kila mmoja nimkoseaji kosoananeni kiheshima.tunajua nyote mna uchungu na dini Nyote Allah atawalipa kwa nia zenu msigombane jamani .
asalam aleikum sheikh una wazo zuri masha Allah walakin unachofanya kumjibu kwenye mtandao ni makosa. kila muumin hukosa na akikosa unamrekebisha walakin si kwa video
shekhe uko swa ila ungemuita,ungemfuta au ungempgia hta cmu mana nikpindi cha utandawazi.ila umejipanga kuja kumzihaki mwenzio wote nia ni moja kuilingania din ya hki na jua ndomana yy hajakujibu na kusema yy anamabomu ya nyuklia alisema .Jua hkuna anae ijua dini ila watu wanpishana kielimu kwa uwezo wake Allah aweke amani juu yenu.
Ni swahihi kabisa maamuma wanatakiwa kuelimishwa lakini kabla mtu hajapanda juu ya Mimbari ni vyema ukaaliza kitu ambacho huna uhakika nacho au hujaelewa vizuri Mkoa wa Dar Es Salaam kuna wasomi wakubwa saaana achilia mbali mkoa wa Tanga, Kigoma na Kisiwa cha Zanzibar ni kweli alikosa Shekh wa kumfata akamuuliza uhakika wa Shekh YUsuph Ismail Nabahany, masikitiko makubwa saaaaana.
Mohamed Alli Omari kiufupi Nenda kasome tawhiid utalipata jawabu lakn ukiulizia kwa mashekhe watakwambia ya kuwa hapa hakumkufurisha sheikh kama tunavyoona... Sikatai kuwa kishk amekosea lakini ndugu uyo anaekosea naye ana udhaifu wa kibinadamu na pia unaipima elimu yake ikoje ila ndugu nikusturiana na kutumia njia nzur Katika kukosoana......
sheikh kwa njia kama hii ya utoaji wa mawaidha hujengi dini na ni dalili ya unafiki na ugombaninashaji wa waislam.... wewe kama umeona Sheikh Kishky amekosea huna haja ya kutoa cd mfate mwenyewe ukamrekebishe... Tuwache unafiki waislam utatufikisha pabaya
Shekhe Alhady watoto wa kitwarika wenyewe wasema kuwa hzo raddi zko zte waandkiwa na fatha na kasra watiliwa na mwanafunzi wa mambrui. kuwa na ikhlasw kaa uchuwe!!!
Mimi sijapenda mambo hayo tumezoea kuyaona kwa wanabongo move wasanii wa muzik sasa mpaka mashekh mbona hawawasio na muongozo sahihi viongoz wao hawafany malumbano mitandaon
Asalmu alekum kabisa ajifanya sana akizungumza kama yeye ni yeye hakuna shekh mungine nimashiaa hao usi stop edeleya kuwa faha misha shekh weto mungu akuweke ndiomana akapigwa huyo bahero huyo na huyo rafiki yaki kishki
punguza ushindani kama mwenzio amekosa unamfuata private.ukimstiri muislam mwenzako na ALLAH atakustiri.kama hoja yako kua kishki amewakufurisha watu kwenye mimbar basi ww na yy una tofauti gani? ?
Ungemtafta private mukachambua vitabu lkn sio kwa hali hii.... Subhanaallah lzm mushikamane ndio umma upate elmu. Kama kakosea mtafteni pravate hakuna mkamilifu
we mwenyewe umejichanganya yaani nyi maghulafi muna tabu sanga unauliza shirki iko wapi? kwani Allah ilikua lazima atuletee muhammad? na kwa man eno yako unamaanisha Allah hakua na uwezo wa kutuletea mtume mwingine ambaye si muhammad, subhannah LLAH
Kwak nini awachwe khatibu wa vetenari aendelee kupotosha wakati yupo ustadh mwenye kumrekebisha? Poleni wapenzi wa Ustadh Kishki lakini anaye potosha hadharani inabidi awekwe sawa hadharani. Ijapokuwa ingekuwa bora kutumiliwe hikma na utulivu itumiliwe katika kurekebishana. Sisi sote ni wamoja Kwak high turehemiyane na tusameheyane na tusiwe wa haraka kukufurishana.
