#eTrending
HTML-код
- Опубликовано: 14 апр 2020
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Ibraah #Harmonize - Развлечения
Dogo namuona sehemu flani juu kam unamini like hapo KONDE boy kachagua mtu sahihi🏋
Tunaitaji wasani wengi kama uyu kijana anaweza kabisa tumpe support
Ila nadhani upo umuhimu mkubwa wa matumizi sahihi ya maneno...aliyesikiliza vema ameelewa nini "I'm gonna buy your Mama colola". Au "corola"?......"shiringi"..au "shilingi"?.....lugha ni mtihani kwa waimbaji wengi
Kiukweli anaweza
Konde music for sure ! Hatari kabisa ! No. 1 fan from Ug . Big up Harmonize & Crew. Respect !
Ibrahim. Fanya bidii wewe ni kizazi kipya cha kunyakuwa nafasi ya kuwa msanii Bora siku za mbeleni.
Ila wapo watu watakuvunja moyo usiogope na wapo watu watakusifu usikubali sifa zao na wapo watu watakujaribu kwa makosa usijaribike na wapo watu watakurubuni usirubunike na wapo watu watakuchokoza usichokozeke. Fanya sanaa kwa moyo wako wote fanya sanaa kwa roho yako yote na fanya sanaa kwa maisha yako yote. Umefika hapo ni kipaji chako ambacho Ni bidii chache ambazo umekuwa nazo toka awali. Umekuwa na bahati sana ya kusainiwa konde Gang international Record label. Wewe ni wamwanzo jaribu kutengeneza tabia njema kuwa na shima salama. Ili utengeneze uwaminifu kwa wengine ambao watakuja onesha mifano mema kwa wengine. Mimi yangu ni hayo tu machache sina sifa ya kukupa bali nakutakia maisha mema kwenye game la music Ni changamoto sana. Vimada ni sumu kwa Afya yako. Siri ni mafanikio kwa maisha yako. Wapende wazee wako na heshi Ni kitu cha bure hemu wakubwa na wadogo
from kenya hyu kijana has got a future. going far
Huyu msanii ni Kama mbosso mbosso hv ukichangnya harmonize na asley kwambaaaaaali hivi af kdgo anasaut kwa mbal ya diamond duuu hatR jmn cjaona .😘😘😘 Love you san brooo nmekpnda bure .......
Konde boy 4 everybody✌️✌️✌️✌️😘😂❤️
keep it up brother harmonize, tembo, jeshiii kwa kuthamini vipaji vya home (MTWARA) gas city, 🔥 on 🔥 ibra much respect brother
Nilijiwa konde boy atafuta talenti na mtu mWenye akili na brain kubwa kama lake 💪💪💪🙏welcom ous team konde gang ibraah.from +243🇨🇩
Ibraah is soo refreshing man😁
Na kanafanya kma mchezo tuu wapi watu wangu wa KONDE GANG💪💪💪
Ila nyie huyu konde bakora nyingine kabisa yaan amekamilika kila idara iman yangu hata hyu dogo atamsimamisha vyema sana big up konde boy
Ramadhan Athuman sana mnooo
I love you so mutch ibraah ❤❤❤❤❤
He got a special voice ...unique
I agree guys, we wanna see you in the next level konde gang 🔥🔥🔥
What a talent! So dope! Much love from 254
Yaani huyu @ibraah napenda interview za kwake 💪🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama umesikia "unanipenda japo sina domo" gonga like
Nakukubali sana kaka wish for a collaboration one day😍💥💥💥✌
Ongera yani uko safii wumbo siyo wako ila unautendea haki 👌👌👌
Hakuna mtu alie mkamilifu kwnye uimbaji, kijana wetu anajua sana tu , nimarekebisho madogo madogo tu anayahitaji ,
Nilikua natafuta alocomment ukweli ..nimemkuta mmoja nae ni wewe tyu ...
Uko sahihi Dogo yuko vizuri sana ila swagz nyingi sana kiasi zinataka kumtoa nje ya key, na tune anaibadili mara kwa mara wkt mwngne anashuka sehemu alitakiwa apande. Ila sauti yake ni ya kipekee sana pamoja na confidence ipo
Kazaliwa huyu hakuna kuedit
Kwel kaka
Huyu hawezi shindana na Zuchu...anahitaji mazoezi zaidi!! Wameharakisha kumtambulisha!!
