huu ni ujumbe tosha kwetu nyoyo zilizosusua hufanya mambo yanayochochea chuki katika familia badala ya kujenga Mungu atunusuru na kufanya fitna na kujenga chuki baina yetu amin
Asalaam ghalykum shekhe usije ukanyanyu ulimi wako kwa kukukosoa watu ndio dunia imefikia naukamraddi yoyote endelea nahiyo kazi yakutufundisha(kuwa nasubra
Wallah Othman maalimu Allah akulipe mema hapa Duniani Na kesho akhela mawaidha yako yananifunza natamani siku moja nikuone live Inshaallaah nitafalijika sana❤
M.mungu atuondolee haya maradhi makubwa yaarab
huu ni ujumbe tosha kwetu nyoyo zilizosusua hufanya mambo yanayochochea chuki katika familia badala ya kujenga Mungu atunusuru na kufanya fitna na kujenga chuki baina yetu amin
Mashaallaa mwenyenzi mungu amuongoze
Allah.akulipe.kila.la.kher.shekhe.inshaallah
ALLAH AKBAR ❤️ NAPENDA SANAA SEHEMU Y KUISOMA.QUR'AAN MASHAALLAH NAFARIJIKA SNAAAA
Amiiin inshallah Allah atujalie nyoyo saf n atuondoshee uchaf wa mamb hay
Allah atuhifadhi in shaa Allah ,subhanallah
Mola atuongoze inshaallah
Masha Allah tabara Allah shekh upo sahih nakupenda Kwa ajili ya Allah may Allah grant you jannat Alfirdausi
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah firdaus inshallah 🙏
Asalaam ghalykum shekhe usije ukanyanyu ulimi wako kwa kukukosoa watu ndio dunia imefikia naukamraddi yoyote endelea nahiyo kazi yakutufundisha(kuwa nasubra
Allah atueke mbali na maradhi hayo umati Muhammad fil dunia wal akhera. Nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh wetu Allah akulipe kheri zote
Ameen
Subhanallah
Jazakumullah kheir
Ya Allah tusaidie kuacha maradhi hayo in shaa Allah
😊
Kama wazanzibar chuki,hasadi,uadui na mafundo Mwenyez Mungu awasamehe maan kibri ya uhai inawasumbua 😢
Wallah Othman maalimu Allah akulipe mema hapa Duniani Na kesho akhela mawaidha yako yananifunza natamani siku moja nikuone live Inshaallaah nitafalijika sana❤
Ya Allah tusaidie sote
Nauliza Si Kwa ubaya shekhe wetu pendwa Othman ana wake wangapi