Jamani 2chunge ndimi ze2 co kila 2naloliona au kulickia tulitolee fatwa! Hata comment ze2 2ziangalie 2we na hikhma. kuna haja ya masheghe we2 hasa wanao2100 kiswahili kuwa makini wakat wa kutoa fatwa kwa7bu CD zinackilizwa na kuangaliwa na waislam wengi xana na hata wasiokuwa "WAUMINI " Allahu yaalamu..
Nimefatilia CD nyingi na clips nyingi za sheikh nurdin kishki yaan huwa anaongopa hata lugha ya kiarabu hususan nahw,swarafu,balagha,usuli,mantwiq, hajui nandio maana anatafsiri kwa maneno yake mwenyewe nakumkufurisha mwanachuoni yusuph bun Ismail nabahani wakati elimu yake ndogo ila niseme tu kwamba kishki hana lolote kichwani zaidi ya sauti qaliii huyo sheikh ndio fundi humdanganyi mipito yote ya lugha nakupongeza sana tena sana sheikh kwakumkosoa huyo kishki anaejifanya Tanzania nzima hakuna msomi zaidi yake wakati ni box tupu kichwani.
Hakika ya kila jambo mtu hulipwa kwa nia. Lkn ikiwa mtu amekosea hadharani si arekebishwe hadharani? Ni kweli anaeza kuitwa pembeni akafahamishwa lkn anaeza akaeka sawa lile alilolikosea hadharani na wakti imani yake ndio ashaamini kua ndio hvyo? Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka, Amiin
Kwan wewe unashangaa kijana wa miaka 36 kukuzidi elimu wewe mwenye miaka 1000 mbona hushangai firauni kuzidiwa akini na mtoto wa miezi3 hali yakuwa yeye ni lijibaba la miaka 50.
Jazakallahu kheyra Shiekh letu kwa Urekebishaji upotovu wa Mawahabi
kishki bado mdogo sana kwenye watu wenye elimu muacheni arekibishwe waislamu tusomeni tusifuate mkumbo,mungu akuzidishie elimu na akuruzuku ufahamu shekh
safi sana sheikh mohamed al hatimy kwa kutuweka sawa na endelea na moyo huohuo
KABISA dadangu
Kwa mwenye kufikiri atajua kweli Kishki amekosea. Huyu sheikh anatoa hoja kielimu sana. Mimi pia nilikua nna ufahamu huo wa Kishki lakini huyu sheikh kanishibisha.
Nassor Mohamed Mwarizo ..nko Pamoja nawe kiukweli kishk kakosea sna.ila mungu ndie mjuz wa yote
ndugi yangu fatma buyusuf sheikh al hady yuko sahihi hata allah shahidi wa hilo MANA NI MARA YA TATU MTU MMOJA YY KUTOLEWA MAKOSA MBONA KUNA MASHEIKH WINGI TANZANIA MA YY SHEIKH AL HADY HAJAWAFANYIA RADIY allah akulinde na kila hasidi sheikh alhady Amiin
Maasha Allah sheikh Muhammad. Nimeelewa Kuna wanazuoni waliosoma na wenye ilm, na wengine hawajasoma nawamejaaliwa ilm, na wale waliosoma lakini hawana ilm.
Mashaallah ustadh Mohamed umejibu vizuri hata kama umeelekezwa na masheikh zako ujibu hivyo.Kinachoniudhi mimi marudio ya nurdin kishki ni mengi Sana na yanachosha sana.majibu umemjibu vizuri na jibu lake ni ndani ya dakika tano tu
Allah Akbar Allah tuongoze sheikh wangu wa kenya maneno yako mazuri
Weh sheikh una wivu bona husema hivo sheikh nurdin kishki ako sawa kwa maneno yake basi tupe tafsiri
Shekh Alhatym kadri Mwenyezi Mungu anavyokuwezesha mrekebishe ipasavyo hawezi wakufurisha Mashekh wetu kiasi hicho.
