🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • 🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09
    -
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
    Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    Efmtanzania:
    TWITTER:
    Efmtanzania
    FACEBOOK:
    Efmtanzania:

Комментарии • 29

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 16 дней назад +12

    Alafu nikisema alikuwa mjinga na mpumbavu kabisa mnaona kama namhukumu,badala yakutafuta msaada kama alivyosema amekuja kuendelea, na huyo rafiki yake,toka siku ya kwanza tu alipomuona mwenzake alimwambia , huyo si mtu mzuri lakini yeye akaona kama anamfatilia mambo yake,akaja akamwambia tena ,huyo rafiki yako Yuko kwenye makundi mabaya ,akamsimulia hadi stori ya rafiki yake kupoteza maisha kwasababu yakujiunga kwenye makundi mabaya lakini wapi ,yeye masikio na macho juu juu kama mnara wa simu, kiukweli anakwaza sana,na ndio hivyo anaanza kuchanganya changanya matakataka maana hata uzoefu wa kujua tu kwamba mm natumia aina gani hajui, jamani MUNGU nakuomba epusha watoto wetu

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 16 дней назад

      😂😂😂 yani watoto wengi wakushua hua hawajui vitu vingi na hua hawaamini mawazo ya watu wenehali yachini kiuchumi

    • @user-uu6ei1ys3k
      @user-uu6ei1ys3k 16 дней назад

      AMINA🙏

  • @tusajigwemwamalili3556
    @tusajigwemwamalili3556 16 дней назад +5

    Veronica okoa mb zetu basi kwa kutorudiarudia sentensi zile zile ambazo umeshatusimilia,unatufanya Sisi wakaibu WA simulizi zako Jana Mercy na Elibariki,radio hazishiki,punguza marudio audio ya maneno

  • @zayabdala-ky9dg
    @zayabdala-ky9dg 16 дней назад +7

    Hii inafundisha ukiwa na Jambo linakusumbua acha kukaa kimya sema upate msaada naona kabisa alikua Teja aiseee inaumaa

  • @user-lu4ie4fp1o
    @user-lu4ie4fp1o 16 дней назад +4

    Dada vero mungu akutuze me kipekee katika simulizi hizi nimejifunza mengi

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 16 дней назад +2

    Umezid kulemba

  • @lucygodwin7590
    @lucygodwin7590 16 дней назад +1

    Barikiwa sana Vero

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 16 дней назад

    Nashukuru Mungu Mungu kwakuniepusha vitu ivo sijui ningekua mgeni wanani

  • @user-mq7xp2so6z
    @user-mq7xp2so6z 16 дней назад +2

    Msichana mzuri tuseme alikuwa anakusubiri ww wakati wanaume wapo wwngi😂😂

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k 16 дней назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂MENO YAMEPANGIKA❤

  • @AnnaMark-cm8ch
    @AnnaMark-cm8ch 12 дней назад +1

    3 Some😂😂😂😂

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 16 дней назад +1

    Shetani ni muongo sana😢😢

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 16 дней назад +1

    Na hilo ndilo lilikuwa tatizo lake kujifanya mjuaji,kutokusikiliza ni nini mwenzake anamwambia

  • @annastaziajohn9269
    @annastaziajohn9269 16 дней назад +1

    Matangazo yamezidi kuwa mengi

  • @lightymmary22lightymmary27
    @lightymmary22lightymmary27 16 дней назад

    Nasikitika Sana jmn poleee

  • @shaluuanthony1836
    @shaluuanthony1836 16 дней назад

    😢😢😢😢😢

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x 16 дней назад +1

    Kweli huyo ni shetani

  • @user-nn5lv6nb6i
    @user-nn5lv6nb6i 16 дней назад

    Akome mimi ananipa to hasira hapa

  • @christinaabelmwaipungu-5727
    @christinaabelmwaipungu-5727 16 дней назад +2

    Imalize hii simulizi inachosha sana da Vero!!

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 16 дней назад

    Yani kuna mambo mengi binadam tunakosea kutokana na matumizi ya akili pia nakuto fatiilia maandikoya M/MUNGU pole sana

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 16 дней назад +2

    Chezea uzuri wewe hakuna mwanaume anayeweza kushinda vishawishi mbele ya mwanamke mzuri ata awe mchungaji au muaminifu sana kwa mkewe, pole sana

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x 16 дней назад

    Sio arosto ya pepsi😂😂😂

  • @clintonnjiku3616
    @clintonnjiku3616 17 дней назад +2

    Dada veroo unasimuliaa vizurii sanaa❤❤❤ ilaa jamani vunadeleee niwaongoooooo sanaaa nilipigiwa sim tang tar3/5 mpaka leoooooo akunaaa kitu

    • @younghacker7250
      @younghacker7250 16 дней назад

      @@clintonnjiku3616 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Kiddohsanga-fw7jh
      @Kiddohsanga-fw7jh 16 дней назад

      😂😂😂😂pole udugu

    • @user-nn5lv6nb6i
      @user-nn5lv6nb6i 16 дней назад +1

      Watakua walikupigia matapel asa nyny mnadhn media kubwa kma hyo itatapel watu jamn c yatakua mambo y ajabu sn wanapt faid gn?? Kwahyo n veronik atakua tapel cyo kwl jmn

    • @monicahmwikali7699
      @monicahmwikali7699 14 дней назад +1

      😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @SabrinaIbrahim-jl5um
    @SabrinaIbrahim-jl5um 16 дней назад

    Sio mshamba ni mwehu