I like you ibraah 😍😘❤❤❤❤❤❤
Mwenye chake mpe, ibra You so talented
Daaaah 😭 ibraah nawish ungekuwa mwanangu jmn
Str8 Talented. ..Keep it up Ibrah
Official konde gang spokesman..welcome my boy
the king of music nakubali sana wew ni mwamba
Unaweza I love ur voice
Appreciate good music jah bless you boy from home Buza
Kumekuchaaaaaaa konde gang wanabalaaaaa hwaaaaa
Just perfect🙌💥 super talented he can really sing out of anything Just perfect broe🤕
Super star ndani ya Massa tu, haijawahi tokea 🐘🐘
I love his voice
Nani mwenye sikio la music aseme kama amesikia sauti ni kama ya mbosokhan
Daar mwanang hii sauti kwer kabisa ni ya mbosokhan haahaahaa
Umeongea kweli nilisikia jana kwa interview sauti ile ile yaaani
@@stephanohenry6731 tutaelewana kidg kidg
Kabisa masikio haswa
Lakini usiseme ameiga sauti ya mbosso dogo natural voice yake iyo
Unajuaaaaaaa bhana
good start,anahitaji mazoezi sana ya live
Mbona nalia😢😢 Ibraah😍😍🙏
This boy is talent 💪💪
Nawapenda sanaaaaa
Msanii huyu ni talent kubua sana kbsa!
Tanua koo ilo bali umeimba vzr sana keep it up
I love ibraah kinomaaaaa jamani ninahamu nikutane nae........love you bro
Welcome Ibraah we love u do much konde BOI big up
You are going far baiby boy aki uko poa mbaya
Uyu kijana anasauti nzuri manshaallah
Yaan anitahid msela
Hatariii
The next aslay in the making keep it up ibrah
Ooh my gosh u r amaizing
Si uimbe gospel haki,Mungu amekupa sauti nzuri
Uyu Bado Sana saut Ina kwaruza anabebwa na melodi,tuweke utim pemben dogo anatakiwa afanye mazoez Bado Sana saut! Saut inakwaruza
He is just fresh he needs minor tuning, we don't say he is perfect, lazma itokea kwa msanii mpya yeyote, but he will out grow huo mkwaruzo
Anapiga kavu hiyo..omba poo tuu
Moto wa huyu dogo si wa dunia hii
Yuko vizuri sana,, mana anaimba mwenyewe, ana back voice mwenyewe kitu ambacho hakiwezekani ht mwenye nyimbo hawezi kufanya hvyo,, na hata studio session wanafanya utumbo kuliko huyo dogo,.. anahitaji muda na anatia moyo.
Piano anatouch nzur ibrah unajua mwan ningekua karibu ningkupigia drums trtbu mwana nakukubli
Unajua kijana
Mungu akuongoze
Katika safali yako
Ya mziki.....
I like it,hongera
Pure talent💯💯
tha voice🤗😘🔥
We rank him in kenya alot @ibraah tz
Yani Mimi ki ukweli damu yangu konde gang , hata wafanye nini nasapot ,najua watu wanatafuta maisha sio watu wanaoponda kila kitu, sijui kwa sababu mi mmakonde halisi
Mi niko nyuma yako bi zakia
Konde gang mkenya uku USA hapa 🙋🏽♀️
@@luvlynessywaoo tko pamoja sana
Levo Zako Si Za Nchi Hii Wee Mtoto, Mwanzo Mzuri Sana, Nakubariki Utafika Mbali Sana
Hela zake ziko nyng sana upande huu duuuh,,.
inaonekana kupanda range za juu atakua anashindwa
Kondegang for everybody
Nice sana ibrah Mimi nakupenda sana
Anajua ila kupanda na kushuka kunampa shida pumzi ndogo fanya mazoezi god bless you
Live kali sanaa
❤❤❤❤love this
dua bro nakubali konde na ibrah yani self military
Wlcm from konde gang🔥🔥🔥🔥🔥
Darkid next KONDE music worldwide
Anajua,yuko vizuri,tunasubiri vitu
ibraah mdogowangu uko vizur et@matungur
Woooowzer woozer woooooozer!...
Nakubali
Nomaa Sana'a👍👍
Nice naaamini konde gang ni shiiiiiiidaaaa
Big up
First one i need like
Anajua🔥🌹
Wee ukikubali bby nami huwa spingi najua uhakika tbs imehiska
Umeona Muni
San
+Munira Ahmed 👀🥴😁
Anajua sana Jamal Wadau
Love u more 😍😍
Anajua niatarii
yupo good sanaaa
Safiiiiiii mungu awafiche usda za wanga
Aminaa kwekwel mana wenga wengi kwakwel
Tumsapot kwa pamoja atafika
Talented
Bravo 👍🏻
Nakubal Ibraah-tz 🔥🔥🔥🔥
IBRAH nimekubali
IBRA ww fundii bro big up !
Was kinjana wa mtaa unasaut Sana💯💯🇰🇪 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nafurahi sana elimu ya darasa la Saba ila maneno ya kiingereza anaya mudu sana sanaa💯💯💯💯
Brother nimekkbali unajuwa
Huyu dogo anaweza.sanaaaa
Huyu kijana anamuongezea sana credit konde
Kijana yupo vizuri safi sana kipaji kipooo
TEAM NEVER GIVE UP
Welcome ibraah wooow
Capital Tv hbv
Subscribe
Jeshiiiiiiii❤️❤️❤️👍👍
Anajua sana
Ana tisha mwamba
Upo vizuri
Noma sana
Karibu sana mbona unaweza
uyu kweli nyati 💪💪💪💪