MashaAllah Allah azidi kukupa muongozo Shekh Alhatimy
sheikh al hatimy ahsante sana wallah... E'limu za ujanja ujanja hazina nafasi tena. sheikh kishki ludi sheikh darasani
❤❤❤❤❤❤❤❤❤mashaalaah shekhewangu alihtimiy
Mawahabi muna shida sanaa . Hamuezi kukubali ukweli . Na mukielimishwa mwatuita wanafki
Ukweli Gani shekhe wenu nipimbi Hatoi dalili.dini niyanyanyake
Huyu sheikh nimemuelewa vzur sana. Huyu sheikh Elimu yake kubwa sana.
kishki Ukasome zaidi
mashallah sheikh muhammad alhady mungu akuzidishie elimu yenye manufaa ya kutufaa sote ni kuutoa umma ktk giza mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila balaa amiin jazaka llahul khayri
Hana uma sha allah eli ya zamn tofaut na sasa
ungemwendea tu kishki mwenyew bila cc kujua lakini sikukatakata maneno yake nakuyakosoa .shekh naona wapenda sana sifa .mche Allah shekh
Angeanza kwanza kishk kuwaendea wasomaji wa kitabu hiki kabla hajawakufurisha waislam
Unarudia Sana kauli za sheikh kishki na kupoteza muda mpaka inatuchosha Sana .Dakika 30 nzima unarudia maneno yake.Bora ungerudia mara moja tu.Ungejibu tuhuma moja kwa moja ingependeza Sana.Afwan
Laula muhammadun maujudun makunna muhtadina Wala baqina alal hidaya( s.a.w)
short and clear.
Mashalh wasomi wapo kenya .na mungu kuzidishie elimu na kutusomesha ktka hili n mengine
Mashallah Al-Habib.
poleni wapenzi wa Kishki. vumilieni tu. Shekhe lenu amewekwa sawa. nothing personal.
Mashekhe wetu nyote tunawapenda lkitokea kosa ktika dini basi elezaneni kwa uslubu mzuri .dini haijaeleza mkoseaji akosolewe kwa njia ya hasira sote ni binaadam na kila mmoja nimkoseaji kosoananeni kiheshima.tunajua nyote mna uchungu na dini Nyote Allah atawalipa kwa nia zenu msigombane jamani .
Weww na kishki ni vitu viwili tofauti hata baada ya 10 years Huwezi kumkuta Nurdin kishki ...Qur'an yenyewe hujui kosoma
asalam aleikum sheikh una wazo zuri masha Allah walakin unachofanya kumjibu kwenye mtandao ni makosa. kila muumin hukosa na akikosa unamrekebisha walakin si kwa video
Kishki yupo sahihi. Hicho kitabu kina shirki ndanimo. Usituletee upumbavu hapa.
We nirashaia
Kitota Abdillahi unajua watu wanafuata mkumbo tu hawafanyi utafiti ila kina makosa kweli
Shekhe wa kenya nimekuelewa Allah akuhifadhi alkamalu llah yy ni mtu na kukoseya ni kawaida fadhakr
Allahu ya Allahu ya Allahu ya majaalkasidi ya ghathau iko hiyo tangu zamani
watu wamatwariqa mtabaki huko mliko nasi masalaf tutabaki tuliko.Nakuheshimu sheikh lakini pia katika ukosoaji wako umejichanganya,pole...
wa sema shekhe kishki kakufurisha watu kwenye mimbar nawe wamkufurisha kwenye mitandoao inna lilahi
Fetty Khalfan hajakurishwa kishki hapa
shekhe uko swa ila ungemuita,ungemfuta au ungempgia hta cmu mana nikpindi cha utandawazi.ila umejipanga kuja kumzihaki mwenzio wote nia ni moja kuilingania din ya hki na jua ndomana yy hajakujibu na kusema yy anamabomu ya nyuklia alisema .Jua hkuna anae ijua dini ila watu wanpishana kielimu kwa uwezo wake Allah aweke amani juu yenu.
ya sheikh Allah akuoneye huruma wallah na asikuazibu kwa husda yako , ayo mawaidha amekua anaeleza wenye husda ,
V
Ufafnuzi juu ya mstari huo wa kufuru sheikh tuelimike
Ni swahihi kabisa maamuma wanatakiwa kuelimishwa lakini kabla mtu hajapanda juu ya Mimbari ni vyema ukaaliza kitu ambacho huna uhakika nacho au hujaelewa vizuri Mkoa wa Dar Es Salaam kuna wasomi wakubwa saaana achilia mbali mkoa wa Tanga, Kigoma na Kisiwa cha Zanzibar ni kweli alikosa Shekh wa kumfata akamuuliza uhakika wa Shekh YUsuph Ismail Nabahany, masikitiko makubwa saaaaana.
Upo sahihi ndugu
Dah alhadiy unamkosoa kishk wakati wewe mwenyewe kiswahili haukijui.... ebu fahamu hutba ya kishk... hakumkufurisha sheikh nabahaniy..
Khattab Khamis ila kafanyaje???
Mohamed Alli Omari kiufupi Nenda kasome tawhiid utalipata jawabu lakn ukiulizia kwa mashekhe watakwambia ya kuwa hapa hakumkufurisha sheikh kama tunavyoona...
Sikatai kuwa kishk amekosea lakini ndugu uyo anaekosea naye ana udhaifu wa kibinadamu na pia unaipima elimu yake ikoje ila ndugu nikusturiana na kutumia njia nzur Katika kukosoana......
Shekh ahsante sn upo sahihi Jamaa aka some huyo huwez kumkosoa mwanazuoni kw matakwa yko mwenyewe watu wamejitahid ktk din wametung vitab zaid ya 50 uje ww ulosom miaka saba ujitie ujanja ktk dini asante shekh wasiilat shafy haijui undan wake yule angejua asinge sema hajawahipo kutokea mwanazuon ht mmoja akakosoa wasilat shafy wamepita vigogo wngp aje yy shekh wa juzi amkosoe ulamaa dah kweli kiama kipo karibu aombe msamaha huyo
Subunallah nadhani ungemfuata pembeni au ungetuelimisha kuhusu kitabu sio kumtaja jina
Jemeni musi fuateni mashia siwa kweli
sheikh kwa njia kama hii ya utoaji wa mawaidha hujengi dini na ni dalili ya unafiki na ugombaninashaji wa waislam.... wewe kama umeona Sheikh Kishky amekosea huna haja ya kutoa cd mfate mwenyewe ukamrekebishe... Tuwache unafiki waislam utatufikisha pabaya
Aah Mawahabi tunakujueni kwa kutetea uovu nyie mnajitahidi sana tu yani
Achiwa Achiwa hana alipo kosea ila kishky amemzid elimu ndo mana
Alhatimiy yuko sahihi kabisa
Anaondoa kufru zilizoletwa na kishki
We unawaza nini?? Hauko sawa humjui kishk ww kaa tulia
Shekhe Alhady watoto wa kitwarika wenyewe wasema kuwa hzo raddi zko zte waandkiwa na fatha na kasra watiliwa na mwanafunzi wa mambrui. kuwa na ikhlasw kaa uchuwe!!!
صلى الله عليه وسلم
Wacha mungu hua hawashindani lakini duh kweli ni ustadh wa kujimba video ya kish hujamalizia mpka mwisho sijui una maana gani Allah knows best
Subhana Llah.
Nimekisoma sana Kwa kweli tulipokuwa madrasa kila asubuhi tukiingia madrasa
Mimi sijapenda mambo hayo tumezoea kuyaona kwa wanabongo move wasanii wa muzik sasa mpaka mashekh mbona hawawasio na muongozo sahihi viongoz wao hawafany malumbano mitandaon
khery tupu masha allah
Sheikh Muhammad waislam wanakutegemea, Sheikh Kishk tunanawategemea Elmu haina tofauti na bahri tunaomba barka za elmu zenu musidhalilishe uislam. Uislam unamaanisha Amani
Mnamuonea donge tu ,nenda mbele uko na husda zako ,Kishki yupo juu
TWASIKITIKA HANA ILIMU
Wehamed wacha upumbavu mtoto mdogo sana unawezakufananisha elimu ya kishki na SHEKH mohamad
Aliepewa hekma hakika amepewa kheri nyingi mno! innalillah wainnaailaih rajiuun!
Kwaiyo tumeletwa na Allah kwa lengo gani hata useme hatujaumbwa kwa lengo na husda zako moyoni
am sry for u sheikh.may Allah gaide us.kumsisitizia makosa kwa mtu asiye kuwa na makosa si vizuri.
wewe ndio hukosea,jirekebishe kwanza
Huna lolote unamuonea wivu sheikh kishki , unatafuta umaarufu Kwa kumchafua mwezio acha chuki sheikh kishki ypo juu,,,Allah kashampandisha daraja ww huwez kumshusha ,,,roho mbaya inakusumbua ,,,lione vile ovyoo
Kishiki unanichekesha na hizo nyimbo zako hhhhhh shekhe wee du
Huna lengo lakumrekebisha kishki Bali unatafuta kiki tu shekh wangu nalemba lako kubwa kweli
Asalmu alekum kabisa ajifanya sana akizungumza kama yeye ni yeye hakuna shekh mungine nimashiaa hao usi stop edeleya kuwa faha misha shekh weto mungu akuweke ndiomana akapigwa huyo bahero huyo na huyo rafiki yaki kishki
punguza ushindani kama mwenzio amekosa unamfuata private.ukimstiri muislam mwenzako na ALLAH atakustiri.kama hoja yako kua kishki amewakufurisha watu kwenye mimbar basi ww na yy una tofauti gani? ?
elimu haifati ila inafatwa hlo la kusema afatwe ni kosa kubwa
+Hamad Dede hapo ni sawa. iloniudhi ni vile anavyoongea.ukimtoa mwenzako makosa kwa uzuri hata alokosa atakufahamu zaidi na wengine wanaoskiza pia.
amekashif hadharani na yeye arekubishwe haradharani
Fatma Bayusuf ,hiyo hana lolote ,Ni kutaka kumdhoofisha tu nurdin
kwann yy alisema private au kwenye member
tofauti na Huyu Hatton.. hata kwa dawa kishk awezi mfikaa she ismail nabahanii kielimu doo kishhk Omba msamahaa tafadhali
Kabise aombe msamah kwa mngu na kwa shekh wetu
unasaut mzur kwakutanhaza mpira
Mukitaka musitake Kishki hana ilimu aende madarasa
namu penda sheikh kishki Allah amuhifathi
HAKUNA ALOMCHUKIYA KISHKI LAKINI ANAKOSEYA LAZIMA AKA SOME KWAUTULIVU
Hakuna aliye mchuki ana koseya sababu yaku koseya ni kuwa hana ilimu
Acha ujinga weee nyama wee kujifanya unajua kwan huyo shekh kishki kajiumba Hakuna binaadam dhaifu umenikera sana
Mbona unamtukana
Nampen6a sana shekh kishki
UNA MPENDA HATU KATAI LAKINI HANA ILIMU HIBU MWABIYE AKASOME KWA MASHARIFU
Abdi rogo sijawahi kumsikia akijisifu.Othman maalim sijawahi msikia kujisifu hv.sheikh samir,sheikh ibrahim,bachu n.k sijawahi sikia
Hapo AllhAhu yaalam
Mm nawapenda mashekhe wt ela mt nikiona makelele meng hw simtizami tena
Ungemtafta private mukachambua vitabu lkn sio kwa hali hii.... Subhanaallah lzm mushikamane ndio umma upate elmu. Kama kakosea mtafteni pravate hakuna mkamilifu
Amesema mwnywe aje ajibiwe na yeyote angemfuata private ungeelimika vp
Kosa la sheikh kishk ni kwamba hajauliza kabla kusema ,angeuliza hapa kuna mania gan
Mwanaume wao qaasim mafuta,nawashauri wote wakasome kwake
we mwenyewe umejichanganya yaani nyi maghulafi muna tabu sanga unauliza shirki iko wapi? kwani Allah ilikua lazima atuletee muhammad? na kwa man eno yako unamaanisha Allah hakua na uwezo wa kutuletea mtume mwingine ambaye si muhammad, subhannah LLAH
Wewenikiboko wawa habi
Hawawez kuku elewa shekh muhamad elimuzao ni ndogo wenyewe wanafata matamanio kwakua wanampenda kishki hiyo tunaita elmu bahari hawa wezi kukuelewa
Hwataelewa HAO NI WA POTOFU Kishki hana ilimu huyo nabahero
Sasa musiambiwe ukweli hem nenda kaangalie icho kitabu maneno ya shirki hayapo kweli
"Elmu bahari" subhanallah
Una lolote unatafuta kiki mpumbavu
Bd anaufahamu vizuli ao mawahabi niwauwaji kwaiyo tumsamehe bure sioakiliyake
Mpelekeni huyo kishki madarasa lamu akasome ajifanya sana na hana ilimu
Nyote wawili sio wasome ispokua muna punzi za kunguzungumza
uko sahihi kijana, kaweke sawa hako kashehe ubwabwa, yeye no bingwa wa bongo flavour tu.
ni bingwa wa bongo flavour
Astakafirullah
Ww kweli wamfikia kishki katafute elmu
wewe ukisema hautasamehe allah atamsamehe shekhe kishki
Wewe achana na mashekh km hukusoma kasome
Aaaahahaha... kishki unajichanganya wallah
Wambiyeni wapigao maulidi hata lini haukomi uhasidi mauli yako tawasuli iko mutake musitaki kasomeni bahero kishki
Nyie watu wa maulidi hamna elimu yyte ,, hamusikii uzuri kabsa
Hata kama nikweli kakosea lkn sio vzr kukosoana mitandaoni
Kwak nini awachwe khatibu wa vetenari aendelee kupotosha wakati yupo ustadh mwenye kumrekebisha? Poleni wapenzi wa Ustadh Kishki lakini anaye potosha hadharani inabidi awekwe sawa hadharani. Ijapokuwa ingekuwa bora kutumiliwe hikma na utulivu itumiliwe katika kurekebishana. Sisi sote ni wamoja Kwak high turehemiyane na tusameheyane na tusiwe wa haraka kukufurishana.
+A Mohamed dini haina mapenzi kwa sheikh fulani ni kosa
Hahaha akitowa mawaidha haha atowa utendi haha ajifanya sana
Jamani 2chunge ndimi ze2 co kila 2naloliona au kulickia tulitolee fatwa! Hata comment ze2 2ziangalie 2we na hikhma. kuna haja ya masheghe we2 hasa wanao2100 kiswahili kuwa makini wakat wa kutoa fatwa kwa7bu CD zinackilizwa na kuangaliwa na waislam wengi xana na hata wasiokuwa "WAUMINI " Allahu yaalamu..
Mashaikh vp nynyi
Acheni kushindana waislam
katika masheikh wapuuzi nisiowapenda dawa zao ni kishki, anapenda misifa mno, ya dini hayasimamii yuko pamoja na matwaghuti, hana inshu.
Mpelekeni huyo kishki madrasa riadhwa ajifanya sana hata hajuwi kuzunmza hata kidogo
Nimefatilia CD nyingi na clips nyingi za sheikh nurdin kishki yaan huwa anaongopa hata lugha ya kiarabu hususan nahw,swarafu,balagha,usuli,mantwiq, hajui nandio maana anatafsiri kwa maneno yake mwenyewe nakumkufurisha mwanachuoni yusuph bun Ismail nabahani wakati elimu yake ndogo ila niseme tu kwamba kishki hana lolote kichwani zaidi ya sauti qaliii huyo sheikh ndio fundi humdanganyi mipito yote ya lugha nakupongeza sana tena sana sheikh kwakumkosoa huyo kishki anaejifanya Tanzania nzima hakuna msomi zaidi yake wakati ni box tupu kichwani.
Mm nasema toka zamani kabla ya hili nilipo aza kumsikiliza hy kishik alikuwa anaivuruga akili yng
Shifaa 33
Ame washinda
Wewe sheikh mbona iyo video unaikatakata
kauli zako sio zakurekebisha mtu niza kashfa, kauli zako zafanya watu kumtukana shekhe kishki jukumu lako kwa allah
We nawe
Hakika ya kila jambo mtu hulipwa kwa nia. Lkn ikiwa mtu amekosea hadharani si arekebishwe hadharani? Ni kweli anaeza kuitwa pembeni akafahamishwa lkn anaeza akaeka sawa lile alilolikosea hadharani na wakti imani yake ndio ashaamini kua ndio hvyo? Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka, Amiin
kishki ni mzushi tu hata shehe rogo alishawahi kusema madhaifu yake.
Ramadhan Ibrahim shetani ww unaye Sema kishki ni mzushi rogo ndie aliye kua mzushi mkubwa akafa kifo cha uzushi
Unatafuta kiki na followers ... mnafiki ww
مشكلة الوهبية لا يفتهمون لأن في قلوبهم أقفال
أنت مجنون أو معتوه
Sheikh kishki mungu ampe umri mrefu enye baraka. But wewe sheikh mwengine tafadhali wacha wivu
Kwan wewe unashangaa kijana wa miaka 36 kukuzidi elimu wewe mwenye miaka 1000 mbona hushangai firauni kuzidiwa akini na mtoto wa miezi3 hali yakuwa yeye ni lijibaba la miaka 50.
Muhammadil hadi Ali mkizi apinga qur'an katika nikkah Cd part2
11.380 weergaven
68
14